Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Kwakweli hapa tulipo yawezekana mpaka viongozi wazito wa dini wanajua yaliyo sirini hasa wale wa Vatican.
Mungu wa huruma aache watu aliowaumba wauane, wafe kwa njaa, waumwe na kuteseka.
Impossible
Vatican is unholy city, the architect of holocaust in the world.
 
Upo sahihi hakuna mahala nimekashfu dini. Tunajadili kile kilichoandikwa kwenye vitabu vya dini, ambacho kimefichwa na watu wanashindwa kukielewa. Mtu mwenye akili zake timamu akisoma ataelewa vizuri nini tunajadili hapa. Hapa jamvini wapo watu wengi wa dini, wachungaji, mapadri, wainjilisti n.k, kwahiyo wapo ambao wanasoma na kupotezea, wapo wanaosoma na kupata kitu na kuamua kwenda kuchimba zaidi kwenye vitabu vya na mafundisho yao n.k, kingine theologian anaweza taka kujibu ila visible references hana, hivyo akaogopa maswali na kuibua mijadala mingine inayoweza kumuyumbisha kiimani, kingine mimi katika kujadili hili bado natumia bible kama reference na kuambatanisha visible references, kwahiyo kuyahamisha maneno tu, ujibu vitu real vilivyothibitishwa na kuonekana kidogo lazima ilete ugumu.
Imani ya dini inawatum hvyo, kwhy waacheni hao.
 
Kama Shirika la Jesuit father ni hatar sana....doctrine zao ni za ndan sana..unakuta hata pope mwenyew hajui kinachoendelea..anatumwa tuu..especialy hawa ma pope waa sikuhiz..naona vatican imeamua kuto disclose siri zake kwa hawa ma pope wa kizaz kipya....na hawa ma pope kwa unyeti wa hyo nafasi...huandaliwa mapema sana hata kabla hawajawa mapadre..bila kujijua...watu huwa wanahis ni random selection..hakuna kitu random kwenye nafas za kidunia ..everythn ni planned.
jesuits,night of templor,freemasonry doctrine n hiyo hiyo
 
Ndyo ukweli huu ambao ukiwauliza wachungaj, mashekhe, na wanasayansi, watakupa majibu mepesi ambayo yanaficha ukweli, na pengine hata wamaweza kukushughulikia mapema ili usisambaze ujumbe huo kwa wngine, mimi nina ushahidi wa hawa wamiliki wa mitandao kujaribu kuzuia accounts kadhaa za social network zilizokuwa zikihoji ukweli wa mambo haya.

Chaajabu mpka viongoz wa dini wanaungana ktk kuupoteza ukweli huu, kuna bwana mmoja alishughulikiwa na watu wa dini, sabbu ya kutoa ukweli ambao kamwe hausemwi wala kufundishwa mashuleni, mimi pia ni muhanga wa kufungiwa akaunti zaid ya mara4

Hili Ni Jukwaa Huru Kama Hautojali Unaweza Kuweka Ushahidi Wa Haya Unayosema?

1 Wamiliki Mitandao Kujaribu Kuzuia Accounts Kadhaa Za Social Network Zilizokuwa Zikihoji Ukweli Wa Mambo Haya,

2 Wewe Ni Mhanga Wa Kufungiwa Akaunti Zaidi Ya Mara 4
 
Umeandika kitu kikubwa, unajua kuna kitu wengi wanachanganya na sote tunachanganyikiwa Imani kuhusu Mungu haina tatizo shida ni Mungu ngani?

Leo tuna imani nyingi za kidini na zote zinajidai zipo sahihi lakini ukifatilia kwamakini unagundua kuna tatizo mahali, Ukweli kabisa Roma bado inatawala dunia kupitia dini na serikali hakuna dini ipo tofauti na Roma au Vatican haipo.

Mafanikio haya ya Vatican hayakuja kirahisi rahisi mbinu nyingi zilitumika shirika lao la Jesuits ndiyo wahusika wa kubwa wa mipango hii.

Wao pia wameteneneza maajent wakila namna ili tu kusambaza habari zao vile wao ndiyo wamiliki vyuo vingi hata elimu kwenye mataifa mengi wao ndiyo waliyo unda, kwahiyo hata hizi habari za mtoa maada unaweza kukuta tunazunguka pale pale lengo kubwa ni kutuvuruga tushindwe kujua kweli ni ipi na uongo niupi.

Dini nyingi za leo muundo wametengeneza wao ili ziendane na matakwa yao, ukweli wakristo waawali walikuwa mwiba mkali kwa Roma kwahiyo Roma wakaona ili kuwaangamiza ni kutengeneza imani nyingine ili isionekane kama ni wao ndiyo ikaundwa Islam na wakati ule ilikuwa unalazimishwa ufe au uwe mwislam kwenye Ottoman Empire hii ipo wazi kabisa.

Ndiyo maana hata leo dini hii ndiyo inayo tumika kupiga wale wanaoenda tofauti na Vatican, makundi Karibia yote yanayo itwa ni ya kigaidi ni Ya kislam vile hilo ndiyo lililokuwa lengo kuu.
Muhimu kujua Vatican ina control imani zote za leo pamoja na zile za jadi hata zile za wakana Mungu.

Nawao wanajua kabisa Mungu wa kweli yupo ndiyo maana wao wanahangaika namna hii ili kuwapoteza watu.
uko sahihi,kwanini waseme Mungu hajulikani, hana mwili na alituumba kwa mfano wake na anatenda miujiza, inawezekanq kuna ukwel ila hapo walitupotosha either maksudi au kw malengo yao.
 
Majuzi tu, yani siku kama 5 zimepita, nimesoma habari ya BBC, Serikali ya Marekani (NASA)
Wameamua kuachia siri na kukubari ama
Kukikiri juu ya uwepo wa Alliens, na Uthibitisho wa Video....!
Hata hizi dini muda waja watausema ukweli.
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI

COLLECTIVELY ARE WE ALL GOD?

Atheists, Pyschic & Psychic drugs, Akashic, Meditation & Incantation, Science, Uchawi na Ramli, haya yote tunakutana hapa.


Matumizi ya kwanza kabisa ya neno Mungu (God/Allah) yalianzia sumerians, likitokana na neno DIN GIR ambalo lina maana ya "the righteous ones of the sky chamber" lakini kadri lugha inavyozidi kubadilika muda baada ya muda, neno DIN GIR limekuwa translated na kujikuta tukitumia God/Allah.

Kwahiyo mtu anapo sema "sifa kwa Mungu", anamaanisha sifa kwa "the righteous ones of the sky chamber" ikiwa ni sawa sawa kabisa na yule anayesema "God bless you" anamaanisha the righteous ones of the sky chamber bless you"

Ukichukua Biblia/Quran ukabadilisha neno God/Allah na kutumia the righteous ones of the sky chamber vitabu vyote hivi vitaleta maana tofauti kabisa.

Siko hapa kuibua mgongano wa fikra kuhusu dini, bali ushahidi kuhusu ukweli wa dini hizi.

Kama kwa sasa ambavyo watu wamekuwa wakitafuta njia sahihi ya kufupisha maneno ili waweze kuyatamka kirahisi, mfano, neno cellular kwa sasa ni "cell," telephone kwa sasa ni "phone" n.k, hivyo ni rahisi kutumia neno God/Allah kuliko "the righteous ones of the sky chamber"

Kwahiyo ni wapi hili linamuacha Mungu (God)?

Nazani tunatakiwa kutazama njia mpya kwa jinsi gani tunachukulia Mungu alivyo. Watu wengi wanazani ni mtu mzee, mwenye ndevu aliyekaa mbinguni, akitutazama na kujibu maelfu na maelfu ya maombi ya kila mtu. Lakini logistically hili haliwezekani kwa omnipotent entity yeyote kufanya hivyo.

Kwahiyo ni jinsi gani tunamuelezea Mungu kwa watu wazima, ambao bado wana mafundisho ya utotoni kuhusu Mungu vichwani mwao, na ambao wana reference hiyo tu?

Makanisa na Miskiti hawatoa maelezo mazuri kuhusu Mungu tofauti na yale tunayofundishwa/tuliofundishwa tukiwa wadogo.

Lakini ni vipi kama tunaweza kutumia nadharia kuhusu Mungu alivyo that makes sense na inaweza na siku moja ikathibitishwa kisayansi?

Tumekuwa tukijiuliza sana zaidi ya mara moja kuhusu Mungu ni nani au yukoje, na inawezekana tumekuwa tukiwauliza ndugu, wazazi, priests n.k lakini mara kwa mara tunapewa jibu lile lile:
"USIULIZE KUHUSU MUNGU, ANATEMBEA KATIKA NJIA ZA MIUJIZA" au "MUNGU NI ROHO HANA MWILI."


Lakini ni kweli hapo mwanzo alikuwepo Mungu au wapinga dini wapo sahihi?

Kwangu mimi, nafikiri chochote kilichoandikwa na atheists kinaweza kuwekwa katika sentensi moja: "We don't believe in anything-the end." Kwahiyo kwa nini wanajaribu kuelezea ni kwa nini hawaamini katika chochote?

Ukitazama Universe yetu, napata ugumu sana kuamini kwamba hakuna grand architect aliyetengeneza hii universe. Hata mwanasayansi nguli duniani Albert Einstein aliwahi kusema:

"Anyone who becomes involved in the pursuit of science, becomes convinced that there is a spirit manifest in the laws of the universe, a spirit vastly superior to that of mankind"


Katika harakati zangu za kuchimba kuhusu ukweli, nikakutana na mtu anitwa Edgar Casey (March 18, 1877-January 3, 1945)


Casey alikuwa ni mkulima tu wa kawaida na hakuwa na elimu kubwa, he was fascinating man, aliwahi kutoa hotuba ya jinsi gana tunaweza kuwasiliana bila kuongea au kuandika, hotuba iliyomuweka matatani.

Kutokana na hotuba yake, kuna uwezekano mkubwa wa watu kuwasiliana on a "subconscious quantum level" na siyo kwa kupitia kuongea au kuandika tu.

Alipoulizwa anajuaje mambo hayo yote, alijibu kwa kusema kila mtu ana uwezo wa kufanya kile anachokifanya, na aliendelea kuelezea kwamba ameyafahamu na kuyajua yote hayo kutoka kwenye Akashic records.

Je Akashic ni nini?

Akashic is a sanskrit word meaning ethereal compendium of all knowledge & history.

Hii ni sawa na mainframe computer ikiwa imeunganishwa na kompyuta nyingine, na Ubongo wetu actually ni kompyuta ya kibiologia, ikiwa imeunganishwa na mainframe computer of all knowledge.

Lakini nikajiuliza, hili linawezekana kweli?

Kwa kuwaangilia watu mashuhuri katika historia kama vile Leonard Da Vinci, ambaye alibuni na kuchora michoro ya helicopters, planes, submarines na teknolojia nyinginezo zilizokuwa mbele ya muda, nikaanza kufikiria labda kulikuwa na kitu katika hili.

Mr. Casey pia alilielezea hili katika Akashic field, TIME HAS NO DISTINCTION:Hii ikiwa na maana ya kwamba wakati uliopita, wakati uliopo/sasa na wakati ujao are all happening at once.

Je Mr. Da Vinci, Nostradamis, Archimedes did they tap into this field? Maybe even all of this great figures subconsciously tapped into this field of knowledge far into the future - watu kama Einstein, Von Braun, Oppenheimer na Tesler.

Je walikuwa na uwezo huo pia?

Kama tukikichukua kile alichokisema Casey kwamba wote tunao huo uwezo na infact kwa pamoja sote ni Mungu (God) - then why not?

Ina make sense logistically kwamba minds zote zipo kwenye mawasiliano moja kwa nyingine, kuliko kiumbe mmoja tu(omnipotent being) kujaribu kuwasiliana na kujibu maombi ya kila mtu.

Je hili linatokeaje? Ntajaribu kuelezea kwa facts na mifano hai, hili isionekana ni hadithi tu ya kusimulia.

Kwanza hebu tutazame ni jinsi gani tunawasiliana on quantum level, kama wanasayansi walivyoligundua hili na kuweka mkazo zaidi. Group la wanasayansi wa Ujerumani waliamua kuchukua living cells kutoka kwa mtu aliyejitolea, na kuziweka kwenye petri dish, na kuziweka miles 100 away kwenye maabara nyingine. Waliweza kurekodi reaction za cells kwenye petri dish kama walivyo test on the subject na kugundua kwamba hata kama cell zilitolewa from the subject & placed 100 miles away, they reacted along with the cells of the test subject.



Are we all connected? Uthibitisho wa jaribio hilo, unaweka wazi uwezekano huo, vile vile inaweka uwezekano wa kuwasiliana na waliokufa, kama Mr. Casey alivyosema katika Akashic field.



Muda hauna utofauti (Time has no distinction) na hili linaweza kumaanisha kwamba, you are actually not communicating with the dead but with that person alive in his own time, whether it be past, present, or future."


Ugunduzi huu unatuambia kwamba cell zetu zinawasiliana, so is it then possible that they communicate with other people's cells?

Is this how PSYCHICS communicate?

Tunajua kwamba KGB na CIA wana watu katika programs kama vile MK Ultra, designed to mind control na kuwafundisha remote viewers to give a detailed description of distant places wanapotakiwa kufanya hivyo.

Mmoja wao alipoulizwa wanawezaje kufanya hivyo, alijibu kwa kusema ameunganishwa kwenye akili ya mtu wa eneo hilo & was able to see through his eyes.

Lakini hii ni fact, kwa sababu KGB na CIA walikuwa/wanao hao watu wenye uwezo wa kucontrol mind ya mtu, na mtu yeyote anaweza kupewa mafunzo jinsi ya kufanya hivyo kama alivyo elezea mmoja wao kwenye interview:



Police & FBI wanafahamika kwa kuwatumia psychics kutafuta na kubaini crimes na psychic mmoja alipoulizwa aliwezaje kubaini mwili wa murder victim, alielezea kwamba, aliwasiliana na mind of murderer ili kujua ni sehemu gani mwili ulipo.

Is God the collective consciousness of all livings beings?

Ilikuwa mwaka 1927 katika 5th Solvay conference mjini Brussels nchini Ubelgiji pale nadharia ya tabia za quantum mechanics(the subject of consciousness & the atomic world was at hand) ilipowekwa wazi, huku wakiwepo greatest minds in physics kama vile Curie, Heisenberg, Bohr, Lindman, na Plank kwa kuwataja wachache.

Heisenberg na Bohr approached Einstein with a new theory: THAT THE MINDS OF THE RESEARCHERS WERE AFFECTING THE RESULTS OF THE EXPERIMENTS. Einstein hakukubaliana nao kwa mara ya kwanza, lakini miaka michache mbeleni alikuja kukubali kwamba inatokea.


"All matters originates and exists only by virtue of a force, we must assume behind this force is the existence of a conscious and intelligent mind, this mind is the matrix of all matter."

Max Plank (Father of Quantum Physics)

"Current science can not handle or explain consciousness, so whenever there is a human observer present at an experiment, he causes a collapse of the wave function. A wave function is a mathematical construct that accurately predicts the probabilities of the outcomes of an experiment, but whenever there is a human present, he causes a collapse of the wave function, therefore rendering the experiment useless."


So they now isolate any human presence from the experiment sa as not to affect the outcome.

Kiukweli minds zetu are more powerful kuliko tunavyo amini, na zinafanya kazi constantly on a subconscious level.




Naomba ufanye jaribio kidogo, jaribu kutulia bila kufanya chochote, then utuambie ni vitu gani unaviona kwenye mind yako, uoni kama unawasiliana na minds zingine?, unaona mind yako ina operate vipi?, alafu utuambie.

Hii ndiyo sehemu ya mwisho katika muendelezo wa thread hii.

View attachment 2118754

View attachment 2118755

View attachment 2118757
Vitu kama hiv ndiyo unazidi kuwachanganya akili watu wa dini, hawawezi kukuelewa. Meditation mtu unaweza ukaongea na mtu yeyote bila hata kumuona, ramli inafanyika hivyo hivyo, na hiyo ni quantum mechanics, consciousness ndiyo force ya imani ya mtu, FBI, CIA haya mambo since kitambo wanafanya.
 
Hizi habari za Annunak ni story tu ambazo wameziandaa hao wazungu kama walivyofanya kwenye story za kidini. Zote ni nadharia za kufikirika
At least hizi za anu zinaweza kuwa proved vipi hizo za dini, how can u prove them by facts.
 
At least hizi za anu zinaweza kuwa proved vipi hizo za dini, how can u prove them by facts.
Ukiachana na maandiko yaliyoaandikwa kuhusu hizo habari za Annunak, je namna ipi nyingine ambayo mtu anaweza aka prove?
 
Ok.

Kwa nionavyo mimi tukianza na zilipoanzia dini huko ulaya na kwingineko tunaona watu wameyakimbia makanisa ni wazi watu kadhaa (mapadri masista na washirika wengine)waliohudumu huko wanakiri hili. Hata hapa Tz hili limejidhihirisha ni vile wavivu tu. Kwa mahali nilipo takwimu za waumini wa dini flani ni 700+ ila wanaohudhuria hawazidi 150+ kwa j'2 data wanazikusanya kupitia jumuiya n.k.

Ukiangalia na kusikiliza mahubiri ni sadaka na mahudhurio hafifu.
Sababu kuu ni watu kua waamini wa miujiza tu.

Hivi ni vitu vinaniaminisha kusema hivyo.
Dini haiwezi kutenda miujiza kamwe, wanatumia nguvu za giza kutenda miujiza kwa mgogo wa dini.
 
Siri Siri Siri!!

Hicho ndio kitu cha msingi kwenye masimulizi ya aina hii yani cha muhimu ni kwamba hizo ni habari za siri na wewe umebahatika kuzijua hivyo wewe zipokee kama zilivyo na kuziamini kwa sababu ni mambo ya siri. Haya masimulizi ukitaka uyaweke kwenye mtiririko mmoja hutoweza maana utakuta yanaji contradict. Chenye kuvutia watu kwenye haya masimulizi ni hilo neno siri!siri!siri ndio huwafanya kujihisi wameweza kujua mambo ya siri ambayo yalikuwa yamefichwa na kizuri zaidi yanapingana na habari za dini hilo pia huwapendeza waumini wa haya masimulizi. Ndio maana utakuta hadi atheist anaamini haya masimulizi ambayo mengine ndani yake yana mambo ya imani za miungu.

Yote hayo yanawezekana kwa sababu point ya msingi kwenye haya masimulizi ni ile hali ya kujiona umegundua siri ambayo imekuwa ikifichwa, muda mwengine utaona huyu kaeleza hivi kaja yule kaeleza vile wote hao wamegundua siri hata kama wanayoyaeleza yanapingana yenyewe kwa yenyewe.

Siri Siri Siri.
Hayapingani na ya dini, bali yanaelezea na kuweka wazi ukweli ya hayo masimulizi ya dini. Kama haya ni siri vipi hyo ya dini sio siri? Hujiulizi kwa nini hivyo vitabu vitakatifu vimeandikwa kwa mafumbo?, wakati lengo lao ni kiwafundisha watu kuhusu uumbwaji wao na aliyewaumba.
 
Hakuna watu ambao wanaamini kuwa imani/dini yao ndio sahihi kama hao, hata kama hivyo wanavyoamini si kweli ila kuna kitu spesho sana kwenye imani ya hao watu.
Hakuna kitu special ni uhuni na utapeli mtupu.
 
Mimi nimefuatilia huu uzi na umenivutia sana nimejua vitu vingi sasa nina hoja zangu ningeomba tuzijadili action and reaction are equal but opposite to each other tunaona kwa ushahidi kabisa watu wakiuza soul zao hasa watu maarufu na wanamuziki na wakishauza katika miziki yao lazima waonyeshe evil occult kama sadaka za damu na vitu vingi kama kuhamasisha ushoga ambao sasa hakuna movie nzuri itakayotoka ambayo haitaonyesha mambo ya ushoga yaani wanajitahidi kila kitu ambacho sio sahihi kionekane sahihi kwa vyovyote hizo ni negative power zinazotaka wanadamu tutende maovu sasa lengo la kutaka wanadamu tutende maovu na dhambi nyingi ni kwaajili ya kumkomoa nani au ili nini kitokee baada ya hapo,

Upande wa pili kuna nguvu kupitia vyombo vya dini no matter ukristo na uislam vinavyosisitiza tusitende maovu tupandane tusiwe na tamaa tuheshimiane yaani kwaujumla tusitendeane maovu.

Hapa ndio tunapata lengo la dini duniani tumezungukwa na negative energy nyingi na ndio maana tunafundishwa kuhusu positive energies.

Yesu au Mohammad kama walikuwepo au hawakuwepo ila kupitia wao tunajifunza kuwa na positive energy among each other hata kama hakuna pepo wala jehanamu ila kama uliishi kwa kutenda mema hata ukiondoka nafsi yako huko ilipo itaishi kwa amani tofauti na aliyetenda maovu kama mtu anadhani anaweza kumlawiti au kumnajisi mtoto mdogo na akajua akifa nafsi yake huko ilipo haitapata adhabu kwasbabu hakuna hell then Dunia ingekuwa mahala pasipokalika watu wasingeogopa kutenda maovu dini zilikuja kutuweka sawa no matter the style ila dini zote zinataka tutendeane mambo mazuri.
positive energy haikuletwa na Yesu wala Muhammed, iyo ipo by natural hao wote waliikuta.
 
Back
Top Bottom