kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
- Thread starter
-
- #21
Hatuna muda wa kuajiri criminal sisi,
Kwanini juzi kati hajapewa awe ceo wa SAf.
Umesahau mliempa kazi badala ya Sylvia Mulinge(ambaye mlimteua nyinyi wenyewe) mlimkamata kwa 'fraud' hata kabla mwaka hujaisha? Meanwhile, Sylvia Mulinge alinyakuliwa tena na Safcom na hakurudi kwenye kazi yake ya hapo awali. Alipandishwa cheo na kitengo ambacho anaongoza ni zaidi ya mara tatu ya Vodacom. Mungu alimnurusu Sylvia, sio siri.Vodacom Tanzania boss arrested
Hisham Hendi and several staff questioned over alleged fraudulent use of network facilities.www.theeastafrican.co.ke
Safaricom ni kubwa.
Kuwa qualified kupata kazi ya Voda sio lazima uko qualified kupata ya Safaricom.
Safaricom ukubwa wake ni karibu mara 100 Vodacom.
Kwa hiyo ulitaka Voda waajiri huyo dada yenu ambaye hayuko qualified.
Ako overqualified kuendesha Vodacom.
Yeye alikuwa incharge ya department kwa Safaricom yenye profit kubwa kuliko faida ya Vodacom, Airtel na zote zenu combined.
Daaaaah Us Tanzanians have a long way to go but a on a smooth road.A global conference on poverty is to take place in Africaβs largest slum in an effort to make sure the poorest get a voice.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1216499View attachment 1216500
Yaani ata wananchiii wenye wanatumia hiyo road hawangepiga kelele ,,kuna nchi za ujinga sana,protesting ni old syllabus
[emoji23][emoji23][emoji23]
Achana na aerial view angalia hii video[emoji382] [emoji382] [emoji382]
Kisha na wewe niletee video ya Wanapokaa wananchi wa kawaida huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa.hata hauna aibu kuchukuwa picha za Zimbabwe na kuibandika Kenya"?That is so so desperate
Bure kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama yupo overqualified mbona hakupewa job ya kuendesha SAF,
Meanwhile hizo faida zinaliwa za wakubwa huku ninyi mkibaki kusifia tu.
Bure kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama yupo overqualified mbona hakupewa job ya kuendesha SAF,
Meanwhile hizo faida zinaliwa za wakubwa huku ninyi mkibaki kusifia tu.
Daaaaah Us Tanzanians have a long way to go but a on a smooth road.
Kenyans my dears mna safari ya kawaida yenye milima na mabonde aiseee.
She is overqualified for Vodacom.
But underqualified for Safaricom.
Nini hauelewi hapo?
Vodacom is a small company whose annual profit is less than Safaricom's daily revenue.
Wewe baki na umaskini wako bongolala.
Safaricom pays its shareholders dividends every year.
Mimi niko na shares za Safaricom.
Weee peleka uchizi huko.Wewe badala ujionee huruma kama LDC, unaongea kuhusu a middle income country. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kenya is the USA of East Africa. Ndio maana omba omba wenu wamejaa hapa.
Unajiaibisha.. hii ni fake, ata ukiangalia hiyo picha utagundua imetengenezwa, au kwakua jamaa anaitwa "Jah" mvuta bangi mwenzako.Disaster waiting to happen.
Tanzania hakuna jambo hamtatuonyesha.
View attachment 1216395
View attachment 1216396