Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Ansbert Ngurumo, moja ya magwiji wa habari na uchambuzi ameonyesha kuwa na mashaka kwamba kwa nini Lissu ameibuka na wimbo wa CCM katika kutangaza nia.
Mwandishi huyo amesema kwamba inawezekana mkutano wa Lissu ulijaa wana CCM waliovalishwa nguo za Chadema, hivyo wakajisahau na kujikuta wanaimba wimbo waliouzoea.
Ansbert Ngurumo amesema ukumbi ulijaa watu ambao sio wana chadema, wala wapiga kura.
Mwenye uwezo wa kupandisha hiyo link tafadhali, ina madini mengi
View attachment 3177006
Chawa wa Mbowe tulieni , Lissu kanyaga twende , hoja za kitoto hazina nafasiAnsbert Ngurumo, moja ya magwiji wa habari na uchambuzi ameonyesha kuwa na mashaka kwamba kwa nini Lissu ameibuka na wimbo wa CCM katika kutangaza nia.
Mwandishi huyo amesema kwamba inawezekana mkutano wa Lissu ulijaa wana CCM waliovalishwa nguo za Chadema, hivyo wakajisahau na kujikuta wanaimba wimbo waliouzoea.
Ansbert Ngurumo amesema ukumbi ulijaa watu ambao sio wana chadema, wala wapiga kura.
Mwenye uwezo wa kupandisha hiyo link tafadhali, ina madini mengi
View attachment 3177006
Shehe Ponda naye aliletwa na Mchungaji Msigwa ukumbini?Wanachama walioletwa na Msigwa
Lissu kajanja kajanja kanasa kwa MsigwaShehe Ponda naye aliletwa na Mchungaji Msigwa ukumbini?
Basi Mchungaji Msigwa ni kama Nyerere aliyeiunda Bakwata ππ
Huyo Gurumo kwa hojaji zake hizo anaonekana ni pro Mbowe moja kwa moja, yaani chaga dema.Ansbert Ngurumo, moja ya magwiji wa habari na uchambuzi ameonyesha kuwa na mashaka kwamba kwa nini Lissu ameibuka na wimbo wa CCM katika kutangaza nia.
Mwandishi huyo amesema kwamba inawezekana mkutano wa Lissu ulijaa wana CCM waliovalishwa nguo za Chadema, hivyo wakajisahau na kujikuta wanaimba wimbo waliouzoea.
Ansbert Ngurumo amesema ukumbi ulijaa watu ambao sio wana chadema, wala wapiga kura.
Mwenye uwezo wa kupandisha hiyo link tafadhali, ina madini mengi
View attachment 3177006
Kumleta Shehe Ponda mkuu wa maulamaa ukumbini siyo jambo rahisi πππππLissu kajanja kajanja kanasa kwa Msigwa
Msigwa anazo akili nyingi kumzid Mzee MboweMengi yatajulikana. Mkutano ule uliandaliwa na Msigwa, kwa hivyo elements za ccm zilijitokeza
Kamati kuu hiyo Mbuzi ,siko zote Msomi Lissu anatoka hadharani na anawasuta mcd na hakuna hata wa kuthubutu kuhoji ndani ya kamati kuu.Huyu ndio Msomi Tundu LissuLisu tushamjua anatumika na CCM kuvuruga chama sijui kwanini kamati kuu inamvimilia
Yupo ccm hivi sasa, sio yule msigwa chademaMsigwa anazo akili nyingi kumzid Mzee Mbowe
Sumu haionjwi nimefuatilia comments zako nyingi humu unamjaza upepo humu huyo mgonjwa wa akili.Kamati kuu hiyo Mbuzi ,siko zote Msomi Lissu anatoka hadharani na anawasuta mcd na hakuna hata wa kuthubutu kuhoji ndani ya kamati kuu.Huyu ndio Msomi Tundu Lissu
Inastaajabisha sana. Kumbe chadema wanaimba wasichokuamini miaka yote hiiWapenda mabadiliko wanaogopa mabadiliko!
Msigwa aliekuwa amechelewa kuhana akahama ndio huyu huyu ambae akili zake ni changanya za viongozi wote wa cdm pale makao makuuYupo ccm hivi sasa, sio yule msigwa chadema
Sasa ndo tutamjua aliyempiga lisu chumaLisu tushamjua anatumika na CCM kuvuruga chama sijui kwanini kamati kuu inamvimilia