cherie neisha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,873
- 20,705
Kumbe[emoji50]Sio bosslady tena bali boss erick otieno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe[emoji50]Sio bosslady tena bali boss erick otieno
Kunani hapa mamii?
Mbona husomeki, wewe ni shoga au?Hodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social
::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Haya nimerudi tena binti Husna Husnadat The Boss Lady🙂 comment ni nyiiiingi, PM ndo kabisaaa....jamani hivi hamna wake nyie wababa?? Wapi nimesema natafuta kuolewa? Wengi wameandika ati njoo pm tuyajenge!! lkn hasemi tuyajenge manini hayo. Mwingine anasema kwa uvaaji huo wewe hufai kuwa Headmistress, utadhani hapo nilipo ni uwanja Wa shuleni!!
Halafu, kwann wanawake wenzangu mmekwazika Mimi Kuweka picha? Kwani nyinyi mnachoshindwa nn? au mnatafutwa na Serikali!! Mwanamke kujiamini kha! Picha zenyewe nakula makongoro lkn mwanaume roho juu...je nikiweka za Photoshoot au gym si ndio mtawehuka....mimi sina kipya ila ni descent lady mwenye maisha yake na ajira yake.
Mwingine anasema ati nimfate PM! haloo mm ndo nafuatwa, mm sifati wanaume...na ukija pm kuuliza nafundisha shule gani basi uandae kumregister mwanao huku.
Mnaoniomba Eid, mm kesho nashinda zangu home kuangalia series, sitembeagi ovyo jamani ee....the boss lady ni humble and loving and friendly lkn sio kwa maswali ya kipuuzi...huko n kukoswa kazi.
Nyt nyt wooote mlionikaribisha kwa mapenzi mema. Inshallah tutazidi kufahamiana zaidi.
View attachment 530266 View attachment 530267 View attachment 530268 View attachment 530270
Kabisa ile ni speed 120 aiseeOtieno alikuja kwa gia kali mno
Yaani unamuita shosti kumbe wapi sio shosti ni DUME HILO..UMENIELEWA??Sijaelewa...
kweli aiseeHili ndo lilikuwaga jukwaa langu pendwa,niliyoyashuhudia huku uwiii sina hamu na siamin wagen wanaokuja kwa mbwembwe nyingi
Kunani hapa mamii?
Niko makini brother
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bangi za mchana nazo sio nzrHuyo dume mkuu aisee sio KE
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
mzee unajua kinachoendelea lakini??Karibuuu
kweli kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bangi za mchana nazo sio nzr
rap beast
naona usalama walikua wanakusanya taarifamzee unajua kinachoendelea lakini??
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
kweli kabisa na wamefanikiwanaona usalama walikua wanakusanya taarifa