ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Hukumbuki yule wa Zambia mwenye jina la Matusi alikataliwa TanzaniaHivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumbuki yule wa Zambia mwenye jina la Matusi alikataliwa TanzaniaHivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Kwa hiyo hapa ndio unaona umemaliza kazi kwa kwa kuweka a super reliable source au?
Ha ha ha ha haaaaaaaa ... !!!UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Huyu Ngurumo ajengr nchi ipi. Lengo lake kubomoa sio kujenga. Ameshawishiwa aonekane mkimbizi na wengine wangefuata nyayo ila hawajajitokeza. Lissu nadhani anatafuta sababu naye awe mkimbizi pamoja na dereva wake. Mange naye yuko kwenye mpango. Watakuwa wanne je wataweza kushawishi ulimwengu kuwa TZ si salama eti inakimbiwa na wananchi wake kuhofia maisha yao? Leo anaongelea ya kufikirika kuhusu Making ujue nia yake nini ili kutimiza lengo kuifanya TZ iwe na watu wanaoitwa wakimhizi nchi geni?Rudi nyumbani ujenge nchi.....acha umbea na uzushi.....
Unaweza kukuta wewe umeshindwa hata Kujenga familia yako pamoja na kuwa hapa bongo....Rudi nyumbani ujenge nchi.....acha umbea na uzushi.....
Kwa maana hii magereza yasiwepo?huwezi kukwepa kosa la jinai kwa kutumia maneno ya biblia!yakaisari yanatatuliwa kikaisari!Kama kweli kateleza kwa hili la makontena naomba tu asamehewe, hivi Mungu angetuhukumu kwa kila kosa nani angepona? sidhani kama sisi tulio wengi ni wasafi kuliko makonda, aliyesema uongo na aliyeua mtu wote sawa kwani aliyesema usiue na aliyesema usiseme uongo ni Mungu huyo huyo, samehe mara 7 sabini.
Inawezekana kama kuna sababu za kiusalama kama ushushushu, ugaid,lakin hizo ni kwa nchi zilizoendelea kama USA na RUSSIA, hawa akina ngurumo akili hazimo vema, hakuna sababu yeyote ya nchi kumkataa Makonda, pili hii siyo nguo kusema unajaribu isipokutosha unajaribu nyingine, yaan waulize kwamba jamani tuna Mtu huyo tumlete awe balozi,?? Alafu Tanzania isubiri majibu hahaha nimeamini Tanzania ni nchi ya watu wenye umaskini wa mawazo na ndo mtaji wa wajanja kupiga helaHivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
WAmemkataaApelekwe Malawi
Kweli dada tusamehe saba mara sabini!?Kama kweli kateleza kwa hili la makontena naomba tu asamehewe, hivi Mungu angetuhukumu kwa kila kosa nani angepona? sidhani kama sisi tulio wengi ni wasafi kuliko makonda, aliyesema uongo na aliyeua mtu wote sawa kwani aliyesema usiue na aliyesema usiseme uongo ni Mungu huyo huyo, samehe mara 7 sabini.
Ndiyo, nakumbuka sisi balozi wetu aliwahikukataliwa na Rwanda mwaka 2014.Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
[emoji13][emoji13][emoji13]Ww ulioko hapa unajenga nchi????
ndio inatokeaHivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?