Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Kitu ambacho kimeshangaza wanasayansi wengi ni ile elimu ya kabila la dogoni "THE DOGON TRIBE" kule nchini Mali. Ambapo wao husema kwamba asili yao ni Misri ya kale (Ancient Egypt), na wanasema walihama na kuja Mali. Walihama pia na ujuzi wao wa siri kutoka Misri ya kale. Miaka 70 iliyopita wanasayansi wa mambo ya anga walikutana na chifu wa kabila la Dogoni na kwasababu walimuamini walimpa baadhi ya siri za kabila lao.

Kilichoshangaza sana ni kwamba hawa jamaa walikuwa na michoro ya mfumo wa jua (The Solar System) na sayari zake zote ambao una miaka zaidi ya 2000. Kilichoshangaza zaidi ni kwamba walikuwa na michoro mingine ambayo ilionesha mkusanyiko wa sayari nyingine ambazo ziko nje ya mfumo wetu wa jua. Sayari hizo zinaitwa Sirius, na wakaonesha jinsi zilivyojipanga. Baadhi ya wanasayansi wa NASA walihisi ni uongo labda, lakini miaka 70 mbele wakakuta ile michoro iko sahihi na sayari kweli zimejipanga vilevile.

Ambacho wadogoni wanaamini ni kwamba ule utaalamu walifundishwa na miungu wao maelfu ya miaka iliyopita kule Misri ya kale. Pia Mfumo wa sayari wa Sirius ndiko ambako miungu wao wanaishi. Hili lipo Officially Documented na unaweza kulitafuta mtandaoni na kulipata........

Sasa unachokisema kuhusu imani za Kisumeria na miungu kutokea angani kipo karibia kwenye tamaduni nyingi za kale ambazo hazijawahi kuwa na muingiliano wowote ule. Ukiangalia michoro ya Misri ya Kale, Michoro ya Babeli, Michoro ya Umedi na Uajemi utatambua kuna mambo mengi sana yamefanana. Kuna sehemu utaona binadamu wadogo wakiabudu binadamu wakubwa na warefu kuliko wao waliotokea juu. Au utakuta binadamu ana uso wa mnyama na mabawa.

Meso-America nako ni hivyohivyo: The Aztecs, The Mayans, The Anasazi na wengine wana ushahidi wa kihistoria wa kutembelewa na miungu wao kutokea angani, ambao waliwapa maarifa na ujuzi wa baadhi ya vitu. Ukija kwenye tamaduni za Kiyahudi kwenye kitabu cha Henoko (The Book of Enoch) na Kitabu cha Jasher (The Book of Jasher) unaambiwa kwamba baada ya anguko la Adamu na Hawa, malaika 200 (The Watchers) wakiongozwa na Semyaza walishuka duniani na kuzaa na wanawake binadamu.

Wakazaa nao na kutoa wanefili, halafu wakaanza kuwafundisha elimu za kila aina kama kusoma nyota, miti-shamba, uchoraji, uhunzi, na kutengeneza dhana za kivita. Wasomi wa masomo ya kibiblia wanaenda mbali zaidi na kuzungumzia mambo ya ajabu yaliyofanyika kwenye kitabu uzao wa Kaini kwenye kitabu cha MWANZO 4, ambapo vitukuu vya Kaini yaani Yabali, Yubali na Tubal-Kaini ndiyo waliofanya ugunduzi wa mambo makubwa duniani.

Yabali aligundua mbinu za kilimo, Yubali akagundua muziki na vyombo vyake na Tubal-Kaini akagundua kufua chuma. Sasa ni sawa na kusema leo hii nyumba moja itoe watoto kama Tesla, Einstein na Mozart, jambo linaloshangaza kidogo. Yaani watoto wa Lameki ambaye ni mjukuu wa Kaini ndiyo wagundue kila teknolojia muhimu duniani kwa wakati huo ??? Kuna mambo yanashangaza kidogo.

Mwisho kabisa: Lakini pia vita ya Annunaki, baina ya miungu Enki na Enlil kugombaniana utawala wa dunia hii na nani awe nani. Wanasayansi walichimba mafuvu ya kale eneo la Babeli na kutambua yana mionzi (Radio-Active Carbon Isotope). Najiuliza sana teknolojia ya kinyuklia ambayo sisi tunajivuania kugundulika mnamo karne ya ishirini, iliwezaje kufanana na mionzi ambayo imekutwa kwenye mafuvu ya watu wa Mesapotamia ya kale. Kuna mambo yanafikirisha ati ??? Hili nalo ushahidi wake unaweza kuupata kule Britannica....

Historia na vitabu vitakatifu vya dini kama AGANO LA KALE linakiri uwepo wa hawa miungu wengine huko Babeli, Uajemi na Misri. Biblia inasema kwamba YHW (YAHWEH) alisema kabisa anawachukia sana hawa miungu wengine. Lilikuwa ni kosa la kuuwawa endapo Muhebrania ukikamatwa unafanya ibada za Babeli (Assyrians/Sumerians) au zile za kimisri za kuabudu hawa (Annunaki a.k.a The Ancient Astronauts).

YAHWEH mwenyenye anakiri kwamba hawa viumbe uliowataja "The Annunaki" kuwepo, na amewaita kwa majina mengi kama "malkia wa mbinguni" au "Jeshi la mbinguni" au "mkuu wa uajemi" au "miungu ya misri" lakini kwanini awachukie sana na kukataa kabisa wahebrania kushirikiana nao ???

Ikumbukwe Babeli ya Nimrodi baada ya gharika ya Nuhu walikuwa wanawaabudu "Annunaki" , hii ni moja ya sababu ya YAHWEH kuwatawanya kwa nguvu. Pale sisi tunasema kwamba lugha zilivurugwa lakini kuna mambo mazito yalitokea hadi watu wakaacha kujenga mji na mnara na kukimbia. Hebu tusaidiane wadau...
 
Inashangaza watu wa kizaz cha leo kujidanganya kuwa eti wamestaharabika na wapo ktk nyakati zenye maendeleo na technologies kubwa kulko nyakati zlzopita[emoji23].

Ukweli ni kwamba, maisha ya sasa na maendeleo ya sas ni kivuli cha maisha yaliyopita, yaan namaanisha maisha ya vizaz vya watu wa kale ndio yamepelekea hivi leo tunatumia theories & concepts zao zote ktk maisha.

Waafrika waishio Afrika Wengi hawajui hii history sabbu ya changamoto za kikoloni zilizopelekea wao kusoma aina moja ya elimu za uongo ambazo zimo ktk dini za uislam na ukristo, bila kusahau zile elimu uchwara za mashuleni, hizo zote zmepelekea waafrika kuwa brainwashed kwa kutojua upi ukwel.

Ni kwel hayo mtoa mada aliyoyaandika japo naye kuna mambo kachapia, eeh kachapia maana hata hizo tablets za ancients Sumerians zmeshapita ktk mikono ya wahuni wa sasa na kupelekea kuchakachua baazi ya maandiko na kuacha public yale waliyoona hayana madhara kwa jamii ikijua.

Ukweli ni kwamba, KtK ulimwengu wa Viumbe wasio wa kibinadamu(mbingu), kuliibuka mgogoro, ambao ulipelekea kiongoz wa mgogoro huo kufukuzwa ktk himaya ya viumbe hao wa kiroho.

Kufukuzwa kwa kiumbe huyu, kulimpa hasira na kumfanya aunde mbinu za kupambana na MKUU wa Uumbaji wa Roho zote na Limwengu&malimwengu yote,ambapo wana dini wanamuita huyu MUNGU.

Sasa baada ya Huyo Mungu kumuumba mtu kutoka ktk udongo mweusi na kupelekea kuibuka kwa kiumbe mtu mweus ambaye ndye huyo dini za uongo zinamuonesha kama mzungu na kumuita Adamu.

Kiukwel huyo mtu alikuwa mweus kwakuwa katoka ktk tope jeusi.

Baada ya yule msaliti aliyefukuzwa ktk ulimwengu wa Kiroho(mbingu) kufahamu kuwa kuna kiumbe kaumbwa dunian na kuna viumbe wengine wengi wameumbwa, akaamua kuchukua majeshi yake na kuja dunian kumuhadaa huyu mtu,

japo alifanikiwa kumdanganya kwa mambo mengi lkn ajenda yake haikufanikiwa, mpka pale idadi ya watu weusi dunian kuongezeka na kutapakaa kila sehemu, ndipo kiumbe huyo(shetan) alirudi upya na majeshi yake ya Viumbe wa kiroho(malaika) wakajibadili maumbo yao na mionekano yao ili wafanane na watu weusi, na ndipo waliibuka ktk maeneo mbalimbali na kujichukulia mabinti na kuzaa nao.

Hawakuishia kuzaa na binti wa watu, bali mpka kwa wanyama, na samaki.

Matokeo yake liliibuka Zao la machotara tokea kila aina ya mimea,wanyama na watu walio shiriki Ngono na hao viumbe,

machotara hao kwa upande wa kiutu ndio hayo majitu makubwa na uzao wa binadamu ukatokea, ujue kutofautisha kati ya binadamu na mtu ni vitu viwil tofauti.

Uzao wa binadamu inamaanisha watoto machotara waliozaliwa kwa muingiliano wa binti wa watu na viumbe wa kiroho kutoka ktk ulimwengu tofauti, na matokeo yake ni haya matoto kukosa Asilimia za utu katika miili yao na kupelekea ngoz zao kuwa nyeupe sabbu ya DNA zao za muingiliano wa viumbe wa aina tofauti.

Hata ktk wanyama yaliibuka maviumbe ya ajabu na makubwa mifano ni mingi sana, kama wale dainaso mnaowaona ktk tv, samaki watu, farasi watu, nyoka watu, masokwe&nyani, na jamii zote za mahomo sapiens,.

Lengo la huyu msaliti(shetani) kuleta Viumbe Chotara , ilikuwa ni kuuwa asili iliyoumbwa na Mungu kwa kuleta ushindani na kufuta asili yote kwa kuweka viumbe fake,na ufake huu unaendelea mpka leo kwa dada zetu kufake mionekano yao ili wafanane na hayo machotara/manefili ya kizungu,kiarabu,kihindi,china na weupe wote.

Baada ya kuibuka kwa hao viumbe, dunia ilichafuka kwa maovu mengi yaliyopelekea umwagikaj damu wa wanyama wasio na hatia pia watu Og kuonewa na hao wanadamu ambao walikuwa na nguvu za kiroho walizorithi kutoka kwa baba zao yaan wale fallen Aliens/angels, pia walikuwa na nguvu za kimwil sabbu ya mionekano yao, hii ilipelea uonevu mkubwa sana kwa jamii za watu weus ambao miili yao ilikuwa normal kulngana na uumbaji wao OG.

Falme nyingi za machotara ziliibuka ambazo zilideal na machukizo mengi sana mfano kufundisha watu sanaa ya vita,ulaji wa nyama za wanyama, ibada za kishetan,kuabudu sanamu, Ngono za jinsia moja, mauwaji makubwa na fujo nyingi.

Vilio vya watu Original (black people) ndvyo vilipelekea Muumba wao kuwasikia na kuamua kukifuta kizaz cha hayo machotara kupitia gharika.

Gharika ilo ndilo hata ktk dini zenu za uongo zinamtaja huyo nuhu, japo kiuhalisia nuhu wa biblia hajawai kuwepo maana ni jina la uongo lilitungwa kwa kuiba history ya mtu mweusi na kuleta hayo machukizo ya kusadikika.

Mujue kuwa ile gharika iliua hawa viumbe kimwili tu na sio kiroho,

roho zao ziliendelea kuexist mpka hiv leo, na ndizo hizo roho zinazosumbua watu, ndizo muitazo majini,mapepo,vibwengo, mizimu, hii yote ni jamii ya viumbe machotara waliokufa ktk gharika na roho zao kuendelea kuishi kiroho,lkn wakitaka kuja kimwil inawalazimu wakopi mionekano ya viumbe wa kimwil ili waonekane.

Ktk gharika ni wengi waliopona tofauti na dini zenu znavyosema walpona watu7 pekee, si kweli, watu 7 waliotajwa ni weusi tu, na baazi ya binadamu wa rangi nyeupe walioukana uovu na kuungana na mtu mweusi ndipo wokovu uo umepelekea tunaona mpka leo dunia imejazwa na watu wa kila race na rangi zao, or otherwise dunia ilitakiwa iwe imejaa watu weusi tuu, maana ndio viumbe halali kuishi dunian,

Hata huko baharini,ziwani na mitoni kuna viumbe waliofukuzwa na kufa kimwil lkn roho zao zipo hai na ndizo hizo zmeunda falme zake ambazo utakuta ktk bahar kuna majini na mashetan ambayo haya yoote mionekano yao ni binadamu weupe,

Ujuwe kuwa by Originally hakuna mzimu, pepo wala jini mweusi, bali hucopy muonekano wa mtu mweus ili kuharibu Nature, ila rangi zao halali za laana ni nyeupe Full stop.

Elimu hii ipo Deep sana siwezi eleza kila kitu hapa nitawachanganya Wajinga na wavivu wa kuelewa mambo.

Tuna mengi ya kujifunza.
1642941221459.jpg
 
Binadamu weupe DNA zao ni sawa na nyani maana ndiko asili yao ilitokea huko, na walijarbu kuforce hata ktk history kuwa binadamu wa kwanza alikuwa nyani, ni kweli alikuwa nyani,lkn nyani hao hawahusiani na uzao wa mtu mweusi kwakuwa mtu mweusi ndye Original copy ya viumbe wote fake ambao ni hao wanefili(white people) na nduguzo waliokufa ktk gharika ambao roho zao still znaishi na hao ni majini,mapepo,vibwengo, mizimu.

History hii ipo, ni ninyi tu kuamua kufungua akili zenu
1643184985943.jpg
 
Mtu mweusi ana DNA Original yenye mfanano na mazingira halisi yamzngukayo, ndyomaana si rahisi kudhurika na joto la juwa, barid, pia ana afya stahimilivu tofaut na hao machotara weupe ambao mpka wabusti miili yao kwa madawa.

Mtu mweusi anayo Command ya kuamilisha mzingira yamtii, hata wanyama wanamtambua, lkn tulisha poteza uweza wetu baada ya kukumbatia imani ngeni za dini ambazo ni chukizo kwa Muumba, dini hizo ndzo znamfanya mtu mweus kuwa kipofu wa akili ya Roho,Nafsi na mwili, ndiomaana tunaendelea kutawalika kwakuwa hatufikilii sawasawa
1643673064955.jpg
 
Mtu mweusi ana DNA Original yenye mfanano na mazingira halisi yamzngukayo, ndyomaana si rahisi kudhurika na joto la juwa, barid, pia ana afya stahimilivu tofaut na hao machotara weupe ambao mpka wabusti miili yao kwa madawa.

Mtu mweusi anayo Command ya kuamilisha mzingira yamtii, hata wanyama wanamtambua, lkn tulisha poteza uweza wetu baada ya kukumbatia imani ngeni za dini ambazo ni chukizo kwa Muumba, dini hizo ndzo znamfanya mtu mweus kuwa kipofu wa akili ya Roho,Nafsi na mwili, ndiomaana tunaendelea kutawalika kwakuwa hatufikilii sawasawaView attachment 2103472
nakupata vzr
 
Kitu ambacho kimeshangaza wanasayansi wengi ni ile elimu ya kabila la dogoni "THE DOGON TRIBE" kule nchini Mali. Ambapo wao husema kwamba asili yao ni Misri ya kale (Ancient Egypt), na wanasema walihama na kuja Mali. Walihama pia na ujuzi wao wa siri kutoka Misri ya kale. Miaka 70 iliyopita wanasayansi wa mambo ya anga walikutana na chifu wa kabila la Dogoni na kwasababu walimuamini walimpa baadhi ya siri za kabila lao.

Kilichoshangaza sana ni kwamba hawa jamaa walikuwa na michoro ya mfumo wa jua (The Solar System) na sayari zake zote ambao una miaka zaidi ya 2000. Kilichoshangaza zaidi ni kwamba walikuwa na michoro mingine ambayo ilionesha mkusanyiko wa sayari nyingine ambazo ziko nje ya mfumo wetu wa jua. Sayari hizo zinaitwa Sirius, na wakaonesha jinsi zilivyojipanga. Baadhi ya wanasayansi wa NASA walihisi ni uongo labda, lakini miaka 70 mbele wakakuta ile michoro iko sahihi na sayari kweli zimejipanga vilevile.

Ambacho wadogoni wanaamini ni kwamba ule utaalamu walifundishwa na miungu wao maelfu ya miaka iliyopita kule Misri ya kale. Pia Mfumo wa sayari wa Sirius ndiko ambako miungu wao wanaishi. Hili lipo Officially Documented na unaweza kulitafuta mtandaoni na kulipata........

Sasa unachokisema kuhusu imani za Kisumeria na miungu kutokea angani kipo karibia kwenye tamaduni nyingi za kale ambazo hazijawahi kuwa na muingiliano wowote ule. Ukiangalia michoro ya Misri ya Kale, Michoro ya Babeli, Michoro ya Umedi na Uajemi utatambua kuna mambo mengi sana yamefanana. Kuna sehemu utaona binadamu wadogo wakiabudu binadamu wakubwa na warefu kuliko wao waliotokea juu. Au utakuta binadamu ana uso wa mnyama na mabawa.

Meso-America nako ni hivyohivyo: The Aztecs, The Mayans, The Anasazi na wengine wana ushahidi wa kihistoria wa kutembelewa na miungu wao kutokea angani, ambao waliwapa maarifa na ujuzi wa baadhi ya vitu. Ukija kwenye tamaduni za Kiyahudi kwenye kitabu cha Henoko (The Book of Enoch) na Kitabu cha Jasher (The Book of Jasher) unaambiwa kwamba baada ya anguko la Adamu na Hawa, malaika 200 (The Watchers) wakiongozwa na Semyaza walishuka duniani na kuzaa na wanawake binadamu.

Wakazaa nao na kutoa wanefili, halafu wakaanza kuwafundisha elimu za kila aina kama kusoma nyota, miti-shamba, uchoraji, uhunzi, na kutengeneza dhana za kivita. Wasomi wa masomo ya kibiblia wanaenda mbali zaidi na kuzungumzia mambo ya ajabu yaliyofanyika kwenye kitabu uzao wa Kaini kwenye kitabu cha MWANZO 4, ambapo vitukuu vya Kaini yaani Yabali, Yubali na Tubal-Kaini ndiyo waliofanya ugunduzi wa mambo makubwa duniani.

Yabali aligundua mbinu za kilimo, Yubali akagundua muziki na vyombo vyake na Tubal-Kaini akagundua kufua chuma. Sasa ni sawa na kusema leo hii nyumba moja itoe watoto kama Tesla, Einstein na Mozart, jambo linaloshangaza kidogo. Yaani watoto wa Lameki ambaye ni mjukuu wa Kaini ndiyo wagundue kila teknolojia muhimu duniani kwa wakati huo ??? Kuna mambo yanashangaza kidogo.

Mwisho kabisa: Lakini pia vita ya Annunaki, baina ya miungu Enki na Enlil kugombaniana utawala wa dunia hii na nani awe nani. Wanasayansi walichimba mafuvu ya kale eneo la Babeli na kutambua yana mionzi (Radio-Active Carbon Isotope). Najiuliza sana teknolojia ya kinyuklia ambayo sisi tunajivuania kugundulika mnamo karne ya ishirini, iliwezaje kufanana na mionzi ambayo imekutwa kwenye mafuvu ya watu wa Mesapotamia ya kale. Kuna mambo yanafikirisha ati ??? Hili nalo ushahidi wake unaweza kuupata kule Britannica....

Historia na vitabu vitakatifu vya dini kama AGANO LA KALE linakiri uwepo wa hawa miungu wengine huko Babeli, Uajemi na Misri. Biblia inasema kwamba YHW (YAHWEH) alisema kabisa anawachukia sana hawa miungu wengine. Lilikuwa ni kosa la kuuwawa endapo Muhebrania ukikamatwa unafanya ibada za Babeli (Assyrians/Sumerians) au zile za kimisri za kuabudu hawa (Annunaki a.k.a The Ancient Astronauts).

YAHWEH mwenyenye anakiri kwamba hawa viumbe uliowataja "The Annunaki" kuwepo, na amewaita kwa majina mengi kama "malkia wa mbinguni" au "Jeshi la mbinguni" au "mkuu wa uajemi" au "miungu ya misri" lakini kwanini awachukie sana na kukataa kabisa wahebrania kushirikiana nao ???

Ikumbukwe Babeli ya Nimrodi baada ya gharika ya Nuhu walikuwa wanawaabudu "Annunaki" , hii ni moja ya sababu ya YAHWEH kuwatawanya kwa nguvu. Pale sisi tunasema kwamba lugha zilivurugwa lakini kuna mambo mazito yalitokea hadi watu wakaacha kujenga mji na mnara na kukimbia. Hebu tusaidiane wadau...
Walikuwa wanelekea teknilojia inayoenda kufungua milango ya mbinguni mungu akaona bora awavuruge wasije vamia makazi yake.

Ndivyo ninavyo waza
 
Walikuwa wanelekea teknilojia inayoenda kufungua milango ya mbinguni mungu akaona bora awavuruge wasije vamia makazi yake.

Ndivyo ninavyo waza
Kwenye kitabu cha The Babylon Code, Paul McGuire amekuja na nadharia yake kwamba walitaka kutengeneza The Star-Gate ambayo itawafanya waweze kuingia kwenye ulimwengu wa roho endapo YAHWEH ataleta gharika nyingine. Lakini pia ilikuwa ni njia ya kuwarudisha wale miungu wao kwenye huu ulimwengu wa mwili baada ya kuondolewa na gharika. It's an interesting book....
 
SEHEMU YA NNE

Kiumbe aliyetengenezwa ambaye kwenye vitabu vya mesopotamia anaitwa model man alikuwa ndiye uumbaji sahihi uliokusudiwa na Miungu. Kitendo hicho kilitoa mwanga kuhusu uumbwaji wa mwanadamu na kilileta mkanganyiko kuhusu habari zinazo patikana kwenye biblia.

Kutoka sehemu ya kwanza ya kitabu cha Genesis:

"Elohim created tha Adam in his image,

in the image of Elohim created He him.

Male and Female created He them".

Vile vile kwenye sehemu ya tano ya kitabu cha Genealogies cha Adam, ambayo inaeleza:

"On the day that Elohim created Adam, in the likeness of Elohim did He make him.

Male and female created He them,

and He blessed them, and called them "Adam" on the every day of their creation".

Katika nadharia hii, tunaambiwa miungu ilimuumba Adam kwa ufanano wake na vile vile mwanaume na mwanamke wote waliumbwa kwa wakati mmoja. Mkanganyiko huu unajitokeza hadi kwenye kitabu cha Genesis tunaposoma ya kwamba mwanamke aliumbwa kutoka kwenye ubavu wa mwanaume.

Mkanganyiko huu ambao umekuwa ukiwasumbua wasomi na theologians wengi ulimalizwa pale ilipogundulika ya kwamba maandiko yote ya kwenye vitabu vitakatifu(bibles) chanzo chake kikuu ni Sumerian. Chanzo kinaeleza kwamba baada ya majaribio mengi ya kumtengeneza mtu kwa kutumia apemens na wanyama, waligundua mchanganyiko ambao ungefanya kazi vizuri ni wa kutumia apemens na miungu(Nefilim) wenyewe. Baada ya majaribio mengi hatimaye model Adam/Adapa aliweza kutengenezwa.

Adapa baada ya kutengenezwa alitumika kama genetic model kwa ajili ya kutengeneza duplicates na hao duplicates haikuwa mwanaume pekee bali na mwanamke. Kama tulivyoona kwenye biblia neno ubavuni alipotolewa mwanamke lina maana ya "TI"(rib and life), hii inathibitisha kwamba Eve alitokana na kiini cha maisha ya Adam.

MAN'S MASS CREATION
Je ilikuwaje akaanza mtu mmoja tu, ila kwa sasa unazungumzia mabilioni ya watu duniani, ambao sote ni uzao wa Adam.

Vitabu kutoka mesopotamian vimethibitisha, imeelezwa kwamba Enki, mother goddess pamoja na miunge wa kike wengine 14 walihusika katika Adam duplicates. Walitumia kiini cha Miungu, purifying bath pamoja na udongo safi, baada ya kuandaa na kuchanganya miungu wa kike kumi na 14 wote walifanyiwa upasuaji na kuwekewa mchanganyiko huo, wakashika mimba karibia miezi kumi na kujifungua.

"Ninti nipped off fourteen pieces of clay.

Seven she deposited on the right.

Seven she deposited on the left.

Between them she placed the mould.

The hair she, the cutter of the umbilical cord"

Haikuishi hapo tu, imeelezea pia kuanzia upasuaji na hatua nzima za ukuaji hadi mpaka kujifungua kwa hao miungu wa kike.

The birth goddesses were kept together.

Ninti sat counting the months

The fateful 10th month was approaching

The 10th month arrived

The period of opening the woumb had elapsed.

Her face radiated understanding

She covered her head , performed the midwifery

Her waist she girdled, pronounced the blessing

She drew a shape, in the mould was life.

JE UUMBAJI WA MTU ULIHITIMISHWAJE?

Kitabu cha When the gods as men kutoka mesopotamian kinatoa ujumbe ambao lengo lake ni kuelezea kwa nini damu ya miungu ilitumika ilichanganywa na udongo katika kumtengeneza mtu. Muungu uliochaguliwa ulikuwa na TE.E.MA, katika tafsiri ya kale neno hili linamaanisha "Nyumba za kushikilia kumbukumbu" na katika Akkadian linamaana ya "etemu" yaani "sprit".

Kwahiyo damu iliyochanganywa na udongo ilikuwa na genes za Miungu, na damu hiyo ndiyo iliyompa uhai mtu aliyetengenezwa na kumfanya afanane na Miungu kimaumbile. Hii imewekwa wazi pia na vitabu vya mesopotamian.

In the clay, god and Man shall be bound, to a unity brought together.

So that to the end of days, the Flesh and the Soul,

Wich in a god have ripened that soul in a blood kinship be bound.

As its sign life shall proclaim.

So that this not be forgotten,

Let the Soul in a blood kinship be bound.


Haya ni maneno yenye maana kubwa sana, yanaelezea ni jinsi gani damu ya Miungu ilichanganywa kwenye udongo so as to bind god and man genetically.

Tiamat.JPG


maxresdefault (1).jpg


Norshad

obelisk

Dumas the terrible
 
SEHEMU YA TANO

TURUDI TENA KWENYE NENO MOJA AMBALO NI "GENE"

Uthibitisho kutoka kwenye vitabu vya kale, Mesopotamian unasema kwamba hatua ya kumuumba mtu kutoka kwenye genes za miungu na Homo erectus genes, ulihusisha matumizi ya gene za kiume kama tunu ya maisha(uhai) na uzima na genes za kike kama earthly element.

Katika kumuumba Adam katika ufanano wao, kitabu cha Genesis kinaelezea kuzaliwa kwa Seth mtoto wa Adam katika maneno yafuatayo:

And Adam lived a hundred and thirty years,

and had an offspring in his likeness and after his image,

and he called his name Seth.

Hapa utaona kabisa terminology iliyotumika inafanana kabisa na iliyotumika wakati wa Miungu kumtengeneza Adam. Hii inathibitisha ya kwamba hata Adam aliumbwa kwa kutumia mbegu ya kike na mbegu za kiume through fertilization.

Kama udongo ambao damu ya Miungu ilichanganywa ulikuwa ni earthly element kama vitabu na maandiko yanavyosisitiza, inaweza kuhitimishwa kwamba genetic material ya Miungu iliwekwa kwenye yai la mwanamke ambaye ni ape. Katika Akkadian neno udongo ni TI.TI, likiwa na maana "that which is with life". Katika Waebrania neno udongo ni "tit" likiwa na maana "egg".

Ovum ya Homo erectus wa kike ilikuwa fertilized na genes za Miungu na kuwekwa kwenye tumbo la mke wa Ea , then after the model was obtained, duplicates of it were implanted in the wombs of birth goddesses, to under go the process of pregnancy and birth.

"The Wise and learned,

Double seven birth goddesses had assembled.

Seven brought forth males,

Seven brought forth females

The birth Goddesses brought forth

The Wind of the Breath of Life.

In pairs were they completed,

In pairs were they completed in her presence.

The creatures were people

Creatures of the Mother Goddess.

Homo sapiens had been created"

Watu wa kale, hadithi, habari za kwenye biblia na sayansi ya leo vyote vinatoa ujumbe unaofanana kwa namna moja hama nyingine. Utafiti wa anthropologists wa leo, unasema kuumbwa na chimbuko la mtu wa leo ni kusini-mashariki ya Afrika. Vitabu vya Mesopotamian vinasema kuumbwa kwa mtu na chimbuko lake ni Apsu katika ulimwengu wa chini ambako ardhi ya migodi iliwekwa, vile vile vitabu kadhaa vimemtaja "sacred Amama", mwanamke wa dunia, ambaye makao yake yalikuwa Apsu.


Lakini mwingine anaweza kuhitimisha kwa kusema, kuumbwa kwa mtu, kulileta ufa miongoni mwa Miungu. Pamoja na kwamba mtu aliumbwa hili awe kibarua wao wa kuchimba dhahabu kwa ajili ya kupeleka Mbiguni, Annunaki alikuwa na wasi wasi kuhusu utii wa mtu huyo kwao. Katika "The Myth of the Pickax", Annunaki aliyekaa sumer chini ya Enlil obtained their fair share of the Black-Headed People.

Seeking to re-establish the normal order , Enlil took extreme action of severing contacts between "Heaven"(the 12th planet/spaceships) and Earth, and launched some drastic action against the place "where flesh sprouted forth."

The Lord,
That which is appropriate he caused to come about.
The Lord Enlil,
Whose decision are unalterable,
Verily did speed to separate Heaven from Earth
So that the created ones could come forth.
Verily did speed to separate Earth from Heaven.
In the "Bond-Heaven-Earth" he made a gash,
So that the created Ones could come up
From the Place-Where-Flesh-Sprounted-Forth.

Enlil alitengeneza silaha kubwa na ya hatari ya maangamizi, iliitwa AL.A.NI (ax that produces power) ambayo ilikuwa na jino kubwa kama shoka, ingeweza kutoboa na kuangusha kuta. Enilil alifanya mashumbulizi mengi ya silaha yaliyopelekea kuuwawa kwa viumbe wengi sana wakiwemo black headed people.

Annunaki walimuomba Enlil kama mmoja wapo wa Miungu hiyo kusitisha mashambulizi yake, na kuwachukua Primative Workers wakaendelee na kazi ya kuwatumikia Miungu wao. Kama invyoelezea moja wapo ya tale;

The Annunaki stepped up to him,

Raised their hands in greetings,

Soothing Enlil's heart with prayers.

Black headed Ones they were requesting of him.

To the Black headed people,

they give the pickax to hold.

Vile vile kitabu cha Genesis kinaelezea kwamba Adam alitengenezwa Mesopotamia Magharibi na kuletwa Mesopotamia Mashariki kufanya kazi kwenye bustani ya Eden (Garden of Eden):

And the Deity Yahweh

Planted an orchard in Eden, in the east

And He took the Adam

And placed him in the Garden of Eden

To work it and to keep it.

Hivi ndivyo mwanadamu wa sasa alivyoumbwa. Kilichofuatia baada ya kuumbwa kwake ni "THE END OF ALL FLESH".

Picha ya kwanza inaonyesha ilipo Garden of Eden.

mapping-eden.jpg


maxresdefault.jpg


800px-Cropped_Image_of_Carving_Showing_the_Mesopotamian_God_Ninurta.png


obelisk
 
Back
Top Bottom