Eee bhana eeee !!!
Hata wakati wa mjadala wa gesi ya Mtwara mlikuwa mnasema hivo kwamba wapinzani siyo wazalendo na wazushi. Leo jiwe analialia tu kwamba gesi imechukuliwa na wakubwa.Rudi nyumbani ujenge nchi.....acha umbea na uzushi.....
Ww ulioko hapa unajenga nchi????Rudi nyumbani ujenge nchi.....acha umbea na uzushi.....
Mlamba viatu tu huyo hana loloteWw ulioko hapa unajenga nchi????
Kireno na au kifaransa anajua?UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Unataka awahishwe kwa mungu!C ampeleke Iraq, Syria au Afghanistan???.. Akikosa huko ampeleke hapo kwa ndugu zetu Somalia... Very simple
Nipo Malawi tutampokea kwa furaha hukuApelekwe Malawi
Yeye ni mungu wa dar... Nafikiri mungu wa mbinguni atamnusuruUnataka awahishwe kwa mungu!