Another BossLady in the House, Hodiii

Another BossLady in the House, Hodiii

Hapa ulionesha kuwa unaijua PM


Halafu huku ukaja kukana kuwa huijui PM.


Nahitimisha kwa kusema kuwa wewe sio mgeni hapa JF, nimefuatilia post zote kuanzia page ya 1 hadi ya 6 inathibitisha hiyo.

Usituhadae na ID mpya, dhamira yako ya kuwa na hii ID mpya utaitimiza.
Live long my post.

Salute JF
 
Bosslady pole kwa siku ya kwanza tu umeshindwa kuficha fake ID.
Mtego mdogo sana umeingia king mwenyewe.

Kuwa na systematic na strategy ili kufanikisha kufake au kutekeleza jambo.


Asprin

Daby

Eti umesema.....

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Nimeona mkuu nilimueleza toka mwanzo kabisa wa huu uzi.
Hujaiona bado?

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
 
[emoji23][emoji23][emoji23]unamaanisha ID yangu ama??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dogo kama ulishawahi kumwendea pm huyu bikaka pole sana
Unajua mwenzio na macho ya mwili na roho pia nikajua mapema hata sikusumbuka kwenda mbali[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Jiandae yako
 
Back
Top Bottom