Another motivating story from Nayce Moshi

Another motivating story from Nayce Moshi

Ukiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!

Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.

Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.

Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya


View attachment 2826006
Kapewa kwa sababu tu ana good disposition
 
Huyo dada amepata advantage ya hana aibu na pia ya age yake kumruhusu kuenjoy social media.

Kupata followers Laki 5 instagram chini ya mwaka mmoja sio kazi ndogo.

Zai kijiwe nongwa anapendwa na watu wengi ila hajafikisha hata nusu ya idadi ya followers alionao nice. Na wanazidi kujaa kila siku

Tik tok ana followers zaidi ya laki 5 pia.

Pia Huyo dada ni mchangamfu Watu wa riverside wanamjua tangu enzi anakatisha tiket za ma bus kwenye fremu za riverside... Nice ni binti anaeishi kibinti.. kujipiga piga picha na kujipost post ndio anachopenda. Haigizi
Ana deserve followers laki tano hiyo marketing tosha
 
Naku uliza hivi 👇

Unathibitisha vipi kwamba wanawake wengine hawafanikiwi kwa vile hawawi strategic?

Kwamba kilicho mfanya huyo Nayce Moshi kufanikiwa, Ni yeye kuwa strategic person?
Swali zuri sana,.. Ila ni kwamba Kila mtu na bahati yake na wakati wake, so inapotokea mtu amefanikiwa mapema tusipende kuwa na negative thoughts kwasababu hatujui akiwa sirini na Mungu wake anaomba nini na ana watu wa namna gani wanaompa support
 
Ukiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!

Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.

Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.

Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya


View attachment 2826006
Wandewa faili lake wanalo Mimi hapa sitii neno Ila hongera kwake, wasivujishe clip yake tu maana hawachelewagi na hua hawana dogo na hawashindwi vile vile
 
Swali zuri sana,.. Ila ni kwamba Kila mtu na bahati yake na wakati wake, so inapotokea mtu amefanikiwa mapema tusipende kuwa na negative thoughts kwasababu hatujui akiwa sirini na Mungu wake anaomba nini na ana watu wa namna gani wanaompa support
Hivi unamjua vizuri au namna gani something because is maturing from yesterday this time tomorrow?
 
Hivi unamjua vizuri au namna gani something because is maturing from yesterday this time tomorrow?
Lakini tunachotakiwa kudeal nacho ni kile tunachokiona.. to my side namuona ni binti mmoja mzuri na mstaarabu, anafanya kazi na tunaona kwenye pages zake almost mitandao yote ambayo yupo, and she deserves ambacho amekipata
 
Influence yake kwenye mitandao ya kijamii ni miongoni mwa sababu na hiyo ndio strategic yenyewe sasa
Ni kweli influence yake kwenye social media imemkuza.

Kitu nime notice, Watu wana mfatilia sana personality yake na muonekano wake si kazi yake ya ukondakta.

Hasa wanaume mafisi wako rada, Kuna Target wana aim...
 
Lakini tunachotakiwa kudeal nacho ni kile tunachokiona.. to my side namuona ni binti mmoja mzuri na mstaarabu, anafanya kazi na tunaona kwenye pages zake almost mitandao yote ambayo yupo, and she deserves ambacho amekipata
Hivi unamfahamu vizuri maana unajua faili lake wanalo msimpambe saana mtamuaribia mwacheni aende hivyo hivyo kimya kimya miruzi isiwe mingi, mi sitii neno hongera kwake lakini
 
Back
Top Bottom