Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Jamaa anamaanisha baharessa hawezi kumpa MO kazi ya kuosha vyombo utatafutwa mtu kama wewe ndo uvioshe ila sio kwamba wao wanashidwa kuosha au hawana mikono
Me ilibidi nisimjibu nikaushe tu, maana Kuna maswali mengine akiuliza tu mtu....! basi huna haja ya kumjibu maana unajua una deal na mtu mwenye level Gani ya uelewa
 
hahahahaha mabikra 70's Mkuu
Hizi dini zinatuona wendawazimu sana,Mimi nakuambia huu upupu unaitwa dini ungekuja kipindi hiki Cha smart Intelligence sidhani Kuna Mtu hata awe na ugonjwa wa akili angezikubali,Sema ndio hivyo zilikuja zama za Giza na watu ndio wanaona ni mfumo wa kweli na ni kweli tupu ingawa Kuna mambo ukiyasoma unabaki unajiuliza Hawa wanatuchukuliaje Kwa mfano!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji91]
Aseee mkuu shasha nondo mkuu nakutegemea Sana material
 
Me ilibidi nisimjibu nikaushe tu, maana Kuna maswali mengine akiuliza tu mtu....! basi huna haja ya kumjibu maana unajua una deal na mtu mwenye level Gani ya uelewa
Atakupasua kichwa mkuu ila usimwache anaindicator zote za uslow learner sio kwamba hakuelewi ila anaelewa taratibu sanaa
 
Vatican ni hatari Kwa mstakabari wa Dunia hao jamaa ni mafia sana sikuamini pale niliposoma ya kwamba kumbe ndio founder wa Islam religion Kupitia ajent wao Father Waraqa na Mohammed Abdulla daaaa nikabaki kujisemea Hawa jamaa ni taasisi hatari sana!
Ila Sasa wenye dini zao ukiwaeleza watakuelewa basi?
[emoji848][emoji848][emoji848]
Bro nahitaj sana referance wa hi kitu (taarifa)
 
Mkuu tupo pamoja
Screenshot_2022-02-12-09-14-47-76.jpg
Screenshot_2022-02-12-13-05-25-57_c37d74246d9c81aa0bb824b57eaf7062.jpg
Screenshot_2022-02-12-13-04-01-13.jpg
Screenshot_2022-02-12-13-07-52-80.jpg
 
Bila dini Afrika tungekuwa mbali sana miaka michache mbele.
Lakini mpaka leo wapo wanaouza viwanja vyao ili wakamtolee bwana ilhali wao wamepanga na kodi ni ya shida
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Quran ni copy and paste from accient Bible,imekopa mambo mengi kutoka Tablets za Judaism and Christianity Kwahiyo hakuna utofauti wowote kote unakuta visa vile vile maana old bible verses ni kongwe kuliko Bible new Edition iliyotengenezwa pale Nicea committee Constantinople!
Sawa Qur'an na Biblia ni kitu kilekile kwa maana Qur'an imecopy biblia, lakini sasa kwanini na hiyo Qur'an isitumike humu pia kama inavyotumika biblia kutolea mifano? Kwani lengo la kutolea mifano kutoka kwenye biblia ni lipi?
 
Tatizo sisi ufahamu wetu tumeufunga ukitaka kujua zaidi tofauti na yaliyo andikwa kwenye Biblia ama Qouran unaambiwa unakufuru yaan tumelimit thinking capacity yetu sasa ndo tatizo letu .Mm bwana napenda sana kusoma mambo haya maana yanafungua akili sana na km ni mpenda kudadisi na kusoma unapata kitu kikubwa kwenye mada km hizi.
Nakubaliana na wewe kabisa ila tatizo la hizi story/nadharia za hawa jamaa huwa hawaelezi ni nani kaeleza hizi taarifa zote au kwamba haya masimulizi yamepatikana vp?
 
Swali gumu Sana hilo kwake, Mtu anaweza kusema me sijaumbwa nimetokea tu from no where, labda nimetokana na mabadiriko ya hali ya hewa au labda nimetokea kwenye evolution of Man au nimeumbwa na Aliens ila watapinga Sana na kuleta hoja ya uumbaji wa Mungu ila ukiwauliza kuhusu kuthibitisha uwepo wa Mungu ndio ugumu unapoanzia

watakwambia we unadhani Dunia imetokea wapi? Unadhani binadamu ametokea wapi? Pumzi imetokea wapi? Sayari zinaelea vipi huko juu? Wanamaliza na kusema hakuna kitu kisichokuwa na mwanzo wake/mtengenezaji wake so Kila kilichopo Duniani kiliumbwa

Sasa we waulize swali kama lako, kama unajua kuwa hakuna kitu kinatokea tu from no where, je Una uhakika gani Mungu ye alitokea tu from no where? Inakuaje ye hakuumbwa Wala kuzaliwa? Muonekano wake au umbo lake lilitokana na reference Gani? Maana ye katuumba Kwa mfano wake Sasa ye alitokana na mfano wa nani?

Utaishia kupata majibu mepesi kwenye maswali magumu Mkuu
Na mimi ningependa kukuuliza unadhani binaadamu anawezaje kujua chanzo cha huyo Mungu?

Nauliza hivyo kwa sababu hivi vitabu vya dini vimeelezea masuala ya uumbaji ila source kwa maana aliyehadthia hayo yote ni Mungu mwenyewe, hivyo ndivyo waamini wa Mungu tunavyoamini(haijarishi ni kweli ama si kweli) ila sasa ukiuliza kuhusu chanzo cha huyo Mungu, hapo ndiyo maana nikakuuliza unafikiri binaadamu atawezaje kujua hicho chanzo cha Mungu?
 
hahahahah hua wanaishia kusema oooh Mungu Hana mwanzo Wala mwisho ni Alfa na Omega
Hapo hapo ukiwaambia Mimi simuamini Huyo Mungu na huu ulimwengu Hauna mwanzo Wala mwisho na haukuumbwa na kiumbe yeyote wanabisha wanakuambia lazima uwe na muumbaji,
Ukirudi kuwauliza Tena je aliyemuumba muumbaji ni nani?

Jibu: hajaumbwa Hana mwanzo Wala mwisho full contradiction!
😁😁😁
Hapo kuna Muumbaji na uumbaji, sasa wewe haukubaliani na huu ulimwengu kuwa umeumbwa na mwengine ana mtazamo wa huu ulimwengu kuwa umeumbwa.
Sasa tatizo hapo inakuwa unakimbilia kuhoji chanzo cha huyo Muumbaji(Mungu) hali ya kuwa bado hata hamjaelewana kama huu ulimwengu(uumbaji) ni umeumbwa au haujaumbwa.
 
Na mimi ningependa kukuuliza unadhani binaadamu anawezaje kujua chanzo cha huyo Mungu?

Nauliza hivyo kwa sababu hivi vitabu vya dini vimeelezea masuala ya uumbaji ila source kwa maana aliyehadthia hayo yote ni Mungu mwenyewe, hivyo ndivyo waamini wa Mungu tunavyoamini(haijarishi ni kweli ama si kweli) ila sasa ukiuliza kuhusu chanzo cha huyo Mungu, hapo ndiyo maana nikakuuliza unafikiri binaadamu atawezaje kujua hicho chanzo cha Mungu?
“Maana anayehadithia hayo yote ni Mungu mwenyewe..”

“Unafikiri binaadamu atawezaje kujua hicho chanzo cha Mungu?”

Kwa haya maswali yako inaonesha hufahamu hata kwa nini upo katika dini ni umerithi hufahamu hata ulichokirithi.

Kwani binadamu alijuaje Mungu amehadithia kama hajui chanzo cha Mungu?!
 
Sawa Qur'an na Biblia ni kitu kilekile kwa maana Qur'an imecopy biblia, lakini sasa kwanini na hiyo Qur'an isitumike humu pia kama inavyotumika biblia kutolea mifano? Kwani lengo la kutolea mifano kutoka kwenye biblia ni lipi?
utatoleaje mfano kitu copy wakati original kipo,humu reference nyingi zinatoalewa kutoka Accient tablets za Accient civilization,so hatuwezi kutolea mfano Quran kitabu Cha juzi juzi hapo wakati mambo yake mengi imekopy kwenye maandiko kongwe Kuliko chenyewe sababu hakina maandiko deep kinapwaya sana kkutolea mifano au niseme tu ni useless!
 
utatoleaje mfano kitu copy wakati original kipo,humu reference nyingi zinatoalewa kutoka Accient tablets za Accient civilization,so hatuwezi kutolea mfano Quran kitabu Cha juzi juzi hapo wakati mambo yake mengi imekopy kwenye maandiko kongwe Kuliko chenyewe sababu hakina maandiko deep kinapwaya sana kkutolea mifano au niseme tu ni useless!
Ok ila biblia pia imecopy kama msemavyo, ndio maana nikauliza lengo la kutolea mifano biblia ni lipi maana nayo ni copy? Dhumuni hasa ya kutoa mifano kwenye biblia ni nini?
 
“Maana anayehadithia hayo yote ni Mungu mwenyewe..”

“Unafikiri binaadamu atawezaje kujua hicho chanzo cha Mungu?”

Kwa haya maswali yako inaonesha hufahamu hata kwa nini upo katika dini ni umerithi hufahamu hata ulichokirithi.

Kwani binadamu alijuaje Mungu amehadithia kama hajui chanzo cha Mungu?!
Kwenye dini kuna watu wanaoaminiwa kuwa ni mitume na ndio kupitia hao watu tumeweza kupata hayo masimulizi ya uumbaji na mambo yahusuyo huyo Mungu. Iko hivyo hivyo ndivyo waaamini Mungu wanavyoamini, na kupitia mfumo huo ndipo humo humo huyo Mungu kajieleza kuwa hana mwanzo wala mwisho, kaishia hivyo.
 
Back
Top Bottom