Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Lakini je tumetokana na apes, kama ni hivyo mbona wa sasa hawabadiliki. Evolution kwa ujumla inaweza kuelezea matukio yaliyosababisha mabadiliko ya maisha na aina mbali mbali za maisha zilizokuwepo duniani, kuanzia kwenye kuumbwa kwa mtu, lakini evolution haiwezi kuelezea kuhusu uwepo wa binadamu wa sasa (modern man/Homo sapiens) na haina udhibitisho wowote wa kuonyesha jinsi mabadiliko ya ghafla kutoka Homo erectus kwenda Homo sapiens yalivyotokea.
Evolution si chochote kuhusu creation of man, usiishie kwenye kumeza hayo matheory ya darasani, jiongeze pia na hajasema man alitokana na apes.
Haukuona aliposema science inasema tumetokana na apes?? inaonekana yeye na wewe mnaipinga evolution ilihali hata hamuijui ni nini
 
Mkuu nenda..russia..china..korea..japan..india..etc...kule hawana dini zetu hiz mbili..je wanaishije?...wamelearn from where..nenda kule kwa eskimos...hawana din zetu hiz..nenda alaska etc..ujue sis tunahis hiz dini zetu ndo funga kaz mkuu...ujue christians tuko kama 1b..n muslims kama 600m...wanaobak more than 5b ni dini ambazo hawajui muhamad wala Jesus...ushajiuliza wanaishije wao?..je wana law n order au hawana?
Hao wanajua siri zote kuhusu Mungu, hawana muda na hizi dini.
 
Haukuona aliposema science inasema tumetokana na apes?? inaonekana yeye na wewe mnaipinga evolution ilihali hata hamuijui ni nini
wewe bogus kweli, mtoa mada hapo anauliza kama tumetokana na apes mbona wa sasa hawabadiliki tena?, evolution inaelezea mabadiliko yanayotokea/au yanayowez kutokea ila haiwezi kukupa ukweli kuhusu uumbwaji wa mtu. Kama unaamini hiyo evolution inaelezea uumbwaji wa mtu hebu tuelezee hapa tuone.

Na hoja zako za evolution amekujibu sehemu nyingine "Darwin was wrong " kapitie tena usome kama uliiruka.
 
wewe umepinga kuwa binadamu hajatokana na apes....evolution ishawahi kusema binadamu ametoka kwa nyani????
wewe huijui evolution lakini unaipinga
wewe ndiye huna unachojua kuhusu evolution, unawasumbua watu bure tu hapa, uliishia kumeza ya darasani tu.
 
kapinga kuwa hatutokani na apes...kwani nani kashawahi kusema tunatokana na apes???Evolution haijawahi kusema hivo wala charles darwin hakuwahi kusema hivo...hiyo ni strawman fallacy
Haya tuambie evolution ni nini, Darwin alisema nini kuhusu evolution? , na inawezekana hata historia ya evolution auijuhi kabisa.
 
Haya tuambie evolution ni nini, Darwin alisema nini kuhusu evolution? , na inawezekana hata historia ya evolution auijuhi kabisa.
unataka sasa nikae nikufundishe evolution nzima?? uliza kitu specific kwenye evolution sio unaulizia topic nzima nianze kukuelekeza
 
wewe bogus kweli, mtoa mada hapo anauliza kama tumetokana na apes mbona wa sasa hawabadiliki tena?, evolution inaelezea mabadiliko yanayotokea/au yanayowez kutokea ila haiwezi kukupa ukweli kuhusu uumbwaji wa mtu. Kama unaamini hiyo evolution inaelezea uumbwaji wa mtu hebu tuelezee hapa tuone.

Na hoja zako za evolution amekujibu sehemu nyingine "Darwin was wrong " kapitie tena usome kama uliiruka.
anapouliza 'kama tumetokana na apes" namimi namuuliza nani kasema tumetokana na apes??Evolution haijasema hivyo
mbona mnajitengenezea majibu yenu halafu mnayapinga?
 
Hayapingani na ya dini, bali yanaelezea na kuweka wazi ukweli ya hayo masimulizi ya dini. Kama haya ni siri vipi hyo ya dini sio siri? Hujiulizi kwa nini hivyo vitabu vitakatifu vimeandikwa kwa mafumbo?, wakati lengo lao ni kiwafundisha watu kuhusu uumbwaji wao na aliyewaumba.
Vitabu vya dini vinafundishwa yeyote akitaka kujifunza anajifunza na kuelewa ila haya masimulizi tunaambiwa ni siri kwa maana ni vitu ambavyo haviko wazi kwa watu wote. Yapo masimulizi mengi tu haya yanayoitwa ni siri na yote yanadai kuwa yanadai kuwa ndio ukweli uliyofichwa na wakati mwengine hayo masimulizi ya siri yanapingana yenyewe kwa yenyewe ila yote yanatumika kushambulia vitabu vya dini kuwa vinasema uongo na kwamba hayo masimulizi ya siri ndio yanaeleza ukweli wenyewe uliyofichwa.

Kuna mmoja huwa anasema kabisa et Biblia na Qur'an ni vyenye uongo na ndio maana vinagawiwa bure ila vitabu anavyosoma yeye vyenye hayo masimulizi ya siri vinaeleza ukweli ndio maana vinauzwa havitolewi bure.
 
Kwahiyo haya aliyoandika na kuleta hapa mtoa mada hujayaona au wewe umeona maandiko tu humu.
Mkuu najua umeamua kuamini kama vile mlevi wa dini anavyohubiri habari za Mungu kwasababu tu ndio imani yake imeelekea huko na umwambii kitu, Lakini hizo ni simulizi tu mkuu hakuna uthibitisho wowote ule. Labda kama nafsi yako imeamua kuona picha za michoro ndio kama facts kwako. Binafsi sioni tofauti na vitabu vya dini, au sioni tofauti na theory za darasani kuwa binadamu katokana na evolution kwasababu zote ni nadharia zinazotolewa kwa kuunganisha tu matukio.
 
Haukuona aliposema science inasema tumetokana na apes?? inaonekana yeye na wewe mnaipinga evolution ilihali hata hamuijui ni nini
Sawa ndugu mimi siijuhi evolution. Hebu naomba wewe unayeijua utuambia evolution inasema nini kuhusu origin & creation of man?
 
kapinga kuwa hatutokani na apes...kwani nani kashawahi kusema tunatokana na apes???Evolution haijawahi kusema hivo wala charles darwin hakuwahi kusema hivo...hiyo ni strawman fallacy
Ok sawa, hebu wewe tuambie Darwin alisema nini kuhusu evolution ili na sisi tujue hapa.
 
Back
Top Bottom