Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Aisee hua inanishangaza sana hasa Hizo structure za Pyramids Bunker s Aisee humo ndani mmechongwa Kwa ustadi wa kustaajabisha sana,
Annunak walitumia vifaa vyenye Umeme wenye mionzi mikali sana yenye nguvu na spidi kubwa mno,
Imagine ni kama uchukue tochi yenye mwanga mnyoofu na uilenge kwenye mwamba mgumu kiasi inatoboa shimo Kwa kipenyo kile kile mpaka upande wa pili bila kuweka mpasuko Wala ufa kwenye mwamba,
Duuu Hiyo Teknolojia tukija ifikia itakua noma sana!
🤔🤔🤔🤔
 
Aisee hua inanishangaza sana hasa Hizo structure za Pyramids Bunker s Aisee humo ndani mmechongwa Kwa ustadi wa kustaajabisha sana,
Annunak walitumia vifaa vyenye Umeme wenye mionzi mikali sana yenye nguvu na spidi kubwa mno,
Imagine ni kama uchukue tochi yenye mwanga mnyoofu na uilenge kwenye mwamba mgumu kiasi inatoboa shimo Kwa kipenyo kile kile mpaka upande wa pili bila kuweka mpasuko Wala ufa kwenye mwamba,
Duuu Hiyo Teknolojia tukija ifikia itakua noma sana!
🤔🤔🤔🤔
Haiwezekani kufikiwa hata Engineers duniani kote wamekiri kwamba hakuna technology ya sasa inayoweza kutumika kujenga pyramids. Kwa maana hiyo watu wa sasa badala ya kwenda mbele kwenye teknolojia(hasa kwenye ujenzi), tunarudi nyuma.
 
SEHEMU YA PILI.

Wanyama waliokuwepo(Homo erectus), kilikuwa ni kikwazo kikubwa sana kwa Nefilim kuweza kutimiza mpango wake. Hivyo aliitaji kutengeneza kiumbe mwingine atakayeweza kutembea, kuinama na kusimama kama yeye, mwenye akili zaidi, mwenye uwezo wa kutafsiri mambo kwa haraka na kutekeleza maagizo yake. Hali hii ilimfanya kutengeneza kiumbe mwingine (binadamu wa leo) kutoka Homo erectus-Homo sapiens(modern man) kwa kutumia "genetic manipulation".

Kutoka Summerians imethibitishwa kwamba Annunaki alikuwa na tecknolojia za hali ya juu, aliweza kufanya space travel zaidi ya miaka 450,000 iliyopita na walikuwa wame endelea sana kwenye tasnia ya sayansi ya maisha kuliko sisi binadamu wa leo. Vile vile walikuwa na uelewa mpana kuhusu kuunganisha chromosomes na kupata genetic results kwa kutumia cloning, cell fusion, genetic transplant na njia nyingine ambazo hatuzijui sisi. Sio kwamba waliweza kufanya hivyo kwenye maabara tu, bali hata kwa viumbe hai wengine.

Uthibitisho wa kutumia mbinu hizo umethibitishwa kwenye vitabu vya kale, kimoja wapo ni Berossus, ambacho kimeweka wazi ya kwamba deity Belus (lord) ambaye kwa neno lingine ni Deus(god) aliweza kutengeneza viumbe wengine tofauti kwa kutumia njia mbili:

Njia ya kwanza.
Viumbe(watu) walitokea wakiwa na mabawa mawili, wengine manne na sura mbili. Walikuwa na mwili mmoja ukiwa na vichwa viwili, kimoja cha mwanaume na kingine cha mwanamke, walifanana viungo vya mwili, wakiwa na vya kike na kiume.

Njia ya pili.
Wengine walionekana wakiwa na miguu na pembe za mbuzi. Wengine walikuwa na miguu ya farasi, wengine walionekana wakiwa na miguu ya farasi nyuma ila kwa mbele ni sura mtu wakifanana hippocentaurs, huku wengine wakiwa na mikia ya samaki. Kiufupi walitengenezwa viumbe wengine wengi wa kila species ya mnyama.

Inaelezwa kwamba kabla ya kumtengeneza mtu kwa mfano wake, Nefilim alifanya majaribio mengi ya kutengeneza viumbe tofauti tofauti(ape-man-animal).Baadhi ya viumbe hao waliishi muda mfupi huku wakishindwa kuzaliana (reproduce).

Kupatikana kwa bull-men na sphinxes katika Near East ya kale inaweza kuthibitisha kwamba actual creatures walitokana na maabara za kibaiologia za Nefilim kama ilivyo andikwa kwenye vitabu vya sumerians.

Sumerians texts pia zinasema kwamba Enki na Ninhursag (mother goddess) walitengeneza deformed Humans ili awe kijakazi wao. Mother Goddess anaonekana akimuuliza Enki:

"How good or how bad is Man's body?

As my heart prompts me,

I can make it's fate good or bad".

Sumerians texts zinasema kwamba katika kujaribu jaribu kutengeneza mtu, Mother Goddess alizaa mtu ambaye asingeweza kuzuia mkojo, mwanamke ambaye ansigeweza kuzaa mtoto, kiumbe asiye na viungo vya mwili vya kike wala kiume. Kiujumla zaidi ya deformed humans sita zilitolewa na Mother Goddess.

Enki aliadhibiwa na Nefilim kwa kutoa kiumbe asiye sahihi. Baada ya majaribio hayo, akaja kupatikana kiumbe waliomkusudia (Tutaona mbeleni ilikuwaje na waliweza vipi).

Hapa chini nimeambatanisha picha ya kwanza inayo onyesha apes-humans, waliopatikana wakati wa majaribio yao.

Norshad
View attachment 2101515

View attachment 2101584

View attachment 2101585

View attachment 2101587

View attachment 2101729

View attachment 2101734
Kwahyo mtu wa kwanza alikuwa mzungu...??? Propaganda za The white supremacy system hizi hakuna jipya
 
Kwahyo mtu wa kwanza alikuwa mzungu...??? Propaganda za The white supremacy system hizi hakuna jipya
wapi pameandikwa binadamu wa kwanza Alikua mzungu?
Acha ujuaji Arif unakurupuka Sanaa Kaa usome Kwa kutulia Tatizo la watu kama nyie tunalijua
Mna mahaba na Dini zile kiasi kwamba hamtaki kusoma maarifa mapya Nje ya mfumo wenu!

Brain washed!
 
Dumas the terrible asante kwa kunikaribisha kujifunza alicho present Artificial Intelligence.Hata hivyo mbona sina cha kujifunza hapo,because most of it is heresy.Why is it heresy:
1.Artificial Intelligence states that Annunaki Ni viumbe.Sasa the God who created me si kiumbe,ni Alpha na Omega;He has been,and He will be,He was not created,but He is the creator!So you see how mighty he is.How can you compare Him to a created being.
2.Mungu wangu ni Mungu mmoja,huwezi kum-categorize into god's and goddesses!
3.Artificial Intelligence claims that watoto wa Annunaki ni Enki na Enlil!Mungu wangu hazai,He created,so obviously Annunaki did not create me kwa kuwa Mungu wangu ambaye aliniumba hazai!

Hivi ni vichache tu ambavyo nimeviona.Sikuwa na haja ya kuendelea kusoma kwa kuwa as I have already said most of it is heresy
Nipo pamoja na wewe mkuu
 
Historia nzuri lakini nina maswali kadhaa! Kwanza hao annunaki na hao viumbe wengine wao waliumbwa na nani..?
Pili ktk maelezo inaonyesha hao annunaki walikuwa na teknolojia kubwa sana na maarifa makubwa sana,mpaka kuweza kuumba mtu na lengo la kuumba mtu ni ili wawe vijakazi wao wakusanye dhahabu!. Mkanganyiko wangu ni hapa inawezekana vipi wawe na uwezo wa kuunda mtu ila washindwe kuunda dhahabu ambayo ndio waliihitaji zaidi..??
 
Historia nzuri lakini nina maswali kadhaa! Kwanza hao annunaki na hao viumbe wengine wao waliumbwa na nani..?
Pili ktk maelezo inaonyesha hao annunaki walikuwa na teknolojia kubwa sana na maarifa makubwa sana,mpaka kuweza kuumba mtu na lengo la kuumba mtu ni ili wawe vijakazi wao wakusanye dhahabu!. Mkanganyiko wangu ni hapa inawezekana vipi wawe na uwezo wa kuunda mtu ila washindwe kuunda dhahabu ambayo ndio waliihitaji zaidi..??
Hili swali ni tamu
Ila hakusema kuwa Annunaki wanaweza kila kitu, hivyo yawezekana kwao kuform mtu ni simple kuliko dhahabu.
 
Dumas the terrible asante kwa kunikaribisha kujifunza alicho present Artificial Intelligence.Hata hivyo mbona sina cha kujifunza hapo,because most of it is heresy.Why is it heresy:
1.Artificial Intelligence states that Annunaki Ni viumbe.Sasa the God who created me si kiumbe,ni Alpha na Omega;He has been,and He will be,He was not created,but He is the creator!So you see how mighty he is.How can you compare Him to a created being.
2.Mungu wangu ni Mungu mmoja,huwezi kum-categorize into god's and goddesses!
3.Artificial Intelligence claims that watoto wa Annunaki ni Enki na Enlil!Mungu wangu hazai,He created,so obviously Annunaki did not create me kwa kuwa Mungu wangu ambaye aliniumba hazai!

Hivi ni vichache tu ambavyo nimeviona.Sikuwa na haja ya kuendelea kusoma kwa kuwa as I have already said,most of it is heresy

Uliumbwa kwa mfano wake, kwann ww uzae na kwake iwe tofauti?
 
Uliumbwa kwa mfano wake, kwann ww uzae na kwake iwe tofauti?
"Wewe" yupi.Kwa ujinga ulio nao unadhani huu mwili ndiyo "mimi," hapana,huu mwili ni nyumba yangu tu.Mimi ni roho,nakaa kwenye huu mwili.Roho yangu ndiyo inayofanana na Mungu.

Mimi nazaa na Yeye hazai kwa kuwa ndivyo alivyopanga.Halafu Yeye ni Mungu Mtakatifu hawezi kujichanganya na wanawake.Pia akiwa na watoto atashindwa kutenda haki,he will be impartial.
 
"Wewe" yupi.Kwa ujinga ulio nao unadhani huu mwili ndiyo "mimi," hapana,huu mwili ni nyumba yangu tu.Mimi ni roho,nakaa kwenye huu mwili.Roho yangu ndiyo inayofanana na Mungu.

Mimi nazaa na Yeye hazai kwa kuwa ndivyo alivyopanga.Halafu Yeye ni Mungu Mtakatifu hawezi kunichanganya na wanawake.Pia akiwa na watoto atashindwa kutenda haki,he will be impartial.
Roho ni Nini Wewe jamaa mbona mnatuchanganya?
 
Mh! Labda..😅
pia Kumbuka mtu hawakumform from no where Bali waliunganisha DNA zao na za Primitive waliowakuta na Ndio wakamtoa Homo sapiens kamili,
Hivyo hiyo sayansi ya cloning ni rahisi Sana Hata sisi Leo angalau tunaiweza ila sio kivile ila kuunda dhahabu maabara mmmh hiyo Ngoma ngumu jombi!
😁😁😁
 
Back
Top Bottom