Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Nguvu zipo, yeye aliumba but yeye aliwezaje kujiumba? Hiyo nguvu alitoa wapi?, Jaribu kuyafikiria haya maswali beyond your faith.
Mungu ndiye chanzo cha (Spiritual &Physical Universe) na huo ndio uweza wake. Je mkuu vipi uwewahi kufikiria beyond your faith kwamba ikiwa kiumbe "ANU" na "KI" ni viumbe "ME" na "KE" wenye mwili wa nyama na uhai wanaozaana kama binadamu wamewezaje kuumba kiumbe kingine chenye mwili na kumpa uhai? Kisayansi hii inaingia akilini? Kwanza Scietific Methodologically tu lazima tuprove kwanza kiumbe "Me" ambae ni "ANU" na kiumbe "KE" ambae ni "KI" wametokea wapi? Wamejiumba wenyewe, wamejiumbaje? (Scientifically)
 
Sawa Mkuu tuendelee,

(MOJA),
Unasema haujakubaliana na mimi either ni katika (Physical/Spiritual) . Unahoji kwanini Mungu awe na uwezo wa kuumba na yeye asiumbwe?

Hivyo hoja yako imejikita kutaka kujua kwanini Mungu asiumbwe.

Jibu,
(1) Mungu ndio chanzo cha ulimwengu usioonekana kwa macho(Spiritual) na ulimwengu unaoonekana kwa macho(Physical). Mungu alianza kwanza kuumba ulimwengu usioonekana kwa macho(Spiritual) kisha akaumba ulimwengu unaoonekana kwa macho (Physical)

Hivyo basi, Mungu hana chanzo bali YEYE MUNGU NDIYE CHANZO CHA ULIMWENGU WOTE USIOONEKANA KWA MACHO (SPIRITUAL) NA ULIMWENGU WOTE UNAOONEKANA KWA MACHO (PHYSICAL)

Kwa muktadha huo,
Ikiwa Mungu ndiye chanzo cha uhai na uwepo wote wa ulimwengu usioonekana kwa macho na ulimwengu unaoonekana kwa macho, YEYE MUNGU ANAWEZAJE KUWA NA CHANZO IKIWA YEYE NDIYE CHANZO?

Hivyo, Mungu hana chanzo bali yeye ndiye chanzo.

(2) Nakukumbusha Mungu hayupo physical in shape, huwezi kumuona wala kumgusa katika ulimwengu huu unaoonekana kwa macho (Physical). Chochote chenye mwili wa nyama lazima kiwe kimeumbwa na muumbaji (Scientifically). Hivyo Mungu yeye ndiye Muumbaji wa viumbe vyenye mwili katika ulimwengu huu unaoonekana kwa macho.

(MBILI),
Manifest ya yeye kuumba ametoa wapi?

Jibu, Huo ni uweza wake Mungu yeye pekeee mwenye uwezo huo wa kuumba. Hivyo ni uweza ambao anao yeye mwenyewe.

(TATU),
Unahoji kwanini wanaosema "ANU" na "KI" ni Beyond physical world tunakataa na tunataka science proof?

Jibu,
Nakataa kwa sababu kwa mujibu ya maelezo yako viumbe "ANU" na "KI" NI VIUMBE WENYE MWILI. hivyo:-

(i) Kiumbe chochote chenye mwili ni lazima kiwe kimeumbwa na MUUMBAJI wa kiumbe hicho. (Scientifically) hakuna kiumbe chenye mwili kinachoweza kujiumba chenyewe. Hivyo "ANU" na "KI" ni viumbe walioumbwa na MUUMBAJI.

(ii) Viumbe hao "ANU" na "KI" kwa mujibu wa maelezo yako ni wanafanana vina saba na binadamu, kwa maana wanazaliana. Kiumbe ambacho kina mwili, kimeumbwa na kinazaliana KINAWEZAJE KUWA MUNGU? KINAWEZAJE KUUMBA KIUMBE MWINGINE?(Scientifically)

(iii) Kwa mijibu wa maelezo yako ni kwamba viumbe hao "ANU" na "KI" ni viumbe waliotoka katika sayari nyingine. Hata utoke Sayari gani Sayari zote zipo kwenye ulimwengu unaoonekana kwa macho (Physical) ulioumbwa na MUNGU. Ndio maana vimeundwa vyombo ambavyo vimeweza kwenda sayari zingine na kuona yaliyomo kwenye sayari zingine na kuendelea kufanya utafiti. Sasa kama Sayari nyingine zingekua hazionekani vyombo vingeweza kufika na kucapture pictures? Inamaanisha kinachotofautisha kufikika na kuona yaliyomo kwenye sayari zingine ni UMBALI TU na NAMNA YA KUFIKA kwenye sayari hizo. Hivyo sayari zote zipo ulimwengu unaoonekana kwa macho. Kwa maana hiyo kwa mujibu wa maelezo yako hao viumbe Anu na Ki ni viumbe wa kufikirika. Hakuna ushahidi wa KISAYANSI unaokubali kwamba wao wameumba kiumbe BINADAMU. Kwa sababu kiumbe chenye mwili wa nyama na uhai hakiwezi kuumba kiumbe mwingine mwenye uhai na mwili wa nyama na pia kiumbe chenye mwili wa nyama na uhai hakiwezi KUJIUMBA chenyewe, (This is pure scietifically).

(NNE) MUNGU YUPO BEYOND (SPIRITUAL&PHYSICAL) HIVYO MUNGU NI MKUU, MWENYE UWEZA YEYE PEKEE WA KUUMBA VIUMBE WOTE KWENYE ULIMWENGU USIOONEKANA NA UNAOONEKANA KWA MACHO.

KUSHINDWA KUMPROVE KISAYANSI, HII NDIO INADHIHIRISHA UKUU WAKE KWAMBA YEYE NI ZAIDI YA KILA CHENYE UHAI NA MWILI.

Kwanini?
Kwa sababu yeye ni MUNGU. Ndio maana hata hao viumbe wa kufikirika Anu na ki nimewaprove tu kwa urahisi kisayansi ni kwa mujibu wa maelezo yako annunaki ni viumbe wenye mwili na HATA MABAKI YAO YA MIFUPA IPO, hivyo hao viumbe annunaki ni lazima wawe wameumbwa na hawawezi kuumba kiumbe chenye mwili. (Scietifically Proved)
Asante sana, ila mimi nikwambie kwamba hapa unajibu kiimani zaidi na siyo kisayansi na kiuthibitisho zaidi.

Na niseme tena kwamba MUNGU pekee katika ulimwengu huu ndiye wa kufikrika ANU siyo kiumbe wa kufikrika ni proved uwepo wake katika both spiritual writings (dini) & physical world.

Kuhusu yeye kuumba mtu nshaelezea sana, so ikiwa utakubaliana ni sawa na ikiwa utabaki katika msingi wako wa imani itapendeza pia.
 
bila kuwa physical basi hakuna nguvu, ili nguvu iwepo lazima kuwepo na ile physical force. Ama sivyo mkuu!?
Mkuu, Mungu ni zaidi ya hiyo Physical Force kwa sababu yeye ndiye muasisi na muumbaji ya Sayansi yote.

Unasema ili nguvu iwepo lazima kuwepo na ile physical force. Unaweza kuniambia hiyo physical force kwanza imetokea wapi? na ikawezaje kuform nguvu.
 
Mungu ndiye chanzo cha (Spiritual &Physical Universe) na huo ndio uweza wake. Je mkuu vipi uwewahi kufikiria beyond your faith kwamba ikiwa kiumbe "ANU" na "KI" ni viumbe "ME" na "KE" wenye mwili wa nyama na uhai wanaozaana kama binadamu wamewezaje kuumba kiumbe kingine chenye mwili na kumpa uhai? Kisayansi hii inaingia akilini? Kwanza Scietific Methodologically tu lazima tuprove kwanza kiumbe "Me" ambae ni "ANU" na kiumbe "KE" ambae ni "KI" wametokea wapi? Wamejiumba wenyewe, wamejiumbaje? (Scientifically)
Kama umeshindwa kuprove Mungu scientifically na wewe, basi inabaki pia kama challenge kuhusu uumbwaji wa Anu.

Na niongezee kwamba kama unaamini Mungu hakuumbwa, alijiumba, inaweza kuwa sawa kabisa na wanao amini Anu ndiye Mungu bila kujali ameumbwa au amejiumba, na tushakubaliana kwamba hakuna kiumbe kinaweza kuwa na manifest force ya kuumba bila chenyewe kuumbwa (scientifically).

Kwahiyo yanabaki kuwa mambo ya imani kupata jibu kamili na ulilokusudia haitakuwa rahisi.
 
Asante sana, ila mimi nikwambie kwamba hapa unajibu kiimani zaidi na siyo kisayansi na kiuthibitisho zaidi.

Na niseme tena kwamba MUNGU pekee katika ulimwengu huu ndiye wa kufikrika ANU siyo kiumbe wa kufikrika ni proved uwepo wake katika both spiritual writings (dini) & physical world.

Kuhusu yeye kuumba mtu nshaelezea sana, so ikiwa utakubaliana ni sawa na ikiwa utabaki katika msingi wako wa imani itapendeza pia.
Mkuu, ndio maana nimekuambia embu jaribu kufikiria tu.

Mfano wa uhalisia wa kisayansi.
Binadamu jinsia ya kiume na binadamu jinsia ya kike ni viumbe wenye mwili na uhai, uwepo wao duniani unategemea aliewaumba kwanza hao binadamu jinsia ya kiume na kike. Hii ina maana bila ya aliewaumba kuwaumba na kuwaweka duniani wasingekuwepo (Hii ni kisayansi kabisa)

Pia hao viumbe binadamu jinsia ya kiume na kike hawawezi kujiumba wenyewe na kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai, kwa sababu hao viumbe binadamu wana mwili na uhai. (hii ni kisayansi kabisa)

Sasa, hii ni sawa na kiumbe wa kiume "ANU" na kiumbe wa kike "KI" viumbe hao wana mwili na uhai kwa mujibu wa maelezo yako, mpaka mabaki yao yapo. Hii kisayansi inadhihirisha viumbe hao wameumbwa, hawana uwezo wa kujiumba wala kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai. Zaidi kabisa kwa kupatikana kwa MABAKI YA MIFUPA YAO HAO VIUMBE WANAKUFA KAMA VIUMBE WENGINE TU. SASA Je Mungu anawezaje KUFA????
 
Mkuu, ndio maana nimekuambia embu jaribu kufikiria tu.

Mfano wa uhalisia wa kisayansi.
Binadamu jinsia ya kiume na binadamu jinsia ya kike ni viumbe wenye mwili na uhai, uwepo wao duniani unategemea aliewaumba kwanza hao binadamu jinsia ya kiume na kike. Hii ina maana bila ya aliewaumba kuwaumba na kuwaweka duniani wasingekuwepo (Hii ni kisayansi kabisa)

Pia hao viumbe binadamu jinsia ya kiume na kike hawawezi kujiumba wenyewe na kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai, kwa sababu hao viumbe binadamu wana mwili na uhai. (hii ni kisayansi kabisa)

Sasa, hii ni sawa na kiumbe wa kiume "ANU" na kiumbe wa kike "KI" viumbe hao wana mwili na uhai kwa mujibu wa maelezo yako, mpaka mabaki yao yapo. Hii kisayansi inadhihirisha viumbe hao wameumbwa, hawana uwezo wa kujiumba wala kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai. Zaidi kabisa kwa kupatikana kwa MABAKI YA MIFUPA YAO HAO VIUMBE WANAKUFA KAMA VIUMBE WENGINE TU. SASA Je Mungu anawezaje KUFA????
Inawezekana ulidanganywa na Mungu anakufa na ni zaidi ya spiritual force moja.

Chimbuko la dini za leo ni maandiko ya dini za kale, na watu wa kale waliabudu Miungu Annunaki kama Mungu wao. Hao akina Yahweh, Elohim n.k ni Miungu.

I believe that kuna grand architect wa ulimwengu, ila siyo huyo Mungu wa dini za leo ambaye hajulikani, ana mwanzo wala mwisho.
 
Kama umeshindwa kuprove Mungu scientifically na wewe, basi inabaki pia kama challenge kuhusu uumbwaji wa Anu.
Unaposema kumprove Mungu scientifically una maanisha nini?
kuhusu uumbaji wa Anu kwangu sio challenge, kwa sababu kwa maelezo yako nimeshaprove kwamba hao ni viumbe walioumbwa na hawajaumba kiumbe binadamu, kwa sababu kwa maelezo yako hao viumbe Anu na Ki ni viumbe wenye mwili na mabaki yao yamepatikana ina maana ni viumbe wameshakufa na hawana uwezo wa kuumba kiumbe mwenye mwili na kumpa uhai.


Na niongezee kwamba kama unaamini Mungu hakuumbwa, alijiumba, inaweza kuwa sawa kabisa na wanao amini Anu ndiye Mungu bila kujali ameumbwa au amejiumba, na tushakubaliana kwamba hakuna kiumbe kinaweza kuwa na manifest force ya kuumba bila chenyewe kuumbwa (scientifically).
Yes, Mungu ndiye chanzo cha ulimwengu (Spiritual &Physical), hajaumbwa bali yeye ndiye MUUMBAJI. Unaposema wanao amini Anu ndiye Mungu bila kujali ameumbwa au amejiumba Je wewe ni miongoni mwa hao watu wanaoamini hivyo?
 
Inawezekana ulidanganywa na Mungu anakufa na ni zaidi ya spiritual force moja.
Neno "Inawezekana" ni neno lisilokuwa (proved) ni neno la assuming. Unaweza kunipa uthibitisho (with evidence) kwamba inawezekana nilidanganywa, na kwamba Mungu anakufa na ni zaidi ya spiritual force moja?


Chimbuko la dini za leo ni maandiko ya dini za kale, na watu wa kale waliabudu Miungu Annunaki kama Mungu wao. Hao akina Yahweh, Elohim n.k ni Miungu.
Sikatai mkuu, duniani leo kuna chimbuko la dini nyingi za miungu ambazo zenye mlengo hasi na chukizo mbele za MUNGU. Watu wa kale na hata wa sasa wapo wanaoabudu miungu potofu kinyume na kumuabudu MUNGU wa kweli.
I believe that kuna grand architect wa ulimwengu, ila siyo huyo Mungu wa dini za leo ambaye hajulikani, ana mwanzo wala mwisho
Unaweza kunipa uthibitisho kwamba kuna grand architect wa ulimwengu? Na kazi yao?

Unaposema ila siyo huyo mungu wa dini za leo ambaye hajulikani ana mwanzo wala mwisho, una maanisha Annunaki?
 
Unaposema kumprove Mungu scientifically una maanisha nini?
kuhusu uumbaji wa Anu kwangu sio challenge, kwa sababu kwa maelezo yako nimeshaprove kwamba hao ni viumbe walioumbwa na hawajaumba kiumbe binadamu, kwa sababu kwa maelezo yako hao viumbe Anu na Ki ni viumbe wenye mwili na mabaki yao yamepatikana ina maana ni viumbe wameshakufa na hawana uwezo wa kuumba kiumbe mwenye mwili na kumpa uhai.



Yes, Mungu ndiye chanzo cha ulimwengu (Spiritual &Physical), hajaumbwa bali yeye ndiye MUUMBAJI. Unaposema wanao amini Anu ndiye Mungu bila kujali ameumbwa au amejiumba Je wewe ni miongoni mwa hao watu wanaoamini hivyo?
Quez wewe ndiye unaamini hivyo kwamba Annunaki hawakumuumba mtu na siyo mimi.

Mimi naamini kwamba Annunaki kamuumba mtu, kutokana na references zangu na ndiyo maana nikaleta thread.

Kuhusu msimamo wangu kuhusu uumbwaji wao, bado ntaendelea na naendelea kuutafuta ukweli juu ya uumbwaji wao.
 
Neno "Inawezekana" ni neno lisilokuwa (proved) ni neno la assuming. Unaweza kunipa uthibitisho (with evidence) kwamba inawezekana nilidanganywa, na kwamba Mungu anakufa na ni zaidi ya spiritual force moja?



Sikatai mkuu, duniani leo kuna chimbuko la dini nyingi za miungu ambazo zenye mlengo hasi na chukizo mbele za MUNGU. Watu wa kale na hata wa sasa wapo wanaoabudu miungu potofu kinyume na kumuabudu MUNGU wa kweli.

Unaweza kunipa uthibitisho kwamba kuna grand architect wa ulimwengu? Na kazi yao?

Unaposema ila siyo huyo mungu wa dini za leo ambaye hajulikani ana mwanzo wala mwisho, una maanisha Annunaki?
Hilo neno lazima nilitumie kwa sababu sina uhakiki asilimia 100, ndiyo maana bado naendelea kuutafuta ukweli.

Uthibitisho ni kwamba huyo Mungu wako ni wa kufikrika tu, yaani hajaumbwa, hajulikani, hana mwanzo na mwisho kwahiyo nadiriki kusema kwamba haumujihi zaidi ya fikra za kiimani na sifa zake tu.
 
Neno "Inawezekana" ni neno lisilokuwa (proved) ni neno la assuming. Unaweza kunipa uthibitisho (with evidence) kwamba inawezekana nilidanganywa, na kwamba Mungu anakufa na ni zaidi ya spiritual force moja?



Sikatai mkuu, duniani leo kuna chimbuko la dini nyingi za miungu ambazo zenye mlengo hasi na chukizo mbele za MUNGU. Watu wa kale na hata wa sasa wapo wanaoabudu miungu potofu kinyume na kumuabudu MUNGU wa kweli.

Unaweza kunipa uthibitisho kwamba kuna grand architect wa ulimwengu? Na kazi yao?

Unaposema ila siyo huyo mungu wa dini za leo ambaye hajulikani ana mwanzo wala mwisho, una maanisha Annunaki?
Kwa sababu siamini uwepo wa hiyo single spiritual force ya kuumba ulimwengu, ndiyo maana naendelea kuutafuta ukweli juu ya grand architect wa huu ulimwengu, kwahiyo siku nikijilizisha kwamba ni fulani utapata jibu langu.
 
Hilo neno lazima nilitumie kwa sababu sina uhakiki asilimia 100, ndiyo maana bado naendelea kuutafuta ukweli.

Uthibitisho ni kwamba huyo Mungu wako ni wa kufikrika tu, yaani hajaumbwa, hajulikani, hana mwanzo na mwisho kwahiyo nadiriki kusema kwamba haumujihi zaidi ya fikra za kiimani na sifa zake tu.
Kwa hiyo mungu wako wewe unataka awe ameumbwa, awe na mwili, azaliane kama viumbe wengine na mwisho afe na mabaki ya mifupa yake iwepo?
 
Kwa sababu siamini uwepo wa hiyo single spiritual force ya kuumba ulimwengu, ndiyo maana naendelea kuutafuta ukweli juu ya grand architect wa huu ulimwengu, kwahiyo siku nikijilizisha kwamba ni fulani utapata jibu langu.
Kwa hiyo mpaka sasa bado haujapata ukweli?
 
Mimi naamini kwamba Annunaki kamuumba mtu, kutokana na references zangu na ndiyo maana nikaleta thread
Sawa Mkuu unaamini hivyo kwamba annunaki kamuumba mtu.

Sasa, annunaki ni kiumbe mwenye mwili kama binadamu, anazaliana na kufa kama binadamu na viumbe wengine wenye mwili na uhai.

Nakuuliza, Je kiumbe annunaki chenye mwili, kilichoumbwa na muumbaji, kinachozaliana na kinachokufa kimewezaje kumuumba kiumbe binadamu mwenye mwili pia na kumpa uhai? Kisayansi

Ikiwa tumeshakubaliana kwamba:-
(1) Muumbaji wa kiumbe annunaki haumfahamu

(2) Kiumbe chenye mwili hakiwezi kujiumba chenyewe na kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai (Scientifically).
 
Sawa Mkuu unaamini hivyo kwamba annunaki kamuumba mtu.

Sasa, annunaki ni kiumbe mwenye mwili kama binadamu, anazaliana na kufa kama binadamu na viumbe wengine wenye mwili na uhai.

Nakuuliza, Je kiumbe annunaki chenye mwili, kilichoumbwa na muumbaji, kinachozaliana na kinachokufa kimewezaje kumuumba kiumbe binadamu mwenye mwili pia na kumpa uhai? Kisayansi

Ikiwa tumeshakubaliana kwamba:-
(1) Muumbaji wa kiumbe annunaki haumfahamu

(2) Kiumbe chenye mwili hakiwezi kujiumba chenyewe na kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai (Scientifically).
Maswali yako ni ya kiubishi zaidi, nimeelezea jinsi alivyoumbwa mtu scientifically zaidi kuliko nadharia ya kiimani, kama hukuona sayansi iliyotumika siyo kosa, sijuhi neno Sayansi kwako wewe lina maana ipi.

Unaweza kuona labda maswali yako ni magunu sana kwamba umenikamata, lakini sivyo maswali yako ni mazuri sana na yenye logic ila majibu uliyokusidia kuyapata ni ya kiimani zaidi katika misingi ya kiimani hatuwezi kupata hitimisho la pamoja kihoja.

Mwisho niseme hao viumbe uwezo wao ni extraordinary level siyo kama sisi, kwa uwezo huo waliweza kumuumba mtu.

Kama Mungu amemuumba mtu kwa mfano wake, ila yeye unakubali kwamba ni extraordinary na hafananishwi na chochote, kwa nini nisiamini kwamba mtu ameumbwa na Anu & Anu is extraordinary level than his creature?

Nilikuuliza can you prove how God/Allah created man scientifically?, Ukashindwa umeishia kujibu mambo ya nadharia kwamba hana mwanzo, alikuwepo, atakuwepo na hafananishwi na kitu chochote.

Kwahiyo hiyo Sayansi unayoitaka zaidi ya nilichokiandika, hiyo Sayansi sina.
 
Mwanadamu wamemchoka Mungu Sana. Wanaleta Mambo ya ajabu ili tu iyonekane Mungu hayupo.
Kwa maajabu Sasa haya mambo aliyoleta mtoa mada yaliandikwa kitambo Sana kwenye tablets za Surimerians kabla hata dini na Mungu wa Israelites yaani Elohim/YWH/Jehovah hajaleta vitabu vyake mnavyoviita vitakatifu,
That's why watu wengi wanamuunga mkono Kwa sababu vina ushahidi na reference zenye uhakika na ithibati kisayansi na kijamii pia
Hivyo Naona yupo sawa!

Mpinge Kwa hoja!
 
Hayo ni mawazo yako mkuu.
Kiumbe annunaki si ameumbwa, si ana mwili na uhai alioumbiwa na aliyemuumba, si anazaliana kama viumbe wengine wenye mwili na uhai, si anakufa na mabaki ya mifupa yapo. Huyu kiumbe annunaki si kiumbe tu cha kawaida kama viumbe wengine, kawezaje kisayansi kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai?
 
Back
Top Bottom