Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Na nikuulize kidogo, ukiachana na nyayo vipi kuhusu mabaki mengine kama mifupa, mafuvu, skeletons n.k unaamini kwamba yana athiriwa na evirommental factors unazozisema au uamini pia?
Ninaamini kuwepo hayo mafuvu mkuu.

Ila ninachohoji kuhusu mafuvu ni kuwa je kama hayo mafuvu ni ya watu wa kale majitu makubwa ?

Kwa sababu zipo historia za dini zinasema kuwa hao watu wa zamani walikuwa ni watu majitu makubwa ila ni watu kama sisi.

Sasa je pengine watu hawa majitu ndie mnaowaita nyie giant je haiwezekani ?

Why isifikiriwe kwamba hiso mafuvu ni za wtu wa kawaida wa zamani ila tu walikuwa na miili mikubwa mno ?

Badala yake zinaanza nadharia za giant na anunaki ?
 
Kwanza jua yalikuwa mazito halafu marefuuu! sisi tulikuwa kma Panzi kwa.(rejea kitabu cha mambo ya nyakati) sasa linganisha panzi aone unyayo wako mmoja kariakoo....huo unyayo mwingine atauonea mbali sana,

mfano Kariakoo na ubungo!! sasa km kariakoo umekanyaga kwenye jiwe na ubungo umekanyaga kwenye vumbi ...ni unyayo wa kwenye jiwe tukariakoo utaonekana! Olduvai gorge drsa la tatu historia uliisoma kweli mkuu??!

sasa unganisha na kulinganisha hiyo historia na nyao km hizo!....utakuta kwamba kwingine walipata nyayo na kwingine walipata mifupa, mafuvu, na kwingine zana za vita, zana za kukamatia wanyama wakali nk!
Mkuu swali langu la msingi ni kuwa vipi jiwe likikanyangwa na unyayo ilibonyee litengeneze alama ya unyayo ?

Hilo jiwe likoje kwamba ukikanyaga linabonyea kama tope ?

Hebu naomba ufafanuzi kuhusu unyayo kuwepo kwenye jiwe inakuwaje kuwaje ?
 
Maandiko yalipindishwa na wao waleta hizo dini
Mkuu sijaona ushahiidi pahala popote unaooonesha kwamba maandiko ya dini yamepindishwa.

Nilichoona ni maelezo tu ambayo watu wameandika,na kila mtu anaweza kuweka maelezo yake ayatakayo akatafuta hoja mbili tatu akaweka.

Mfano hivi leo mtu akisema alimfuata magufuli akaongea nae kuhusu chanjo magufuli akasema kwamba chanjo ni nzuri ila anataka watanzania wasipate chanjo wapungue kwa kufa,

mtu akiandika hivyo Kuhusu magufuli bado sio ushahidi hayo ni madai tu na maelezo ya kawaida.
ndiyo maana leo hii unashangaa na kuuliza maswali mengi unapo ambiwa umetengenezwa na Annunaki. Kwenye vitabu vya dini wameandika
Mkuu mimi naendelea kuuliza.

Kwani bila hayo maandiko uliyoyasoma unadhani ungejua vipi kwamba sisi tumeumbwa na annunaki?

Unadhani hayo mafuvu pekee,na hizo nyayo zingetosha kuonesha kwwmba sisi tumeumbwa na annunaki bila ya msaada wa maandiko ?
Kwenye vitabu vya dini wameandika uwepo wa giants ambao ni hao Annunaki
Kuwepo kwa hao giants katika vitabu vya dini bado haioneshi kwamba hao annunaki ndio wamemuumba mtu.

Kwa sababu mpaka leo kuna majitu ambayo yakizikwa hapo baadae watu watashangaa wakiona mifupa yake.

Mfano yule jamaa anayeitwa
Robert Wadlow ambae alikuwa na zaidi ya
272.cm,yaani mimi naweza kufika mapajani au karibu na kiuno chake tu,huyu mtu wa miaka kadhaa hapo nyuma,je tukirejea malaki ya miaka huko why isiwe kwamba watu wa zama hizo ndio walikuwa majitu ya kawaida tu kwa zaman hizo.

SAsa uwepo wa hayo mafuvu na mabaki bado haijawa uthibitisho wa kwamba sisi tumeumb2a na anunaki kwa sababu wapo pia watu wa kawaida kama sisi wenye mamiili makubwa sana.
Kwa mkutadha huo utaacheje kuyaamini yale yaliyoainishwa kutoka sumerian, ambako ndiko chimbuko la hayo maandiko ya dini unayoyaamini wewe?
Kuna ushahidi gani unaoonesha kwamba sisi tumeumbwa na anunaki zaidi ya ushahidi wa maandiko ?
 
Kama walitoka sayari nyingine na kufika hapa duniani, nakmtengeneza binadamu wa sasa kwa vinasaba vyao na udongo, jibu ni kwamba watakuwa wanazaliana kama sisi.
Asante Mkuu,

"Watakua wanazaliana kama sisi". Unafikiri hili jibu lako ni la uhakika au ni la kufikirika? neno watakua ni (Thinking without assurance)

Anyway. Umesema kwamba hao Annunaki ni viumbe kama viumbe(Binadamu). Kwa maana hiyo hao ni viumbe ambao wapo physically in shape yaan unaweza kuwaona kwa macho na kuwagusa. Sasa nakuuliza je kiumbe ambae yupo physically in shape anaweza kujiunda mwenyewe?
 
Kivipi dini iliwasaidia wao kutawala watu ?
km ivi ''ya kaisari mpe kaisari na yale ya Mungu mpe MUNGU Hiyo moja! ......pili

mtu akikupiga shavu moja mgeuzie na la pili!!

Yesu ni mzungu!! kwa hiyo na Baba yake ni Mzungu!! km alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zako za kukataa kutawaliwa na Yesu mzungu anakuona popote ulipo!! siku ya mwisho atakuchoma moto uungue na kujuta!

muombe chochote yesu mzungu atakupa!
 
km ivi ''ya kaisari mpe kaisari na yale ya Mungu mpe MUNGU Hiyo moja! ......pili

mtu akikupiga shavu moja mgeuzie na la pili!!

Yesu ni mzungu!! kwa hiyo na Baba yake ni Mzungu!! km alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zako za kukataa kutawaliwa na Yesu mzungu anakuona popote ulipo!! siku ya mwisho atakuchoma moto uungue na kujuta!

muombe chochote yesu mzungu atakupa!
Kwamba Mwafrika alilaaniwa baada ya kumchungulia Nuhu alipokuwa amelewa divai baada ya kutoka kwenye safina, akalaaniwa akawa mweusi kama mpingo, na atakuwa chini , na ndugu zake wazungu/waarabu, watamtawala kwa sababu wao wali barikiwa,
 
Kivipi dini iliwasaidia wao kutawala watu ?
Kwamba Mwafrika alilaaniwa baada ya kumchungulia Nuhu alipokuwa amelewa divai baada ya kutoka kwenye safina, akalaaniwa akawa mweusi kama mpingo, na atakuwa chini , na ndugu zake wazungu/waarabu, watamtawala kwa sababu wao wali barikiwa,
 
Kivipi dini iliwasaidia wao kutawala watu ?
Mambo kama haya na mengine mengi, imefikia wakati sisi Wa Afrika tuanze kutafakari upya kuhusu hizi Dini zetu, nadhani wengi wenu mmeshawahi kukutana na hii post.



Dh0XQm-W4AE1rQQ.jpg
 
Kwamba Mwafrika alilaaniwa baada ya kumchungulia Nuhu alipokuwa amelewa divai baada ya kutoka kwenye safina, akalaaniwa akawa mweusi kama mpingo, na atakuwa chini , na ndugu zake wazungu/waarabu, watamtawala kwa sababu wao wali barikiwa,
na mzungu hakutaka mweusi asome Biblia kabisaaaaaaaaa!! ukikutwa utayamba kifukuto!!! hata mtumwa kujua kusoma Tu marufuku! lkn walipenyaaa mpaka wakajua! meengi kuwahusu!! hasa kwa nini wako utumwani!!!

ilipotokea wakajua tu!! kibao kika badilika sasa wakalazimishwa kusali na Wazungu pamoja!! walikaa mabenchi ya nyuma! lkn weusi wakiwa peke yao mashamabani walifundishana ukombozi wa fikra....na kujua kuwa wao Black americans, na wafrica woote! ndo wayahudi original! wana wa Mungu yaani father Abraham offspring! kuwa utumwani ni kwa sbabu walihasi sheria ya Mungu!

wazungu kuona kuwa hawa sasa wameanza kujitambua ..... wakaanzisha Uzayonism movement ulaya na USA haraka sana.....na kujifanya KM wazungu wenzao wa Ulaya hasa Wajermani ndo watesi wao,

na wajermani walifanywa mbuzi wa kafara tu mauaji ya HOLOCOUST ni changa la macho lile kuhadaa ulimwengu wazungu waarabu lao moja wanapendana bana wee!! hawawezi kuuana ivo! Ahmad Nijad alijua kitambo sana mtafute hata humu yumo!

kwa maana kuwa wao wao ni uyahudi ya leo wanapaswa kurudi nchi yao hiyo ya ahadi, wakaenda kuomba hiyo ridhaa Huko UNO chini ya mwamvuri wa USA, na tena eti wanafaa Dunia kuwaonea huruma.

eti Dunia inawachukia, Sababu wao wamebarikiwa na Mungu, mpaka leo wanajifanya ivo matajiri wale waliouza watumwa km mbuzi wa kafar na Meli walizo tumia kuuza watumwa zinajulikana ni zao!! kuuumbe changa la macho tu!
 
na mzungu hakutaka mweusi asome Biblia kabisaaaaaaaaa!! ukikutwa utayamba kifukuto!!! hata mtumwa kujua kusoma Tu marufuku! lkn walipenyaaa mpaka wakajua! meengi kuwahusu!! hasa kwa nini wako utumwani!!!

ilipotokea wakajua tu!! kibao kika badilika sasa wakalazimishwa kusali na Wazungu pamoja!! walikaa mabenchi ya nyuma! lkn weusi wakiwa peke yao mashamabani walifundishana ukombozi wa fikra....na kujua kuwa wao Black americans, na wafrica woote! ndo wayahudi original! wana wa Mungu yaani father Abraham offspring! kuwa utumwani ni kwa sbabu walihasi sheria ya Mungu!

wazungu kuona kuwa hawa sasa wameanza kujitambua ..... wakaanzisha Uzayonism movement ulaya na USA haraka sana.....na kujifanya KM wazungu wenzao wa Ulaya hasa Wajermani ndo watesi wao,

na wajermani walifanywa mbuzi wa kafara tu mauaji ya HOLOCOUST ni changa la macho lile kuhadaa ulimwengu wazungu waarabu lao moja wanapendana bana wee!! hawawezi kuuana ivo! Ahmad Nijad alijua kitambo sana mtafute hata humu yumo!

kwa maana kuwa wao wao ni uyahudi ya leo wanapaswa kurudi nchi yao hiyo ya ahadi, wakaenda kuomba hiyo ridhaa Huko UNO chini ya mwamvuri wa USA, na tena eti wanafaa Dunia kuwaonea huruma.

eti Dunia inawachukia, Sababu wao wamebarikiwa na Mungu, mpaka leo wanajifanya ivo matajiri wale waliouza watumwa km mbuzi wa kafar na Meli walizo tumia kuuza watumwa zinajulikana ni zao!! kuuumbe changa la macho tu!
Tuendelee kutafuta maarifa, sasa hivi Wa Afrika wengi wameanza kujitambua, Tusifungwe na hizi Dini zilizokuja kwa kuwafanyia Unyama mababu zetu, na bado zinaendelea kutugawa kimakundi makundi tusiwe na umoja.
 
mkuu sehemu ya mwisho bado haijatoa mwanga. Baada ya binadamu kuumbwa kama kitendea kazi cha kina Annunaki, mtu wa leo ni nani? Kwa nini pawe na ukinzani kati ya mtu huyu na Annunsk hadi binadamu atake kuhamia sayari nyingine kupisha Annunak?
Mtu wa sasa ni Homo sapiens ametokana na Annunaki, ukinzani uliopo ni kati ya nadharia ya dini juu ya uumbwaji wa mtu na Annunaki Genesis, na kwa sababu ni nadharia mbili zinazokinzana lakini huku moja ya Annunaki ikiitumia ya dini kama moja wapo ya reference, basi ukinzani huu utaendelea kuwepo mpaka pale nadharia zote zitakapokubaliana. Hivyo ni wewe kuchanganua mambo na kushika lipi kutokana na uelewa wako.

Kuhusu kwenda sayari nyingine huo ni utashi wa mwanadamu baada ya kuumbwa kutaka kujua kama kweli hao viumbe wapo na walitokea huko, sababu nyingine ni ideologies tofauti juu usalama wa dunia kutokana na kutengenezwa kwa silaha za maangamizi na uharibifu unaoemdelea kwenye ozone ya dunia.

Sababu nyingine wapo waliosoma na kuzijua siri zenye ukweli, hao viumbe kuna uwezekano mkubwa wa kurejea tena duniani, kwahiyo kutafuta maisha sayari nyingine inaweza kuwa moja wapo ya njia ya kuogopa mutiny wao iwapo watarejea, kwa sababu haijulikani kama watarejea kwa uzuri au kwa ubaya.
 
kwa sababu haijulikani kama watarejea kwa uzuri au kwa ubaya.
Wao ndio walimuumba binadadamu(kwa mujibu wa mada)

Hivyo hawawezi kuja kumfanyia ubaya kiumbe waliyemuumba wao wenyewe,kiumbe aliyetokana na wao wenyewe.

Kiakili tu haiwezekani wajw dunia i kufanya fujo hata siku moja,pengine na sisi binaadamu tutapata vibarua vya kuchimba dhahabu tukapata viajira na kuendesha maisha yetu.
 
Ninaamini kuwepo hayo mafuvu mkuu.

Ila ninachohoji kuhusu mafuvu ni kuwa je kama hayo mafuvu ni ya watu wa kale majitu makubwa ?

Kwa sababu zipo historia za dini zinasema kuwa hao watu wa zamani walikuwa ni watu majitu makubwa ila ni watu kama sisi.

Sasa je pengine watu hawa majitu ndie mnaowaita nyie giant je haiwezekani ?

Why isifikiriwe kwamba hiso mafuvu ni za wtu wa kawaida wa zamani ila tu walikuwa na miili mikubwa mno ?

Badala yake zinaanza nadharia za giant na anunaki ?
Kama unaziamini stori za dini, kwa nini hizi usiziamini?

Annunaki walikuwepo na hilo limethibitishwa kutoka sumerian tablets, na hao hao giants ni family of Annunaki, haya yote yame elezewa na epic of creation from Sumerian.

Chimbuko la hizo stori za dini unajua ni wapi?, Ukweli wote juu ya huu ulimwengu unapatikana sumerian tablets, civilization ya mwanadamu imeanzia sumer, hebu fikria unayoayajua leo kuhusu hii dunia ni 20%, 80% tablets hazitafsiriwa kutokana na ugumu wa code ya lugha.

Hivyo basi kama huyaamini haya ila unayaamini ya dini, well ni utashi na maamuzi pia ndugu.
 
Mkuu sijaona ushahiidi pahala popote unaooonesha kwamba maandiko ya dini yamepindishwa.

Nilichoona ni maelezo tu ambayo watu wameandika,na kila mtu anaweza kuweka maelezo yake ayatakayo akatafuta hoja mbili tatu akaweka.

Mfano hivi leo mtu akisema alimfuata magufuli akaongea nae kuhusu chanjo magufuli akasema kwamba chanjo ni nzuri ila anataka watanzania wasipate chanjo wapungue kwa kufa,

mtu akiandika hivyo Kuhusu magufuli bado sio ushahidi hayo ni madai tu na maelezo ya kawaida.

Mkuu mimi naendelea kuuliza.

Kwani bila hayo maandiko uliyoyasoma unadhani ungejua vipi kwamba sisi tumeumbwa na annunaki?

Unadhani hayo mafuvu pekee,na hizo nyayo zingetosha kuonesha kwwmba sisi tumeumbwa na annunaki bila ya msaada wa maandiko ?

Kuwepo kwa hao giants katika vitabu vya dini bado haioneshi kwamba hao annunaki ndio wamemuumba mtu.

Kwa sababu mpaka leo kuna majitu ambayo yakizikwa hapo baadae watu watashangaa wakiona mifupa yake.

Mfano yule jamaa anayeitwa
Robert Wadlow ambae alikuwa na zaidi ya
272.cm,yaani mimi naweza kufika mapajani au karibu na kiuno chake tu,huyu mtu wa miaka kadhaa hapo nyuma,je tukirejea malaki ya miaka huko why isiwe kwamba watu wa zama hizo ndio walikuwa majitu ya kawaida tu kwa zaman hizo.

SAsa uwepo wa hayo mafuvu na mabaki bado haijawa uthibitisho wa kwamba sisi tumeumb2a na anunaki kwa sababu wapo pia watu wa kawaida kama sisi wenye mamiili makubwa sana.

Kuna ushahidi gani unaoonesha kwamba sisi tumeumbwa na anunaki zaidi ya ushahidi wa maandiko ?
Ok. Ndugu tunaposoma reference tofauti tofauti lengo ni kuongeza maarifa, uelewa na pengine kuujua ukweli. Maandiko hayo hayo watu ndiyo wameyafanyia utafiti na kuyathibitisha. Ni wapi umewahi kusikia wamekuta mabaki au fuvu la Mungu kama muumba mbigu na nchi?, ila mabaki ya Annunaki yameendelea kupatikani si duniani tu bali hata kwenye sayari nyingine, kwahiyo hii inathibitisha huu ushahidi wa maandishi.

Je Mungu aliyetajwa kwenye dini, ulishawahi kuthibitisha uwepo wake hapa duniani tofauti na sifa zake?

Unaamini ushahidi wa maandiko ya dini, ila ushihidi wa maandiko ya Annunaki uyaamini, au nikikuuliza unamjua Mungu aliyekuumba wewe au ushawahi kumuona?

Je unajuaje kama walionzisha hizo dini, na waandishi wa hivyo vitabu vya vidini waliamua kuficha ukweli kwa sababu wanazozijua wao?, Vitabu vya dini pia vimeandikwa na binadamu kama wewe.
 
Asante Mkuu,

"Watakua wanazaliana kama sisi". Unafikiri hili jibu lako ni la uhakika au ni la kufikirika? neno watakua ni (Thinking without assurance)

Anyway. Umesema kwamba hao Annunaki ni viumbe kama viumbe(Binadamu). Kwa maana hiyo hao ni viumbe ambao wapo physically in shape yaan unaweza kuwaona kwa macho na kuwagusa. Sasa nakuuliza je kiumbe ambae yupo physically in shape anaweza kujiunda mwenyewe?
Sawa mkuu. Kwanza nikufahamishe kwamba kama kitu hujakitafiti wewe au kukiona wewe hata kama unakiamini usijiaminishe kwa 100% kina ukweli, kwahiyo ndiyo maana watu wanazidi kuhoji juu ya dini na hizi habari za Annunaki, habari hizi hizi zinaweza kuwa za kweli au siyo za kweli kulingana na perception ya mtu na mtu kwa sababu zinapatikana kwa reference.

Pengine nikuulize wewe ulitaka nitumie maneno yapi?

Hakuna mahali popote niliposema Annunaki wamejiumba. Na ikiwa hivi najua utauliza waliumbwa na nani, jibu ni rahisi ndiyo maana tunasema kuna grand architect wa hii universe.
 
Back
Top Bottom