Tetesi: Ansbert Ngurumo: Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua uanachama wa CCM

Status
Not open for further replies.
Drama hizi za ccm sio za kuamini sana.. Kuna wakati hao wazee wakiwa madarakani walikuwa untouchables lakini pia wana tuhuma lukuki kama viongozi wengine wote wa ccm... Tusubiri yatokanayo

Jr[emoji769]
Bora wewe una akili, yale yale enzi za Lowasa alafu wapinzani watayadaka kama kawaida yao na mwisho kuachwa solemba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nacheka huku naogopa
 
Wewe utakuwa umeanza kufuatilia siasa baada ya Musiba kuanziasha kipeperushi chake.

Kinana kaomba kujiuzuru kwa zaidi ya mara tatu,kila alipoomba aache ukatibu Mkuu ,chama kilikataa,angekuwa anaakili za takataka na mpenda pesa asingeomba kujiuzuru bila shinikizo lolote.

Kinana aliondoka wana CCM wakiwa hawajaridhia,maana tangu Kinana ameondoka CCM ilikufa na kubaki dola iliyobeba CCM.
Kinana ni think tank sio ya Tanzania tu,ni Afrika mashariki na kati ,huyo jamaa ni heavy weight.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Kinana ni think tank sio ya Tanzania tu,ni Afrika mashariki na kati ,huyo jamaa ni heavy weight'.

Labda think tank wa kuiba pembe za faru wetu/ujangili.
dodge
 
Hii ni vita ya kimkakati na ushindi lazima upatikane kimkakati.

Tujaribu kuunganisha dot za aya za Mwandishi: Membe na Kinana umepanga kuwafuta uwanachama kisha Makamba umpe onyo, sawa maana target hapa ni Membe kimkakati.

Membe anaitikia wito wa kuhojiwa, Kinana na Makamba wanaamua kujiuzulu uwanachama nao wanafanya haya kimkakati

Hapa kichwa lazima kigonge kutafuta mbinu mbadala, huwezi tena kumnasa Samaki wako uliye mtarget bila (chambo)
kitakachofuata ni Membe kupewa onyo na si vinginevyo..
Plan imefeli, so mwenye chama chake lazima atafute plan nyingine ili amnase samaki wake, japo huyu samaki si mtu wa sport sport hasa kwenye vita za kimkakati.
 
Kumbe Jana ccm ilitimiza miaka 43 ya uchawi wacha walane wenyewe kwa wenyewe hii ni dalili ni kuwa ccm hakitatimiza miaka 50 kwa kuwa kitakuwa kimeshazikwa na maombi ya rc Chalamila kuanzisha jrp yaani jiwe ruling party yatatimia
Tume huru ya uchaguzi lazima CCM kiwe chama cha upinzani kama KANU ya kenya
 
CCM ni chama chenye usubutu na chenye kuamini kuwa hakuna aliye zaidi ya chama na chenye kutetea maslahi mapana ya Taifa Kama ni kweli acha waondoke kwani waliondoka wengi wakubwa zaidi yao binafsi niwatakie uzee mwema
Kama hawa wametoka je Kikwete bado ni mwanaccm ?
 
Ngumu kumeza hii kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…