sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,612
- 2,156
Hii ndio maana ya elimu haina mwisho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakua unakula na na kunywa basi unaona ndio mwisho wa maisha, kwaiyo unatuletea mielimu yako uchwara apa naku tudanganya. MUNGU atapata kazi kweli kutufuta maupumbavu Kama aya vichwani...Kama hujui kitu Kaa Kwa kutulia upate elimu hapa,haya anayoandika Hapa ni kweli na ushihidi upo
Wewe TU kufunguka mbichwa na kutia akilini!
Kama ulikua hujui habari ndio hiyo!
Hakuna Elimu uchwara hapa kamanda hiyo Elimu ipo long time before abrahamic Religion,Hizo dini unazojinasibu ni za Mungu wako waanzilishi ni hao Hao Annunak halafu Leo unakuja kunyamba nyamba hapaKwakua unakula na na kunywa basi unaona ndio mwisho wa maisha, kwaiyo unatuletea mielimu yako uchwara apa naku tudanganya. MUNGU atapata kazi kweli kutufuta maupumbavu Kama aya vichwani...
Kujambajamba[emoji1787][emoji1787] sawa lakini ujue izo historia unazo leta niza kwao...husiwe una changanya historia mnefili unamletea mweusi unakosea...Hakuna Elimu uchwara hapa kamanda hiyo Elimu ipo long time before abrahamic Religion,Hizo dini unazojinasibu ni za Mungu wako waanzilishi ni hao Hao Annunak halafu Leo unakuja kunyamba nyamba hapa
Au hujui Abraham na baba yake Terra walitoka Uru ya Ukaldayo Huko Mesopotamia ambako ndio kulikua ustaarabu wa kuabudu Miungu na Mungu wa Abraham anaitwa El Moja ya Miungu Annunak?
Pumbaf kasome historia ndio uje ubishane na Mimi
Eboooo!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
mkuu ni huku Afrika tu ndio hawajui Hizo mambo Huko mbele Wazungu walishaujua ukweli long ndio maana unaona wengi hawashobokei dini na hawaamini katika nadharia zasza Mungu sababu wanajua mwanzo wao,Hii ndio maana ya elimu haina mwisho?
wewe elewa ya Kwamba Annunak ndio waliowaongezea DNA Babu zako Zamadam wakawa Homo Sapiens kimili na kuwapa mission ya kuchimba dhahabu Kule kush na Huko Zimbabwe ya kaleKujambajamba[emoji1787][emoji1787] sawa lakini ujue izo historia unazo leta niza kwao...husiwe una changanya historia mnefili unamletea mweusi unakosea...
Hujalazimishwa kusoma, kama haikufai pita pembeni.Wali waumba wazungu na Manilotics na sio
Sisi wautu
Na ebu tutolee uzi wako apa[emoji57][emoji57]
Ubongo wako bado bikra kwaiyo unaamu ya [emoji23][emoji23][emoji23] ngoja upelekwe mitini na wauni Kama uyoHujalazimishwa kusoma, kama haikufai pita pembeni.
Umedanganya na wewe.wewe elewa ya Kwamba Annunak ndio waliowaongezea DNA Babu zako Zamadam wakawa Homo Sapiens kimili na kuwapa mission ya kuchimba dhahabu Kule kush na Huko Zimbabwe ya kale
Hujiulizi kwanini Oldupai gorge waligundua fuvu na nyayo za kale sana Kuliko historia ya vitabu vya dini vinavyodai Binadamu kaumbwa Miaka 6000 BC Hapo nyuma na hao Zamadam walikuwepo millions of years nyuma?
Unajua nani aliyeanza kuwapa Binadamu ujuzi mkubwa Hapo kale?
Unajua dhahabu zote zilizochimbwa Toka Miaka maelfu na maelfu Kwa billion of Tani zilipotelea wapi ghafla tu?
Kaa Kwa kutulia upate elimu kijana soon utakuja kupata maarifa ni nani aliyejenga Pyramids zote duniani Miaka elfu nyingi Huko nyuma na still hazina hata ufa,
Utaelewa tu subiri movie kamili!
Kumbe wako ushabikiriwa!!!!??? Ok, nimeelewa tatizo linapoanzia.Ubongo wako bado bikra kwaiyo unaamu ya [emoji23][emoji23][emoji23] ngoja upelekwe mitini na wauni Kama uyo
We unagenye za elimu ndo Mana unadandia Mambo ya ovyo...Kumbe wako ushabikiriwa!!!!??? Ok, nimeelewa tatizo linapoanzia.
Nidanganye nini kitu verified kitambo Wewe tu Huku shithole ndio huyajui Hayo polee!Umedanganya na wewe.
Kama kuna sehemu wanayapeleka nje ya dunia wanalipwa nini? Maana pesa ya inje ya dunia haina maana yoyote duniani. Ama wanalipwa ugunduzi wa kiteknolojia?Japo hizi ni story tu kama zile za kwenye kahawa.
Lakini mimi huwa siamini kabisa haya madhahabu yote yanayochimbwa duniani yanatumika kutengeneza mikufu, saa, cheni and the likes pekee.
Tani zote zile ni kwa ajili ya vito vya thamani pekee. Hapana kuna sehemu hawa wazungu wanapeleka.
Inafikirisha. Na alieipa dhahabu thamani ni nan?Japo hizi ni story tu kama zile za kwenye kahawa.
Lakini mimi huwa siamini kabisa haya madhahabu yote yanayochimbwa duniani yanatumika kutengeneza mikufu, saa, cheni and the likes pekee.
Tani zote zile ni kwa ajili ya vito vya thamani pekee. Hapana kuna sehemu hawa wazungu wanapeleka.