Siku hizi naona huchezi mbali sana na my dia mjukuu Joanah ... nakufuatilia kwa karibu. Usije ukasema sijakuonya..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naniliu yupi huyo embu nkumbushe aisee ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni stress za maisha mkuu watu wanakumbwa na mengi sana siri tu za mioyo yaoKama ulimtukana my dia mjukuu Joanah ujue ulinitukana na mimi... nadhani ushajua cha kufanya kabla sijagongesha kojoleo langu kwenye kichuguu
Nakuangalia tu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naniliu yupi huyo embu nkumbushe aisee ....
Halafu ukiacha huyu aliekutukana kuna mmoja anakupenda kufaa... naona una kismat cha corona itakua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha Babuu mjukuu wako kama corona tu kila ukipita sehemu yupo so unajikuta tu na ww uko katikat yake....Siku hizi naona huchezi mbali sana na my dia mjukuu Joanah ... nakufuatilia kwa karibu. Usije ukasema sijakuonya..
Huyu jamaa Mshana Jr ni mtu tofauti sana yaani kifupi ukimfuata Pm kumuomba ushauri wa jambo flani huwa hana zile habari za kitapeli wala kuomba atumiwe pesa eti ndo akushauri kama anavyofanyaga jamaa flani hivi wa kwenye ule uzi wa meditation.
Mie binafsi kuna kitu kaka Mshana aliwahi kunishauri siku za nyuma kidogo sikufuatilia ila hivi karibuni nimegundua kulikuwa na maana kubwa sana kwenye maisha yangu mpaka natamani sana siku moja nionane naye live nimshukuru.
Ukweli Jf imejaa wapigaji wengi sana ambao huanzisha mada flani ambazo zikikugusa ukazama Pm ili upate maelekezo vizuri unaishia kuombwa hela
Ila kwa Mshana Jr yeye ni tofauti sana na wengine.
Mungu ambariki sana huyu jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naniliu yupi huyo embu nkumbushe aisee ....
Halafu ukiacha huyu aliekutukana kuna mmoja anakupenda kufaa... naona una kismat cha corona itakua
Sent using Jamii Forums mobile app
Lini sasa utanitukana tena ili nijipange huku?😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oky ntakutag mkuu kumbe na wewe kumbukumbu huna nilinusurika na ban kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2]mkuu hapana japo wanaume wengi hawaaminiki huyu ninaweza nikamuacha hata na mamaako mdogo na nikamkuta mbona Joanah kamuachaIla usije ukakosea ukamkaribisha nyumbani... huyu mpare ni mkware balaa. Mtu pekee wa kike ambaye Mshana Jr hawezi kumgegeda ni mama yake mzazi
Lini sasa utanitukana tena ili nijipange huku?[emoji23]
Ha ha ha ha kumbe yule si nilishakwambia kifurush changu cha week tu tayar kimeisha....Si yule wa kipindi kileee [emoji23][emoji23]
Huyo mmoja ni nani anayenipenda namna hiyo?
Embu jarbu ww kumwambia ukwel, kashakua babu atuache wajukuu tuserereke...Acha wivu sasa we mzee
Unataka nife na utamu wangu e?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lini sasa utanitukana tena ili nijipange huku?[emoji23]
Ha ha ha ha Babuu mjukuu wako kama corona tu kila ukipita sehemu yupo so unajikuta tu na ww uko katikat yake....
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji120][emoji120][emoji120]Huyu jamaa Mshana Jr ni mtu tofauti sana yaani kifupi ukimfuata Pm kumuomba ushauri wa jambo flani huwa hana zile habari za kitapeli wala kuomba atumiwe pesa eti ndo akushauri kama anavyofanyaga jamaa flani hivi wa kwenye ule uzi wa meditation.
Mie binafsi kuna kitu kaka Mshana aliwahi kunishauri siku za nyuma kidogo sikufuatilia ila hivi karibuni nimegundua kulikuwa na maana kubwa sana kwenye maisha yangu mpaka natamani sana siku moja nionane naye live nimshukuru.
Ukweli Jf imejaa wapigaji wengi sana ambao huanzisha mada flani ambazo zikikugusa ukazama Pm ili upate maelekezo vizuri unaishia kuombwa hela
Ila kwa Mshana Jr yeye ni tofauti sana na wengine.
Mungu ambariki sana huyu jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2]ngoja maisha yanichape stress zinipige nijaribu kwenda China corona ikinikuta ndo nikutukane mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji848][emoji848][emoji848][emoji30][emoji30]wee mchaga una laana sio bure[emoji24][emoji24][emoji24]Ila usije ukakosea ukamkaribisha nyumbani... huyu mpare ni mkware balaa. Mtu pekee wa kike ambaye Mshana Jr hawezi kumgegeda ni mama yake mzazi