Ansbert Gurumo ahoji kwa nini Lissu atumie kibwagizo cha CCM wakati akitangaza kugimbea uenyekiti "tuna imaniii.... na Lissu... Oyaa... "

Ansbert Gurumo ahoji kwa nini Lissu atumie kibwagizo cha CCM wakati akitangaza kugimbea uenyekiti "tuna imaniii.... na Lissu... Oyaa... "

Ansbert Ngurumo, moja ya magwiji wa habari na uchambuzi ameonyesha kuwa na mashaka kwamba kwa nini Lissu ameibuka na wimbo wa CCM katika kutangaza nia.

Mwandishi huyo amesema kwamba inawezekana mkutano wa Lissu ulijaa wana CCM waliovalishwa nguo za Chadema, hivyo wakajisahau na kujikuta wanaimba wimbo waliouzoea.

Ansbert Ngurumo amesema ukumbi ulijaa watu ambao sio wana chadema, wala wapiga kura.

Mwenye uwezo wa kupandisha hiyo link tafadhali, ina madini mengi
View attachment 3177006


Analysis ambayo ni rubbish. Yaani Lissu anaposema ukweli ulio wazinasema anafadhiliwa wa na CCM. Ni aibu sana kwa mtu kutumia MB zake kuandika utumbo huo.
 
Tuendelee kua wapole kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake
Geqa4h5XkAAt-u_.jpeg
 
Chawa wote wataibuka na vioja kila baada ya lisaa, tunaendelea kuwasoma tu! Kwamba hata hizi nyimbo za kitoto tulizoimba primary miaka ya 80's nazo zina hati miliki ya ccm? Kweli uchawi upo
 
Ansbert Ngurumo, moja ya magwiji wa habari na uchambuzi ameonyesha kuwa na mashaka kwamba kwa nini Lissu ameibuka na wimbo wa CCM katika kutangaza nia.

Mwandishi huyo amesema kwamba inawezekana mkutano wa Lissu ulijaa wana CCM waliovalishwa nguo za Chadema, hivyo wakajisahau na kujikuta wanaimba wimbo waliouzoea.

Ansbert Ngurumo amesema ukumbi ulijaa watu ambao sio wana chadema, wala wapiga kura.

Mwenye uwezo wa kupandisha hiyo link tafadhali, ina madini mengi
View attachment 3177006
Chawa wa Mbowe tulieni , Lissu kanyaga twende , hoja za kitoto hazina nafasi
 
Lisu tushamjua anatumika na CCM kuvuruga chama sijui kwanini kamati kuu inamvimilia
 
Ansbert Ngurumo, moja ya magwiji wa habari na uchambuzi ameonyesha kuwa na mashaka kwamba kwa nini Lissu ameibuka na wimbo wa CCM katika kutangaza nia.

Mwandishi huyo amesema kwamba inawezekana mkutano wa Lissu ulijaa wana CCM waliovalishwa nguo za Chadema, hivyo wakajisahau na kujikuta wanaimba wimbo waliouzoea.

Ansbert Ngurumo amesema ukumbi ulijaa watu ambao sio wana chadema, wala wapiga kura.

Mwenye uwezo wa kupandisha hiyo link tafadhali, ina madini mengi
View attachment 3177006
Huyo Gurumo kwa hojaji zake hizo anaonekana ni pro Mbowe moja kwa moja, yaani chaga dema.

Hilo ni tatizo, wanamageuzi kuanza kukojolea nia za mabadiliko mapema namna hii.
 
Lisu tushamjua anatumika na CCM kuvuruga chama sijui kwanini kamati kuu inamvimilia
Kamati kuu hiyo Mbuzi ,siko zote Msomi Lissu anatoka hadharani na anawasuta mcd na hakuna hata wa kuthubutu kuhoji ndani ya kamati kuu.Huyu ndio Msomi Tundu Lissu
 
Kamati kuu hiyo Mbuzi ,siko zote Msomi Lissu anatoka hadharani na anawasuta mcd na hakuna hata wa kuthubutu kuhoji ndani ya kamati kuu.Huyu ndio Msomi Tundu Lissu
Sumu haionjwi nimefuatilia comments zako nyingi humu unamjaza upepo humu huyo mgonjwa wa akili.
 
Hivi mnamjua kiongozi wa chadema aliopokea pesa za Abdul? Lissu akiweka mambo adharani hichi chama kitakufa. Watu acheni mihemko na ili kwenda mbele tukubali mabadiliko
 
Back
Top Bottom