Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Hawa jamaa walianzisha dini mbadala ambayo Watakua wanapinga Uungu wa Yesu Ili waonekane ni ant Christ maana enzi hizo kulikua na vugu vugu la kanisa katoriki kuitwa wapinga kristo
Naomba kuuliza mkuu,Vuguvugu la kanisa katoriki kuitwa anti christ zimeanza muda gani kabla ya kuzaliwa muhammad ?
hivyo ikabidi watengeneze Islam religion Ili aonekane Mohammed Abdulla kaanzisha mafundisho ya kupotosha watu na akijinadi ni dini mpya i
Wakati wanamtuma muhammad hapo arabuni ili awe mpinga kristo,je jamii ipi wakati huo ndio ilikuwa na wakristo wengi ?
picha liliungua baada ya Mohammed Abdulla kupata Nguvu na kukubalika Arabuni,akawageuka jamaa na kumzimisha haikuwezekana
Lupi ambalo bwana muhammad alikubaliana na jamaa hapo mwanzo kisha baadae akawageuka na wakashindwa kumzimisha ?
Napoleon Bonaparte Ile Miaka 1880's alipomteka Pope na kumkata kichwa na ndio walikuta makabrasha yenye Siri hizo na Kuna maandishi ya Siri waliyakuta chini ya kiti Cha Pope yameendikwa

"Mwenyezi Mungu ni Mmoja na Mohammed ndie mtume wake"
Kwa nini haya maandishi ya uislamu yawe ya siri wakati ni kuhimu sana yawe wazi ili yawapoteze watu waone k2wmba uislamu ndio mpinga kristo ?

Kwa nini kukutwa maandishi ya uislamu kwenye kiti cha pope iwe ni ishara ya kuwa uislamu ni plan tu na isiwe ni dini ya kweli ya huyo pepo ambayo akiiabudu kisirisiri ?

Mkuu naomba kuwasilisha maswali haya kwanza.
 
Hawa jamaa walianzisha dini mbadala ambayo Watakua wanapinga Uungu wa Yesu Ili waonekane ni ant Christ maana enzi hizo kulikua na vugu vugu la kanisa katoriki kuitwa wapinga kristo na wakristo wa mwanzo hasa wale waliokua nje ya mfumo wao hivyo ikabidi watengeneze Islam religion Ili aonekane Mohammed Abdulla kaanzisha mafundisho ya kupotosha watu na akijinadi ni dini mpya ili wale wakristo wengine waamini kweli mpinga kristo kaja na ana dini yake hapo Ndipo Mohammed Abdulla na genge lake wakapewa mission Huko Arabuni ya kufanya huo uhuni wa kufake kitabu wakidai ni muujiza umemshukia kumbuka jamaa alikua Merchant na anakubalika Kwa jamii yake hivyo ilikua ni rahisi kumpa mission jamaa aliyekua mjanja mjanja na mwerevu japo alikua hata kusoma na kuandika hajui ila maneno mengi na much know sana anaejua Tabia za jamii yake maana alikua Mtu wa kujichanganya Kila sehemu hivyo akaula akishawishiwa na Padre mmoja waliekutana nae Jerusalem kibiashara aingie deal na Vatican enzi hizo wakiwa makao makuu pale Constantinople Uturuki kabla
hawajahamia Italy na kweli deal lilienda vizuri sana mpaka jamaa akafanikiwa kuwaungunisha nusu ya jamii za waarabu ,ila baadae picha liliungua baada ya Mohammed Abdulla kupata Nguvu na kukubalika Arabuni,akawageuka jamaa na kumzimisha haikuwezekana maana wajahidina wa Mecca na Medina walilishwa sumu Kali Sana kiasi kwamba kuwaeleza Ile ilikua plan tu hawatakuelewa Kwa sababu hiyo dini ikawa kama identity Ya Jamii Yao,Muddy akaona hakuna kurudi nyuma kama wamevunja makubaliano Mimi sirudi nyuma,huo mgogoro ukiendelea mpaka ukaja zalisha crusade war Kwa warumi na Kaffir war Kwa Arabs na vita ikapiganwa Kwa Miaka mingi sana bila kuisha,
Kuna mambo mengi sana yakitokea mpaka kufikia hatua huyo yaani ipo siku nitaandaa madesa yenye ushahidi kabisa maana aliyeunguza picha mpaka Siri kufumuka ni
Napoleon Bonaparte Ile Miaka 1880's alipomteka Pope na kumkata kichwa na ndio walikuta makabrasha yenye Siri hizo na Kuna maandishi ya Siri waliyakuta chini ya kiti Cha Pope yameendikwa

"Mwenyezi Mungu ni Mmoja na Mohammed ndie mtume wake"
Sasa utajiuliza Hayo chini ya kiti Cha enzi Cha baba mtakatifu wa vatikani yalimaanisha Nini kama Sio Game of thrones!
Father of 2 Religions!

Ni hatari sana ila mkuu Haya mambo bwana yatasababisha kina nanii wanitafute wanipopoe mawe Mimi Simo Aisee ila nawasilisha tu!
hearly
😁😁😁😁🔥🔥
Umeandika kitu kikubwa, unajua kuna kitu wengi wanachanganya na sote tunachanganyikiwa Imani kuhusu Mungu haina tatizo shida ni Mungu ngani?

Leo tuna imani nyingi za kidini na zote zinajidai zipo sahihi lakini ukifatilia kwamakini unagundua kuna tatizo mahali, Ukweli kabisa Roma bado inatawala dunia kupitia dini na serikali hakuna dini ipo tofauti na Roma au Vatican haipo.

Mafanikio haya ya Vatican hayakuja kirahisi rahisi mbinu nyingi zilitumika shirika lao la Jesuits ndiyo wahusika wa kubwa wa mipango hii.

Wao pia wameteneneza maajent wakila namna ili tu kusambaza habari zao vile wao ndiyo wamiliki vyuo vingi hata elimu kwenye mataifa mengi wao ndiyo waliyo unda, kwahiyo hata hizi habari za mtoa maada unaweza kukuta tunazunguka pale pale lengo kubwa ni kutuvuruga tushindwe kujua kweli ni ipi na uongo niupi.

Dini nyingi za leo muundo wametengeneza wao ili ziendane na matakwa yao, ukweli wakristo waawali walikuwa mwiba mkali kwa Roma kwahiyo Roma wakaona ili kuwaangamiza ni kutengeneza imani nyingine ili isionekane kama ni wao ndiyo ikaundwa Islam na wakati ule ilikuwa unalazimishwa ufe au uwe mwislam kwenye Ottoman Empire hii ipo wazi kabisa.

Ndiyo maana hata leo dini hii ndiyo inayo tumika kupiga wale wanaoenda tofauti na Vatican, makundi Karibia yote yanayo itwa ni ya kigaidi ni Ya kislam vile hilo ndiyo lililokuwa lengo kuu.
Muhimu kujua Vatican ina control imani zote za leo pamoja na zile za jadi hata zile za wakana Mungu.

Nawao wanajua kabisa Mungu wa kweli yupo ndiyo maana wao wanahangaika namna hii ili kuwapoteza watu.
 
Naomba kuuliza mkuu,Vuguvugu la kanisa katoriki kuitwa anti christ zimeanza muda gani kabla ya kuzaliwa muhammad ?

Wakati wanamtuma muhammad hapo arabuni ili awe mpinga kristo,je jamii ipi wakati huo ndio ilikuwa na wakristo wengi ?

Lupi ambalo bwana muhammad alikubaliana na jamaa hapo mwanzo kisha baadae akawageuka na wakashindwa kumzimisha ?

Kwa nini haya maandishi ya uislamu yawe ya siri wakati ni kuhimu sana yawe wazi ili yawapoteze watu waone k2wmba uislamu ndio mpinga kristo ?

Kwa nini kukutwa maandishi ya uislamu kwenye kiti cha pope iwe ni ishara ya kuwa uislamu ni plan tu na isiwe ni dini ya kweli ya huyo pepo ambayo akiiabudu kisirisiri ?

Mkuu naomba kuwasilisha maswali haya kwanza.
kwanza nianze kukujibu kuhusu swali lako la kwanza Mkuu
Mkuu ukristo ulianza kipindi yesu ameshapaa
(according to Christianity)
Ile siku ya Pentecostal ndio ukristo ulianza kuhubiliwa pande zote za Uyahudi na Israel kwa ujumla mpaka kufika Mwaka
70 AD ambapo majeshi ya Rumi yame sabotage Jerusalem Kwa kuizingira Kwa miezi kadhaa kabla hawajawavamia na kufanya ambush,wakristo walikua wengi tu,
Baada ya Israelites kutekwa na kutawanywa movement za wakristo wa kwanza zilikua zimeanza kitambo kidogo
Mpaka kufika Mwaka 100's AD
Kina Constantine wanaanzisha tawala ya kikristo pale Constantinople Uturuki
Mohammed Abdulla wa Mecca alikua Hana hata dalili za kuzaliwa
Mohammed alikuaja kuzaliwa Miaka ya 600's Huko wakati ukristo umeshaota mizizi Kwa Zaidi ya Karne 4 hivi nyuma
So nadhani tumeelewana,
Mengine nitaendelea kukujibu Mkuu!
 
Sio inawezekana wanajua Kuna Mambo mengi Sana yasiri yanaendelea kwaajili ya kuwapumbaza watu , na siku ukija kuyagundua unaweza usipate usingizi, Utachnganyikiwa maana utakuja kugundua kwamba kichwani mwako wewe pamoja na watu wengine mnaishia kwa kuamini uongo Maisha yenu yote ,,

Utajiri mkubwa katika hii dunia upo katika kuwapumbaza watu na kuwatumia,, na propaganda ndio platform husika ,, dunia imejaa ushenzi sana
Bila dini Afrika tungekuwa mbali sana miaka michache mbele.
Lakini mpaka leo wapo wanaouza viwanja vyao ili wakamtolee bwana ilhali wao wamepanga na kodi ni ya shida
 
Sorry mkuu nimekusudia nyumba.


Annunaki hawakuwa na nyumba hapa duniani au nyumba ndio hizi pyramids ?
Mkuu Bado sijajua hata Mimi inawezekana Pyramids ikawa ndio zilikua nyumba zao maana Yale madude Yana underground bases za kutosha inawezekana walikua na Makazi humo humo au waliishi kwenye spaceships zao maana inasadikika zilikua kubwa sana
Nawaza tu hapa
🤔🤔🤔
 
Hii Dunia Kuna watu wachache waliamua kubuni mbinu za kuwaburuza wenzao,wengi wakaingia kwenye mtego hatari sana kuja kuchomoka ni ngumu mno,Yaani Bora Mtu awe mtumwa wa mwili Kuliko mtumwa wa Imani
Yaani mental slave ni Mbaya sana!
Nilisoma kitabu ki1 hiv kinaelezea jinsi wale (Answaar suna...yaan Suni)..dhehebu lao lilovyoanzishwa ndani ya uislamu...nkasema kwel wazungu wahuni sana...waingereza wahuni sana aiseee..hahaha..yaan utacheka na kucheka..halaf hiko kitabu nilikikuta eneo ambalo lina muslims tuu..na ni kijijin huko ndan ndan..wana msikiti uko katikat ya kijijin...huko kila mtu ni muslim...na wanasoma vitab hao kama hawana akil nzur
 
Nilisoma kitabu ki1 hiv kinaelezea jinsi wale (Answaar suna...yaan Suni)..dhehebu lao lilovyoanzishwa ndani ya uislamu...nkasema kwel wazungu wahuni sana...waingereza wahuni sana aiseee..hahaha..yaan utacheka na kucheka..halaf hiko kitabu nilikikuta eneo ambalo lina muslims tuu..na ni kijijin huko ndan ndan..wana msikiti uko katikat ya kijijin...huko kila mtu ni muslim...na wanasoma vitab hao kama hawana akil nzur
Hebu share kidogo Ndugu mjumbe tupate angalau theluthi ya ulichokipata Aiseee!
😁😁😁😁🔥
 
Kwa Sasa Sina Cha maana cha kuchangia zaidi ya kucheka tu...labda nikiwa na appetite nzuri.
 
Mohammed alikuaja kuzaliwa Miaka ya 600's Huko wakati ukristo umeshaota mizizi Kwa Zaidi ya Karne 4 hivi nyuma
Mkuu samahani.

Huku naendelea kusubiri majibu ya maswali yangu naomba kurejea swali langu maana naona kama hatujafahamiana.

Nimeuliza hivi.

"Vuguvugu la kanisa katoliki kuitwa wapinga kristo limeanza muda gani kabla ya kuzaliwa muhammad "?

Sijataka kujua kuhusu ukristo umeanza lini kabla ya muhammad,wala sijataka kujua kanisa katoliki limeanza lini kabla ya muhammad.

bali nilichotaka kujua ni kuwa hawa kanisa katoliki wameanza KUITWA LINI WAPINGA KRISTOA kabla ya bwana muhammad kuja ?

Yani

Baada ya muhmmad kuzaliwa alikuta vuguvugu la katoliki kuitwa wapinga kristo lina karne na karne tayari au wakati anazaliwa muhammad vuguvugu hilo ndio lilikuwa nalo linaanza ?
 
Mkuu samahani.

Huku naendelea kusubiri majibu ya maswali yangu naomba kurejea swali langu maana naona kama hatujafahamiana.

Nimeuliza hivi.

"Vuguvugu la kanisa katoliki kuitwa wapinga kristo limeanza muda gani kabla ya kuzaliwa muhammad "?

Sijataka kujua kuhusu ukristo umeanza lini kabla ya muhammad,wala sijataka kujua kanisa katoliki limeanza lini kabla ya muhammad.

bali nilichotaka kujua ni kuwa hawa kanisa katoliki wameanza KUITWA LINI WAPINGA KRISTOA kabla ya bwana muhammad kuja ?

Yani

Baada ya muhmmad kuzaliwa alikuta vuguvugu la katoliki kuitwa wapinga kristo lina karne na karne tayari au wakati anazaliwa muhammad vuguvugu hilo ndio lilikuwa nalo linaanza ?
Vugu Vugu la wao kuitwa wapinga kristo lilianza tu pale walipoanza kujitanua maeneo mengi na ufalme ukitumia dini kama identity Yao,Kila kitu huanza kidogo kidogo mpaka pale kinaota mizizi kamili kadri siku zilivyozidi kwenda wapingaji walikua wanazimwa kimya kimya maana walistaajabu imekuaje ule utawala uliokua wa kipagani ukituumiza wakristo original nao ujinasibu una muunga mkono kristo Huko wakiwa na mafundisho yaliyojaa upagani ndani yake?
Kumbuka Constantine alipoanzisha Ukristo kama dini ya dola lao hawakuacha kuendelea kufuata tamaduni zao za kipagani Kwa kutia masanamu,na mafundisho ya kupotosha watu,kitendo kilichowafanya wale
Pre Constantine christian kumwona ni mbwa mwitu aliyejivika ngozi za kondoo,
Kwahiyo mpaka kufika kipindi Mohammed anazaliwa hizo movement zilikuwepo na zilikua zimeota mizizi licha ya majaribio ya kuzimwa maana Kuna wakristo wengine walikimbilia Mbali kujificha Huko waliendelea na harakati zao kitendo Cha tawala kujitanua maeneo wakifika wanawakuta wakisto asilia wamekita mizizi Yao na Hapo na ndio maana wakaamua Sasa waje na mbinu hiyo ya kuanzisha dini itakayoonekana ni mpinga kristo kwao na Kwa wale asilia!
 
Kwahiyo mpaka kufika kipindi Mohammed anazaliwa hizo movement zilikuwepo na zilikua zimeota mizizi
Sasa mkuu hawa wakatoliki kwa nini hawakuiona hii njia ya kunzisha dini mpya tokea zamani kabla ya muhammad ?

Kwa nini hawakuanzisha dini ya kuwazugia watu mpaka ulipofika wakati wa muhammad ?
zimeota mizizi licha ya majaribio ya kuzimwa maana Kuna wakristo wengine walikimbilia Mbali kujificha Huko waliendelea na harakati zao
Wakristo ambao walikimbia ni wepi kati ya wakristo wa katoliki waliotuhumiwa kupinga kristo na wakristo halisi ?
 
Sasa mkuu hawa wakatoliki kwa nini hawakuiona hii njia ya kunzisha dini mpya tokea zamani kabla ya muhammad ?

Kwa nini hawakuanzisha dini ya kuwazugia watu mpaka ulipofika wakati wa muhammad ?

Wakristo ambao walikimbia ni wepi kati ya wakristo wa katoliki waliotuhumiwa kupinga kristo na wakristo halisi ?
swali lako la kwanza linanishangaza ni Sawa uulize Kwanini Mohammed hakuja Enzi za Musa au Ibrahim na akaja zama za za Ukristo,
Kila kitu huja Kwa wakati wake Mkuu hata Mohammed Abdulla alikuja wakati mwafaka kama ilivyo Mimi na wewe kuja Karne ya 20 na 21 Yaani tumeishi Karne mbili ni swala tu la coisendence tumejikuta hivyo,
Swala la wakristo wa mwanzo hawakua wakatoriki maana walikuwepo na wapo mpaka Leo Huko Ethiopia Toka zamani kabla Constantine hajaanzisha ukristo fake!
 
Waongo hao hakuna mwili wa Pharao yeyote uliwahi kutwa ndani ya Pyramids zote 300 ndani ya Misri na kush halafu Kuna vitu hawasemi Mkuu Pyramids Zina bunker kubwa Sana Yaani ule mjengo Kwa nje ni mdogo ila ukianza kuzama chemba huimalizi kamwe na Kuna sehemu hazijawahi kufunguka utaweza ujue ndio mwisho wa ukuta kumbe ukitoboa unakuta Kuna chemba nyingine imeanza,
Now wanasansi wanatumia Robots na drill kutoboa Ili wasonge mbele maana binadamu kupenya kule ni ngumu Sana
Walipovunja Kwa kutumia robots wameanza kuona dalili za kushangaza Kuna maandishi ambayo sio ya kimisri ila Kuna sign na symbol ambazo sio za kawaida zikionesha Mahesabu ya kuzalisha Umeme na Bado wanazidi tafiti mpaka wakifika deap hatujui Nini watakutana nacho na imagine tu
Ukisikia wameona mitambo mikubwa ya power Plant tusishangae watakavyo chapisha taarifa zao ndugu watafiti!
Kwa hiyo mkuu tusishangae Kuna mtambo ya kuwasha dunia nzima na ile michoro waliichora wamisri wao walipokuwa wanaingia kama sisi huku michoro ya jamii za kale ikutwayo kwenye milima
 
Kwa hiyo mkuu tusishangae Kuna mtambo ya kuwasha dunia nzima na ile michoro waliichora wamisri wao walipokuwa wanaingia kama sisi huku michoro ya jamii za kale ikutwayo kwenye milima
Inawezekana maana now wachunguzi nao hawatupi update si unajua sometimes wakiona mambo mazito yatakayoishtua Dunia Wana Kaa kimya na kufanya Siri,maana watavunja code Kwa waliyowaaminisha watu,
Mfano walipotuma vifaa mwezini waliona Accient Spaceships na miji ya kale wakaamua kuvunga ila Kuna baadhi Yao hua wanashindwa kuvumilia wanatoa Siri Kwa jamaa zao ndio na wao wanatuvujishia Huku na sisi Huku angalau tunapata mwanga!
 
Kama Shirika la Jesuit father ni hatar sana....doctrine zao ni za ndan sana..unakuta hata pope mwenyew hajui kinachoendelea..anatumwa tuu..especialy hawa ma pope waa sikuhiz..naona vatican imeamua kuto disclose siri zake kwa hawa ma pope wa kizaz kipya....na hawa ma pope kwa unyeti wa hyo nafasi...huandaliwa mapema sana hata kabla hawajawa mapadre..bila kujijua...watu huwa wanahis ni random selection..hakuna kitu random kwenye nafas za kidunia ..everythn ni planned.
Kwa hiyo mkuu inawezekana putin kama alivyoandaliwa yeye Kuna mtu na yeye anamuanda Sasa hivi?
 
Hii Dunia Kuna watu wachache waliamua kubuni mbinu za kuwaburuza wenzao,wengi wakaingia kwenye mtego hatari sana kuja kuchomoka ni ngumu mno,Yaani Bora Mtu awe mtumwa wa mwili Kuliko mtumwa wa Imani
Yaani mental slave ni Mbaya sana!
Uko sawa mkuu mental slave mbaya sana itz like high brain wash level na ndio maana watu wanaojitoaga muhanga wanatekwa na akili nzuri tuu ila wakitoka huko wamekuwa magaidi wa kutupwa zaidi ya mwalimu alomfundisha na wanadanganywa dunia sio mahari salama kwake ni mbinguni akienda atakutana na maisha swafiiii na mabikra wake 72 hivi ni mungu gani huyo akwandalie huo upuuz wewe nani kwa mfano
 
Uko sawa mkuu mental slave mbaya sana itz like high brain wash level na ndio maana watu wanaojitoaga mhanga wanatekwa na akili nzuri tuu ila wakitoka huko wamekuwa magaidi wa kutupwa zaidi ya mwalimu alomfundisha na wanadanganywa dunia sio mahari salama kwake ni mbinguni akienda atakutana na maisha swafiiii na mabikra wake 27 hivi ni mungu gani huyo akwandalie huo upuuz wewe nani kwa mfano
hahahahaha mabikra 70's Mkuu
Hizi dini zinatuona wendawazimu sana,Mimi nakuambia huu upupu unaitwa dini ungekuja kipindi hiki Cha smart Intelligence sidhani Kuna Mtu hata awe na ugonjwa wa akili angezikubali,Sema ndio hivyo zilikuja zama za Giza na watu ndio wanaona ni mfumo wa kweli na ni kweli tupu ingawa Kuna mambo ukiyasoma unabaki unajiuliza Hawa wanatuchukuliaje Kwa mfano!
😁😁😁😁😁🔥
 
Back
Top Bottom