Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Aisee hua inanishangaza sana hasa Hizo structure za Pyramids Bunker s Aisee humo ndani mmechongwa Kwa ustadi wa kustaajabisha sana,
Annunak walitumia vifaa vyenye Umeme wenye mionzi mikali sana yenye nguvu na spidi kubwa mno,
Imagine ni kama uchukue tochi yenye mwanga mnyoofu na uilenge kwenye mwamba mgumu kiasi inatoboa shimo Kwa kipenyo kile kile mpaka upande wa pili bila kuweka mpasuko Wala ufa kwenye mwamba,
Duuu Hiyo Teknolojia tukija ifikia itakua noma sana!
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Haiwezekani kufikiwa hata Engineers duniani kote wamekiri kwamba hakuna technology ya sasa inayoweza kutumika kujenga pyramids. Kwa maana hiyo watu wa sasa badala ya kwenda mbele kwenye teknolojia(hasa kwenye ujenzi), tunarudi nyuma.
 
Kwahyo mtu wa kwanza alikuwa mzungu...??? Propaganda za The white supremacy system hizi hakuna jipya
 
Kwahyo mtu wa kwanza alikuwa mzungu...??? Propaganda za The white supremacy system hizi hakuna jipya
wapi pameandikwa binadamu wa kwanza Alikua mzungu?
Acha ujuaji Arif unakurupuka Sanaa Kaa usome Kwa kutulia Tatizo la watu kama nyie tunalijua
Mna mahaba na Dini zile kiasi kwamba hamtaki kusoma maarifa mapya Nje ya mfumo wenu!

Brain washed!
 
Nipo pamoja na wewe mkuu
 
Historia nzuri lakini nina maswali kadhaa! Kwanza hao annunaki na hao viumbe wengine wao waliumbwa na nani..?
Pili ktk maelezo inaonyesha hao annunaki walikuwa na teknolojia kubwa sana na maarifa makubwa sana,mpaka kuweza kuumba mtu na lengo la kuumba mtu ni ili wawe vijakazi wao wakusanye dhahabu!. Mkanganyiko wangu ni hapa inawezekana vipi wawe na uwezo wa kuunda mtu ila washindwe kuunda dhahabu ambayo ndio waliihitaji zaidi..??
 
Hili swali ni tamu
Ila hakusema kuwa Annunaki wanaweza kila kitu, hivyo yawezekana kwao kuform mtu ni simple kuliko dhahabu.
 

Uliumbwa kwa mfano wake, kwann ww uzae na kwake iwe tofauti?
 
Uliumbwa kwa mfano wake, kwann ww uzae na kwake iwe tofauti?
"Wewe" yupi.Kwa ujinga ulio nao unadhani huu mwili ndiyo "mimi," hapana,huu mwili ni nyumba yangu tu.Mimi ni roho,nakaa kwenye huu mwili.Roho yangu ndiyo inayofanana na Mungu.

Mimi nazaa na Yeye hazai kwa kuwa ndivyo alivyopanga.Halafu Yeye ni Mungu Mtakatifu hawezi kujichanganya na wanawake.Pia akiwa na watoto atashindwa kutenda haki,he will be impartial.
 
Roho ni Nini Wewe jamaa mbona mnatuchanganya?
 
Mh! Labda..πŸ˜…
pia Kumbuka mtu hawakumform from no where Bali waliunganisha DNA zao na za Primitive waliowakuta na Ndio wakamtoa Homo sapiens kamili,
Hivyo hiyo sayansi ya cloning ni rahisi Sana Hata sisi Leo angalau tunaiweza ila sio kivile ila kuunda dhahabu maabara mmmh hiyo Ngoma ngumu jombi!
😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…