Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Ndugu zang mim niko flexible ktk haya maisha na Napenda Kujfunza kila jambo la maana...... Ktk mjadala huu nimejtahd kuptia comments karb zote.... Nataman sana kujua kuhusu hv vitabu viwil Quran na Biblia kwamba ni stori za kutungwa tu kwa maslahi ya wapanga mipango wa dunia au kuna ukweli kias gan ndan yake...? Mana ukifuatiwa referance nyngine Hufanya Kwa vitabu hv.,.... Nakarbsha kwa mwnye Uelewa na ushahidi pia ingekuwa poa zaid...
 

It is possible mkuu
 
Hili swali hawatakujibu zaidi ya bla bla

Yaani Annunaki waunde mtu ambaye ni dhaifu kuliko wao wawafanyie kazi ya uchimbaji dhahabu 🤣

Waulize kabla ya kuumba huyo mtu walikua wanaipataje hiyo dhahabu?
Nawewe nikuulize,kuna haja gani ya binadamu wa sasa kuunda ma robots kufanya kazi viwandani ilihali tunaweza fanya wenyewe kwa uwezo wetu??
 
Mwendawazimu
 
Baadhi zinaweza kuwa kweli, na baadhi inaweza kuwa zilipindishwa kwa maslahi ya watu wachache wenye malengo yao juu ya ulimwengu huu.
 
Sehemu ya 12, neno Mungu limetolewa maana na linatokana na lugha ya sumer.
 
Nani kasema tumeletewa waafrika tu, europe & America ni Afrika?, waafrika wanatumika kama mfano tu na hii ni kwa sababu ya kimazingira, hatuwezi kwenda huko mbali bila kuanzia hapa kwetu.
 
Binadamu wengine hawakutokana na annunaki!! Bali Mungu!! Biblia inawataja hawa km wana wa annaki, au anakim!! amabao yalikuwa majitu manene yenye vidole saba!! mpaka leo mabaki yao mapangoni yapo dhahiri!

moja ni ule unyayo mkubwaaaa wa Africa kusini uko kwenye jiwe!! na hawa annunaki walikuwa ni majitu makubwa sana, kila ukoo kila familia kabila na Lugha wana hadithi ya majitu makubwa ya kale kiswahili yana itw amazimwi, kijita yana itwa wesumwa amakaka!! kikurya yanaitwa wenani nk.. hata wewe mleta mada kwenye kabila lenu yamo yenye haditi za ivo!
 
Musa alipotuma wapelelezi wa kwanza kwenda kujua hali ya nchi yao ya ahadi hao wapepelezi walikuja na habri mbaya za kuwatisha wana wa israel kuwa wamekuta majitu manene marefuuuu!! wao ni km panzi tu kwao!!

Kitendo hiki cha uoga , vitisho kilimkasirisha Mungu!! akawaambia hamtaingia nchi ya ahadi! hata Musa kwa sababu aliwasikiiza hakuingia nchi ya aahadi, Musa akamlilia Mungu, Mungu akasema basi nitakuonyesha tu lkn hufiki!

na kweli MUsa hakuingia nchi ile!! alifia mlimani!! .....majitu hayo kisyansi yanaitwa Neandethals, na mpaka leo yapo masalia yao (wazungu) ndo pekee enye DNA za Neandethals amabao ndo ANNUNAKI yaani Nefilims kibiblia!

na wazungu walizuka ghafla kutokea CAuccas mountain takribani mika 600 iliyo pita wamegaini prominence ya kutawala Dunia! hawakuwepo mwanzo! na kibiblia walitabiriwa na James isome yoote hiyo!

alisema namnukuu'' watu wenye nguvu na watawala wa Dunia watatokea upande wa kaskazini!! '' kumbuka huyu aliongea haya akiwa middle east ya leo! ndo hao giant of the old!
 
Nani kasema tumeletewa waafrika tu, europe & America ni Afrika?, waafrika wanatumika kama mfano tu na hii ni kwa sababu ya kimazingira, hatuwezi kwenda huko mbali bila kuanzia hapa kwetu.
Mkuu wenyewe wanasema kabisa kwamba wazungu wameleta hizi dini ili kututawala waafrika kifikra.

Huko unapopataja wanasema walishaachana na mambo ya dini na kwamba waafrika tumeshikilia hizi dini ndio maana tupo nyuma kimaendeleo.
 
wana historia mpaka leo wanapo fanya utafiti wao bado wanapata mifupa yao! na mafuvu makubwa sana km mkokoteni na hasa hasa wengi wanakutwa Mabondeni! kwenye makorongo! kama kule Oldi vai gorge!!

mabonde ya nchin, Germny, na spain hasa Giblatar valley...walikutwa kule wengi tu! mpka leo! sasa kwa nini yakutwe mabondeni ??? inasemekana wengi walikufa kwa maji miili yao ikasombwa kuelekea mabondeni most probably Gharika ya Nuhu iliwapukutisha ki ivo!
 
Sasa hapo mpaka mtu aamini kuhusu hiyo gharika ya Nuhu.
 
Mwanadamu pekee aliyeumbwa na Mungu ni MWEUSI tu!! sasa jiulize ilikuwaje mijitu mikubwa minene yenye afya ikafa vinyonge vidogooo vyeusi vikabaki??? mpka leo wannyonge wasiokuwa na tech. ya maana hawafi na covid!

pamoja na ukimwi, Ebora, syphilis, na magonjwa mabaya yooote mabaya wanayoletewa weusi !! lkn bado weusi haohao wanazaliana kwa kasi ya ajabu ni wa pili kwa idadi Duniani!

Annunaki wapo mpaka leo na walikuwepo!! watakuwepo! hayo makanisa yoooote, Dini zote Ni mipango ya annunaki! ndo wafadhili wakubwa!!! kuna watu mpaka leo si binadamu wa kawaida ni annunaki! na wanakutana kufanya yao!

Sadadamu hussein aliwataka kuunganika nao!! ndo maana walimuua...na hawa mKuu wa annunaki wana sehemu zao za kutua na kukutaniana Mfano NI Mlima Moriah nchini Israel! area 54 kwa uchache na hizi maneo zinalindwa ni hatare hugusi wala kutisha pale !! kuna askari maalum wanaitwa CAMODUDE! Ukitaka kupotea mazima katiza hapa!

siraha zooote hizi za maangamzi zinatoka kwa annunaki
 
Kitabu kinachotumika sana hapa ni kimoja tu kati ya hivyo viwili.
 
Mwafrika mweusi ndo yuko na rangi km udongo... wala siyo mzungu sema mwenyewe wapi kuna udongo mweupe?, muhindi mchina wala muarabu never!! na ukizaa na hawa tu hawawi weusi bali weupe machotara!!.........hivi umewahi kujiuliza kwa nini mwafrica hapendwi anachukiwa na watu weupe Duniani??

tena kwanza hana madhara mtu wa watu ni mtumwa tu maskini! lkn anachukiwa mnooo! na ngozi nyeupe!!...Mungu alitamka wazi kuwa Nitaweka uadui kati ya uzao wako Hawa na Uzao wa nyoka!!

chunguza ngozi nyeupe tu!! haya majamaa meupe uzao wa annunaki hayatupendi weeeee!!...pamoja na kujitahidii kutuma misaada huku saaaana lkn wapi!....sasa jichanganye uoe au uolewe huko!! heee!

ni vizuri umuulize Remmy ongala sijui kama bado yupo ukweni kwake alivo fanyiwa!

popote pale huwezi kukaa kwa amani na ngozi nyeupe!! hata hapo Bongo tu wahindi, waarabu wako kivyao sana! wao ni karikaoo, Upanga, Posta tu baaasi!! na huko wana hotel zao, chips zao ,Hosp.zao km al jumaa, mitaa yao, makanisa yao, kipawa, vingunguti, changombe nk kule wanaishi viwandani mwao wako huko kibiashara zaidi,

siyo rahisi kumkuta mweupe muhindi, muarabu, amejichanganya uswahilini, hii ni kwa sababu Mungu alitamkakupitia Nabii Daniel kuwa namnukuu ''kamwe udongo na chuma havita shikamana daima!'' ndo sisi na hao!

hata ukizaa na muarabu, au mzungu atakwenda kwa ngozi nyeupe tu!! ni km wapemba weupe yaani hao ndo hawataki kusikia muungano! kabisaaa! japo mama zao ni wadengereko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…