Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Ndio maana akapewa hicho cheo, zingatia maana ya PublicHiv kwamfano alipopata huo PR halaf akaamua tu kupiga kimya angepungukiwa kitu gani??? Amejieleeeeza all that what for?? Privacy is important in life!.
Watu hawawez kukipiga vita kitu wasichokijua
Shida sana. Wabongo shida sana, wakiona hata mwanamke unaendasha gari zuri utasikia amehonngwa au la mkopo. Na yeye si akahongwe au akope kama ni rahisi hivyo.Wapo kila mahali, na wanavyomsema sasa utadhani kazi anayofanya hawaioni
Tukifungua maduka wanasema tunadanga, tukiacha tukae tu wanasema tunakua ombaomba.. asa sijui tufanye niniShida sana. Wabongo shida sana, wakiona hata mwanamke unaendasha gari zuri utasikia amehonngwa au la mkopo. Na yeye si akahongwe au akope kama ni rahisi hivyo.
Unaacha waseme tu ilimradi midomo yao hailipiwi kodiTukifungua maduka wanasema tunadanga, tukiacha tukae tu wanasema tunakua ombaomba.. asa sijui tufanye nini
Mbona unajibu kila comment? Hutaki watu waseme maoni yao wkt umelileta jukwaaniMtaendelea kusikia
Ookay...sasa mbona hapo sijaona application ya hiyo position yake..hapo kaongea vitu personal tu ambavyo havi add value yoyote wala kuwa kuwa na impact kwenye kampuniNdio maana akapewa hicho cheo, zingatia maana ya Public
PR akae tena kimya, sasa atakuwa wa nini,,,,, kwa kifupi huyo ni msemaji wa TILISHO, anatakiwa auchape mdomo kweli kweli ila kwa nidhamuHiv kwamfano alipopata huo PR halaf akaamua tu kupiga kimya angepungukiwa kitu gani??? Amejieleeeeza all that what for?? Privacy is important in life!.
Watu hawawez kukipiga vita kitu wasichokijua
Ni kweli hawakuwa strategic waliichukulia kama kazi mbovu tu no marketing kujibrand kutangaza ofisi zao huduma mbovu kwa wateja ni mengi sasa huyu binti alionesha utofautiHuyu mleta mada namwuliza hivi..[emoji116]
Kama siri ya kufanikiwa ni kuwa "strategic" Je Makondakta wengine wa kike hawakuwahi kuwa strategic persons?
Kwamba huyo Nayce Moshi ndio strategic person kuliko wanawake wote?
Sikua na maana hiyo mkuu, nilikua naunga mkono hoja ya mjumbe hapo juu kuhusiana na muonekano wake anaonekana binti mdogo tofauti na kwenye picha......picha zinamuonyesha kama mtu mzima sanaTofauti kivipi unataka kusema filter zinambeba
ana udogo gani huyo?Asante kwa kuyathibitisha maneno yangu.
Kwa udogo huo mwanaume mwenye akili hawezi kumvua nguo...isipokuwa walemavu wa akili.
Hivyo watu kusema labda anabebwa sio sahihi
Mzuri na anajielewaUzuri wake umesababisha mazuri kwake...
Akili kubwa imeelewa...
ulimpenda toka akiwa hajulikani mitandaoni?Nampenda sana huyu dada...tuna Cha kujifunza kwake
Bila kujitangaza kazi yake mitandaoni tungemjuaje my friend 😃🤔ulimpenda toka akiwa hajulikani mitandaoni?