Another motivating story from Nayce Moshi

Another motivating story from Nayce Moshi

Hiv kwamfano alipopata huo PR halaf akaamua tu kupiga kimya angepungukiwa kitu gani??? Amejieleeeeza all that what for?? Privacy is important in life!.
Watu hawawez kukipiga vita kitu wasichokijua
Sharti atangaze hivyo Babu mjini hapa ishi vizuri na watu na kuishi kwingi kuona mengi, kimya kingi kina mshindo Ila wanaoharibu wapambe nuksi yaan wapambe hao hao ukichafuka wanakuchafua zaidi
 
Hiv kwamfano alipopata huo PR halaf akaamua tu kupiga kimya angepungukiwa kitu gani??? Amejieleeeeza all that what for?? Privacy is important in life!.
Watu hawawez kukipiga vita kitu wasichokijua
Kwani alichofanya kina ubaya gani?? Privacy ya nini wakati yeye alishakuwa public figure
 
Tunaenda kufukua makaburi km kawaida si ndio?
Huko ni bia mwanzo mpaka December 31. January mosi mpaka tareh 15 hii ni msimu wa hangover ya mwezi mzima wa December. Baada ya tarehe 1⁡ akili ndio itakaa sawa kujua kumbe ada inahitajika

Makaburi hatuyafukui siku hizi baada ya kugundua kumbe misukule haiwezi kuwa wateja wetu katika biashara huko mjini
 
Je ni yeye peke yake kondakta wa kike ambaye ni strategic person?

Unaweza kuthibitisha kwamba makondakta wengine wa kike sio "Strategic" ndio maana hawapati mafanikio?

Unathibitisha vipi kilicho mfanya huyo Nayce Moshi kufanikiwa, Ni yeye kuwa strategic person?
Unathibitisha vipi kwamba kafanikiwa kwa rushwa ya ngono?
 
Huko ni bia mwanzo mpaka December 31. January mosi mpaka tareh 15 hii ni msimu wa hangover ya mwezi mzima wa December. Baada ya tarehe 1⁡ akili ndio itakaa sawa kujua kumbe ada inahitajika

Makaburi hatuyafukui siku hizi baada ya kugundua kumbe misukule haiwezi kuwa wateja wetu katika biashara huko mjini
Sawa mkuu Mimi ntakua zangu Songea kwakina Leejay49 mpaka hio 31 December, kwa hio zamani hizo mlikua mkienda lazima makaburi yafukuliwe Ila sikuhizi makaburi mmeyapumzisha sio kwamba hamyafukui?
 
Huyu Binti kwenye social media ni maarufu kuliko makondakta wote Tanzania na probably ni maarufu kuliko kampuni yake, umaarufu wake umeenda sambamba na Kaz yake na kampuni
Kama huwez kuona juhudi zake basi Kuna tatizo kubwa
 
Back
Top Bottom