Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Sio najifanya najua,najua kweli kweli,kwa kuwa nimetafuta ukweli wa mambo mengi,sitaki kulishwa pumba kama hizi za Artificial Intelligence.
Je wewe Unaamini katika Mungu Gani?
Maana Kuna Miungu wengi
Kama
El/Elohim/YHW/JEHOVAH/Jesus
ANU/ENK/Horus/Murduc


Allah/
Buddha/
Vishnu/Rama
Zeus nk

Kati ya hao Miungu ni nani unayedai ni muumba wa Kila kitu?
 
ningependa pia kama muandishi angetoa na kilicho kwenye qur-an na si ku base kwenye bible tu na history nyengine ili kusiwe na shaka ndan ya story hii yetu
Quran ni copy and paste from accient Bible,imekopa mambo mengi kutoka Tablets za Judaism and Christianity Kwahiyo hakuna utofauti wowote kote unakuta visa vile vile maana old bible verses ni kongwe kuliko Bible new Edition iliyotengenezwa pale Nicea committee Constantinople!
 
Hakuna Elimu uchwara hapa kamanda hiyo Elimu ipo long time before abrahamic Religion,Hizo dini unazojinasibu ni za Mungu wako waanzilishi ni hao Hao Annunak halafu Leo unakuja kunyamba nyamba hapa
Au hujui Abraham na baba yake Terra walitoka Uru ya Ukaldayo Huko Mesopotamia ambako ndio kulikua ustaarabu wa kuabudu Miungu na Mungu wa Abraham anaitwa El Moja ya Miungu Annunak?
Pumbaf kasome historia ndio uje ubishane na Mimi
Eboooo!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu huyu utapoteza mda maana hayuko kwa nia ya kujifunza amejaza mavi kichwani hataki kuyatoa
 
Unajuaje kwamba zimetengenezwa tangu huko nyuma na ziko kwenye kila jamii,wewe ulikuwepo na uko kwenye kila jamii?Kama ni uongo,and remember Satan is a lier and the father of lies!Acha umbumbu wewe.Na hata kama zipo kwenye kila jamii na zilikuwepo huko nyuma,Satan can make that happen by using his morons,kama ilivyo leo kwenye mambo mengi.

Dumas the terrible jambo kuwepo zamani na kwenye kila jamii si kigezo cha kuwa kweli.Uongo ukirudiwa mara nyingi kwa muda mrefu ina aminika kuwa kweli.Hizo Ni mbinu tu za Shetani za kupotosha.Kwa hiyo Jua likiwaka na huku mvua inanyesha Simba anazaa kweli?Acha hizo wewee!
hahahahaha hua unanifurahisha Sana Mathanzua Leo unakana hapa kwamba hizi habari ni uongo na ni muumini wa Abrahamic religion,hivi unajua huyo mwanzilishi wa Nadharia ya Mungu El/YHW/Elohim alitoka jamii Gani mpaka akaingia ubia na Abraham na uzao wake ?
Nipirove me wrong Abram hakua ni jamaa kutoka Ashur huko Uru ya Ukaldayo Mesopotamia
Jiulize kwanini jamaa aliweza Pokelewa na Pharao wa Wamisri na akapewa hifadhi huko na akajifanya Sarai mkewe ni dadaake farao akamchapia mwisho farao akapata matatizo na kumwambia kwanini kamdanganya na Kwa kumwambia ni dada yake ingali ni mke wake haoni kama anamfanya aingie dhambini
Sasa jiulize ilikuaje Farao na watu wa misri wawe wanaabidu Mungu mmoja pamoja na Abraham wakati ni jamii mbili tofauti?
Hapo pia inaonesha jinsi Farao alivyokua kua mstaarabu pamoja na wamisri kiujumla Kwa kufuata Morals and Dogma za kistaarabu sio kama tunavyoaminishwa Leo
Wamisri walikua Wapagani na waabudu shetani ilikuaje wawe wastaarabu kuliko huyo Abraham aliyekua anamwabudu El na ni mwongo?
Wake up utaujua ukweli ya kwamba misingi ya Dini zote ni Accient civilization!
 
hahahahaha hua unanifurahisha Sana Mathanzua Leo unakana hapa kwamba hizi habari ni uongo na ni muumini wa Abrahamic religion,hivi unajua huyo mwanzilishi wa Nadharia ya Mungu El/YHW/Elohim alitoka jamii Gani mpaka akaingia uhia na Abraham na uzao wake ?
Nipirove me wrong Abram hakua ni jamaa kutoka Ashur huko Uru ya Ukaldayo Mesopotamia
Jiulize kwanini jamaa aliweza Pokelewa na Pharao wa Wamisri na akapewa hifadhi huko na akajifanya Sarai mkewe ni dadaake farao akamchapia mwisho farao akapata matatizo na kumwambia kwanini kamdanganya na Kwa kumwambia ni dada yake ingali ni mke wake haoni kama anamfanya aingie dhambini
Sasa jiulize ilikuaje Farao na watu wa misri wawe wanaabidu Mungu mmoja pamoja na Abraham wakati ni jamii mbili tofauti?
Hapo pia inaonesha jinsi Farao alivyokua kua mstaarabu pamoja na wamisri kiujumla Kwa kufuata Morals and Dogma za kistaarabu sio kama tunavyoaminishwa Leo
Wamisri walikua Wapagani na waabudu shetani ilikuaje wawe wastaarabu kuliko huyo Abraham aliyekua anamwabudu El na ni mwongo?
Wake up utaujua ukweli ya kwamba misingi ya Dini zote ni Accient civilization!
kn kitu nimeongeza hapa
 
Mkuu huyu utapoteza mda maana hayuko kwa nia ya kujifunza amejaza mavi kichwani hataki kuyatoa
hahahahaah unajua Tatizo ni hizi Dini za Abrahamic kuwahadaa Hawa watu na simulizi nusu nusu,na wao walivyo majuha wanaamini kile kilichoandikwa kwenye bible ni kweli tupu na hakuna Cha kuongeza Wala kupunguza
Kumbe hawajui ni jinsi Gani wahuni wa Rome kina Constantine pale Nicea ujanja walioufanya,walichomoa vitabu vyenye Kila kitu,historia zote na mwanzo wa mwingiliano wa jamii za watu na viumbe nyota za mbali
Pia wakafichwa Siri za hii Dunia na historia yake Toka mwanzo,

Wakaja letewa Bible nyepesi yenye story za kubumba na inayoelea Elea bila ufafanuzi wowote
Maajabu yake jamaa washakua Brain washed hawaambiliki Wala hawaoni
Wao na nyumbu hawana utofauti

Hua nacheka na
Kusikitika Sana!
😁😁😁😁
 
hahahahaah unajua Tatizo ni hizi Dini za Abrahamic kuwahadaa Hawa watu na simulizi nusu nusu,na wao walivyo majuha wanaamini kile kilichoandikwa kwenye bible ni kweli tupu na hakuna Cha kuongeza Wala kupunguza
Kumbe hawajui ni jinsi Gani wahuni wa Rome kina Constantine pale Nicea ujanja walioufanya,walichomoa vitabu vyenye Kila kitu,historia zote na mwanzo wa mwingiliano wa jamii za watu na viumbe nyota za mbali
Pia wakafichwa Siri za hii Dunia na historia yake Toka mwanzo,

Wakaja letewa Bible nyepesi yenye story za kubumba na inayoelea Elea bila ufafanuzi wowote
Maajabu yake jamaa washakua Brain washed hawaambiliki Wala hawaoni
Wao na nyumbu hawana utofauti

Hua nacheka na
Kusikitika Sana!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tatizo sisi ufahamu wetu tumeufunga ukitaka kujua zaidi tofauti na yaliyo andikwa kwenye Biblia ama Qouran unaambiwa unakufuru yaan tumelimit thinking capacity yetu sasa ndo tatizo letu .Mm bwana napenda sana kusoma mambo haya maana yanafungua akili sana na km ni mpenda kudadisi na kusoma unapata kitu kikubwa kwenye mada km hizi.
 
kn kitu nimeongeza hapa
shukrani Mkuu
mtu chake pia unaweza kuongeza hii kwanini kabla ya Abraham Mungu hakujulikana Kwa majina?
Ukisoma Ile mwanzo Abraham yupo pale Kaanan ndio akatokewa
Na El/YHW/Elohim/Jehovah
Anamwambia
Nanukuu
"Mimi ni Mungu wa Baba zako"

Hiyo kauli inathibitisha kumbe Mungu wa mababu zake wa Abraham wa kule Uru ya Ukaldayo Mesopotamia ya kale ambao kimsingi ndio hao ANNUNAKI/El/ANU/Murduc/Enki

Ndio wale wale wamemrudia na yeye kumpa agano Tena litakalodumu milele pia hiyo Hali ilijirudia Kwa mwanae Jackob nae wanadai alikutana na huyo Mungu Tena ana Kwa ana na wakashindana mieleka usiku kucha 😂
Sasa Ndugu zangu muunge dot wenyewe ilikuaje jamaa akutane na Mungu na apigane nae mbona kama hiyo character inatupa uhalali wa kithibitisha kumbe huyo Mungu ana character ya viumbe watu kabisa?
Nje ya box!
 
hahahahaha hua unanifurahisha Sana Mathanzua Leo unakana hapa kwamba hizi habari ni uongo na ni muumini wa Abrahamic religion,hivi unajua huyo mwanzilishi wa Nadharia ya Mungu El/YHW/Elohim alitoka jamii Gani mpaka akaingia ubia na Abraham na uzao wake ?
Nipirove me wrong Abram hakua ni jamaa kutoka Ashur huko Uru ya Ukaldayo Mesopotamia
Jiulize kwanini jamaa aliweza Pokelewa na Pharao wa Wamisri na akapewa hifadhi huko na akajifanya Sarai mkewe ni dadaake farao akamchapia mwisho farao akapata matatizo na kumwambia kwanini kamdanganya na Kwa kumwambia ni dada yake ingali ni mke wake haoni kama anamfanya aingie dhambini
Sasa jiulize ilikuaje Farao na watu wa misri wawe wanaabidu Mungu mmoja pamoja na Abraham wakati ni jamii mbili tofauti?
Hapo pia inaonesha jinsi Farao alivyokua kua mstaarabu pamoja na wamisri kiujumla Kwa kufuata Morals and Dogma za kistaarabu sio kama tunavyoaminishwa Leo
Wamisri walikua Wapagani na waabudu shetani ilikuaje wawe wastaarabu kuliko huyo Abraham aliyekua anamwabudu El na ni mwongo?
Wake up utaujua ukweli ya kwamba misingi ya Dini zote ni Accient civilization!
Hata Wasabato wanadai wanamuamini Yesu but is a Cult na zipo sababu,tena biblical!Kwa upande wa alicho present Artificial Intelligence,facts zina onyesha kwamba alicho present ni heresy,na nimeonyesha why.
 
Dumas the terrible asante kwa kunikaribisha kujifunza alicho present Artificial Intelligence.Hata hivyo mbona sina cha kujifunza hapo,because most of it is heresy.Why is it heresy:
1.Artificial Intelligence states that Annunaki Ni viumbe.Sasa the God who created me si kiumbe,ni Alpha na Omega;He has been,and He will be,He was not created,but He is the creator!So you see how mighty he is.How can you compare Him to a created being.
2.Mungu wangu ni Mungu mmoja,huwezi kum-categorize into god's and goddesses!
3.Artificial Intelligence claims that watoto wa Annunaki ni Enki na Enlil!Mungu wangu hazai,He created,so obviously Annunaki did not create me kwa kuwa Mungu wangu ambaye aliniumba hazai!

Hivi ni vichache tu ambavyo nimeviona.Sikuwa na haja ya kuendelea kusoma kwa kuwa as I have already said most of it is heresy
Labda nikuulize swali kila kitu lazima kiwe na chanzo....je umeshawahi kujiuliza nini chanzo cha MUNGU wako....na je alitokea wapi na je ilikuwaje mpaka akawepo.......nothing is from no where mkali......??????
 
Labda nikuulize swali kila kitu lazima kiwe na chanzo....je umeshawahi kujiuliza nini chanzo cha MUNGU wako....na je alitokea wapi na je ilikuwaje mpaka akawepo.......nothing is from no where mkali......??????
Swali gumu Sana hilo kwake, Mtu anaweza kusema me sijaumbwa nimetokea tu from no where, labda nimetokana na mabadiriko ya hali ya hewa au labda nimetokea kwenye evolution of Man au nimeumbwa na Aliens ila watapinga Sana na kuleta hoja ya uumbaji wa Mungu ila ukiwauliza kuhusu kuthibitisha uwepo wa Mungu ndio ugumu unapoanzia

watakwambia we unadhani Dunia imetokea wapi? Unadhani binadamu ametokea wapi? Pumzi imetokea wapi? Sayari zinaelea vipi huko juu? Wanamaliza na kusema hakuna kitu kisichokuwa na mwanzo wake/mtengenezaji wake so Kila kilichopo Duniani kiliumbwa

Sasa we waulize swali kama lako, kama unajua kuwa hakuna kitu kinatokea tu from no where, je Una uhakika gani Mungu ye alitokea tu from no where? Inakuaje ye hakuumbwa Wala kuzaliwa? Muonekano wake au umbo lake lilitokana na reference Gani? Maana ye katuumba Kwa mfano wake Sasa ye alitokana na mfano wa nani?

Utaishia kupata majibu mepesi kwenye maswali magumu Mkuu
 
Swali gumu Sana hilo kwake, Mtu anaweza kusema me sijaumbwa nimetokea tu from no where, labda nimetokana na mabadiriko ya hali ya hewa au labda nimetokea kwenye evolution of Man au nimeumbwa na Aliens ila watapinga Sana na kuleta hoja ya uumbaji wa Mungu ila ukiwauliza kuhusu kuthibitisha uwepo wa Mungu ndio ugumu unapoanzia

watakwambia we unadhani Dunia imetokea wapi? Unadhani binadamu ametokea wapi? Pumzi imetokea wapi? Sayari zinaelea vipi huko juu? Wanamaliza na kusema hakuna kitu kisichokuwa na mwanzo wake/mtengenezaji wake so Kila kilichopo Duniani kiliumbwa

Sasa we waulize swali kama lako, kama unajua kuwa hakuna kitu kinatokea tu from no where, je Una uhakika gani Mungu ye alitokea tu from no where? Inakuaje ye hakuumbwa Wala kuzaliwa? Muonekano wake au umbo lake lilitokana na reference Gani? Maana ye katuumba Kwa mfano wake Sasa ye alitokana na mfano wa nani?

Utaishia kupata majibu mepesi kwenye maswali magumu Mkuu
Yes boss kwa staili hiyo bhasi asiwe anabisha vitu asivyovijua...na akiwa anapinga kitu awe na elimu ya kutosha na fact ya kueleweka
 
Swali gumu Sana hilo kwake, Mtu anaweza kusema me sijaumbwa nimetokea tu from no where, labda nimetokana na mabadiriko ya hali ya hewa au labda nimetokea kwenye evolution of Man au nimeumbwa na Aliens ila watapinga Sana na kuleta hoja ya uumbaji wa Mungu ila ukiwauliza kuhusu kuthibitisha uwepo wa Mungu ndio ugumu unapoanzia

watakwambia we unadhani Dunia imetokea wapi? Unadhani binadamu ametokea wapi? Pumzi imetokea wapi? Sayari zinaelea vipi huko juu? Wanamaliza na kusema hakuna kitu kisichokuwa na mwanzo wake/mtengenezaji wake so Kila kilichopo Duniani kiliumbwa

Sasa we waulize swali kama lako, kama unajua kuwa hakuna kitu kinatokea tu from no where, je Una uhakika gani Mungu ye alitokea tu from no where? Inakuaje ye hakuumbwa Wala kuzaliwa? Muonekano wake au umbo lake lilitokana na reference Gani? Maana ye katuumba Kwa mfano wake Sasa ye alitokana na mfano wa nani?

Utaishia kupata majibu mepesi kwenye maswali magumu Mkuu
hahahahah hua wanaishia kusema oooh Mungu Hana mwanzo Wala mwisho ni Alfa na Omega
Hapo hapo ukiwaambia Mimi simuamini Huyo Mungu na huu ulimwengu Hauna mwanzo Wala mwisho na haukuumbwa na kiumbe yeyote wanabisha wanakuambia lazima uwe na muumbaji,
Ukirudi kuwauliza Tena je aliyemuumba muumbaji ni nani?

Jibu: hajaumbwa Hana mwanzo Wala mwisho full contradiction!
😁😁😁
 
Yote kwa yote haya bado yanaacha maswali kuliko kutoa majibu.

1. Hao Anunaki waliofanya civilization walipotelea wapi, mbona hatuwaoni?

2. Anunaki wao chanzo chao ni nini?

3. Kwa nini unapinga kilichoandikwa na bible kuhusu asili ya mwanadamu, lakini kuna baadhi ya sehemu unaiquote biblia hiyohiyo kuhalalisha hoja zako?
 
Yes boss kwa staili hiyo bhasi asiwe anabisha vitu asivyovijua...na akiwa anapinga kitu awe na elimu ya kutosha na fact ya kueleweka
Hawezi kuacha kubisha maana hataki kubadirika, Mtu ambae yupo teyari kubadirika huwa yuko teyari kupokea taarifa Mpya na kuzifanyia kazi maana ndio tofauti ya binadamu na wanyama walionyimwa akili

Ukifatilia Kwa umakini historia zingine za zamani pamoja na hii aliyoleta mleta mada utagundua kuwa hizi Imani za zamani zilikuepo miaka mingi sana na hazina utofauti na hizi Imani mpya kama ukristo na uislamu

Na Jambo kubwa kabisa la kujifunza ni kwamba viumbe tupo katika matabaka ya ranking/levels Yani kuna sie wa chini na Kuna ambao wapo juu yetu waliotuzidi Kila kitu, na kuna kundi lingine tena ambalo lipo juu ya hao walio juu yetu na tena na tena, mwisho wa siku lazima Kuna kundi lingine ambalo ndio yupo nalo Mungu tunaemdhania sie na Kuna level pia kwake ni kubwa, mawazo yangu tu lakini
 
Hata Wasabato wanadai wanamuamini Yesu but is a Cult na zipo sababu,tena biblical!Kwa upande wa alicho present Artificial Intelligence,facts zina onyesha kwamba alicho present ni heresy,na nimeonyesha why.
Kila kitu ni heresy hata vita vyako na wasabato umevisikia tu ukavikariri ukaviendeleza
 
Yote kwa yote haya bado yanaacha maswali kuliko kutoa majibu.

1. Hao Anunaki waliofanya civilization walipotelea wapi, mbona hatuwaoni?

2. Anunaki wao chanzo chao ni nini?

3. Kwa nini unapinga kilichoandikwa na bible kuhusu asili ya mwanadamu, lakini kuna baadhi ya sehemu unaiquote biblia hiyohiyo kuhalalisha hoja zako?

1. Kwa nilivoelewa mie, Walikuja Duniani kutokea sayari ingine kwa project maalumu na kabla ya kuisha Kwa project Yao walianza kupingana wao Kwa wao na mwisho wa siku wakarudi makwao ila Haina maana kwamba project yao haiendelei maana inasadikika Alien's Kuna mataifa wanashirikiana nayo katika kutekeleza mahitaji yao bila wao kuja tena Duniani

2.unauliza chanzo chao Kwa kuleta dhana tuliyoizoea kwamba hakuna kitu kisichokuwa na chanzo, je Kwa nadharia hiyo umewahi kujiuliza chanzo cha Mungu? Na kama uliwahi kuuliza ulipata majibu Gani ushee nasi na kama hujawahi kujiuliza Kwanini?

3.mzee unasomaje? jamaa hakuna sehemu amepinga kuhusu uumbaji kutoka kwenye biblia bali ameitumia bible kama reference na kama umemuelewa ni kwamba bible inafanana na haya maandiko na history aliyoleta Kwa kila kitu hadi matukio ispokuwa ni majina ya wahusika tu ndio tofauti

So kwa Akili ya kawaida tu utagundua kuwa bible imeandikwa Kwa kuzingatia hizi story na zingine maana hizi history zime exist Kwa Malaki ya miaka nyuma ila maandiko ya bible ndio kwanza yana miaka 6000 tu
 
Back
Top Bottom