Siwa-shangai Duma the terrible,Now I realize kwamba watu mko very misinformed.Ni hivii, wewe kama Duma the terrible,is a component of three things:Body,Soul and Spirit.The Soul is the actual you,and the Body is it's house.The Spirit came from God and is what actually gives you life.Ukifa the Spirit goes back to God.It is your Soul which will be judged by God.Roho ni Nini Wewe jamaa mbona mnatuchanganya?
Mm siamini katika Anunaki sijui Munaki kuwa ndio mungu. Naamini yupo MUNGU. Haiwezekani huu ulimwengu ukajipangilia wenyewe tu kama hivi, lazima kuna INJINIA aliyepanga.Uliumbwa kwa mfano wake, kwann ww uzae na kwake iwe tofauti?
Kwa hiyo wewe ni roho bila mwili?"Wewe" yupi.Kwa ujinga ulio nao unadhani huu mwili ndiyo "mimi," hapana,huu mwili ni nyumba yangu tu.Mimi ni roho,nakaa kwenye huu mwili.Roho yangu ndiyo inayofanana na Mungu.
Mimi nazaa na Yeye hazai kwa kuwa ndivyo alivyopanga.Halafu Yeye ni Mungu Mtakatifu hawezi kunichanganya na wanawake.Pia akiwa na watoto atashindwa kutenda haki,he will be impartial.
Siwezi kuwa binadamu bila mwili,ni binadamu kwa kuwa nina mwili.Kwa hiyo wewe ni roho bila mwili?
Wewe jamaa hua hujibu maswali yangu nayokuuliza unayakwepa maana unajua nitakupiga na kitu kizito kichwani"Wewe" yupi.Kwa ujinga ulio nao unadhani huu mwili ndiyo "mimi," hapana,huu mwili ni nyumba yangu tu.Mimi ni roho,nakaa kwenye huu mwili.Roho yangu ndiyo inayofanana na Mungu.
Mimi nazaa na Yeye hazai kwa kuwa ndivyo alivyopanga.Halafu Yeye ni Mungu Mtakatifu hawezi kunichanganya na wanawake.Pia akiwa na watoto atashindwa kutenda haki,he will be impartial.
Sawa.Siwezi kuwa binadamu bila mwili,ni binadamu kwa kuwa nina mwili.
El/YHW/Jehovah/Elohim/JesusWewe jamaa hua hujibu maswali yangu nayokuuliza unayakwepa maana unajua nitakupiga na kitu kizito kichwani
Narudia unaamini katika Mungu Gani katika Ile Aina ya majina ya miungu kama
El/YHW/Jehovah/Elohim/Jesus
Zeus/Jupiter/Mars/
ANU/ENKI/Murduk/El
Horus/Ra
Allah
Rama/Vishnu
Buddha
Nk
Haya Mungu Gani hapo unaamini ni the all na muumba wa ulimwengu?
Nilishakujibu hili swali,ni "roho"Sawa.
Sasa kilichoumbwa kwa mfano wa MUNGU ni roho au mwili?
Kwann unakazana sana na jina? MUNGU si ni MUNGU tu. Mpe jina lolote ila ni MUNGU, na kama huyo annunaki yupo basi aliumbwa na huyo huyo MUNGU. Mtafute atakuthibitishia.Wewe jamaa hua hujibu maswali yangu nayokuuliza unayakwepa maana unajua nitakupiga na kitu kizito kichwani
Narudia unaamini katika Mungu Gani katika Ile Aina ya majina ya miungu kama
El/YHW/Jehovah/Elohim/Jesus
Zeus/Jupiter/Mars/
ANU/ENKI/Murduk/El
Horus/Ra
Allah
Rama/Vishnu
Buddha
Nk
Haya Mungu Gani hapo unaamini ni the all na muumba wa ulimwengu?
Mwili hauna uhusiano na mfanano wake? π€..Nilishakujibu hili swali,ni "roho"
Ngoja nikazame kwenye utafiti aidha nakuja kutibua mambo au kugongelea nyundo..πpia Kumbuka mtu hawakumform from no where Bali waliunganisha DNA zao na za Primitive waliowakuta na Ndio wakamtoa Homo sapiens kamili,
Hivyo hiyo sayansi ya cloning ni rahisi Sana Hata sisi Leo angalau tunaiweza ila sio kivile ila kuunda dhahabu maabara mmmh hiyo Ngoma ngumu jombi!
πππ
Mungu hana mwili,sasa utafananaje naye?I think it is common sense.Mwili hauna uhusiano na mfanano wake? π€..
Embu turudi kwenye lile fungu la "na tumfanye mtu kwa mfano wetu" tuthibitishe.
Ndo unaitwa Dumas ok sio tatizo lako[emoji23][emoji23][emoji23]wapi pameandikwa binadamu wa kwanza Alikua mzungu?
Acha ujuaji Arif unakurupuka Sanaa Kaa usome Kwa kutulia Tatizo la watu kama nyie tunalijua
Mna mahaba na Dini zile kiasi kwamba hamtaki kusoma maarifa mapya Nje ya mfumo wenu!
Brain washed!
Hawa jamaa wanachekeshaga sana wanakwambia Mungu hafananishwi na chochote alafu hapo hapo anakwambia Mungu ametuumba kwa mfano wake..!!! Tukiachana na hayo akikujibu naomba unitagUliumbwa kwa mfano wake, kwann ww uzae na kwake iwe tofauti?
πππHawa jamaa wanachekeshaga sana wanakwambia Mungu hafananishwi na chochote alafu hapo hapo anakwambia Mungu ametuumba kwa mfano wake..!!! Tukiachana na hayo akikujibu naomba unitag
Mkuu kwanza ungetupa maana ya roho... Roho ni nini?... kisha utufahamishe roho inawezaje kuumba kitu ama mtu with a vivid example. Nawasilisha"Wewe" yupi.Kwa ujinga ulio nao unadhani huu mwili ndiyo "mimi," hapana,huu mwili ni nyumba yangu tu.Mimi ni roho,nakaa kwenye huu mwili.Roho yangu ndiyo inayofanana na Mungu.
Mimi nazaa na Yeye hazai kwa kuwa ndivyo alivyopanga.Halafu Yeye ni Mungu Mtakatifu hawezi kunichanganya na wanawake.Pia akiwa na watoto atashindwa kutenda haki,he will be impartial.
Maisha ni kuishi hakuna maisha mengine zaid ya haya pepo, motoni ni mambo yakufikiri na yasiyo na ushahid timilifu maana wote tumejikuta tunaishi na hakuna aliyewahi kutembelea motoni wala peponi akiwa hai na kurudi duniani. Kwahyo tuishi tufanyiana mema na kuishi kwa furahaMimi kwa kweli sijui chochote kuhusu Mungu,Yesu,allah,annunak,aliens nk
Mi ninachojua nimejikuta tu duniani huku nikipambana na mateso na Raha za dunia nikitafuta ugali wangu Nile na watoto wangu siku ikifika nife
Huko nampenda kapa kupo sipajui!!
Ni mbele mbele yake litakalokuwa na liwe Kama Ni mbinguni aikatai Kama Ni kurostiwa aikatai pia
Hizi siyo hadithi ni facts, ukitaka kujadili kwa kuzijibu ulete hoja zenye ushahidi pia.Mkimaliza hii hadithi yenu piteni na humuView attachment 2108087
kama angefuatilia na kusoma sehemu ya 1 hadi hii ya 8, angekuwa na majibu. Mtu akisoma sehemu moja akawahi kuuliza swali, anakuwa ameharakisha yaweza kuwa majibu yashajadiliwa sehemu zilizofuatia.wapi pameandikwa binadamu wa kwanza Alikua mzungu?
Acha ujuaji Arif unakurupuka Sanaa Kaa usome Kwa kutulia Tatizo la watu kama nyie tunalijua
Mna mahaba na Dini zile kiasi kwamba hamtaki kusoma maarifa mapya Nje ya mfumo wenu!
Brain washed!