Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Siwa-shangai Duma the terrible,Now I realize kwamba watu mko very misinformed.Ni hivi wewe Kama Duma the terrible,is a component of three things:Body,Soul and Spirit.The Soul is the actual you,and the Body is it's house.The Spirit came from God and is what actually gives you life.Ukifa the Spirit goes back to God.It is your Soul which will be judged by God.
Nilishawahi kuandika humu kuhusu ulimwengu wa roho na wadau mbali mbali walitoa maoni na mitazamo yao.

 
Hizi siyo hadithi ni facts, ukitaka kujadili kwa kuzijibu ulete hoja zenye ushahidi pia.
Mkuu huko mimi nishapita cku nying ... ningekushauri ukimaliza hyo hadhithi hebu mtafute Credo Mutwa akuelezee ktk mlengo wa afrika ilivyokuwa. Ukikosa vitabu vyake utaniambia nikutafutie
 
Mm siamini katika Anunaki sijui Munaki kuwa ndio mungu. Naamini yupo MUNGU. Haiwezekani huu ulimwengu ukajipangilia wenyewe tu kama hivi, lazima kuna INJINIA aliyepanga.
Vizuri sana Mkuu, hebu twende taratibu si umeona vile huu ulimwengu ulivopangiliwa hadi ukahisi lazima mpangiliaji awepo, je Kwa mfano huo huo wa upangiliaji wa Dunia je unaamini kwamba kama mpangiliaji wa Dunia lazima atakuepo je unahisi yeye alipangiliwa na nani?

Iweje mwenye uwezo wa kupangilia huu ulimwengu Kwa namna hii alafu ye awe hajapangiliwa? Iweje ye atokee tu from no where alafu awe peke yake alafu aweze kufanya yote haya bila reference, hivi inakuingia akilini kweli? Mungu yupo sawa ila una uhakika Gani kutokana na uwezo na nguvu alizonazo awe hajatokana na sababu yoyote ile?
 
Kwann unakazana sana na jina? MUNGU si ni MUNGU tu. Mpe jina lolote ila ni MUNGU, na kama huyo annunaki yupo basi aliumbwa na huyo huyo MUNGU. Mtafute atakuthibitishia.
Hivi umewahi Soma kuhusu ANNUNAK imeundwa na miungu mingapi?
Kwa taarifa huo ni Muunganiko wa miungu
Kama ANU/EL/MURDUK/Ra/Horus na wengineo wengi Sana wanaounda nguvu Moja kuu Sana na wamegawanyika kutokana na majukumu Yao
Kila Mmoja ana sector yake ila hufanya Kazi kukamilisha lengo Moja!
Hata huyo unayedai ni muumba Yupo ndani ya kundi hilohilo huwezi mtenganisha maana nadharia zote za dini kuhusu kuabudu ni wao Ndio waanzilishi!
 
Mkuu huko mimi nishapita cku nying ... ningekushauri ukimaliza hyo hadhithi hebu mtafute Credo Mutwa akuelezee ktk mlengo wa afrika ilivyokuwa. Ukikosa vitabu vyake utaniambia nikutafutie
So Credo Mutwa alichoelezea siyo hadithi? na hii ni hadithi siyo?. Kuamini kile unachokiona ni sahihi siyo vibaya, ila ujifunze na mengine pia ni hayo tu ndugu.
 
Vizuri sana Mkuu, hebu twende taratibu si umeona vile huu ulimwengu ulivopangiliwa hadi ukahisi lazima mpangiliaji awepo, je Kwa mfano huo huo wa upangiliaji wa Dunia je unaamini kwamba kama mpangiliaji wa Dunia lazima atakuepo je unahisi yeye alipangiliwa na nani?

Iweje mwenye uwezo wa kupangilia huu ulimwengu Kwa namna hii alafu ye awe hajapangiliwa? Iweje ye atokee tu from no where alafu awe peke yake alafu aweze kufanya yote haya bila reference, hivi inakuingia akilini kweli? Mungu yupo sawa ila una uhakika Gani kutokana na uwezo na nguvu alizonazo awe hajatokana na sababu yoyote ile?
Ninachosema mm ni hichi mkuu, uwepo wa ulimwengu na vyote vilivyomo vina sababu, hiyo sababu ni MUNGU, na kama huu ulimwengu hatujauelewa je huyo MUNGU tutamwelewa?

Embu fikiri, mdudu kama inzi kwa utashi wake anaelewa nini kuhusu Amarok, Ford, Mitsubish, Toyota alizounda binadamu? Hawezi sababu hana utashi wa kiwango hicho.

Sasa tunajuaje labda unahitajika utashi mara 100000000000 zaidi ili tuweze mchunguza MUNGU na kujua asili yake.

Ila utashi wa kuhisi uwepo wake tunao kama tu nzi alivyo na utashi wa kuhisi uwepo wa binadamu na kumkimbia, ni sawa na ukiingia kwenye pango usilolijua halafu ukakuta mafiga na kuni na nyama imepakwa chumvi, lazima utahitimisha humu yupo binadamu hata usipomuona kwa muda uliokaa mle pangoni.
 
pia Kumbuka mtu hawakumform from no where Bali waliunganisha DNA zao na za Primitive waliowakuta na Ndio wakamtoa Homo sapiens kamili,
Hivyo hiyo sayansi ya cloning ni rahisi Sana Hata sisi Leo angalau tunaiweza ila sio kivile ila kuunda dhahabu maabara mmmh hiyo Ngoma ngumu jombi!
[emoji16][emoji16][emoji16]
Dhahabu ni natural occurrence thing kama ilivo mafuta yanatokea sehemu chache katika Dunia kutokana na nature ya fossils zinazopatikana maeneo hayo, hivo ata Uwe na Akili vipi huwezi kuunda ispokuwa unaweza kubadili mfumo tu

Ingekuwa inawezekana kuunda Leo hii wazungu wangekuwa na visima vyao vya mafuta pamoja na machimbo yao ya madini aina zote, kwahiyo ata kama Mungu ameumba Kila kitu ila itaniwia ugumu sana kuamini kwamba aliumba mafuta na madini, ispokuwa yametokana ma matokeo ya mabadiriko yanayoendelea kutokea katika Dunia ya Leo hii
 
Ninachosema mm ni hichi mkuu, uwepo wa ulimwengu na vyote vilivyomo vina sababu, hiyo sababu ni MUNGU, na kama huu ulimwengu hatujauelewa je huyo MUNGU tutamwelewa?

Uwepo wa ulimwengu unanithibitishia kuwa MUNGU yupo, yupoje alianzaje haijulikani bado. Sasa anayefikiri kinyume basi athibitishe kutokuwepo kwake.

Ni sawa na ukiingia kwenye pango usilolijua halafu ukakuta mafiga na kuni na nyama imepakwa chumvi, lazima utahitimisha humu yupo binadamu hata usipomuona kwa muda uliokaa mle pangoni.
Issue sio kwamba hakuna Mungu, issue ni maandiko kutuaminisha kuwa ye hana sababu ya kutokea kwake, hii haimake sense katika akili tu ya kawaida, kama tunaamini Kila kitu kina sababu why ye awe hana sababu? Kwanini awe peke yake?

Na ukiangalia hii mada aliyoileta mtoa mada hii sio story maana Kuna facts pia na baadhi ya proof ila maandiko ya dini ndio tunaweza sema ni hadithi maana hakuna facts Wala proof juu ya uwepo wa Mungu, sa inashangaza mtu hii anaita Hadith ila anakubali maandiko ambayo yapo kwenye maandiko
 
Issue sio kwamba hakuna Mungu, issue ni maandiko kutuaminisha kuwa ye hana sababu ya kutokea kwake, hii haimake sense katika akili tu ya kawaida, kama tunaamini Kila kitu kina sababu why ye awe hana sababu? Kwanini awe peke yake?

Na ukiangalia hii mada aliyoileta mtoa mada hii sio story maana Kuna facts pia na baadhi ya proof ila maandiko ya dini ndio tunaweza sema ni hadithi maana hakuna facts Wala proof juu ya uwepo wa Mungu, sa inashangaza mtu hii anaita Hadith ila anakubali maandiko ambayo yapo kwenye maandiko
Maandiko ni suala la kiimani. Na imani ni masuala ya kiroho, masuala ya kiroho ni masuala yasiyohusiana na ulimwengu unaoonekana kwa macho. Ukielewa tafsiri ya haya mambo hutasumbuka na imani za watu huku wewe ukichagua njia yako ya imani.

Unaweza achana na mambo ya kiroho kama serikali isivyoamini kuna uchawi.
 
El/YHW/Jehovah/Elohim/Jesus

Halafu Dumas huna swali la kunitosha wewe.
Aisee Mathanzua Unamwamini Huyo El/YHW/Elohim/Jehovah/Jesus halafu unamtenganisha na Accient gods wa Summeria una akili kweli?
Hivi unajua Huyo El ni Moja ya wale Miungu wa ANNUNAK aliowaabudu Abraham kutoka Mesopotamia?
Kabla ya Abraham YHW aliwahi julikana popote ulivyosoma Kwenye Bible?
Hujiulizi kwanini huyo YHW/JEHOVAV/EL
Alijitambulisha kwa mara ya kwanza Kwa Ibrahimu pale Kaanan ya Kwamba Ndio Mungu mkuu muumbaji na akaingia agano nae?
Baada ya hapo kwanini huyo Mungu YHW alianza kudeal na familia Moja tu ya Ibrahim na uzao wake pekee huoni alikua ni Mungu wa ukoo Mmoja tu Hapa Duniani?

Miaka elfu nyingi alideal na familia Moja tu ya Ibrahim baasi mpaka pale walipomsnitch Ndio akajifanya anaanza deal na mataifa mengine huoni huyo Mungu wao ni mbaguzi na jinsi Gani alivyo kigeu geu?
Soma Kwa kuelewa Mathanzua hiki nikuambiacho Leo
Huyo Ibrahimu na mwanaye Isaka aliingia mkataba na Annunak El akiwa kama Merchizedec mtawala
wa Salem ya Kwamba uzao wake Wote na watakua watu special wa kuwakusanyia Dhahabu pale middle east na Ndio maana utapata story za kutembelewa na miungu mara Kwa mara sababu iliyofanya jamaa kukubalika na ANNUNAK ni Kwamba alikua na ujuzi mkubwa Sana wa kuzichimba na Ndio maana alikua tajiri mkubwa Sana na alimiliki nguvu Kazi kubwa Hata kile kisa Cha kumtoa kafara mwanae lengo Ilikua kuonesha uaminifu Kwa El ya Kwamba atafanya Kila kitu Kwa uaminifu na hatavunja makubaliano Kwa kuingia mkataba na Annunak wengine
Na El akampiga mkwara Kwamba Hilo litakua agano lake la milele Kwa uzao wake na atawafundisha watoto zake Juu ya agano Hilo kizazi na kizazi,
Annunak El alijitanabaisha ni Mungu wa Ibrahimu na ana hasira na wivu endapo atavunja makubaliano na atamwangamiza maana ana ujuzi na nguvu kama zote,

Huo Ndio ukawa mwanzo wa Abraham religion Kwa Uzao wake Ili wawe wanaabudu Mungu
El/YHW/JEHOVAH/
Kila siku Ili wasije sahau agano lao na Ndipo kizazi Cha Israelites hawakuacha kumwomba mwamba EL daima wakiogopa Sana kumsahau maana watapata taabu Sana,
Haya mambo yalianzia mbali Sana mpaka Hapa yalipofikia!

Mathanzua najua utanipinga Sana pamoja na wafia dini wengine ila huu Ndio ukweli mnaabudu msichokijua!
 
Maandiko ni suala la kiimani. Na imani ni masuala ya kiroho, masuala ya kiroho ni masuala yasiyohusiana na ulimwengu unaoonekana kwa macho. Ukielewa tafsiri ya haya mambo hutasumbuka na imani za watu huku wewe ukichagua njia yako ya imani.

Unaweza achana na mambo ya kiroho kama serikali isivyoamini kuna uchawi.
Pamoja Mkuu
 
So Credo Mutwa alichoelezea siyo hadithi? na hii ni hadithi siyo?. Kuamini kile unachokiona ni sahihi siyo vibaya, ila ujifunze na mengine pia ni hayo tu ndugu.
Wap nimesema sema alivyoelezea yeye ni sahihi? Nimekwambi ukimaliza hyo ukasome na yeye anavyoelezea ktk mlengo wa kiafrika. Mwisho wa siku yote ni masimulizi
 
Wap nimesema sema alivyoelezea yeye ni sahihi? Nimekwambi ukimaliza hyo ukasome na yeye anavyoelezea ktk mlengo wa kiafrika. Mwisho wa siku yote ni masimulizi
Mkuu ukiweza tudondoshee link tupate kujionea na yeye mtazamo wake juu ya haya mambo.
 
Hawa jamaa wanachekeshaga sana wanakwambia Mungu hafananishwi na chochote alafu hapo hapo anakwambia Mungu ametuumba kwa mfano wake..!!! Tukiachana na hayo akikujibu naomba unitag
Sisi waislam tunasema SEMA,MWENYEZI NI MMOJA,MWENYEZI MUNGU MKUSUDIWA,HAKUZAA WALA HAKUZALIWA,WALA HAFANANII NA KITU CHOHOTE.
 
Hivi umewahi Soma kuhusu ANNUNAK imeundwa na miungu mingapi?
Kwa taarifa huo ni Muunganiko wa miungu
Kama ANU/EL/MURDUK/Ra/Horus na wengineo wengi Sana wanaounda nguvu Moja kuu Sana na wamegawanyika kutokana na majukumu Yao
Kila Mmoja ana sector yake ila hufanya Kazi kukamilisha lengo Moja!
Hata huyo unayedai ni muumba Yupo ndani ya kundi hilohilo huwezi mtenganisha maana nadharia zote za dini kuhusu kuabudu ni wao Ndio waanzilishi!
Mkuu hapa mbona umeenda chaka soma maneno yako kwa makini...Kila mmoja ana sector yake ila wanafanya kazi kukamilisha jambo moja sawa kabisa.....Swali...Hivi Waziri wa Afya na Waziri wa Ardhi huwa wanafanya kazi pamoja eee??
 
Mkuu hapa mbona umeenda chaka soma maneno yako kwa makini...Kila mmoja ana sector yake ila wanafanya kazi kukamilisha jambo moja sawa kabisa.....Swali...Hivi Waziri wa Afya na Waziri wa Ardhi huwa wanafanya kazi pamoja eee??
wewe ndie mgumu kuelewa kamanda hivi hao mawaziri wapo kutekeleza Nini kama sio kazi za serikali kuu ila Kila Mmoja anawajibika na wizara yake lakini wote ni lengo Moja kuwahudumia wananchi!
 
Back
Top Bottom