Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Kwakweli hapa tulipo yawezekana mpaka viongozi wazito wa dini wanajua yaliyo sirini hasa wale wa Vatican.
Mungu wa huruma aache watu aliowaumba wauane, wafe kwa njaa, waumwe na kuteseka.
Impossible
Vatican is unholy city, the architect of holocaust in the world.
 
Imani ya dini inawatum hvyo, kwhy waacheni hao.
 
jesuits,night of templor,freemasonry doctrine n hiyo hiyo
 

Hili Ni Jukwaa Huru Kama Hautojali Unaweza Kuweka Ushahidi Wa Haya Unayosema?

1 Wamiliki Mitandao Kujaribu Kuzuia Accounts Kadhaa Za Social Network Zilizokuwa Zikihoji Ukweli Wa Mambo Haya,

2 Wewe Ni Mhanga Wa Kufungiwa Akaunti Zaidi Ya Mara 4
 
uko sahihi,kwanini waseme Mungu hajulikani, hana mwili na alituumba kwa mfano wake na anatenda miujiza, inawezekanq kuna ukwel ila hapo walitupotosha either maksudi au kw malengo yao.
 
Majuzi tu, yani siku kama 5 zimepita, nimesoma habari ya BBC, Serikali ya Marekani (NASA)
Wameamua kuachia siri na kukubari ama
Kukikiri juu ya uwepo wa Alliens, na Uthibitisho wa Video....!
Hata hizi dini muda waja watausema ukweli.
 
Vitu kama hiv ndiyo unazidi kuwachanganya akili watu wa dini, hawawezi kukuelewa. Meditation mtu unaweza ukaongea na mtu yeyote bila hata kumuona, ramli inafanyika hivyo hivyo, na hiyo ni quantum mechanics, consciousness ndiyo force ya imani ya mtu, FBI, CIA haya mambo since kitambo wanafanya.
 
Hizi habari za Annunak ni story tu ambazo wameziandaa hao wazungu kama walivyofanya kwenye story za kidini. Zote ni nadharia za kufikirika
At least hizi za anu zinaweza kuwa proved vipi hizo za dini, how can u prove them by facts.
 
Nimesoma hadi nikaogopa mpaka nikawaza haya mambo yalitokeaje? Inaonekana hao viumbe walokuwa against Mungu nao walikuwa na nguvu maana nao waliweza kujaribu kufanya alichofanya MUngu dah.
Nguvu wanazo hata sasa.
 
At least hizi za anu zinaweza kuwa proved vipi hizo za dini, how can u prove them by facts.
Ukiachana na maandiko yaliyoaandikwa kuhusu hizo habari za Annunak, je namna ipi nyingine ambayo mtu anaweza aka prove?
 
Dini haiwezi kutenda miujiza kamwe, wanatumia nguvu za giza kutenda miujiza kwa mgogo wa dini.
 
Hayapingani na ya dini, bali yanaelezea na kuweka wazi ukweli ya hayo masimulizi ya dini. Kama haya ni siri vipi hyo ya dini sio siri? Hujiulizi kwa nini hivyo vitabu vitakatifu vimeandikwa kwa mafumbo?, wakati lengo lao ni kiwafundisha watu kuhusu uumbwaji wao na aliyewaumba.
 
Hakuna watu ambao wanaamini kuwa imani/dini yao ndio sahihi kama hao, hata kama hivyo wanavyoamini si kweli ila kuna kitu spesho sana kwenye imani ya hao watu.
Hakuna kitu special ni uhuni na utapeli mtupu.
 
positive energy haikuletwa na Yesu wala Muhammed, iyo ipo by natural hao wote waliikuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…