Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Yote kwa yote haya bado yanaacha maswali kuliko kutoa majibu.

1. Hao Anunaki waliofanya civilization walipotelea wapi, mbona hatuwaoni?

2. Anunaki wao chanzo chao ni nini?

3. Kwa nini unapinga kilichoandikwa na bible kuhusu asili ya mwanadamu, lakini kuna baadhi ya sehemu unaiquote biblia hiyohiyo kuhalalisha hoja zako?
Soma Uzi kiundani Kila kitu kipo humo,hao Annunak walishamaliza mission miaka elfu nyingi huko nyuma maana hawakuja Jana Wala juzi ni miaka zaidi ya 5000 Bc huko mwanzo kabisa mwa human civilization
Na kumbuka lengo Ilikua gold na walizivuna Sana na kuondoka nazo na ndio maana walivyotoka baada ya miaka kibao Watu wakaanzisha Nadharia za kuwaabudu na kuwatolea sadaka na kafara wakiamini Ipo siku watarudi hao Miungu,
Nadharia za Dini zikazaliwa hapo
Sasa jiulize mwenyewe miaka Hiyo walikuja na spaceships Leo kiteknolojia watakuaje
Na ndio maana Leo Kuna Nadharia za aliens inadaiwa ndio hao Hao ila wamekuwa invisible sababu ya teknolojia Yao ni kubwa mno kiasi kwamba mpaka wao wakupe access ya kuwaona,

Kuhusu wao kuumbwa Hiyo ni Siri Yao ila wao ndio walioufanya cloning project ya Homo sapiens Sapiens!
 
Labda nikuulize swali kila kitu lazima kiwe na chanzo....je umeshawahi kujiuliza nini chanzo cha MUNGU wako....na je alitokea wapi na je ilikuwaje mpaka akawepo.......nothing is from no where mkali......??????
Nani kakuambia kila kitu lazima kiwe na mwanzo,sio lazima.Hayo ni mawazo potofu kabisa.God Almighty has no beginning,ndivyo alivyojifunua kwetu.He has been and He will be.He is all powerful and Omnipresent and many many other fantastic,incredible, unimaginable and beautiful attributes.
 
Naomba kueleweshwa kidogo, Kama Annunak walitengeneza binadamu ili kuwasaidia kuchimba dhahabu. Wao waliumbwa na nani na hizo sayari wanazotafuta dhahabu zilitengenezwa na nani au zilitokea tu?
 
SEHEMU YA SABA

THE GRAND ZIGGURAT OF UR

Ziggurat-Ur.jpg


Great-Ziggurat-of-Ur-southern-Iraqi.png

Video fupi: http://youtube.be/yVPmLoELao8

Hizo picha juu ni Great Ziggurat of ur, makazi ya Abraham, iligunduliwa na Sir Heinrich Schliemann.

Siku chache baada ya uvamizi wa Ur (Iraq), wanajeshi wa Marekani waliishambulia Ziggurat of Ur. Saddam Hussein alikuwa ameifanya kuwa makao makuu yake (HQ), na inasemekana kwamba alikuwa akijaribu kugundua baadhi ya tecknologia za kale zilizopotea zilizomo kwenye vyumba vya siri katika jengo hilo. Wanajeshi hao wa Marekani walikuwa ni wakikosi maalumu yaani "Task Force 20", na mipango yao ilikuwa ni kuhakikisha wanakomboa maeneo yote ya makumbusho ya kale katika Sumer (ambayo ni Iraq ya leo). Jengo la kwanza kabisa ambalo kikosi hicho kilishambulia ilikuwa ni makumbusho ya taifa Baghdad, na kufika moja kwa moja kwenye andaki ambalo utafiti wote ulikiwa umetunzwa.

Wakati mgunduzi na mtafiti kutoka Uingereza Sir Charles Leonard miaka ya 1930 akiendelea na ugunduzi wake kuhusu Ur (ambayo ni Baghdad ya leo, Iraq), aligundua uwepo wa tomb of Queen Nin Puabi. Kutokana na ugunduzi huo ilionekana malkia huyo wa kale alikuwa na kichwa chenye ukubwa usio wa kawaida, lakini ugunduzi huo ulifanywa siri na kubaki kwenye basement za makumbusho kwa sababu haukuendani na tafiti za kihistoria zinazokubalika kuhusu chimbuko la mtu.

Kadri gunduzi zilivyozidi kutokea tumejikuta kwenye nafasi ambayo tunafahamu ya kwamba ancients hawakuandika historia kwa kufikiria tu bali based on real facts & are actually historical accounts of past events.


Katika picha hii chini (kushoto) ni x-ray cross section ya fuvu la Malkia Puabi.

IMG_20220129_115608_503.jpg


Fuvu hilo moja kwa moja linafanana au ni sawa sawa na fuvu la mtu wa leo Homo Sapiens(modern man). Makadirio yaliotajwa kulingana na ukubwa wa fuvu lake, imebainika kwamba malkia huyo alikuwa na urefu wa futi 6.5 hadi 7.

Picha hii ni sehemu alipozikwa malkia Puabi, the royal cemetery of Ur, ugunduzi ulifanywa na Leonard Woolley kati ya mwaka 1922 hadi mwaka 1934.

IMG_20220129_115043.jpg


Kutokana na ugunduzi wa double helix DNA strand (by Francis Crick & James Watson), wanasayansi duniani wanaweza kugundua chimbuko na alikotokea mtu wa leo, ilikuwa miaka milioni 2, 4 au 6 iliyopita?. Hili linaweza kufanyika kwa kutrace mitochondrial DNA kutoka mwanamke mmoja hadi mwingine kwa miaka iliyopita, hii ndiyo aina ya DNA inayobaki intact wakati wa hatua ya fertilization, thus allowing us a glimpse into the past.

Matokeo ya tafiti yalipo letwa kutoka kwenye maabara mbali mbali, DNA yetu ilikuwa traced back miaka 250,000 to a women in South Africa. Kama tunavyofanana katika vina saba na huyo mwanamke, tunaweza kumuita Mother Goddesses.

Matokeo hayo yalimwacha Charles Darwin akitaka utafiti wa ziada ufanyike, kama alivyodai chimbuko letu ni miaka milioni 4 kurudi nyuma. Majaribio ya tafiti yaliendelea kufanyika muda baada ya muda na Matokeo yakawa yale yale, tena hapa wanasayansi walikwenda mbali zaidi kwa kugundua HARI gene, inayopatikana kwa watu tu, na inahusika na ukubwa wa ubongo wetu.

Further genetic testing wakagundua the FoxP2 gene, ambayo pia ni ya kipekee kwa watu, na inahusika na speech. Hii inaonyesha kwamba gene hizi ziliwekwa kutoka mahala na kiumbe au kitu kingine chenye uhai.

Mtu aliyekuwa na utafiti huo alikuwa Lloyd Pye () na ningependa kunukuu barua yake aliyotumiwa na geneticist:

Dear Mr. Pye:

I agree with your conclusions(that humans are genetically engineered) and will give you a few hints, if you wish (speaking) as a "DNA Deep Throat." First look up the huge discontinuities between humans and the various apes for: (1) whole mitochondrial DNA; (2) genes for Rh factor; (3) and human Y chromosomes, among others.

Regarding #3, I refer you to K.D. Smith's 1987 study titled "Repeated DNA sequences of the human Y chromosome." It says "Most human Y chromosome sequences thus far examined do not have homologous(same relative position or structure) on the Y chromosomes of other primates." Human female X chromosomes do look somewhat apelike, but not the males Y.

This means that if humans are a crossbred species, the cross had to be between a female apelike creature(creature of earth) and a male being from elsewhere.
 
Nani kakuambia kila kitu lazima kiwe na mwanzo,sio lazima.Hayo ni mawazo potofu kabisa.God Almighty has no beginning,ndivyo alivyojifunua kwetu.He also has no beginning and end.He has been and He will be.He is all powerful and Omnipresent and many other attributes.
Mkuu unaweza kutusaidia kutujuza nasie hivo vitu vingine ambavyo havina mwanzo? Maana inaonekana vipo vingi kumbe
 
Mkuu unaweza kutusaidia kutujuza nasie hivo vitu vingine ambavyo havina mwanzo? Maana inaonekana vipo vingi kumbe
Hapa kwa kusema "kila kitu"nilimaanisha singular,kitu kimoja:God,kwamba ni Yeye tu ambaye hana mwanzo wala mwisho,alikuwepo na ataendelea kuwepo.Vitu vingine vyote vina mwanzo na mwisho.
 

😂😂😂😂, aisee nimegundua wapi wazungu wameitoa story ya Adamu na hawa...., aisee..., it could be true ila wameinyumbukisha sana hadithi, ile kusema kula tunda la mti wa katikati kumbe ni kufanya mapenzi yaliyopelekea kuzaana na kuujaza mno mji, ikabidi wengi wafukizwe ili nafasi itoshe huko paradise...
 
SEHEMU YA KWANZA.

Ukweli uliofichwa, unaopatikana kwenye vipande vya mawe vyenye jumbe kutoka sumerians, Babylonians, Akkadians.

Ukizungumzia kuhusu watu wa kale, maisha ya kale na viumbe waliofika duniani kutoka sayari nyingine huwezi kuwasahau annunaki. Historia kutoka katika summerian culture inaeleza kwamba, Annunaki waliabudiwa na walihusika katika kuhukumu mema na mabaya, gods and goddesses waliokuja duniani kumtengeneza mtu (modern man) kutoka kwenye ulimwengu mwingine, ambao unasemekana ni sayari ya Nibiru (sumerian God & Goddesses -the Annunaki, 2016).

Annunaki walitawala maisha na mifumo ya imani ya watu wa kale waliojulikana kama Mesopotamia, lakini ambao kwa sasa wanajulikana kama Tigris-Euphrates river system. Je walikuwa Mungu? hili suala ambalo linazua mkanganyiko kwenye hii saga.

Zecharia Sitchin, muhandishi na mtafiti na mtafsiri maandishi ya kale na msomi kutoka chuo kikuu cha London, anasema hawakuwa Mungu, japo walichukuliwa na kuabudiwa kama Mungu. Baada ya kufanya tafiti nyingi za maandiko ya kale aliitimisha kwa kusema kwamba, hawakuwahi kuwa Mungu, bali viumbe wa ajabu wenye nguvu waliokuja duniani kutoka sayari ya mbali Nibiru inayopatikana kwwnye mfumo wa sayari, ambayo uikaribia dunia kila baada ya miaka 3,500 ikiwa kwenye muhimili wake.

Creation of Human Race
Kutokana na ushahidi uliopatikana kutoka kwenye maandiko ya kale, inasemekana zaidi ya mamia ya maelfu ya miaka iliyopita walikuja viumbe waliofanana na Annunaki kwenye sayari ya dunia- Enki na Enlil, ambao walikuwa watoto wa Annunaki, katika kipindi hicho Anu alikuwa bado anaishi hadi millennia karibu na kuzaliwa kwa Jesus Christ.

Viumbe hao walikuwa na ujuzu mkubwa katika genetic manipulation, hivyo kwa kutumia ujuzi huu walifanya majaribio mengi (proto-human) ya kumtengeneza binadamu wa sasa(modern man) kwa kutimia teknolojia ya human cloning. Kivipi?, ntaelezea mbeleni.

Hebu turudi kwanza kwenye biblia na historia ya kuumbwa kwa mwanadamu. Historia ya Biblia ya uumbaji inatueleza kwamba, mwanaume na mwanamke hawakuumbwa kwa wakati mmoja, bali mwanamke alitolewa kwenye ubavu wa mwanaume (Adam), Adam akiwa mtu wa kwanza kuumbwa hapa duniani kutokana na maandiko ya Biblia, Kwahiyo Adam ndiyo mwanadamu wa kwanza kutokana na maandiko matakatifu ya Biblia takatifu. Je mwanamke alitolewaje kwenye ubavu wa mwanaume? (hapa imani ndiyo inatuongoza tuliache kwanza lilivyo).

THE CREATION OF MAN
Ushahidi wa kwanza kabisa, uliotafsiriwa na sumerians unaonyesha ya kwamba mtu (binadamu wa sasa) alitengenezwa/kuumbwa na Nefilim. Ushahidi huu umezua mkanganyiko kuhusu theory of evolution na Judeo-Christian tenets ambayo imeegemea kwenye Biblia, lakini ukweli ni kwamba ujumbe uliopatikana kutoka Sumerian texts, ndiyo unaoweza kudhibitisha hizo nadharia mbili.

Ukisoma kutoka epic of creation ya sumerians, imeelezwa kwamba uwepo wa mtu, ulitokana na uwepo wa Nefilim zama hizo, ambapo matukio mbali mbali yalirekodiwa, ,mfano tukio la Enlil na Ninlil, tukio lililotukia kabla hata ya uumbaji wa mtu, wakati ambao kwenye Nippur waliishi gods tu, vile vile maandishi haya yanaelezea kuumbwa kwa dunia na maendeleo ya mimea na maisha ya wanyama, hii inaweza kudhibitisha theories za mabadiliko (evolution) za sasa.

Sumerians texts zinaeleza kwamba, wakati ambapo Nefilim alikuja duniani kwa mara ya kwanza, sanaa ya kupanda mbegu za mazao, matunda na ufugaji wa wanyama ulikuwa bado haujaanza duniani. Vile vile Biblia inasema hivyo, kuhusu kuumba mtu kwa siku 6. Kitabu cha Genesis kimegusia hatua za kwanza za mabadiliko (earlier evolution stage):

No plant of the cleared field was yet on the earth,

No herb that is planted had yet been grown,

And Man was not yet there to work the soil.

Lakini vile vile Sumerians texts zote zinaeleza kwamba Miungu ilimtengeneza mtu ili afanye kazi yao. Creation of epic imelithibitisha hilo (Nukuu zote nitaziambatanisha zilivyo kwenye vitabu bila kuzitafsiri ili nisipindishe maana kwa msomaji):

I will produce a lowly primitive,

Man shall be his name.

I will create a primitive worker ,

He will be charged with the service of the gods,

that they might have their ease.

Neno mtu(man) limetokana na lugha ya Sumerians na Akkadians, ambalo lilitokana na maneno lulu (primitive ), lulu amelu (primitive worker), an awilum (laborer).

Turudi kwenye biblia, baada ya Mungu kumuumba mwanadamu, akampa bustani ya Eden aitunze na kuitawala dunia na vyote vilivyomo, lakini Adam na Eve wakamkosea Mungu kwa kula tunda la mti wa ufahamu. Mungu akasema tazama, mtu amekuwa mmoja wetu, kufahamu mema na maovu. Je huyo Mungu alikuwa anamwambia nani?, na Mungu anayezungumziwa hapa katika Sumerians ni Elohim (Annunaki).

Agano la kale limeweka wazi ya kwamba mtu hakuwa Mungu wala hakutoka mbinguni. Mtu wa kwanza aliitwa Adam kwa sababu aliumbwa kwa "adama" ambayo ina maana ya udongo wa dunia (mtu akifa tunasema ametoka mavumbini, amerudi mavumbini).

Adam aliumbwa katika picha na ufanano wa Muumba (Mungu), kuumbwa kwa ufanano huo, hakuachi wasiwasi wowote ya kwamba Mtu alifanana na Mungu kimwili, kimuonekano wa nje na ndani. Je mtu angewezaje kufanana na muumba wake? Mtu alitengenezwaje? (Majibu utayapata mbeleni).

Mnamo mwaka 1859 Charles Darwin alichapisha utafiti wake kuhusu evolution "On the Origin of Species by Means of Natural Selection, or the Preservation of Favoured Races in the Struggle for Life". Darwin kutokana na utafiti wake huo, alihitimisha kwa kusema kwamba, viumbe hai wote akiwemo mwanadamu ni matokeo ya mabadiliko(evolution by natural selection). Mwanzoni kanisa lilikuja juu kwa kumpinga lakini badae kadri wanasayansi na watafiti walivyozidi kutoa machapisho yao, kanisa likakubaliana.

Lakini je tumetokana na apes, kama ni hivyo mbona wa sasa hawabadiliki. Evolution kwa ujumla inaweza kuelezea matukio yaliyosababisha mabadiliko ya maisha na aina mbali mbali za maisha zilizokuwepo duniani, kuanzia kwenye kuumbwa kwa mtu, lakini evolution haiwezi kuelezea kuhusu uwepo wa binadamu wa sasa (modern man/Homo sapiens) na haina udhibitisho wowote wa kuonyesha jinsi mabadiliko ya ghafla kutoka Homo erectus kwenda Homo sapiens yalivyotokea.

Hominid ya genus Homo ni matokea ya evolution, lakini Homo sapiens ni matokea ya tukio la mabadiliko na mapinduzi ya haraka sana. Homo sapiens(binadamu wa sasa), ilitokea miaka 300,000 iliyopita, muda ambao ni wa karibu sana.

Watafiti na wanasayansi hawana maelezo ya nini kilitokea, kupelekea mabadiliko ya ghafla hivyo na kutokea kwa binadamu wa sasa, lakini jumbe kutoka sumerians na Babylonian zimeelezea. Agano la kale pia limeelezea.

Homo sapiens-modern man-aliletwa na miungu wa kale (ancient gods).

Aliletwa kivipi? na wapi?. Endelea kufuatilia hapa hapa.

N.B. Andiko hili linaweza lisiishe karibuni kwa sababu nataka niweke kila aina ya ushahidi ili kudhibitisha ukweli huu.

View attachment 2099862
Hao anunnaki wanyama waliwaumba pia?
 
Nafuatilia nitakuja kuuliza mtoa mada akiruhusu maswali
 
Quran ni copy and paste from accient Bible,imekopa mambo mengi kutoka Tablets za Judaism and Christianity Kwahiyo hakuna utofauti wowote kote unakuta visa vile vile maana old bible verses ni kongwe kuliko Bible new Edition iliyotengenezwa pale Nicea committee Constantinople!
bas ndug mwandish tutengenezee japo mfano wa aya moja ifanane na hio copy and paste...
tupate kuona urahis wake....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom