safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Naomba kuuliza mkuu,Vuguvugu la kanisa katoriki kuitwa anti christ zimeanza muda gani kabla ya kuzaliwa muhammad ?Hawa jamaa walianzisha dini mbadala ambayo Watakua wanapinga Uungu wa Yesu Ili waonekane ni ant Christ maana enzi hizo kulikua na vugu vugu la kanisa katoriki kuitwa wapinga kristo
Wakati wanamtuma muhammad hapo arabuni ili awe mpinga kristo,je jamii ipi wakati huo ndio ilikuwa na wakristo wengi ?hivyo ikabidi watengeneze Islam religion Ili aonekane Mohammed Abdulla kaanzisha mafundisho ya kupotosha watu na akijinadi ni dini mpya i
Lupi ambalo bwana muhammad alikubaliana na jamaa hapo mwanzo kisha baadae akawageuka na wakashindwa kumzimisha ?picha liliungua baada ya Mohammed Abdulla kupata Nguvu na kukubalika Arabuni,akawageuka jamaa na kumzimisha haikuwezekana
Kwa nini haya maandishi ya uislamu yawe ya siri wakati ni kuhimu sana yawe wazi ili yawapoteze watu waone k2wmba uislamu ndio mpinga kristo ?Napoleon Bonaparte Ile Miaka 1880's alipomteka Pope na kumkata kichwa na ndio walikuta makabrasha yenye Siri hizo na Kuna maandishi ya Siri waliyakuta chini ya kiti Cha Pope yameendikwa
"Mwenyezi Mungu ni Mmoja na Mohammed ndie mtume wake"
Kwa nini kukutwa maandishi ya uislamu kwenye kiti cha pope iwe ni ishara ya kuwa uislamu ni plan tu na isiwe ni dini ya kweli ya huyo pepo ambayo akiiabudu kisirisiri ?
Mkuu naomba kuwasilisha maswali haya kwanza.