Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Roho ni Nini Wewe jamaa mbona mnatuchanganya?
Siwa-shangai Duma the terrible,Now I realize kwamba watu mko very misinformed.Ni hivii, wewe kama Duma the terrible,is a component of three things:Body,Soul and Spirit.The Soul is the actual you,and the Body is it's house.The Spirit came from God and is what actually gives you life.Ukifa the Spirit goes back to God.It is your Soul which will be judged by God.
 
Kwa hiyo wewe ni roho bila mwili?
 
Wewe jamaa hua hujibu maswali yangu nayokuuliza unayakwepa maana unajua nitakupiga na kitu kizito kichwani

Narudia unaamini katika Mungu Gani katika Ile Aina ya majina ya miungu kama
El/YHW/Jehovah/Elohim/Jesus
Zeus/Jupiter/Mars/
ANU/ENKI/Murduk/El
Horus/Ra
Allah
Rama/Vishnu
Buddha
Nk
Haya Mungu Gani hapo unaamini ni the all na muumba wa ulimwengu?
 
El/YHW/Jehovah/Elohim/Jesus

Halafu Dumas huna swali la kunitosha wewe.
 
Kwann unakazana sana na jina? MUNGU si ni MUNGU tu. Mpe jina lolote ila ni MUNGU, na kama huyo annunaki yupo basi aliumbwa na huyo huyo MUNGU. Mtafute atakuthibitishia.
 
Ngoja nikazame kwenye utafiti aidha nakuja kutibua mambo au kugongelea nyundo..πŸ˜‚
 
Mimi kwa kweli sijui chochote kuhusu Mungu,Yesu,allah,annunak,aliens nk
Mi ninachojua nimejikuta tu duniani huku nikipambana na mateso na Raha za dunia nikitafuta ugali wangu Nile na watoto wangu siku ikifika nife
Huko nampenda kapa kupo sipajui!!

Ni mbele mbele yake litakalokuwa na liwe Kama Ni mbinguni aikatai Kama Ni kurostiwa aikatai pia
 
wapi pameandikwa binadamu wa kwanza Alikua mzungu?
Acha ujuaji Arif unakurupuka Sanaa Kaa usome Kwa kutulia Tatizo la watu kama nyie tunalijua
Mna mahaba na Dini zile kiasi kwamba hamtaki kusoma maarifa mapya Nje ya mfumo wenu!

Brain washed!
Ndo unaitwa Dumas ok sio tatizo lako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu kwanza ungetupa maana ya roho... Roho ni nini?... kisha utufahamishe roho inawezaje kuumba kitu ama mtu with a vivid example. Nawasilisha
 
Maisha ni kuishi hakuna maisha mengine zaid ya haya pepo, motoni ni mambo yakufikiri na yasiyo na ushahid timilifu maana wote tumejikuta tunaishi na hakuna aliyewahi kutembelea motoni wala peponi akiwa hai na kurudi duniani. Kwahyo tuishi tufanyiana mema na kuishi kwa furaha
 
wapi pameandikwa binadamu wa kwanza Alikua mzungu?
Acha ujuaji Arif unakurupuka Sanaa Kaa usome Kwa kutulia Tatizo la watu kama nyie tunalijua
Mna mahaba na Dini zile kiasi kwamba hamtaki kusoma maarifa mapya Nje ya mfumo wenu!

Brain washed!
kama angefuatilia na kusoma sehemu ya 1 hadi hii ya 8, angekuwa na majibu. Mtu akisoma sehemu moja akawahi kuuliza swali, anakuwa ameharakisha yaweza kuwa majibu yashajadiliwa sehemu zilizofuatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…