Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Naomba unithibitisbie ukweli wa haya maneno.

Kisha naomba unijibu maswali yafuatayo :

1. Waliabudiwa na nani ?

2. Anunaki ni jinsi gani ? Je ni viumbe au nini hasa ?

3. Ni nani wa kwanza kuelezea habari za Anunaki na huyo wa kwanza habari hizo alizipata wapi ?

4. Sasa ni kina hasa ? Kwa mujibu wa maelezo yako inaonekana walikuwa wengi. Kama ni wengi ulikuwaje muafaka wao mpaka kufikia kumuimba mwanadamu kama unavyo dai...?



5. Imakuwaje maneno haya yanaitwa ya kitafiti lakini hayana ushahidi wowote kuyathibitisha ?

6. Walijuaje kama hao Anunaki walitokea katika Sayari hiyo ?

7. Hii idadi ya miaka 3,500 nayo wameijuaje ?

8. Huo ushahidi ulio patikana uko wapi na sisi tuushuhudie ?

9. Hadi milenia hiyo huyo Anu alikuwa anafanya kazi gani ? Je nia kazi ya uumbaji au ?

10. Unaweza kuniambia mtunzi wa hii habari ni nani ? Yaani hizi habari anazisimulia mtu aliyewaona hawa viumbe au nani msimuliaji wa kwanza juu ya habari hizi ?

Narudi kuendelea hapa nilipo ishia....
Mkuu samahani sana nilikuwa offline na ningependa kukwambia kuwa wewe maswali yako yote haya yameishajibiwa kuanzia sehemu 1 hadi ya 10, kasome zote uzimalize, naamini hutakuja na maswali haya tena, bali utakuja na mengine tofauti kabisa.
 
Tutaelewana mpaka mwisho wa Uzi,na nashukuru Kuna watu wameanza kufunguka akili maana walikaririshwa vitabu vya dini vyenye story nusu Huku wakisahau waliowaandikia hivyo vitabu walikua wajanja flani pale Nicea comitee wakaweka vitu vyepesi ambavyo wanaweza vipambanua Kwa zama zao ila Leo watu wanaingiza kutafiti wanakutana na mambo makubwa Sana,
Mfano hapo mwanzo tuliaminishwa Pyramids za Giza ni makaburi ya mafarao
Leo wanasayansi wanathibitisha Yale sio makaburi ni power Plants za kuzalisha umeme zilizojengwa na ANNUNAK pre human civilization yaani Yale madude yalikua ni ya zamani Sana kiasi kwamba Hata wa misri waliyakuta yashajengwa miaka maelfu nyuma Yao
Sasa utajiuliza ni technology Gani ilitumika mpaka Leo hayana Hata ufa na ukiingia kwenye chambers kule ndani Bado mpo fresh kama yamejengwa miaka ya 90 tu yaani
Huo ujuzi wa kushangaza Sana,
Ila watu wa dini hasa wakristo wa buza wanaamini yalijengwa na Waisrael waliokua watumwa [emoji16]
Na wakati Babu za Waisrael Mzee Abraham naye aliyakuta
yashajengwa miaka zaidi ya 5000BC nyuma yake kule misri alipoenda na mkewe Sarai mpaka akajifanya ni dadaake na akachapiwa na Pharao!

Baada ya kuchapiwa mke huyo mungu wao alivyokuwa na double standard eti akamwadhibu farao wakati abrahamu kwa uoga wake alisema sarai nindada yake na akamozesha na mahari ya farao akala jamaa alikuwa tapeli
 
Mkuu samahani sana nilikuwa offline na ningependa kukwambia kuwa wewe maswali yako yote haya yameishajibiwa kuanzia sehemu 1 hadi ya 10, kasome zote uzimalize, naamini hutakuja na maswali haya tena, bali utakuja na mengine tofauti kabisa.
Huyo jamaa achana nae hua ni mbishi wa hivyo hivyo,hua anatia ujuaji kumbe Hana logic zaidi ya mipasho ya Kiquraish,
Hana background yoyote kuhusu haya maswala zaidi ya kitabu kimoja tu Quran ila hujiona ana maarifa yote wakatj wenzake wamesoma vitabu 500 lakini Bado Wana kiu ya kupata maarifa
Nje ya hapo Hana alijualo!
 
Baada ya kuchapiwa mke huyo mungu wao alivyokuwa na double standard eti akamwadhibu farao wakati abrahamu kwa uoga wake alisema sarai nindada yake na akamozesha na mahari ya farao akala jamaa alikuwa tapeli
Hahahahahah hicho kisa hua kinanifurahisha Sana,Pharao atakua alifaidi Sana kusugua mbususu ya Sarai huko mwamba akiugulia maumivu kisa kujifanya dadaye navuta picha
Mwamba Pharao alilala na mkewe asubuhi akiamka anasema aaah

Shemeji kwema aisee
Abraham anajibu kinyonge salama tu shemu!
😂😂😂😂😂🔥🔥🔥
 
Mkuu samahani sana nilikuwa offline na ningependa kukwambia kuwa wewe maswali yako yote haya yameishajibiwa kuanzia sehemu 1 hadi ya 10, kasome zote uzimalize, naamini hutakuja na maswali haya tena, bali utakuja na mengine tofauti kabisa.
Sehemu ya kwanza nimesoma ila sijaona majibu ya maswali hayo. Labda sehemu hizo zinazo fata. Ngoja niendelee kusoma.
 
Hahahahahah hicho kisa hua kinanifurahisha Sana,Pharao atakua alifaidi Sana kusugua mbususu ya Sarai huko mwamba akiugulia maumivu kisa kujifanya dadaye navuta picha
Mwamba Pharao alilala na mkewe asubuhi akiamka anasema aaah

Shemeji kwema aisee
Abraham anajibu kinyonge salama tu shemu!
😂😂😂😂😂🔥🔥🔥
Kwamba Abraham anajibu kinyonge😂, hatari ndugu.
 
Sehemu ya kwanza nimesoma ila sijaona majibu ya maswali hayo. Labda sehemu hizo zinazo fata. Ngoja niendelee kusoma.
Yeah fanya hivyo, ndiyo maana nilisema ukitaka kuuliza vizuri fuatilia na usome uzi wote kwanza. Na jinsi gani ntajibu maswali nshaweka wazi.
 
Asante sana mleta mada though nilikuhaid tutakuwa wote sema ndo hivyo majukumu

Nipende kusema Kwamba kati ya nyuzi bora kuwah kuziona hapa JF na huu humo.
Artificial intelligence amejitahid sana kuandik uzi wenye facts tupu na ushahidi wa kutosh kiasi Kwamba had na sasa weny ideas kuhusu mada tunashindwa tuongeze nin Paw kama inawezekana unganisheni sehem zote mziweke mwanzoni, ili mtu akifungua uzi akutane na mkeka mzima, maana huu uzi unaondoa mawaza kwa watu wenye shida kama sisi😂 na kupanua fikra.

Naona watu wengi wameuliza kwa nini annunaki hawakutumia teknologia yao badala yake wakamuumba mtu

Nichangie kdogo kuhusu hilo, unajua kabla ya ujio wa abrahamic religion kila watu walikuwa na Mungu wao. Afrika tulikuwa na mizimu yetu tena kwa majina ambayo jamii mbali mbali ziliabudu na kubarikiwa vizuri tu.

Annunaki walimuumba binadamu ili awe msaidizi katika operation zao, level yao ya teknologia iliishia pale, kuonyesha kwamba kumuumba mtu ni teknologia ya juu na haitafikiwa, mpaka leo hakuna aliyewahi kumrudishia uhai mtu aliyekufa.

Kulikuwepo na miungu na siyo Mungu, ukisoma katika annunaki mutiny, ilitokea uhasi na machafuko baina yao, Amri ya kwamba msiabudu miungu wengine, ni Amri iliyotolewa baada ya ancients kuanza kuabudu hiyo miungu, ukatokea mmoja ukawapa amri, lengo ni kuwafanya wautii.

Mumeambiwa mungu alikuwa na malaika, Enki stand for God na anu for angels.

Mungu muweza wa yote kama dini zinavyosema, atashindwaje kumumaliza shetani kabisaa, Yaani Mungu atende miujiza na uponyaji hapa hapo na miungu itende miujiza na kuponya watu (hebu jiulizeni).

Mnaambiwa Mungu ni roho, hicho kitu hakipo ilikitu ki exist lazima kievolve bila mwili na damu kiumbe akija kamilika, roho itahukumuje mtu siku ya mwisho kama wanavyosema, hicho kitu hakipo.

Hamuoni china na wahindi wanavyoabudu miungu yao inayoonekana kabisa kwa njia ya sanamu na kubarikiwa tena kwa kutoa hadi sadaka ya damu. Kwani nyama na damu mlizokuwa mnaweka kwa ajili ya mizimu yenu, nani alikuwa anazichukua?,

Sisi tumetokana na kiumbe mwenye mwili kama sisi na si roho tu. Annunaki wakati wanatoweka duniani kutokana na kuabudiwa waliweka agano la kurudi tena duniani baada ya muda mrefu, baada ya kuzisoma code zao zilizoachwa kama ishara zao za kukaribia kurudi tena duniani, hawa wataalamu wa dini wakaja na stori za siku ya kihama.

Ni kweli hawa viumbe watarudi tena duniani, wenzetu wameshajua siri zote, ndiyo maana unaona wanaangaika kutafuta makazi mapya nje ya dunia.

Einstein baada ya kusoma weapons of annunaki na kugundua kwamba walikuwa na silaha za nyukilia, yeye na jopo lake ndiyo ukawa mwanzo wa kutafiti na kuunda siraha za maangamizi lengo si kwa binadamu tu bali hata kwa annunaki ikitokea wamerudi ghafla duniani, huku utafiti wa makazi mapya ya badae kwenye sayari nyingine ukiwa kipaumbele kikubwa, NASA na taasisi dini wanajua kila kitu kuhusu hawa viumbe lakini kamwe hawatakaa waseme kamwe.

Wachina mwanzoni walianza wamepuzia hizi habari licha ya kuwa na taarifa nyeti kuhusu ancient civilisation, baada ya kuanza kuzifanyia kazi, kwa sasa teknologia wameiweka kiganjani mwao na sasa wanachanja mbuga na wao.

Taarifa zozote nyeti ambazo hawazijuhi kuhusu sumerians, wakifahamu unazo ni either ufe au wazichukue wao.
Mumeambiwa mumeumbwa kwa mfano wake, kwahiyo kama yeye ni roho tu, ilitakiwa na sisi sasa hivi tuwe roho tu.

Ndiyo maana mafundisho ya dini kuhusu Mungu na shetani yanafundishwa mkiwa wadogo sana ili kuwa manipulate kisaikolojia na kiakili, hizo habari wangezifundisha mumeshafunguka kiakili kama hivi, dhamira yao ingeshindwa,vibaya sana.

Sisi ni mwili na roho na tumeumbwa na mwili na roho, sisi hatuwezi kuwa roho tu na aliyetuumba siyo roho tu bali na mwili.

Wakiristo tunasali kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu, maana yake baba yetu sisi anazaa pia na ana mwili kama sisi (roho haiwezi kuzaa).

Nawatakia majukumu mema members wote wa JF.
 
Asante sana mleta mada though nilikuhaid tutakuwa wote sema ndo hivyo majukumu

Nipende kusema Kwamba kati ya nyuzi bora kuwah kuziona hapa JF na huu humo.
Artificial intelligence amejitahid sana kuandik uzi wenye facts tupu na ushahidi wa kutosh kiasi Kwamba had na sasa weny ideas kuhusu mada tunashindwa tuongeze nin Paw kama inawezekana unganisheni sehem zote mziweke mwanzoni, ili mtu akifungua uzi akutane na mkeka mzima, maana huu uzi unaondoa mawaza kwa watu wenye shida kama sisi😂 na kupanua fikra.

Naona watu wengi wameuliza kwa nini annunaki hawakutumia teknologia yao badala yake wakamuumba mtu

Nichangie kdogo kuhusu hilo, unajua kabla ya ujio wa abrahamic religion kila watu walikuwa na Mungu wao. Afrika tulikuwa na mizimu yetu tena kwa majina ambayo jamii mbali mbali ziliabudu na kubarikiwa vizuri tu.

Annunaki walimuumba binadamu ili awe msaidizi katika operation zao, level yao ya teknologia iliishia pale, kuonyesha kwamba kumuumba mtu ni teknologia ya juu na haitafikiwa, mpaka leo hakuna aliyewahi kumrudishia uhai mtu aliyekufa.

Kulikuwepo na miungu na siyo Mungu, ukisoma katika annunaki mutiny, ilitokea uhasi na machafuko baina yao, Amri ya kwamba msiabudu miungu wengine, ni Amri iliyotolewa baada ya ancients kuanza kuabudu hiyo miungu, ukatokea mmoja ukawapa amri, lengo ni kuwafanya wautii.

Mumeambiwa mungu alikuwa na malaika, Enki stand for God na anu for angels.

Mungu muweza wa yote kama dini zinavyosema, atashindwaje kumumaliza shetani kabisaa, Yaani Mungu atende miujiza na uponyaji hapa hapo na miungu itende miujiza na kuponya watu (hebu jiulizeni).

Mnaambiwa Mungu ni roho, hicho kitu hakipo ilikitu ki exist lazima kievolve bila mwili na damu kiumbe akija kamilika, roho itahukumuje mtu siku ya mwisho kama wanavyosema, hicho kitu hakipo.

Hamuoni china na wahindi wanavyoabudu miungu yao inayoonekana kabisa kwa njia ya sanamu na kubarikiwa tena kwa kutoa hadi sadaka ya damu. Kwani nyama na damu mlizokuwa mnaweka kwa ajili ya mizimu yenu, nani alikuwa anazichukua?,

Sisi tumetokana na kiumbe mwenye mwili kama sisi na si roho tu. Annunaki wakati wanatoweka duniani kutokana na kuabudiwa waliweka agano la kurudi tena duniani baada ya muda mrefu, baada ya kuzisoma code zao zilizoachwa kama ishara zao za kukaribia kurudi tena duniani, hawa wataalamu wa dini wakaja na stori za siku ya kihama.

Ni kweli hawa viumbe watarudi tena duniani, wenzetu wameshajua siri zote, ndiyo maana unaona wanaangaika kutafuta makazi mapya nje ya dunia.

Einstein baada ya kusoma weapons of annunaki na kugundua kwamba walikuwa na silaha za nyukilia, yeye na jopo lake ndiyo ukawa mwanzo wa kutafiti na kuunda siraha za maangamizi lengo si kwa binadamu tu bali hata kwa annunaki ikitokea wamerudi ghafla duniani, huku utafiti wa makazi mapya ya badae kwenye sayari nyingine ukiwa kipaumbele kikubwa, NASA na taasisi dini wanajua kila kitu kuhusu hawa viumbe lakini kamwe hawatakaa waseme kamwe.

Wachina mwanzoni walianza wamepuzia hizi habari licha ya kuwa na taarifa nyeti kuhusu ancient civilisation, baada ya kuanza kuzifanyia kazi, kwa sasa teknologia wameiweka kiganjani mwao na sasa wanachanja mbuga na wao.

Taarifa zozote nyeti ambazo hawazijuhi kuhusu sumerians, wakifahamu unazo ni either ufe au wazichukue wao.
Mumeambiwa mumeumbwa kwa mfano wake, kwahiyo kama yeye ni roho tu, ilitakiwa na sisi sasa hivi tuwe roho tu.

Ndiyo maana mafundisho ya dini kuhusu Mungu na shetani yanafundishwa mkiwa wadogo sana ili kuwa manipulate kisaikolojia na kiakili, hizo habari wangezifundisha mumeshafunguka kiakili kama hivi, dhamira yao ingeshindwa,vibaya sana.

Sisi ni mwili na roho na tumeumbwa na mwili na roho, sisi hatuwezi kuwa roho tu na aliyetuumba siyo roho tu bali na mwili.

Wakiristo tunasali kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu, maana yake baba yetu sisi anazaa pia na ana mwili kama sisi (roho haiwezi kuzaa).

Nawatakia majukumu mema members wote wa JF.
merci
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

GIANTS & DINOSAURS

YU5IRVSBYQI6JGHCXB7KZEUI7M.jpg


Ni takribani mamia ya miaka yamepita tangu kuthibitisha uwepo wa dinosaurs hapa duniani. Hapo kabla viumbe hawa walijulikana kama dragons.

Kama tujujuavyo viumbe hao walikuwa ni monstrous creatures kwelikweli waliozunguka sehemu mbali mbali hapa duniani zaidi ya miaka milioni 165 iliyopita.

Wanasayansi wanasema viumbe hawa, walitoweka zaidi ya mika milioni 65 iliyopita kutokana na madhara ya comet iliyoacha bonde lenye ukubwa wa 180 km huko Chicxulub-Yucatan Peninsula nchini Mexico(lakini hii bado ni nadharia na sio fact).

Inasemekana ni dinosaurs wachache sana walio survive na kuendelea kuishi hadi kipindi ambacho ANNUNAKI walifika duniani, miaka 450,000 iliyopita.

Tunaweza kuona hapa chini, sauropods watano kutoka sumerian cylinder seal.

Uruk.jpg


"Norse legend of Beowulf"(kama umewahi tazama hii movie/kama bado kaitafute uitazame) inavutia sana, kama description of the creature "Grendel" (huyu alikuwa monster aliyevamia kwa mfalme Danes karne ya 6 BC)could be that of babyTryannosaurus Rex. Alivutiwa na harufu ya nyama choma na sauti ya mtu anayeimba. Tunaweza kumchukulia Grandel kama giant humanoid.

Lakini tunaweza kujiuliza, how could Beowulf have ripped off one of its arms in the battle so easily unless it was the feeble arm of the baby T-Rex, wchich according to the description, also had claws?.

Mwishowe walihitajika watu wengi sana hili kumuua kiumbe huyo wakati wa jitihada za kukabiliana naye.

124681.jpg


T-Rex dinosaur

Baada ya Grandel kuuliwa, Mama yake (the dragon/T-Rex) alikuja kumuangalia mtoto wake (offspring) na kukiharibu kijiji kizima. Baada ya hapo akaelekea pangoni, Beowulf akapewa upanga wa maajabu hili akamuue. Upanga huo ulichanganywa na baadhi ya vitu vilivodondoka kutoka juu, na kitu chochote kilichoshuka duniani kutoka angani, ilisemekana kimetumwa na Miungu yao hii ndiyo sababu kubwa ya kusema upanga aliyopewa Beowulf na wazee wa kijiji ulikuwa ni "magic sword."

Beowulf alimuua T-Rex kwa kumkata shingo, na inasemekana hii ni sehemu weak ya dinosaurs, hivyo ukiweza kumkata sehemu ya shingo anakufa hapo hapo.

Vile vile tuna mashujaa wengine waliopambana na dragons kama vile St. George, aliyemuua Varanus priscus(huyu inasemekana ni mjusi mkubwa sana kuwahi kutokea hapa duniani). Viumbe hawa waliishi kwa wakati ule, lakini tatizo ni kwamba legends hawakutaka kuona viumbe hao wakiishi, hivyo ilikuwepo battle kubwa kati ya hominids na dinosaurs iliyopelekea kutoweka kwao.


Moja wapo ya fossil iliyodhaniwa imetoweka ni Coelacanth. Ilisemekana kiumbe huyu alitoweka miaka milioni 400 iliyopita, lakini mmoja alinaswa kwenye nyavu na mvuvi mwaka 1974 katika visiwa vya Comoro, tukio hili lilimaliza utata wote uliyokuwepo kuhusu kutoweka kwa kiumbe huyo.

Coelacanth_model_Devonian_-_Houston_Museum_of_Natural_Science_-_DSC01709-4b82838682f749e1bccd0...jpg


A coelacanth


Nyayo zinazo fanana na za mtu mwenye umbo kubwa sana (giant human like) pembeni kabisa na dinosaur tracks zilipatikana Paluxy-Glen Rose Texas. Vile vile mabaki ya dinosaurs na species wengine wa dinosaur yamepatikana na kugunduliwa sehemu tofauti tofauti dunia, hivyo kuweka wazi na kuthibitisha uwepo wa viumbe hao hapo kabla.

Tunawezaje kutambua umri wa mabaki(fossils) za viumbe?

Radio carbon dating haiwezi kutumika kwa sababu half life yake ni miaka 5,700, tunaweza kutumia C14 isotope ambayo inaweza kutambua umri wa fossils wa miaka 60,000 pekee iliyopita, ni hii ndiyo njia inayotumika katika matukio ya kihistoria.

image_10100_1e-White-Sands-Footprints.jpg

Discovered footprints of giants like human alongside the dinosaur track

Ngoja nielezee kidogo kuhusu dating fossil

Njia common inayotumika ni uranium-lead decay method, ambapo unapima kiasi cha uranium kwa kulinganisha na kiasi cha lead that has radioactively decayed, then unapata muda-mfano, miaka bilioni moja n.k.

Lakini ambacho hawasemi ni kwamba njia hii utoa by-product ambayo ni radioactive helium and if you measure this, inakupa date ya miaka 5,000 ukilinganisha na bilioni moja.

Kutokana na inaccurate ya hii njia, hamna namna ya kufahamu ni wakati gani fossils au creatures ziliweza kufanyika zaidi ya kusikiliza na kusoma kile kilichoandikwa na ancients.

Vile vile tunaweza kuona uwepo wa majengo makubwa yenye bricks zenye uzito wa tani 20-50 kama yale yaliyopatikana South America. Kwa mfano uharibifu katika Ollantaytambo & Sacsayhuaman, is that giant creatures could easily knock down a wall built from small bricks(kwa maana kuna giants waliokuwepo).

Genesis 6:4 King James Version;

"THERE WERE GIANTS IN THE EARTH IN THOSE DAYS; AND ALSO AFTER THAT, AND WHEN THE SONS OF GOD CAME IN UNTO THE DAUGHTERS OF MEN, AND THEY BARE CHILDREN TO THEM, THE SAME BECOME MIGHTY MEN WHICH WERE OF OLD, MEN OF RENOWN"

Na tunajua Biblia ni kopi ya maandiko ya kale kutoka sumerians, so we can assume that they are talking about the Annunaki taking the human slaves as wives (hii ilikuwa bado ni pre-flood era).



ollantaytambo-ruins-andenes-inca.jpg

Ollantaytambo

GettyImages-513889873_high.jpg

Ollantaytambo
aracari-cusco-Saccsayhuaman-1140x530.jpg

Sacsayhuaman



In fact wale giants 22 waliotajwa, wametejwa kwa majina na Biblia baada ya mafuriko:

1.Adonizedec -Mfalme wa Jerusalem
2.Agag Mfalme wa Amalakites
3.Ahiman
4.Amalek
5.Arba
6.Beelesath
7.Gog & Magog
8.Gogmagog
9.Goliath
10.Hoham Mfalme wa Hebron
11.Horam Mfalme wa Gezer
12.Jobab Mfalme wa Madon
13.Jabin Mfale wa Hazor
14.Sihon Mfalme wa Amorites
15.Talmai
16.Sippai
17.Sheshai
18.Perizzites
19.Lahmi
20.Nimrod
21.Og of Bashan
22.Ogias - Baba yake Og.


"And there we saw the giants, the sons of Anak, which come of the giants: and we were in our own sight as grasshoppers, and so we were in their sight" (English Bible Standard Version)

Kwa upande mwingine wa Biblia, jina Annunaki limekuwa abbreviated to the sons of Anak, imeweka wazi kwamba watu walifanana jamii ya panzi ukilinganisha na watoto wa Annunaki (kwahiyo hao Annunaki walikuwa ni mijitu kweli kweli).


Hivi karibuni skeletons za hao giants zimepatikana katika milima ya Bucegi nchini Romania , pia ziligundulika mwaka 1940 na Archaeologists katika sehemu inaitwa Argedava nchini Romania.

Mabaki ya skeletons ya giants hao, yaliondolewa na kuchukuliwa haraka sana na mpaka sasa haijulikani ni wapi yalipelekwa.


Mwaka 2009, serikali ya Romania ilihamua kuweka wazi na kutangaza kwenye vyombo vya habari kuhusu giants hao kuishi na kukaa katika milima ya Bucegi, ila jambo la kushangaza wakati wanajiandaa kurusha matangazo, Mtangazaji alipigiwa simu na mtu asiyefahamika na kumwambia waache mara moja na kusitisha matangazo hayo.

Baadaye wale waandishi wa habari waliokuwa wanahusika na tukio walipohojiwa, hawakutaka kabisa kusema au kuzungumzia chochote kuhusu tukio hilo.


Kwa nini kuna matumizi ya nguvu sana katika kuhakikisha taarifa hizi hazitolewi hadharani, sababu ya kipekee inaweza kuwa ni kwamba wale giants waliowahi kuishi hapa duniani ni ANNUNAKI.

Hii inaweza kuthibitisha kwamba kile kilichoandikwa kwenye clay tablets ni ukweli, kitu ambacho kinaweza kupelekea mwisho wa taasisi za dini ulimwenguni & mass hysteria.

Watu wanaweza kugundua kwamba wamekuwa wakiishi chini ya uongo wa dini & that we are creation of ENKI as slaves for mining gold.


They would discover that there is nothing majestic about human race, that we were simply created as a means to an end & nothing more.



Plato aliwahi kusema: "HAKUNA MTU ANAYECHUKIWA KAMA YULE ANAYE SEMA UKWELI."

5835e7f5-5f27-47bb-a1f2-048d6b7eafb9.jpg

Milima ya Bucegi nchini Romania.

20210831000820_2bd01226d532fdd53bc69dc312a0d345d54736949ba3e7a4a94d48e3f5eb2109.jpg


Goliath.jpg

Giants wanao ongelewa hapa, walikuwa ni watu waliopanda hewani na wenye miili mikubwa kweli kweli mithili ya hizi picha. Mtu mrefu wa sasa anaweza akaishia kwenye magoti yao tu. Hawakuwa viumbe wa kawaida.
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA

GIANTS & DINOSAURS

View attachment 2113539

Ni takribani mamia ya miaka yamepita tangu kuthibitisha uwepo wa dinosaurs hapa duniani. Hapo kabla viumbe hawa walijulikana kama dragons.

Kama tujujuavyo viumbe hao walikuwa ni monstrous creatures kwelikweli waliozunguka sehemu mbali mbali hapa duniani zaidi ya miaka milioni 165 iliyopita.

Wanasayansi wanasema viumbe hawa, walitoweka zaidi ya mika milioni 65 iliyopita kutokana na madhara ya comet iliyoacha bonde lenye ukubwa wa 180 km huko Chicxulub-Yucatan Peninsula nchini Mexico(lakini hii bado ni nadharia na sio fact).

Inasemekana ni dinosaurs wachache sana walio survive na kuendelea kuishi hadi kipindi ambacho ANNUNAKI walifika duniani, miaka 450,000 iliyopita.

Tunaweza kuona hapa chini, sauropods watano kutoka sumerian cylinder seal.

View attachment 2113542

"Norse legend of Beowulf"(kama umewahi tazama hii movie/kama bado kaitafute uitazame) inavutia sana, kama description of the creature "Grendel" (huyu alikuwa monster aliyevamia kwa mfalme Danes karne ya 6 BC)could be that of babyTryannosaurus Rex. Alivutiwa na harufu ya nyama choma na sauti ya mtu anayeimba. Tunaweza kumchukulia Grandel kama giant humanoid.

Lakini tunaweza kujiuliza, how could Beowulf have ripped off one of its arms in the battle so easily unless it was the feeble arm of the baby T-Rex, wchich according to the description, also had claws?.

Mwishowe walihitajika watu wengi sana hili kumuua kiumbe huyo wakati wa jitihada za kukabiliana naye.

View attachment 2113552

T-Rex dinosaur

Baada ya Grandel kuuliwa, Mama yake (the dragon/T-Rex) alikuja kumuangalia mtoto wake (offspring) na kukiharibu kijiji kizima. Baada ya hapo akaelekea pangoni, Beowulf akapewa upanga wa maajabu hili akamuue. Upanga huo ulichanganywa na baadhi ya vitu vilivodondoka kutoka juu, na kitu chochote kilichoshuka duniani kutoka angani, ilisemekana kimetumwa na Miungu yao hii ndiyo sababu kubwa ya kusema upanga aliyopewa Beowulf na wazee wa kijiji ulikuwa ni "magic sword."

Beowulf alimuua T-Rex kwa kumkata shingo, na inasemekana hii ni sehemu weak ya dinosaurs, hivyo ukiweza kumkata sehemu ya shingo anakufa hapo hapo.

Vile vile tuna mashujaa wengine waliopambana na dragons kama vile St. George, aliyemuua Varanus priscus(huyu inasemekana ni mjusi mkubwa sana kuwahi kutokea hapa duniani). Viumbe hawa waliishi kwa wakati ule, lakini tatizo ni kwamba legends hawakutaka kuona viumbe hao wakiishi, hivyo ilikuwepo battle kubwa kati ya hominids na dinosaurs iliyopelekea kutoweka kwao.


Moja wapo ya fossil iliyodhaniwa imetoweka ni Coelacanth. Ilisemekana kiumbe huyu alitoweka miaka milioni 400 iliyopita, lakini mmoja alinaswa kwenye nyavu na mvuvi mwaka 1974 katika visiwa vya Comoro, tukio hili lilimaliza utata wote uliyokuwepo kuhusu kutoweka kwa kiumbe huyo.

View attachment 2113568

A coelacanth


Nyayo zinazo fanana na za mtu mwenye umbo kubwa sana (giant human like) pembeni kabisa na dinosaur tracks zilipatikana Paluxy-Glen Rose Texas. Vile vile mabaki ya dinosaurs na species wengine wa dinosaur yamepatikana na kugunduliwa sehemu tofauti tofauti dunia, hivyo kuweka wazi na kuthibitisha uwepo wa viumbe hao hapo kabla.

Tunawezaje kutambua umri wa mabaki(fossils) za viumbe?

Radio carbon dating haiwezi kutumika kwa sababu half life yake ni miaka 5,700, tunaweza kutumia C14 isotope ambayo inaweza kutambua umri wa fossils wa miaka 60,000 pekee iliyopita, ni hii ndiyo njia inayotumika katika matukio ya kihistoria.

View attachment 2113570
Discovered footprints of giants like human alongside the dinosaur track

Ngoja nielezee kidogo kuhusu dating fossil

Njia common inayotumika ni uranium-lead decay method, ambapo unapima kiasi cha uranium kwa kulinganisha na kiasi cha lead that has radioactively decayed, then unapata muda-mfano, miaka bilioni moja n.k.

Lakini ambacho hawasemi ni kwamba njia hii utoa by-product ambayo ni radioactive helium and if you measure this, inakupa date ya miaka 5,000 ukilinganisha na bilioni moja.

Kutokana na inaccurate ya hii njia, hamna namna ya kufahamu ni wakati gani fossils au creatures ziliweza kufanyika zaidi ya kusikiliza na kusoma kile kilichoandikwa na ancients.

Vile vile tunaweza kuona uwepo wa majengo makubwa yenye bricks zenye uzito wa tani 20-50 kama yale yaliyopatikana South America. Kwa mfano uharibifu katika Ollantaytambo & Sacsayhuaman, is that giant creatures could easily knock down a wall built from small bricks(kwa maana kuna giants waliokuwepo).

Genesis 6:4 King James Version;

"THERE WERE GIANTS IN THE EARTH IN THOSE DAYS; AND ALSO AFTER THAT, AND WHEN THE SONS OF GOD CAME IN UNTO THE DAUGHTERS OF MEN, AND THEY BARE CHILDREN TO THEM, THE SAME BECOME MIGHTY MEN WHICH WERE OF OLD, MEN OF RENOWN"

Na tunajua Biblia ni kopi ya maandiko ya kale kutoka sumerians, so we can assume that they are talking about the Annunaki taking the human slaves as wives (hii ilikuwa bado ni pre-flood era).



View attachment 2113572
Ollantaytambo

View attachment 2113573
Ollantaytambo
View attachment 2113574
Sacsayhuaman



In fact wale giants 22 waliotajwa, wametejwa kwa majina na Biblia baada ya mafuriko:

1.Adonizedec -Mfalme wa Jerusalem
2.Agag Mfalme wa Amalakites
3.Ahiman
4.Amalek
5.Arba
6.Beelesath
7.Gog & Magog
8.Gogmagog
9.Goliath
10.Hoham Mfalme wa Hebron
11.Horam Mfalme wa Gezer
12.Jobab Mfalme wa Madon
13.Jabin Mfale wa Hazor
14.Sihon Mfalme wa Amorites
15.Talmai
16.Sippai
17.Sheshai
18.Perizzites
19.Lahmi
20.Nimrod
21.Og of Bashan
22.Ogias - Baba yake Og.


"And there we saw the giants, the sons of Anak, which come of the giants: and we were in our own sight as grasshoppers, and so we were in their sight" (English Bible Standard Version)

Kwa upande mwingine wa Biblia, jina Annunaki limekuwa abbreviated to the sons of Anak, imeweka wazi kwamba watu walifanana jamii ya panzi ukilinganisha na watoto wa Annunaki (kwahiyo hao Annunaki walikuwa ni mijitu kweli kweli).


Hivi karibuni skeletons za hao giants zimepatikana katika milima ya Bucegi nchini Romania , pia ziligundulika mwaka 1940 na Archaeologists katika sehemu inaitwa Argedava nchini Romania.

Mabaki ya skeletons ya giants hao, yaliondolewa na kuchukuliwa haraka sana na mpaka sasa haijulikani ni wapi yalipelekwa.


Mwaka 2009, serikali ya Romania ilihamua kuweka wazi na kutangaza kwenye vyombo vya habari kuhusu giants hao kuishi na kukaa katika milima ya Bucegi, ila jambo la kushangaza wakati wanajiandaa kurusha matangazo, Mtangazaji alipigiwa simu na mtu asiyefahamika na kumwambia waache mara moja na kusitisha matangazo hayo.

Baadaye wale waandishi wa habari waliokuwa wanahusika na tukio walipohojiwa, hawakutaka kabisa kusema au kuzungumzia chochote kuhusu tukio hilo.


Kwa nini kuna matumizi ya nguvu sana katika kuhakikisha taarifa hizi hazitolewi hadharani, sababu ya kipekee inaweza kuwa ni kwamba wale giants waliowahi kuishi hapa duniani ni ANNUNAKI.

Hii inaweza kuthibitisha kwamba kile kilichoandikwa kwenye clay tablets ni ukweli, kitu ambacho kinaweza kupelekea mwisho wa taasisi za dini ulimwenguni & mass hysteria.

Watu wanaweza kugundua kwamba wamekuwa wakiishi chini ya uongo wa dini & that we are creation of ENKI as slaves for mining gold.


They would discover that there is nothing majestic about human race, that we were simply created as a means to an end & nothing more.



Plato aliwahi kusema: "HAKUNA MTU ANAYECHUKIWA KAMA YULE ANAYE SEMA UKWELI."

View attachment 2113579
Milima ya Bucegi nchini Romania.

View attachment 2113627

View attachment 2113629
Giants wanao ongelewa hapa, walikuwa ni watu waliopanda hewani na wenye miili mikubwa kweli kweli misri ya hizi picha. Mtu mrefu wa sasa anaweza akaishia kwenye magoti yao tu. Hawakuwa viumbe wa kawaida.
Anigrain
Sandali Ali
mtu chake
Annunaki
Dumas the terrible
ibn
Pitieni na hapa tushare elimu na maarifa.
 
Hahahahahah hicho kisa hua kinanifurahisha Sana,Pharao atakua alifaidi Sana kusugua mbususu ya Sarai huko mwamba akiugulia maumivu kisa kujifanya dadaye navuta picha
Mwamba Pharao alilala na mkewe asubuhi akiamka anasema aaah

Shemeji kwema aisee
Abraham anajibu kinyonge salama tu shemu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]
Dah hii stori imeniuma mpaka mimi aisee

Abraham mvumilivu sana, Sara aliliwa kimasikhara
 
Dhahabu ni natural occurrence thing kama ilivo mafuta yanatokea sehemu chache katika Dunia kutokana na nature ya fossils zinazopatikana maeneo hayo, hivo ata Uwe na Akili vipi huwezi kuunda ispokuwa unaweza kubadili mfumo tu

Ingekuwa inawezekana kuunda Leo hii wazungu wangekuwa na visima vyao vya mafuta pamoja na machimbo yao ya madini aina zote, kwahiyo ata kama Mungu ameumba Kila kitu ila itaniwia ugumu sana kuamini kwamba aliumba mafuta na madini, ispokuwa yametokana ma matokeo ya mabadiriko yanayoendelea kutokea katika Dunia ya Leo hii
Pia..nahis kila kilichomo dunian kina sababu na maana..either utegemez or vingnevyo..so those intelligent beings waliofanya yote haya .hata kutengeneza earth and all these bodies in the universe naamin walitengeneza pia hata hvyo vitu natural occuring kama elements etc...sabab walijua end product ya chochote wanachofanya ni for the good ya ku drive life huku ulimwenguni....we actualy dont know exactly who created us or all these we see n dont see...lakin mim binafs naamin alietengeneza haya yote must be veeery intelligent na pia naamin sio kiumbe simple minded kama tunavyoaminishwa kwamba ..he judges when you commit sin n bla bla..naamin huyu creator is beyond that...ndomana hata huwa nawambia watu..the tru creator of all this hawez kuwa na muda na et kunichunguza nazini..sjui naiba n bla bla...hta mwanasayans wa kawaida tu yuko busy na hana muda wa ujinga..[emoji1]

Na pia naamin creation hyo ya yote haya haikua ni taaa...imetokea..no no no.naamin ilikua ni process of making things n ilichukua bilion or milions of yrs to accomplish..na naamin ilikua ni system of sio creator m1 pekee bali ni mfumo na taasisi kubwa of intelligent beings...so..perhaps sabab hatujui jina lake hao creator n all that..mayb ndomana wanadam sie tukaita" Mungu".."God"...so wanaotafuta zaid details ndo wakaja sasa kuchambua ni kina nan hao waliocreat ..so wengne wanasema ni anunaki etc wengn watasema ni yahwea..so we are all searching ...finding out who is who
 
Back
Top Bottom