Another motivating story from Nayce Moshi

Another motivating story from Nayce Moshi

Asante kwa kuyathibitisha maneno yangu.

Kwa udogo huo mwanaume mwenye akili hawezi kumvua nguo...isipokuwa walemavu wa akili.

Hivyo watu kusema labda anabebwa sio sahihi
Kabisa yani, huko mitandaoni anaonekana mkubwa ila live hapana aisee kwa mwanaume timamu hawezi kwakweli. Mimi mwenyewe nimeshtuka nilivyoambiwa ni yeye maana ni tofauti na mitandaoni

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli amekuwa maarufu mtandaoni kutokana na kazi yake Tilisho. Lakini kwa nguvu aliyonayo sasa mtandaoni Tilisho hawawezi mudu kumlipa huyo.
 
Back
Top Bottom