Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaaaKapole kastaarabu haka katoto.
Naku uliza hivi 👇Watu na negative minds zenu,,hamjawahi kukosekana
Kapewa kwa sababu tu ana good dispositionUkiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!
Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.
Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.
Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya
View attachment 2826006
Ana deserve followers laki tano hiyo marketing toshaHuyo dada amepata advantage ya hana aibu na pia ya age yake kumruhusu kuenjoy social media.
Kupata followers Laki 5 instagram chini ya mwaka mmoja sio kazi ndogo.
Zai kijiwe nongwa anapendwa na watu wengi ila hajafikisha hata nusu ya idadi ya followers alionao nice. Na wanazidi kujaa kila siku
Tik tok ana followers zaidi ya laki 5 pia.
Pia Huyo dada ni mchangamfu Watu wa riverside wanamjua tangu enzi anakatisha tiket za ma bus kwenye fremu za riverside... Nice ni binti anaeishi kibinti.. kujipiga piga picha na kujipost post ndio anachopenda. Haigizi
Swali zuri sana,.. Ila ni kwamba Kila mtu na bahati yake na wakati wake, so inapotokea mtu amefanikiwa mapema tusipende kuwa na negative thoughts kwasababu hatujui akiwa sirini na Mungu wake anaomba nini na ana watu wa namna gani wanaompa supportNaku uliza hivi 👇
Unathibitisha vipi kwamba wanawake wengine hawafanikiwi kwa vile hawawi strategic?
Kwamba kilicho mfanya huyo Nayce Moshi kufanikiwa, Ni yeye kuwa strategic person?
Wandewa faili lake wanalo Mimi hapa sitii neno Ila hongera kwake, wasivujishe clip yake tu maana hawachelewagi na hua hawana dogo na hawashindwi vile vileUkiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!
Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.
Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.
Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya
View attachment 2826006
Hivi unamjua vizuri au namna gani something because is maturing from yesterday this time tomorrow?Swali zuri sana,.. Ila ni kwamba Kila mtu na bahati yake na wakati wake, so inapotokea mtu amefanikiwa mapema tusipende kuwa na negative thoughts kwasababu hatujui akiwa sirini na Mungu wake anaomba nini na ana watu wa namna gani wanaompa support
Lakini tunachotakiwa kudeal nacho ni kile tunachokiona.. to my side namuona ni binti mmoja mzuri na mstaarabu, anafanya kazi na tunaona kwenye pages zake almost mitandao yote ambayo yupo, and she deserves ambacho amekipataHivi unamjua vizuri au namna gani something because is maturing from yesterday this time tomorrow?
Ni kweli influence yake kwenye social media imemkuza.Influence yake kwenye mitandao ya kijamii ni miongoni mwa sababu na hiyo ndio strategic yenyewe sasa
Tell me love 😘
Hivi unamfahamu vizuri maana unajua faili lake wanalo msimpambe saana mtamuaribia mwacheni aende hivyo hivyo kimya kimya miruzi isiwe mingi, mi sitii neno hongera kwake lakiniLakini tunachotakiwa kudeal nacho ni kile tunachokiona.. to my side namuona ni binti mmoja mzuri na mstaarabu, anafanya kazi na tunaona kwenye pages zake almost mitandao yote ambayo yupo, and she deserves ambacho amekipata
Sawa, wacha nikae kimya na Mimi🌝Hivi unamfahamu vizuri maana unajua faili lake wanalo msimpambe saana mtamuaribia mwacheni aende hivyo hivyo kimya kimya miruzi isiwe mingi, mi sitii neno hongera kwake lakini
That's all mine baby mboni kidogo umenipunja niongezeeTell me love 😘
Muone 😂😂🙌That's all mine baby mboni kidogo umenipunja niongezee
Niongee hizo emojis za makiss mpaka waone wivu na kadhalika 🤰🤒Muone 😂😂🙌