Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kwani kabla hujazaliwa ulikua Kwa Annunak au Kwa Mungu?...Tukifa tunarejea Wapi? Kwa Annunaki ama kwa Mungu??
Toka uko na wewe.Mkuu Kwani kabla hujazaliwa ulikua Kwa Annunak au Kwa Mungu?
Halafu hapo unatenganishaje Annunak na Mungu wakati katika mythology za SUMERIAN ilipoanzia dhana ya Mungu/Miungu walikusudia ANU Ndie Mungu na chanzo Cha mamlaka ya juu kuliko zote katika sayari zote na Ndie mkuu wa Mbingu na Dunia?
Ukweli haukimbiwi inakubidi uumeze Hata kama mchungu ArifToka uko na wewe.
Na maannunak yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Ila sisi waamini dini bana 😀 😀 ,Sasa wewe unaamini Mungu yupo sababu umesoma kwenye kitabu (Bible / Qur'an) pekee,Mwenzano anaposema yeye anaaminiAnunaki walikuwepo sababu amesoma mabaki ya historia yaliyokuwepo zamani kabla hata hivyo vitabu vyako hajijaja,halafu bado unamuuliza eti ana ushahidi mwingine tofauti na maandiko??,Wewe una ushahidi mwingine kwamba Mitume walikuwepo tofauti na maandiko ya kwenye Qur'an/Bible??Mkuu nimekuuliza huko juu kwwmba kuna ushahidi ungine unaoonesha kwwmba annunaki kamuumba binaadamu zaidi ya ushahidi wa maandiko ?
Mantiki yangu ya kumuuliza hivyo nilitaka kujua kwamba wanatubeza watu wa dini kwa kuamini maandiko ya qurani na biblia kumbe na wao wanaamini maandiko hayo hayo katika vitabu vingine ambavyo vimeandika kuhusu annunaki.Ila sisi waamini dini bana 😀 😀 ,Sasa wewe unaamini Mungu yupo sababu umesoma kwenye kitabu (Bible / Qur'an) pekee,Mwenzano anaposema yeye anaaminiAnunaki walikuwepo sababu amesoma mabaki ya historia yaliyokuwepo zamani kabla hata hivyo vitabu vyako hajijaja,halafu bado unamuuliza eti ana ushahidi mwingine tofauti na maandiko??,Wewe una ushahidi mwingine kwamba Mitume walikuwepo tofauti na maandiko ya kwenye Qur'an/Bible??
Sasa kwa Nini wewe mwafrika mweusi utengwe na ulimwengu ??Ukweli haukimbiwi inakubidi uumeze Hata kama mchungu Arif
Wenzenu huko Yuropa na Marekani ukweli wameujua,Hadi Papa mtakatifu anaujua ukweli that's why unaona now wanafungisha Hadi ndoa za mashoga makanisani mwao
Lengo lao mfunguke akili wenyewe ya kwamba Dini ni utapeli wa kizamani Hauna impact yoyote Kwa kizazi hiki na wanafanya kusudio tu maana kuwaambia watu ukweli juu ya historia ya kweli ya binadamu na watu kuhusu Asili Yao itasababisha mass haisteria,
Hivyo wanaenda taratibu Kwa kuwafanyia vituko mpaka mshtuke akili!
Weka ushahidi hapa tuprove wrong!Sasa kwa Nini wewe mwafrika mweusi utengwe na ulimwengu ??
Kinacho kusumbua wewe, Ni kuchanganya history ya mweusi na ya rangi nyingine kua Ni wa pamoja.
Hapo umejichanganya, hao ma annunak ndio mababa wa rangi zigine zoteee, tofauti nayakwako
Walifanya machafu mengi Sana hao unao sema walikuumba kisa dhaabu[emoji23][emoji23].
Unacho kiamini ndio ushaidi wenyeweWeka ushahidi hapa tuprove wrong!
[emoji1787][emoji1787] kama inaingia akilini hivi!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], aisee nimegundua wapi wazungu wameitoa story ya Adamu na hawa...., aisee..., it could be true ila wameinyumbukisha sana hadithi, ile kusema kula tunda la mti wa katikati kumbe ni kufanya mapenzi yaliyopelekea kuzaana na kuujaza mno mji, ikabidi wengi wafukizwe ili nafasi itoshe huko paradise...
Ilete hiyo mkuu, ukipata mdaVatican ni hatari sana, nikisema niandike na tuchambue kuhusu siri za Vatican, mada inaweza kuchukua mwaka mzima. Nimesoma vitabu vitano tu kuhusu Vatican, machozi yalinilenga.
Au tuambie majina ya vitabuVatican ni hatari sana, nikisema niandike na tuchambue kuhusu siri za Vatican, mada inaweza kuchukua mwaka mzima. Nimesoma vitabu vitano tu kuhusu Vatican, machozi yalinilenga.
Duh! Kwahali hii nitakuwa padre kweli?[emoji848]Vatican ni hatari Kwa mstakabari wa Dunia hao jamaa ni mafia sana sikuamini pale niliposoma ya kwamba kumbe ndio founder wa Islam religion Kupitia ajent wao Father Waraqa na Mohammed Abdulla daaaa nikabaki kujisemea Hawa jamaa ni taasisi hatari sana!
Ila Sasa wenye dini zao ukiwaeleza watakuelewa basi?
[emoji848][emoji848][emoji848]
Jina la kitabu mkuuMkuu, tupo pamojaView attachment 2117486
Ungelia tu mkuu kwani shida ipo wapi?Ilete hiyo mkuu, ukipata mda