Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Maswali yako ni ya kiubishi zaidi, nimeelezea jinsi alivyoumbwa mtu scientifically zaidi kuliko nadharia ya kiimani, kama hukuona sayansi iliyotumika siyo kosa, sijuhi neno Sayansi kwako wewe lina maana ipi.
Hapana Mkuu, hakuna sehemu ambayo nimeku-accuse kwamba maswali yako au majibu yako ni ya kibishi, nimekua calm katika mjadala naomba sana tuendelee kwenye hoja kwa kurelax. Ukiniambia maswali yangu ya kibishi huko ni kuninyima haki ya kuhoji. Katika mjadala huu nimejikita kujadili kiimani(Spiritual) na kisayansi (Physical). Unasema umeelezea "MTU ALIVYOUMBWA KISAYANSI" na kiumbe annunaki.

Kwa mujibu wa (Science Methodology), ni kwamba Science haiamini katika imani inaamini katika facts and proving. nilikuuliza kuna kiumbe chenye mwili na uhai kinachoweza kujiumba chenyewe na kuumba kiumbe mwingine? Ukanijibu "HAKUNA".

Sasa, kama unasema umeeleza kiumbe annunaki alivyomuumba binadamu kisayansi, HUONI UNAJICHANGANYA? KAMA KISAYANSI HAKUNA KIUMBE CHENYE MWILI NA UHAI KINACHOWEZA KUUMBA KIUMBE MWINGINE MWENYE MWILI NA KUMPA UHAI, SASA KIUMBE ANNUNAKI MWENYE MWILI NA UHAI AMEWEZAJE KUUMBA KIUMBE MWENYE MWILI NA KUMPA UHAI?

Unajitetea kwa kusema kiumbe annunaki alikua ni EXTRAORDINARY, HUONI KAMA UKISEMA HIVYO UNAKUA UMEINGIA KWENYE IMANI/MIUJIZA? PIA UNAKUA UNAJICHANGANYA KWA KUMVISHA HUYO KIUMBE ANNUNAKI KWAMBA ANA UWEZO WA EXTRAORDINARY (IMANI/MIUJIZA) IKIWA HUYO KIUMBE ANNUNAKI KAUMBWA NA MUUMBAJI, ANA MWILI NA UHAI, ANAZALIANA NA ANAKUFA NA MABAKI YAKE YA MIFUPA YAPO, NA KISAYANSI HAKUNA KIUMBE MWENYE MWILI ANAYEWEZA KUUMBA KIUMBE MWINGINE MWENYE MWILI NA KUMPA UHAI.


Unaweza kuona labda maswali yako ni magunu sana kwamba umenikamata, lakini sivyo maswali yako ni mazuri sana na yenye logic ila majibu uliyokusidia kuyapata ni ya kiimani zaidi katika misingi ya kiimani hatuwezi kupata hitimisho la pamoja kihoja
Hiyo unasema wewe, mimi sipo katika misingi ya kukukamata. Nipo katika misingi ya HOJA (kiimani/Spiritual/Miujiza na Science/Physical) kwa sababu MUNGU ndiye muasisi na muumbaji wa (Spiritual&Physical Universe).


Mwisho niseme hao viumbe uwezo wao ni extraordinary level siyo kama sisi, kwa uwezo huo waliweza kumuumba mtu.
Hapa sasa ndipo unapojichanganya, unaingia katika imani/miujiza. Hii ina maana huna tofauti na mimi ambae hoja yangu ipo katika imani na sayansi (Spiritual&Physical).

Pia ukisema kiumbe annunaki yupo extraordinary, kisayansi yeye ni kiumbe tu chenye mwili na uhai amewezaje kuumba kiumbe mwingine (binadamu) mwenye mwili na kumpa uhai? ikiwa tumeshakubaliana kisayansi yeye hawezi kujiumba mwenyewe na kuumba kiumbe mwingine.


Kama Mungu amemuumba mtu kwa mfano wake, ila yeye unakubali kwamba ni extraordinary na hafananishwi na chochote, kwa nini nisiamini kwamba mtu ameumbwa na Anu & Anu is extraordinary level than his creature?
Mungu ni Extraordinary kwa sababu yeye MUNGU NDIYE MUUMBAJI WA ULIMWENGU USIOONEKANA KWA MACHO (SPIRITUAL) NA ULIMWENGU UNAOONEKANA KWA MACHO (Physical)

Nakuambia usiamini annunaki ameumba kiumbe binadamu. Kwa sababu:-

(i) kwa mujibu wa maelezo yako, kiumbe annunaki ni kiumbe tu kama viumbe wengine wenye mwili na uhai. Hivyo annunaki ameumbwa na hawezi kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai. Hii ni (Scientifically Proved)

(ii) Mabaki ya mifupa yao yanathibitisha kwamba wao annunaki ni viumbe wenye mwili, wameumbwa, wamezaliana na wamekufa. Kisayansi hakuna kiumbe chenye mwili kinachoweza kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili wa nyama na kumpa uhai.

(iii) ukisema annunaki ni extraordinary, unakua unakua umeingia kwenye (imani/miujiza) na kwamba annunaki wameumba binadamu kimiujiza, ikiwa wao annunaki wana mwili kama viumbe wengine. Hivyo kisayansi haikubaliki kwamba kiumbe chenye mwili na uhai kinachozaliana na kufa kiumbe kiumbe kingine chenye mwili na kumpa uhai.


Nilikuuliza can you prove how God/Allah created man scientifically?, Ukashindwa umeishia kujibu mambo ya nadharia kwamba hana mwanzo, alikuwepo, atakuwepo na hafananishwi na kitu chochote.

Kwahiyo hiyo Sayansi unayoitaka zaidi ya nilichokiandika, hiyo Sayansi sina.
Mkuu, haukuniuliza swali hili lakini kwa kuwa umeliuliza sasa nakujibu kama ifuatavyo:-

(Scientific Methodologically on how GOD created man)

Baada ya Mungu kufanya uumbaji wa vitu vyote katika ulimwengu unaoonekana kwa macho (Physical Universe) vitu kama jua, nyota, mwezi na sayari zote. Akaichagua sayari DUNIA na kuumba ardhi yenye rutuba, mimea na mazao ya kila aina, miti ya matunda ya kila aina, mito, maziwa na bahari, madini, mafuta, gas ardhini, upepo, vipindi vya majira mbalimbali ya mvua, joto n.k viumbe hai wa kila aina kama samaki, ndege, wanyama na mwisho kabisa MUNGU AKAMUUMBA MTU(BINADAMU)

How God created Man(human being)

Mungu alianza kwa kuumba mwili na organs zake zote na mifumo mbali mbali ya mwili wa kiumbe MTU(Binadamu) mwanaume kwa udongo na kumpulizia pumzi ya uhai, mtu huyo mwanaume akawa "NAFSI HAI" kisha akaumba kiumbe binadamu mwanamke pia.

Kwa pamoja akawa ameumba kiumbe binadamu wa "KIUME" na wa "KIKE". Kisha viumbe hao binadamu wa kiume na kike wakazaliana(REPRODUCTION)na kuijaza sayari dunia.

HIVYO NDIVYO MUNGU ALIVYOUMBA SAYANSI NA VIUMBE HAI WOTE KATIKA ULIMWENGU HUU UNAOONEKANA KWA MACHO (Physical Universese)
 
SEHEMU YA KWANZA.

Ukweli uliofichwa, unaopatikana kwenye vipande vya mawe vyenye jumbe kutoka sumerians, Babylonians, Akkadians.

Ukizungumzia kuhusu watu wa kale, maisha ya kale na viumbe waliofika duniani kutoka sayari nyingine huwezi kuwasahau annunaki. Historia kutoka katika summerian culture inaeleza kwamba, Annunaki waliabudiwa na walihusika katika kuhukumu mema na mabaya, gods and goddesses waliokuja duniani kumtengeneza mtu (modern man) kutoka kwenye ulimwengu mwingine, ambao unasemekana ni sayari ya Nibiru (sumerian God & Goddesses -the Annunaki, 2016).

Annunaki walitawala maisha na mifumo ya imani ya watu wa kale waliojulikana kama Mesopotamia, lakini ambao kwa sasa wanajulikana kama Tigris-Euphrates river system. Je walikuwa Mungu? hili suala ambalo linazua mkanganyiko kwenye hii saga.

Zecharia Sitchin, muhandishi na mtafiti na mtafsiri maandishi ya kale na msomi kutoka chuo kikuu cha London, anasema hawakuwa Mungu, japo walichukuliwa na kuabudiwa kama Mungu. Baada ya kufanya tafiti nyingi za maandiko ya kale aliitimisha kwa kusema kwamba, hawakuwahi kuwa Mungu, bali viumbe wa ajabu wenye nguvu waliokuja duniani kutoka sayari ya mbali Nibiru inayopatikana kwwnye mfumo wa sayari, ambayo uikaribia dunia kila baada ya miaka 3,500 ikiwa kwenye muhimili wake.

Creation of Human Race
Kutokana na ushahidi uliopatikana kutoka kwenye maandiko ya kale, inasemekana zaidi ya mamia ya maelfu ya miaka iliyopita walikuja viumbe waliofanana na Annunaki kwenye sayari ya dunia- Enki na Enlil, ambao walikuwa watoto wa Annunaki, katika kipindi hicho Anu alikuwa bado anaishi hadi millennia karibu na kuzaliwa kwa Jesus Christ.

Viumbe hao walikuwa na ujuzu mkubwa katika genetic manipulation, hivyo kwa kutumia ujuzi huu walifanya majaribio mengi (proto-human) ya kumtengeneza binadamu wa sasa(modern man) kwa kutimia teknolojia ya human cloning. Kivipi?, ntaelezea mbeleni.

Hebu turudi kwanza kwenye biblia na historia ya kuumbwa kwa mwanadamu. Historia ya Biblia ya uumbaji inatueleza kwamba, mwanaume na mwanamke hawakuumbwa kwa wakati mmoja, bali mwanamke alitolewa kwenye ubavu wa mwanaume (Adam), Adam akiwa mtu wa kwanza kuumbwa hapa duniani kutokana na maandiko ya Biblia, Kwahiyo Adam ndiyo mwanadamu wa kwanza kutokana na maandiko matakatifu ya Biblia takatifu. Je mwanamke alitolewaje kwenye ubavu wa mwanaume? (hapa imani ndiyo inatuongoza tuliache kwanza lilivyo).

THE CREATION OF MAN
Ushahidi wa kwanza kabisa, uliotafsiriwa na sumerians unaonyesha ya kwamba mtu (binadamu wa sasa) alitengenezwa/kuumbwa na Nefilim. Ushahidi huu umezua mkanganyiko kuhusu theory of evolution na Judeo-Christian tenets ambayo imeegemea kwenye Biblia, lakini ukweli ni kwamba ujumbe uliopatikana kutoka Sumerian texts, ndiyo unaoweza kudhibitisha hizo nadharia mbili.

Ukisoma kutoka epic of creation ya sumerians, imeelezwa kwamba uwepo wa mtu, ulitokana na uwepo wa Nefilim zama hizo, ambapo matukio mbali mbali yalirekodiwa, ,mfano tukio la Enlil na Ninlil, tukio lililotukia kabla hata ya uumbaji wa mtu, wakati ambao kwenye Nippur waliishi gods tu, vile vile maandishi haya yanaelezea kuumbwa kwa dunia na maendeleo ya mimea na maisha ya wanyama, hii inaweza kudhibitisha theories za mabadiliko (evolution) za sasa.

Sumerians texts zinaeleza kwamba, wakati ambapo Nefilim alikuja duniani kwa mara ya kwanza, sanaa ya kupanda mbegu za mazao, matunda na ufugaji wa wanyama ulikuwa bado haujaanza duniani. Vile vile Biblia inasema hivyo, kuhusu kuumba mtu kwa siku 6. Kitabu cha Genesis kimegusia hatua za kwanza za mabadiliko (earlier evolution stage):

No plant of the cleared field was yet on the earth,

No herb that is planted had yet been grown,

And Man was not yet there to work the soil.

Lakini vile vile Sumerians texts zote zinaeleza kwamba Miungu ilimtengeneza mtu ili afanye kazi yao. Creation of epic imelithibitisha hilo (Nukuu zote nitaziambatanisha zilivyo kwenye vitabu bila kuzitafsiri ili nisipindishe maana kwa msomaji):

I will produce a lowly primitive,

Man shall be his name.

I will create a primitive worker ,

He will be charged with the service of the gods,

that they might have their ease.

Neno mtu(man) limetokana na lugha ya Sumerians na Akkadians, ambalo lilitokana na maneno lulu (primitive ), lulu amelu (primitive worker), an awilum (laborer).

Turudi kwenye biblia, baada ya Mungu kumuumba mwanadamu, akampa bustani ya Eden aitunze na kuitawala dunia na vyote vilivyomo, lakini Adam na Eve wakamkosea Mungu kwa kula tunda la mti wa ufahamu. Mungu akasema tazama, mtu amekuwa mmoja wetu, kufahamu mema na maovu. Je huyo Mungu alikuwa anamwambia nani?, na Mungu anayezungumziwa hapa katika Sumerians ni Elohim (Annunaki).

Agano la kale limeweka wazi ya kwamba mtu hakuwa Mungu wala hakutoka mbinguni. Mtu wa kwanza aliitwa Adam kwa sababu aliumbwa kwa "adama" ambayo ina maana ya udongo wa dunia (mtu akifa tunasema ametoka mavumbini, amerudi mavumbini).

Adam aliumbwa katika picha na ufanano wa Muumba (Mungu), kuumbwa kwa ufanano huo, hakuachi wasiwasi wowote ya kwamba Mtu alifanana na Mungu kimwili, kimuonekano wa nje na ndani. Je mtu angewezaje kufanana na muumba wake? Mtu alitengenezwaje? (Majibu utayapata mbeleni).

Mnamo mwaka 1859 Charles Darwin alichapisha utafiti wake kuhusu evolution "On the Origin of Species by Means of Natural Selection, or the Preservation of Favoured Races in the Struggle for Life". Darwin kutokana na utafiti wake huo, alihitimisha kwa kusema kwamba, viumbe hai wote akiwemo mwanadamu ni matokeo ya mabadiliko(evolution by natural selection). Mwanzoni kanisa lilikuja juu kwa kumpinga lakini badae kadri wanasayansi na watafiti walivyozidi kutoa machapisho yao, kanisa likakubaliana.

Lakini je tumetokana na apes, kama ni hivyo mbona wa sasa hawabadiliki. Evolution kwa ujumla inaweza kuelezea matukio yaliyosababisha mabadiliko ya maisha na aina mbali mbali za maisha zilizokuwepo duniani, kuanzia kwenye kuumbwa kwa mtu, lakini evolution haiwezi kuelezea kuhusu uwepo wa binadamu wa sasa (modern man/Homo sapiens) na haina udhibitisho wowote wa kuonyesha jinsi mabadiliko ya ghafla kutoka Homo erectus kwenda Homo sapiens yalivyotokea.

Hominid ya genus Homo ni matokea ya evolution, lakini Homo sapiens ni matokea ya tukio la mabadiliko na mapinduzi ya haraka sana. Homo sapiens(binadamu wa sasa), ilitokea miaka 300,000 iliyopita, muda ambao ni wa karibu sana.

Watafiti na wanasayansi hawana maelezo ya nini kilitokea, kupelekea mabadiliko ya ghafla hivyo na kutokea kwa binadamu wa sasa, lakini jumbe kutoka sumerians na Babylonian zimeelezea. Agano la kale pia limeelezea.

Homo sapiens-modern man-aliletwa na miungu wa kale (ancient gods).

Aliletwa kivipi? na wapi?. Endelea kufuatilia hapa hapa.

N.B. Andiko hili linaweza lisiishe karibuni kwa sababu nataka niweke kila aina ya ushahidi ili kudhibitisha ukweli huu.

View attachment 2099862
Wewe umetengenezwa na Annunaki vipi kuhisu dunia unayoishi , Jua na Mwezi vimetengenezwa na nani?

Mungu anasema kuna binaadamu wengine akiwaingiza peponi atakuwa amewadhurumu yani wao haki yao ni kuingia motoni
 
Hapana Mkuu, hakuna sehemu ambayo nimeku-accuse kwamba maswali yako au majibu yako ni ya kibishi, nimekua calm katika mjadala naomba sana tuendelee kwenye hoja kwa kurelax. Ukiniambia maswali yangu ya kibishi huko ni kuninyima haki ya kuhoji. Katika mjadala huu nimejikita kujadili kiimani(Spiritual) na kisayansi (Physical). Unasema umeelezea "MTU ALIVYOUMBWA KISAYANSI" na kiumbe annunaki.

Kwa mujibu wa (Science Methodology), ni kwamba Science haiamini katika imani inaamini katika facts and proving. nilikuuliza kuna kiumbe chenye mwili na uhai kinachoweza kujiumba chenyewe na kuumba kiumbe mwingine? Ukanijibu "HAKUNA".

Sasa, kama unasema umeeleza kiumbe annunaki alivyomuumba binadamu kisayansi, HUONI UNAJICHANGANYA? KAMA KISAYANSI HAKUNA KIUMBE CHENYE MWILI NA UHAI KINACHOWEZA KUUMBA KIUMBE MWINGINE MWENYE MWILI NA KUMPA UHAI, SASA KIUMBE ANNUNAKI MWENYE MWILI NA UHAI AMEWEZAJE KUUMBA KIUMBE MWENYE MWILI NA KUMPA UHAI?

Unajitetea kwa kusema kiumbe annunaki alikua ni EXTRAORDINARY, HUONI KAMA UKISEMA HIVYO UNAKUA UMEINGIA KWENYE IMANI/MIUJIZA? PIA UNAKUA UNAJICHANGANYA KWA KUMVISHA HUYO KIUMBE ANNUNAKI KWAMBA ANA UWEZO WA EXTRAORDINARY (IMANI/MIUJIZA) IKIWA HUYO KIUMBE ANNUNAKI KAUMBWA NA MUUMBAJI, ANA MWILI NA UHAI, ANAZALIANA NA ANAKUFA NA MABAKI YAKE YA MIFUPA YAPO, NA KISAYANSI HAKUNA KIUMBE MWENYE MWILI ANAYEWEZA KUUMBA KIUMBE MWINGINE MWENYE MWILI NA KUMPA UHAI.



Hiyo unasema wewe, mimi sipo katika misingi ya kukukamata. Nipo katika misingi ya HOJA (kiimani/Spiritual/Miujiza na Science/Physical) kwa sababu MUNGU ndiye muasisi na muumbaji wa (Spiritual&Physical Universe).



Hapa sasa ndipo unapojichanganya, unaingia katika imani/miujiza. Hii ina maana huna tofauti na mimi ambae hoja yangu ipo katika imani na sayansi (Spiritual&Physical).

Pia ukisema kiumbe annunaki yupo extraordinary, kisayansi yeye ni kiumbe tu chenye mwili na uhai amewezaje kuumba kiumbe mwingine (binadamu) mwenye mwili na kumpa uhai? ikiwa tumeshakubaliana kisayansi yeye hawezi kujiumba mwenyewe na kuumba kiumbe mwingine.



Mungu ni Extraordinary kwa sababu yeye MUNGU NDIYE MUUMBAJI WA ULIMWENGU USIOONEKANA KWA MACHO (SPIRITUAL) NA ULIMWENGU UNAOONEKANA KWA MACHO (Physical)

Nakuambia usiamini annunaki ameumba kiumbe binadamu. Kwa sababu:-

(i) kwa mujibu wa maelezo yako, kiumbe annunaki ni kiumbe tu kama viumbe wengine wenye mwili na uhai. Hivyo annunaki ameumbwa na hawezi kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na kumpa uhai. Hii ni (Scientifically Proved)

(ii) Mabaki ya mifupa yao yanathibitisha kwamba wao annunaki ni viumbe wenye mwili, wameumbwa, wamezaliana na wamekufa. Kisayansi hakuna kiumbe chenye mwili kinachoweza kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili wa nyama na kumpa uhai.

(iii) ukisema annunaki ni extraordinary, unakua unakua umeingia kwenye (imani/miujiza) na kwamba annunaki wameumba binadamu kimiujiza, ikiwa wao annunaki wana mwili kama viumbe wengine. Hivyo kisayansi haikubaliki kwamba kiumbe chenye mwili na uhai kinachozaliana na kufa kiumbe kiumbe kingine chenye mwili na kumpa uhai.



Mkuu, haukuniuliza swali hili lakini kwa kuwa umeliuliza sasa nakujibu kama ifuatavyo:-

(Scientific Methodologically on how GOD created man)

Baada ya Mungu kufanya uumbaji wa vitu vyote katika ulimwengu unaoonekana kwa macho (Physical Universe) vitu kama jua, nyota, mwezi na sayari zote. Akaichagua sayari DUNIA na kuumba ardhi yenye rutuba, mimea na mazao ya kila aina, miti ya matunda ya kila aina, mito, maziwa na bahari, madini, mafuta, gas ardhini, upepo, vipindi vya majira mbalimbali ya mvua, joto n.k viumbe hai wa kila aina kama samaki, ndege, wanyama na mwisho kabisa MUNGU AKAMUUMBA MTU(BINADAMU)

How God created Man(human being)

Mungu alianza kwa kuumba mwili na organs zake zote na mifumo mbali mbali ya mwili wa kiumbe MTU(Binadamu) mwanaume kwa udongo na kumpulizia pumzi ya uhai, mtu huyo mwanaume akawa "NAFSI HAI" kisha akaumba kiumbe binadamu mwanamke pia.

Kwa pamoja akawa ameumba kiumbe binadamu wa "KIUME" na wa "KIKE". Kisha viumbe hao binadamu wa kiume na kike wakazaliana(REPRODUCTION)na kuijaza sayari dunia.

HIVYO NDIVYO MUNGU ALIVYOUMBA SAYANSI NA VIUMBE HAI WOTE KATIKA ULIMWENGU HUU UNAOONEKANA KWA MACHO (Physical Universese)
Unajitahidi sana kuandika na kujibu, ila mimi sijaona unachokitaka ni nini, unarudia vitu vile vile ambavyo nshajibu na kujadili, sehemu zote za huu uzi, haya yote unayokazana nshaelezea, ndiyo maana nimekwambia kama unaongozwa na imani ya dini hatutapata muhafaka.

Mimi ntakuwa wa mwisho kuamini binadamu wa sasa ameumbwa na huyo Mungu wa imani za dini, hata hii universe siyo yeye, utauliza ni nani?, Nshakwambia naendelea kuutafuta ukweli.

Kwahiyo kwa kuzingatia yaliyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu na references zangu nilizotumia na ninazoendelea kuzisoma na kuzitafakari naamini Annunaki amemuumba mtu.
 
Wewe umetengenezwa na Annunaki vipi kuhisu dunia unayoishi , Jua na Mwezi vimetengenezwa na nani?

Mungu anasema kuna binaadamu wengine akiwaingiza peponi atakuwa amewadhurumu yani wao haki yao ni kuingia motoni
Umesahau ya kwamba Mungu anasamehe dhambi ukiungama, kwahiyo ukichinja watu kama kuku, ukazini n.k, ukitubu unasamehewa na peponi unaenda.
 
Kitu ambacho kimeshangaza wanasayansi wengi ni ile elimu ya kabila la dogoni "THE DOGON TRIBE" kule nchini Mali. Ambapo wao husema kwamba asili yao ni Misri ya kale (Ancient Egypt), na wanasema walihama na kuja Mali. Walihama pia na ujuzi wao wa siri kutoka Misri ya kale. Miaka 70 iliyopita wanasayansi wa mambo ya anga walikutana na chifu wa kabila la Dogoni na kwasababu walimuamini walimpa baadhi ya siri za kabila lao.

Kilichoshangaza sana ni kwamba hawa jamaa walikuwa na michoro ya mfumo wa jua (The Solar System) na sayari zake zote ambao una miaka zaidi ya 2000. Kilichoshangaza zaidi ni kwamba walikuwa na michoro mingine ambayo ilionesha mkusanyiko wa sayari nyingine ambazo ziko nje ya mfumo wetu wa jua. Sayari hizo zinaitwa Sirius, na wakaonesha jinsi zilivyojipanga. Baadhi ya wanasayansi wa NASA walihisi ni uongo labda, lakini miaka 70 mbele wakakuta ile michoro iko sahihi na sayari kweli zimejipanga vilevile.

Ambacho wadogoni wanaamini ni kwamba ule utaalamu walifundishwa na miungu wao maelfu ya miaka iliyopita kule Misri ya kale. Pia Mfumo wa sayari wa Sirius ndiko ambako miungu wao wanaishi. Hili lipo Officially Documented na unaweza kulitafuta mtandaoni na kulipata........

Sasa unachokisema kuhusu imani za Kisumeria na miungu kutokea angani kipo karibia kwenye tamaduni nyingi za kale ambazo hazijawahi kuwa na muingiliano wowote ule. Ukiangalia michoro ya Misri ya Kale, Michoro ya Babeli, Michoro ya Umedi na Uajemi utatambua kuna mambo mengi sana yamefanana. Kuna sehemu utaona binadamu wadogo wakiabudu binadamu wakubwa na warefu kuliko wao waliotokea juu. Au utakuta binadamu ana uso wa mnyama na mabawa.

Meso-America nako ni hivyohivyo: The Aztecs, The Mayans, The Anasazi na wengine wana ushahidi wa kihistoria wa kutembelewa na miungu wao kutokea angani, ambao waliwapa maarifa na ujuzi wa baadhi ya vitu. Ukija kwenye tamaduni za Kiyahudi kwenye kitabu cha Henoko (The Book of Enoch) na Kitabu cha Jasher (The Book of Jasher) unaambiwa kwamba baada ya anguko la Adamu na Hawa, malaika 200 (The Watchers) wakiongozwa na Semyaza walishuka duniani na kuzaa na wanawake binadamu.

Wakazaa nao na kutoa wanefili, halafu wakaanza kuwafundisha elimu za kila aina kama kusoma nyota, miti-shamba, uchoraji, uhunzi, na kutengeneza dhana za kivita. Wasomi wa masomo ya kibiblia wanaenda mbali zaidi na kuzungumzia mambo ya ajabu yaliyofanyika kwenye kitabu uzao wa Kaini kwenye kitabu cha MWANZO 4, ambapo vitukuu vya Kaini yaani Yabali, Yubali na Tubal-Kaini ndiyo waliofanya ugunduzi wa mambo makubwa duniani.

Yabali aligundua mbinu za kilimo, Yubali akagundua muziki na vyombo vyake na Tubal-Kaini akagundua kufua chuma. Sasa ni sawa na kusema leo hii nyumba moja itoe watoto kama Tesla, Einstein na Mozart, jambo linaloshangaza kidogo. Yaani watoto wa Lameki ambaye ni mjukuu wa Kaini ndiyo wagundue kila teknolojia muhimu duniani kwa wakati huo ??? Kuna mambo yanashangaza kidogo.

Mwisho kabisa: Lakini pia vita ya Annunaki, baina ya miungu Enki na Enlil kugombaniana utawala wa dunia hii na nani awe nani. Wanasayansi walichimba mafuvu ya kale eneo la Babeli na kutambua yana mionzi (Radio-Active Carbon Isotope). Najiuliza sana teknolojia ya kinyuklia ambayo sisi tunajivuania kugundulika mnamo karne ya ishirini, iliwezaje kufanana na mionzi ambayo imekutwa kwenye mafuvu ya watu wa Mesapotamia ya kale. Kuna mambo yanafikirisha ati ??? Hili nalo ushahidi wake unaweza kuupata kule Britannica....

Historia na vitabu vitakatifu vya dini kama AGANO LA KALE linakiri uwepo wa hawa miungu wengine huko Babeli, Uajemi na Misri. Biblia inasema kwamba YHW (YAHWEH) alisema kabisa anawachukia sana hawa miungu wengine. Lilikuwa ni kosa la kuuwawa endapo Muhebrania ukikamatwa unafanya ibada za Babeli (Assyrians/Sumerians) au zile za kimisri za kuabudu hawa (Annunaki a.k.a The Ancient Astronauts).

YAHWEH mwenyenye anakiri kwamba hawa viumbe uliowataja "The Annunaki" kuwepo, na amewaita kwa majina mengi kama "malkia wa mbinguni" au "Jeshi la mbinguni" au "mkuu wa uajemi" au "miungu ya misri" lakini kwanini awachukie sana na kukataa kabisa wahebrania kushirikiana nao ???

Ikumbukwe Babeli ya Nimrodi baada ya gharika ya Nuhu walikuwa wanawaabudu "Annunaki" , hii ni moja ya sababu ya YAHWEH kuwatawanya kwa nguvu. Pale sisi tunasema kwamba lugha zilivurugwa lakini kuna mambo mazito yalitokea hadi watu wakaacha kujenga mji na mnara na kukimbia. Hebu tusaidiane wadau...
Ninachofurahi ni huyo Mungu kuwashughulikia wanaoabudu hiyo miungu anavyotaka na pia ndio Mungu mshindi wa kila vita against hiyo miungu. Pamoja na hizo historia nzuri ulizosema lakini kikubwa ni kumuabudu Mungu mwenye nguvu kuliko miungu yote.
 
Ninachofurahi ni huyo Mungu kuwashughulikia wanaoabudu hiyo miungu anavyotaka na pia ndio Mungu mshindi wa kila vita against hiyo miungu. Pamoja na hizo historia nzuri ulizosema lakini kikubwa ni kumuabudu Mungu mwenye nguvu kuliko miungu yote.
Wapi Huyo Mungu aliwashughulikia wanaoabudu miungu mingine nami nijiridhishe na source ya kuaminika?
 
Unajitahidi sana kuandika na kujibu, ila mimi sijaona unachokitaka ni nini, unarudia vitu vile vile ambavyo nshajibu na kujadili, sehemu zote za huu uzi, haya yote unayokazana nshaelezea, ndiyo maana nimekwambia kama unaongozwa na imani ya dini hatutapata muhafaka.

Mimi ntakuwa wa mwisho kuamini binadamu wa sasa ameumbwa na huyo Mungu wa imani za dini, hata hii universe siyo yeye, utauliza ni nani?, Nshakwambia naendelea kuutafuta ukweli.

Kwahiyo kwa kuzingatia yaliyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu na references zangu nilizotumia na ninazoendelea kuzisoma na kuzitafakari naamini Annunaki amemuumba mtu.
Mkuu, annunaki ni kiumbe mwenye mwili na uhai amewezaje kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili(Binadamu) na kumpa uhai? Ikiwa kisayansi hakuna kiumbe chenye mwili wa nyama na uhai kinachoweza kuumba kiumbe mwingine mwenye mwili na uhai.
 
aaahaa sawa,nimeona swali lako,
Mimi kua Atheist hakunizuii kuunga mkono dhana ya Annunak kama Kuna fact ya kuprove uwepo wao,
Annunak nilivyowasoma na kuona KAZI zao hainipi kibali Cha kuwaona wao ni Mungu/miungu
Ila kwenye Huu mjadalia nikiwa kama open minded nimejaribu kuwaelezea kama viumbe kutoka Orion's na ni viumbe kama ilivyo Mimi na wewe tu ila wao ni wenye ujuzi kutuzidi Toka zamani zisizo hesabika,
Sasa Nije kwenye msingi mkuu
Wa atheist
Atheist hatuamini Mungu wa wa kinadharia na anayejengewa picha Fulani mfano huyo mnaemwabudu nyie na kudai yupo na ana ujuzi wote,maarifa yote,aliumba mbingu na ardhi,anatoa hukumu Kwa viumbe
Mfano binadamu waovu kuwachoma moto wa milele,ukifa anachukua Roho Yako anaipeleka sehemu mbaya au nzuri kulingana na matendo Yako ma Kwa matakwa yake,

Mungu mwenye hasira,wivu,kisasi,chuki,ubaguzi,ambaye hajui Nini h
anasimamia,kigeu geu,

Anaeumba vitu vinavyomzidi Nguvu mfano Shetani,
Mungu anayeleta shida na matatizo Kwa binadamu Kwa kuwaletea na kuruhusu majanga ya Asili kama
Vimbunga,matetemeko,tsunami,magonjwa,njaa,vita Kwa watu wake huyo Mungu mwenye contradiction mpaka kwenye dini anadai za kwake na tumwabudu na zinagawa kimatabaka watu na kuleta mvurugano Halafu anaaminisha raia ni majaribu tu anayowapa watu wake

My friend huyo Mungu Mimi nikiri wazi hayupo,hajawahi kuwepo na hatakuja kuwepo ni wakutungwa tu na wahuni wachache
Hiyo ndio dhana ya ki Atheist nayoisimamia Mimi huyo Mungu wenu hayupo,

Narudia huyo Mungu hayupo!
Kamweee!
Kama unabisha thibitisha uwepo wake!
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun
 
Inashangaza watu wa kizaz cha leo kujidanganya kuwa eti wamestaharabika na wapo ktk nyakati zenye maendeleo na technologies kubwa kulko nyakati zlzopita[emoji23].

Ukweli ni kwamba, maisha ya sasa na maendeleo ya sas ni kivuli cha maisha yaliyopita, yaan namaanisha maisha ya vizaz vya watu wa kale ndio yamepelekea hivi leo tunatumia theories & concepts zao zote ktk maisha.

Waafrika waishio Afrika Wengi hawajui hii history sabbu ya changamoto za kikoloni zilizopelekea wao kusoma aina moja ya elimu za uongo ambazo zimo ktk dini za uislam na ukristo, bila kusahau zile elimu uchwara za mashuleni, hizo zote zmepelekea waafrika kuwa brainwashed kwa kutojua upi ukwel.

Ni kwel hayo mtoa mada aliyoyaandika japo naye kuna mambo kachapia, eeh kachapia maana hata hizo tablets za ancients Sumerians zmeshapita ktk mikono ya wahuni wa sasa na kupelekea kuchakachua baazi ya maandiko na kuacha public yale waliyoona hayana madhara kwa jamii ikijua.

Ukweli ni kwamba, KtK ulimwengu wa Viumbe wasio wa kibinadamu(mbingu), kuliibuka mgogoro, ambao ulipelekea kiongoz wa mgogoro huo kufukuzwa ktk himaya ya viumbe hao wa kiroho.

Kufukuzwa kwa kiumbe huyu, kulimpa hasira na kumfanya aunde mbinu za kupambana na MKUU wa Uumbaji wa Roho zote na Limwengu&malimwengu yote,ambapo wana dini wanamuita huyu MUNGU.

Sasa baada ya Huyo Mungu kumuumba mtu kutoka ktk udongo mweusi na kupelekea kuibuka kwa kiumbe mtu mweus ambaye ndye huyo dini za uongo zinamuonesha kama mzungu na kumuita Adamu.

Kiukwel huyo mtu alikuwa mweus kwakuwa katoka ktk tope jeusi.

Baada ya yule msaliti aliyefukuzwa ktk ulimwengu wa Kiroho(mbingu) kufahamu kuwa kuna kiumbe kaumbwa dunian na kuna viumbe wengine wengi wameumbwa, akaamua kuchukua majeshi yake na kuja dunian kumuhadaa huyu mtu,

japo alifanikiwa kumdanganya kwa mambo mengi lkn ajenda yake haikufanikiwa, mpka pale idadi ya watu weusi dunian kuongezeka na kutapakaa kila sehemu, ndipo kiumbe huyo(shetan) alirudi upya na majeshi yake ya Viumbe wa kiroho(malaika) wakajibadili maumbo yao na mionekano yao ili wafanane na watu weusi, na ndipo waliibuka ktk maeneo mbalimbali na kujichukulia mabinti na kuzaa nao.

Hawakuishia kuzaa na binti wa watu, bali mpka kwa wanyama, na samaki.

Matokeo yake liliibuka Zao la machotara tokea kila aina ya mimea,wanyama na watu walio shiriki Ngono na hao viumbe,

machotara hao kwa upande wa kiutu ndio hayo majitu makubwa na uzao wa binadamu ukatokea, ujue kutofautisha kati ya binadamu na mtu ni vitu viwil tofauti.

Uzao wa binadamu inamaanisha watoto machotara waliozaliwa kwa muingiliano wa binti wa watu na viumbe wa kiroho kutoka ktk ulimwengu tofauti, na matokeo yake ni haya matoto kukosa Asilimia za utu katika miili yao na kupelekea ngoz zao kuwa nyeupe sabbu ya DNA zao za muingiliano wa viumbe wa aina tofauti.

Hata ktk wanyama yaliibuka maviumbe ya ajabu na makubwa mifano ni mingi sana, kama wale dainaso mnaowaona ktk tv, samaki watu, farasi watu, nyoka watu, masokwe&nyani, na jamii zote za mahomo sapiens,.

Lengo la huyu msaliti(shetani) kuleta Viumbe Chotara , ilikuwa ni kuuwa asili iliyoumbwa na Mungu kwa kuleta ushindani na kufuta asili yote kwa kuweka viumbe fake,na ufake huu unaendelea mpka leo kwa dada zetu kufake mionekano yao ili wafanane na hayo machotara/manefili ya kizungu,kiarabu,kihindi,china na weupe wote.

Baada ya kuibuka kwa hao viumbe, dunia ilichafuka kwa maovu mengi yaliyopelekea umwagikaj damu wa wanyama wasio na hatia pia watu Og kuonewa na hao wanadamu ambao walikuwa na nguvu za kiroho walizorithi kutoka kwa baba zao yaan wale fallen Aliens/angels, pia walikuwa na nguvu za kimwil sabbu ya mionekano yao, hii ilipelea uonevu mkubwa sana kwa jamii za watu weus ambao miili yao ilikuwa normal kulngana na uumbaji wao OG.

Falme nyingi za machotara ziliibuka ambazo zilideal na machukizo mengi sana mfano kufundisha watu sanaa ya vita,ulaji wa nyama za wanyama, ibada za kishetan,kuabudu sanamu, Ngono za jinsia moja, mauwaji makubwa na fujo nyingi.

Vilio vya watu Original (black people) ndvyo vilipelekea Muumba wao kuwasikia na kuamua kukifuta kizaz cha hayo machotara kupitia gharika.

Gharika ilo ndilo hata ktk dini zenu za uongo zinamtaja huyo nuhu, japo kiuhalisia nuhu wa biblia hajawai kuwepo maana ni jina la uongo lilitungwa kwa kuiba history ya mtu mweusi na kuleta hayo machukizo ya kusadikika.

Mujue kuwa ile gharika iliua hawa viumbe kimwili tu na sio kiroho,

roho zao ziliendelea kuexist mpka hiv leo, na ndizo hizo roho zinazosumbua watu, ndizo muitazo majini,mapepo,vibwengo, mizimu, hii yote ni jamii ya viumbe machotara waliokufa ktk gharika na roho zao kuendelea kuishi kiroho,lkn wakitaka kuja kimwil inawalazimu wakopi mionekano ya viumbe wa kimwil ili waonekane.

Ktk gharika ni wengi waliopona tofauti na dini zenu znavyosema walpona watu7 pekee, si kweli, watu 7 waliotajwa ni weusi tu, na baazi ya binadamu wa rangi nyeupe walioukana uovu na kuungana na mtu mweusi ndipo wokovu uo umepelekea tunaona mpka leo dunia imejazwa na watu wa kila race na rangi zao, or otherwise dunia ilitakiwa iwe imejaa watu weusi tuu, maana ndio viumbe halali kuishi dunian,

Hata huko baharini,ziwani na mitoni kuna viumbe waliofukuzwa na kufa kimwil lkn roho zao zipo hai na ndizo hizo zmeunda falme zake ambazo utakuta ktk bahar kuna majini na mashetan ambayo haya yoote mionekano yao ni binadamu weupe,

Ujuwe kuwa by Originally hakuna mzimu, pepo wala jini mweusi, bali hucopy muonekano wa mtu mweus ili kuharibu Nature, ila rangi zao halali za laana ni nyeupe Full stop.

Elimu hii ipo Deep sana siwezi eleza kila kitu hapa nitawachanganya Wajinga na wavivu wa kuelewa mambo.

Tuna mengi ya kujifunza.View attachment 2103438
Mtoa mada kanichanganya kidogooo ila wewe UMENIVURUGA MKUU,HAPA UMENIVURUGA KABISAA
 
Kwenye kitabu cha The Babylon Code, Paul McGuire amekuja na nadharia yake kwamba walitaka kutengeneza The Star-Gate ambayo itawafanya waweze kuingia kwenye ulimwengu wa roho endapo YAHWEH ataleta gharika nyingine. Lakini pia ilikuwa ni njia ya kuwarudisha wale miungu wao kwenye huu ulimwengu wa mwili baada ya kuondolewa na gharika. It's an interesting book....
Sasa gharika TU inamuondoa ANNUNAKI????aisee Sasa kwanini nisimuabudu huyo aloleta GHARIKA?KUANZIA LEO NAKUABUDU NA KUKULILIA WEWE TU..
 
Hivi Annunaki walikuwa miungu au viumbe tu?

Anunaki ni viumbe tuu ambao wapo wa namna 2 mkuu aina ya kwanza ni wale supreme beings of pure green light ndio asili yao na kuna anunaki wengine wa impure amber light asili yao ni moto. Hawa pure supreme annunaki wa green light wameumbwa na mwanga wa kijani na hao impure sub-supreme beings wameumbwa kwa moto mfano wao ndio majini, vampires, na negqtive energies zote za uharibifu na hao annunaki wa kijani ndio wanadamu tunawaita Malaika.

Annunaki mfano wao ni kama binadamu kuna wazuri na wakarimu na kuna wabaya wenye roho mbaya. Kama wewe ni mtu mwema msaada wako upo kwa hao annunaki wema ambao ni wakijani na kama una roho mbaya msaada wako utaupata kwa hao annunaki wa moto ambao ndio majini.

Ili kuwafikia annunaki supreme beings unatakiwa uwe na pure of heart. Lakini ili uwafikie majini annunaki ambao ni amber light fire uwe mchawi na mwenye roho mbaya. Ndio mana kuna watu wakienda kwa mganga hawqfanikiwi na wengine wakienda wanafanikiwa. Jua asili ya chimbuko lako ndio utapata msaada sahihi.
 
Inashangaza watu wa kizaz cha leo kujidanganya kuwa eti wamestaharabika na wapo ktk nyakati zenye maendeleo na technologies kubwa kulko nyakati zlzopita[emoji23].

Ukweli ni kwamba, maisha ya sasa na maendeleo ya sas ni kivuli cha maisha yaliyopita, yaan namaanisha maisha ya vizaz vya watu wa kale ndio yamepelekea hivi leo tunatumia theories & concepts zao zote ktk maisha.

Waafrika waishio Afrika Wengi hawajui hii history sabbu ya changamoto za kikoloni zilizopelekea wao kusoma aina moja ya elimu za uongo ambazo zimo ktk dini za uislam na ukristo, bila kusahau zile elimu uchwara za mashuleni, hizo zote zmepelekea waafrika kuwa brainwashed kwa kutojua upi ukwel.

Ni kwel hayo mtoa mada aliyoyaandika japo naye kuna mambo kachapia, eeh kachapia maana hata hizo tablets za ancients Sumerians zmeshapita ktk mikono ya wahuni wa sasa na kupelekea kuchakachua baazi ya maandiko na kuacha public yale waliyoona hayana madhara kwa jamii ikijua.

Ukweli ni kwamba, KtK ulimwengu wa Viumbe wasio wa kibinadamu(mbingu), kuliibuka mgogoro, ambao ulipelekea kiongoz wa mgogoro huo kufukuzwa ktk himaya ya viumbe hao wa kiroho.

Kufukuzwa kwa kiumbe huyu, kulimpa hasira na kumfanya aunde mbinu za kupambana na MKUU wa Uumbaji wa Roho zote na Limwengu&malimwengu yote,ambapo wana dini wanamuita huyu MUNGU.

Sasa baada ya Huyo Mungu kumuumba mtu kutoka ktk udongo mweusi na kupelekea kuibuka kwa kiumbe mtu mweus ambaye ndye huyo dini za uongo zinamuonesha kama mzungu na kumuita Adamu.

Kiukwel huyo mtu alikuwa mweus kwakuwa katoka ktk tope jeusi.

Baada ya yule msaliti aliyefukuzwa ktk ulimwengu wa Kiroho(mbingu) kufahamu kuwa kuna kiumbe kaumbwa dunian na kuna viumbe wengine wengi wameumbwa, akaamua kuchukua majeshi yake na kuja dunian kumuhadaa huyu mtu,

japo alifanikiwa kumdanganya kwa mambo mengi lkn ajenda yake haikufanikiwa, mpka pale idadi ya watu weusi dunian kuongezeka na kutapakaa kila sehemu, ndipo kiumbe huyo(shetan) alirudi upya na majeshi yake ya Viumbe wa kiroho(malaika) wakajibadili maumbo yao na mionekano yao ili wafanane na watu weusi, na ndipo waliibuka ktk maeneo mbalimbali na kujichukulia mabinti na kuzaa nao.

Hawakuishia kuzaa na binti wa watu, bali mpka kwa wanyama, na samaki.

Matokeo yake liliibuka Zao la machotara tokea kila aina ya mimea,wanyama na watu walio shiriki Ngono na hao viumbe,

machotara hao kwa upande wa kiutu ndio hayo majitu makubwa na uzao wa binadamu ukatokea, ujue kutofautisha kati ya binadamu na mtu ni vitu viwil tofauti.

Uzao wa binadamu inamaanisha watoto machotara waliozaliwa kwa muingiliano wa binti wa watu na viumbe wa kiroho kutoka ktk ulimwengu tofauti, na matokeo yake ni haya matoto kukosa Asilimia za utu katika miili yao na kupelekea ngoz zao kuwa nyeupe sabbu ya DNA zao za muingiliano wa viumbe wa aina tofauti.

Hata ktk wanyama yaliibuka maviumbe ya ajabu na makubwa mifano ni mingi sana, kama wale dainaso mnaowaona ktk tv, samaki watu, farasi watu, nyoka watu, masokwe&nyani, na jamii zote za mahomo sapiens,.

Lengo la huyu msaliti(shetani) kuleta Viumbe Chotara , ilikuwa ni kuuwa asili iliyoumbwa na Mungu kwa kuleta ushindani na kufuta asili yote kwa kuweka viumbe fake,na ufake huu unaendelea mpka leo kwa dada zetu kufake mionekano yao ili wafanane na hayo machotara/manefili ya kizungu,kiarabu,kihindi,china na weupe wote.

Baada ya kuibuka kwa hao viumbe, dunia ilichafuka kwa maovu mengi yaliyopelekea umwagikaj damu wa wanyama wasio na hatia pia watu Og kuonewa na hao wanadamu ambao walikuwa na nguvu za kiroho walizorithi kutoka kwa baba zao yaan wale fallen Aliens/angels, pia walikuwa na nguvu za kimwil sabbu ya mionekano yao, hii ilipelea uonevu mkubwa sana kwa jamii za watu weus ambao miili yao ilikuwa normal kulngana na uumbaji wao OG.

Falme nyingi za machotara ziliibuka ambazo zilideal na machukizo mengi sana mfano kufundisha watu sanaa ya vita,ulaji wa nyama za wanyama, ibada za kishetan,kuabudu sanamu, Ngono za jinsia moja, mauwaji makubwa na fujo nyingi.

Vilio vya watu Original (black people) ndvyo vilipelekea Muumba wao kuwasikia na kuamua kukifuta kizaz cha hayo machotara kupitia gharika.

Gharika ilo ndilo hata ktk dini zenu za uongo zinamtaja huyo nuhu, japo kiuhalisia nuhu wa biblia hajawai kuwepo maana ni jina la uongo lilitungwa kwa kuiba history ya mtu mweusi na kuleta hayo machukizo ya kusadikika.

Mujue kuwa ile gharika iliua hawa viumbe kimwili tu na sio kiroho,

roho zao ziliendelea kuexist mpka hiv leo, na ndizo hizo roho zinazosumbua watu, ndizo muitazo majini,mapepo,vibwengo, mizimu, hii yote ni jamii ya viumbe machotara waliokufa ktk gharika na roho zao kuendelea kuishi kiroho,lkn wakitaka kuja kimwil inawalazimu wakopi mionekano ya viumbe wa kimwil ili waonekane.

Ktk gharika ni wengi waliopona tofauti na dini zenu znavyosema walpona watu7 pekee, si kweli, watu 7 waliotajwa ni weusi tu, na baazi ya binadamu wa rangi nyeupe walioukana uovu na kuungana na mtu mweusi ndipo wokovu uo umepelekea tunaona mpka leo dunia imejazwa na watu wa kila race na rangi zao, or otherwise dunia ilitakiwa iwe imejaa watu weusi tuu, maana ndio viumbe halali kuishi dunian,

Hata huko baharini,ziwani na mitoni kuna viumbe waliofukuzwa na kufa kimwil lkn roho zao zipo hai na ndizo hizo zmeunda falme zake ambazo utakuta ktk bahar kuna majini na mashetan ambayo haya yoote mionekano yao ni binadamu weupe,

Ujuwe kuwa by Originally hakuna mzimu, pepo wala jini mweusi, bali hucopy muonekano wa mtu mweus ili kuharibu Nature, ila rangi zao halali za laana ni nyeupe Full stop.

Elimu hii ipo Deep sana siwezi eleza kila kitu hapa nitawachanganya Wajinga na wavivu wa kuelewa mambo.

Tuna mengi ya kujifunza.View attachment 2103438
Umenikosha sana, mungu akubariki kweli
Kuna machizi masomi humu duhhh Ni magumu kuelewa dahhh[emoji16][emoji16]
 
Anunaki ni viumbe tuu ambao wapo wa namna 2 mkuu aina ya kwanza ni wale supreme beings of pure green light ndio asili yao na kuna anunaki wengine wa impure amber light asili yao ni moto. Hawa pure supreme annunaki wa green light wameumbwa na mwanga wa kijani na hao impure sub-supreme beings wameumbwa kwa moto mfano wao ndio majini, vampires, na negqtive energies zote za uharibifu na hao annunaki wa kijani ndio wanadamu tunawaita Malaika.

Annunaki mfano wao ni kama binadamu kuna wazuri na wakarimu na kuna wabaya wenye roho mbaya. Kama wewe ni mtu mwema msaada wako upo kwa hao annunaki wema ambao ni wakijani na kama una roho mbaya msaada wako utaupata kwa hao annunaki wa moto ambao ndio majini.

Ili kuwafikia annunaki supreme beings unatakiwa uwe na pure of heart. Lakini ili uwafikie majini annunaki ambao ni amber light fire uwe mchawi na mwenye roho mbaya. Ndio mana kuna watu wakienda kwa mganga hawqfanikiwi na wengine wakienda wanafanikiwa. Jua asili ya chimbuko lako ndio utapata msaada sahihi.
Ina maana kumbe hawa majini na malaika ndio Annunaki na ndio miongoni mwao wametuumba sisi binaadamu kama mleta mada alivyoeleza?
 
SEHEMU YA KWANZA.

Ukweli uliofichwa, unaopatikana kwenye vipande vya mawe vyenye jumbe kutoka sumerians, Babylonians, Akkadians.

Ukizungumzia kuhusu watu wa kale, maisha ya kale na viumbe waliofika duniani kutoka sayari nyingine huwezi kuwasahau annunaki. Historia kutoka katika summerian culture inaeleza kwamba, Annunaki waliabudiwa na walihusika katika kuhukumu mema na mabaya, gods and goddesses waliokuja duniani kumtengeneza mtu (modern man) kutoka kwenye ulimwengu mwingine, ambao unasemekana ni sayari ya Nibiru (sumerian God & Goddesses -the Annunaki, 2016).

Annunaki walitawala maisha na mifumo ya imani ya watu wa kale waliojulikana kama Mesopotamia, lakini ambao kwa sasa wanajulikana kama Tigris-Euphrates river system. Je walikuwa Mungu? hili suala ambalo linazua mkanganyiko kwenye hii saga.

Zecharia Sitchin, muhandishi na mtafiti na mtafsiri maandishi ya kale na msomi kutoka chuo kikuu cha London, anasema hawakuwa Mungu, japo walichukuliwa na kuabudiwa kama Mungu. Baada ya kufanya tafiti nyingi za maandiko ya kale aliitimisha kwa kusema kwamba, hawakuwahi kuwa Mungu, bali viumbe wa ajabu wenye nguvu waliokuja duniani kutoka sayari ya mbali Nibiru inayopatikana kwwnye mfumo wa sayari, ambayo uikaribia dunia kila baada ya miaka 3,500 ikiwa kwenye muhimili wake.

Creation of Human Race
Kutokana na ushahidi uliopatikana kutoka kwenye maandiko ya kale, inasemekana zaidi ya mamia ya maelfu ya miaka iliyopita walikuja viumbe waliofanana na Annunaki kwenye sayari ya dunia- Enki na Enlil, ambao walikuwa watoto wa Annunaki, katika kipindi hicho Anu alikuwa bado anaishi hadi millennia karibu na kuzaliwa kwa Jesus Christ.

Viumbe hao walikuwa na ujuzu mkubwa katika genetic manipulation, hivyo kwa kutumia ujuzi huu walifanya majaribio mengi (proto-human) ya kumtengeneza binadamu wa sasa(modern man) kwa kutimia teknolojia ya human cloning. Kivipi?, ntaelezea mbeleni.

Hebu turudi kwanza kwenye biblia na historia ya kuumbwa kwa mwanadamu. Historia ya Biblia ya uumbaji inatueleza kwamba, mwanaume na mwanamke hawakuumbwa kwa wakati mmoja, bali mwanamke alitolewa kwenye ubavu wa mwanaume (Adam), Adam akiwa mtu wa kwanza kuumbwa hapa duniani kutokana na maandiko ya Biblia, Kwahiyo Adam ndiyo mwanadamu wa kwanza kutokana na maandiko matakatifu ya Biblia takatifu. Je mwanamke alitolewaje kwenye ubavu wa mwanaume? (hapa imani ndiyo inatuongoza tuliache kwanza lilivyo).

THE CREATION OF MAN
Ushahidi wa kwanza kabisa, uliotafsiriwa na sumerians unaonyesha ya kwamba mtu (binadamu wa sasa) alitengenezwa/kuumbwa na Nefilim. Ushahidi huu umezua mkanganyiko kuhusu theory of evolution na Judeo-Christian tenets ambayo imeegemea kwenye Biblia, lakini ukweli ni kwamba ujumbe uliopatikana kutoka Sumerian texts, ndiyo unaoweza kudhibitisha hizo nadharia mbili.

Ukisoma kutoka epic of creation ya sumerians, imeelezwa kwamba uwepo wa mtu, ulitokana na uwepo wa Nefilim zama hizo, ambapo matukio mbali mbali yalirekodiwa, ,mfano tukio la Enlil na Ninlil, tukio lililotukia kabla hata ya uumbaji wa mtu, wakati ambao kwenye Nippur waliishi gods tu, vile vile maandishi haya yanaelezea kuumbwa kwa dunia na maendeleo ya mimea na maisha ya wanyama, hii inaweza kudhibitisha theories za mabadiliko (evolution) za sasa.

Sumerians texts zinaeleza kwamba, wakati ambapo Nefilim alikuja duniani kwa mara ya kwanza, sanaa ya kupanda mbegu za mazao, matunda na ufugaji wa wanyama ulikuwa bado haujaanza duniani. Vile vile Biblia inasema hivyo, kuhusu kuumba mtu kwa siku 6. Kitabu cha Genesis kimegusia hatua za kwanza za mabadiliko (earlier evolution stage):

No plant of the cleared field was yet on the earth,

No herb that is planted had yet been grown,

And Man was not yet there to work the soil.

Lakini vile vile Sumerians texts zote zinaeleza kwamba Miungu ilimtengeneza mtu ili afanye kazi yao. Creation of epic imelithibitisha hilo (Nukuu zote nitaziambatanisha zilivyo kwenye vitabu bila kuzitafsiri ili nisipindishe maana kwa msomaji):

I will produce a lowly primitive,

Man shall be his name.

I will create a primitive worker ,

He will be charged with the service of the gods,

that they might have their ease.

Neno mtu(man) limetokana na lugha ya Sumerians na Akkadians, ambalo lilitokana na maneno lulu (primitive ), lulu amelu (primitive worker), an awilum (laborer).

Turudi kwenye biblia, baada ya Mungu kumuumba mwanadamu, akampa bustani ya Eden aitunze na kuitawala dunia na vyote vilivyomo, lakini Adam na Eve wakamkosea Mungu kwa kula tunda la mti wa ufahamu. Mungu akasema tazama, mtu amekuwa mmoja wetu, kufahamu mema na maovu. Je huyo Mungu alikuwa anamwambia nani?, na Mungu anayezungumziwa hapa katika Sumerians ni Elohim (Annunaki).

Agano la kale limeweka wazi ya kwamba mtu hakuwa Mungu wala hakutoka mbinguni. Mtu wa kwanza aliitwa Adam kwa sababu aliumbwa kwa "adama" ambayo ina maana ya udongo wa dunia (mtu akifa tunasema ametoka mavumbini, amerudi mavumbini).

Adam aliumbwa katika picha na ufanano wa Muumba (Mungu), kuumbwa kwa ufanano huo, hakuachi wasiwasi wowote ya kwamba Mtu alifanana na Mungu kimwili, kimuonekano wa nje na ndani. Je mtu angewezaje kufanana na muumba wake? Mtu alitengenezwaje? (Majibu utayapata mbeleni).

Mnamo mwaka 1859 Charles Darwin alichapisha utafiti wake kuhusu evolution "On the Origin of Species by Means of Natural Selection, or the Preservation of Favoured Races in the Struggle for Life". Darwin kutokana na utafiti wake huo, alihitimisha kwa kusema kwamba, viumbe hai wote akiwemo mwanadamu ni matokeo ya mabadiliko(evolution by natural selection). Mwanzoni kanisa lilikuja juu kwa kumpinga lakini badae kadri wanasayansi na watafiti walivyozidi kutoa machapisho yao, kanisa likakubaliana.

Lakini je tumetokana na apes, kama ni hivyo mbona wa sasa hawabadiliki. Evolution kwa ujumla inaweza kuelezea matukio yaliyosababisha mabadiliko ya maisha na aina mbali mbali za maisha zilizokuwepo duniani, kuanzia kwenye kuumbwa kwa mtu, lakini evolution haiwezi kuelezea kuhusu uwepo wa binadamu wa sasa (modern man/Homo sapiens) na haina udhibitisho wowote wa kuonyesha jinsi mabadiliko ya ghafla kutoka Homo erectus kwenda Homo sapiens yalivyotokea.

Hominid ya genus Homo ni matokea ya evolution, lakini Homo sapiens ni matokea ya tukio la mabadiliko na mapinduzi ya haraka sana. Homo sapiens(binadamu wa sasa), ilitokea miaka 300,000 iliyopita, muda ambao ni wa karibu sana.

Watafiti na wanasayansi hawana maelezo ya nini kilitokea, kupelekea mabadiliko ya ghafla hivyo na kutokea kwa binadamu wa sasa, lakini jumbe kutoka sumerians na Babylonian zimeelezea. Agano la kale pia limeelezea.

Homo sapiens-modern man-aliletwa na miungu wa kale (ancient gods).

Aliletwa kivipi? na wapi?. Endelea kufuatilia hapa hapa.

N.B. Andiko hili linaweza lisiishe karibuni kwa sababu nataka niweke kila aina ya ushahidi ili kudhibitisha ukweli huu.

View attachment 2099862
...Tukifa tunarejea Wapi? Kwa Annunaki ama kwa Mungu??
 
Back
Top Bottom