Ya huwa anasema ni kweli kuna mibaba inamsaka lkn akasema kutembea na mteja ni kumfukuzaPersonality yake na muonekano ndio imemkuza sana.
Watu wanafurahia uzuri wake na heshima yake katika kazi yake.
Ila kuna wanaume mafisi wako rada Kuna target wana aim...
Na yeye kashatambua hilo.
Tunaita kibaliAll in all,
Kuna binadamu wana damu safi mm ni mmoja wao...
Mm nikikaa sehemu yeyote nikishuka chochote kinafanikiwa
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU BILA CHALE WALA HIRIZI MUNGU WATOSHA.......
Benediction_August Alsina ft Rick Ross
unaposema hatufahamu 'mafolder yake ya nyuma' una maanisha nini?Ubaguzi gani nimeonesha?
Ndipo utashangaa ukuu wa Mungu njia Ile Ile wengine wanafail na wengine wanatoboa....Tunaita kibali
unaposema hatufahamu 'mafolder yake ya nyuma' una maanisha nini?
Ingekua mwanaume usingesema hivyo.Nlimaanisha Kuna mengi hatuyafahamu behind the scene kuhusu yeye.......naomba ueleze jinsi nilivofanya ubaguzi wa kijinsia
Ingekua mwanaume usingesema hivyo.
Bladha ht ww ndo ungekuwa boss wa tilisho ungemwacha uyo mtoto kwel?? 😄😄Watakuja kusema boss wa TILISHO anaogolea Hapo! Subir vijana jobless waje na hasira zao
Bladha ht ww ndo ungekuwa boss wa tilisho ungemwacha uyo mtoto kwel?? 😄😄
Kabisa yani, huko mitandaoni anaonekana mkubwa ila live hapana aisee kwa mwanaume timamu hawezi kwakweli. Mimi mwenyewe nimeshtuka nilivyoambiwa ni yeye maana ni tofauti na mitandaoniAsante kwa kuyathibitisha maneno yangu.
Kwa udogo huo mwanaume mwenye akili hawezi kumvua nguo...isipokuwa walemavu wa akili.
Hivyo watu kusema labda anabebwa sio sahihi
wachaga hawanaga hizo mambo hapo tajiri anawaza aongeze basi ngapi mwakani, halafu huyo demu mbona mbovu tu jaman? au kwa sababu mm napenda mizigo?Watakuja kusema boss wa TILISHO anaogolea Hapo! Subir vijana jobless waje na hasira zao
Itakua kwa sababu we unapenda mashehena mazito mazitowachaga hawanaga hizo mambo hapo tajiri anawaza aongeze basi ngapi mwakani, halafu huyo demu mbona mbovu tu jaman? au kwa sababu mm napenda mizigo?
Na mm nimesikia hivyo...ila wabongo watatafuta kila kitu wakuchafueWatakuja kusema boss wa TILISHO anaogolea Hapo! Subir vijana jobless waje na hasira zao
Sijajua kwa kweliNa mm nimesikia hivyo...ila wabongo watatafuta kila kitu wakuchafue