U know what? You are just gorgeous madame........u need a partner to occupy you're brains temporal lobe, I guess here I am at last.Hodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social
Chill mummy, they're just jealousmbona wanawake wenzangu mnamshambulia mgeni? mlitaka nidanganye kazi, nilipo, kabila...au mlitaka nijitambulisheje mashosti?!
shule muhimu sana ili vyepesi kukufikia sio hivo hata msaada wa kielimu dhidi ya wanetu inatosha sana.Sasa hapo unaenda mbali Mkuu...mwisho utauliza nimevaa nguo ya rangi gani
Boss me nataka namba tu, ili tuyajenge vizur kabisa yaanHodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu kwa picha, nimeattach picha.
* kazi yangu ni Mwalimu (Head mistress)
* Sijaolewa
* Kuhusu kunilindia moyo, someone must be a capable man
* Kabila langu Mnyamwezi wa Igunga
* Napenda kuwa social
hahahaha rushaaaaaaa! wenye sura zao na shape zao! mtu km mie na umichelini huu naanzaje kwanza ! teh teh kwanza internet itakata masaa 8! ikirufi inakuwa down siku 3!hatari sana
Rusha pm nikuone huo upole unaozungumzia
Wanakuonea wivu tu hao, maana vidume vimekupa sapoti wao wananuna hawajawahi kupatra sapoti ya hivi.
Naona gia yako imeenda shule.... ha ha haaaaaaa
Labda wewe utawini shaaaaa
Ha ha ha, wewe hata uwe mpole vipi hakuna atakayekuja PM.
Maana RC wa Dar hachelewi kuvamia mtu na mitutu kisa umefatwa PM.
Daaaah hebu Fanya kutest kunitumia pm ila ufute fastaa Kabla mbabe Wa vita AraC Bashite hajavamia na ile misilaha ya kivita.