Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Jamaa anamaanisha baharessa hawezi kumpa MO kazi ya kuosha vyombo utatafutwa mtu kama wewe ndo uvioshe ila sio kwamba wao wanashidwa kuosha au hawana mikono
Me ilibidi nisimjibu nikaushe tu, maana Kuna maswali mengine akiuliza tu mtu....! basi huna haja ya kumjibu maana unajua una deal na mtu mwenye level Gani ya uelewa
 
Aseee mkuu shasha nondo mkuu nakutegemea Sana material
 
Me ilibidi nisimjibu nikaushe tu, maana Kuna maswali mengine akiuliza tu mtu....! basi huna haja ya kumjibu maana unajua una deal na mtu mwenye level Gani ya uelewa
Atakupasua kichwa mkuu ila usimwache anaindicator zote za uslow learner sio kwamba hakuelewi ila anaelewa taratibu sanaa
 
Bro nahitaj sana referance wa hi kitu (taarifa)
 
Bila dini Afrika tungekuwa mbali sana miaka michache mbele.
Lakini mpaka leo wapo wanaouza viwanja vyao ili wakamtolee bwana ilhali wao wamepanga na kodi ni ya shida
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sawa Qur'an na Biblia ni kitu kilekile kwa maana Qur'an imecopy biblia, lakini sasa kwanini na hiyo Qur'an isitumike humu pia kama inavyotumika biblia kutolea mifano? Kwani lengo la kutolea mifano kutoka kwenye biblia ni lipi?
 
Nakubaliana na wewe kabisa ila tatizo la hizi story/nadharia za hawa jamaa huwa hawaelezi ni nani kaeleza hizi taarifa zote au kwamba haya masimulizi yamepatikana vp?
 
Na mimi ningependa kukuuliza unadhani binaadamu anawezaje kujua chanzo cha huyo Mungu?

Nauliza hivyo kwa sababu hivi vitabu vya dini vimeelezea masuala ya uumbaji ila source kwa maana aliyehadthia hayo yote ni Mungu mwenyewe, hivyo ndivyo waamini wa Mungu tunavyoamini(haijarishi ni kweli ama si kweli) ila sasa ukiuliza kuhusu chanzo cha huyo Mungu, hapo ndiyo maana nikakuuliza unafikiri binaadamu atawezaje kujua hicho chanzo cha Mungu?
 
Hapo kuna Muumbaji na uumbaji, sasa wewe haukubaliani na huu ulimwengu kuwa umeumbwa na mwengine ana mtazamo wa huu ulimwengu kuwa umeumbwa.
Sasa tatizo hapo inakuwa unakimbilia kuhoji chanzo cha huyo Muumbaji(Mungu) hali ya kuwa bado hata hamjaelewana kama huu ulimwengu(uumbaji) ni umeumbwa au haujaumbwa.
 
“Maana anayehadithia hayo yote ni Mungu mwenyewe..”

“Unafikiri binaadamu atawezaje kujua hicho chanzo cha Mungu?”

Kwa haya maswali yako inaonesha hufahamu hata kwa nini upo katika dini ni umerithi hufahamu hata ulichokirithi.

Kwani binadamu alijuaje Mungu amehadithia kama hajui chanzo cha Mungu?!
 
Sawa Qur'an na Biblia ni kitu kilekile kwa maana Qur'an imecopy biblia, lakini sasa kwanini na hiyo Qur'an isitumike humu pia kama inavyotumika biblia kutolea mifano? Kwani lengo la kutolea mifano kutoka kwenye biblia ni lipi?
utatoleaje mfano kitu copy wakati original kipo,humu reference nyingi zinatoalewa kutoka Accient tablets za Accient civilization,so hatuwezi kutolea mfano Quran kitabu Cha juzi juzi hapo wakati mambo yake mengi imekopy kwenye maandiko kongwe Kuliko chenyewe sababu hakina maandiko deep kinapwaya sana kkutolea mifano au niseme tu ni useless!
 
Ok ila biblia pia imecopy kama msemavyo, ndio maana nikauliza lengo la kutolea mifano biblia ni lipi maana nayo ni copy? Dhumuni hasa ya kutoa mifano kwenye biblia ni nini?
 
Kwenye dini kuna watu wanaoaminiwa kuwa ni mitume na ndio kupitia hao watu tumeweza kupata hayo masimulizi ya uumbaji na mambo yahusuyo huyo Mungu. Iko hivyo hivyo ndivyo waaamini Mungu wanavyoamini, na kupitia mfumo huo ndipo humo humo huyo Mungu kajieleza kuwa hana mwanzo wala mwisho, kaishia hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…