Tetesi: Ansbert Ngurumo: Makonda anatafutiwa ubalozi

Tetesi: Ansbert Ngurumo: Makonda anatafutiwa ubalozi

Hahahh wampeleke Central Africa bongo tumemchoka
Siri akishiriki mwingine si siri tena. Amtumbue asimtumbue ukweli utafahamika siku moja.
 
Hivi balozi atakataliwaje?
Kila nchi ni lazima jina lipelekwe Kama kupropose kwa balozi tarajiwa mkuu Kama nchi husika anakopropoziwa kwenda ikimkataa basi hakuna jinsi ndo diplomasia ya nchi huwa inabidi wapropose mwingine mpaka waridhike .sina kumbukumbu nzuri ila nadhani kuna mmoja alikuwa Kenya nchi Fulani ikataka kutuletea tukagoma
 
Apelekwe goma huko Congo au siria kwenye mabomu huko... Mungu anaweza tenda miujiza akapigwa bomuu huko
 
Huyu Ngurumo ajengr nchi ipi. Lengo lake kubomoa sio kujenga. Ameshawishiwa aonekane mkimbizi na wengine wangefuata nyayo ila hawajajitokeza. Lissu nadhani anatafuta sababu naye awe mkimbizi pamoja na dereva wake. Mange naye yuko kwenye mpango. Watakuwa wanne je wataweza kushawishi ulimwengu kuwa TZ si salama eti inakimbiwa na wananchi wake kuhofia maisha yao? Leo anaongelea ya kufikirika kuhusu Making ujue nia yake nini ili kutimiza lengo kuifanya TZ iwe na watu wanaoitwa wakimhizi nchi geni?
Wewe kama ng'ombe anaweza kuishi nawe pia unaweza, maana huna cha kuhoji. Inaitwa bora liende tuu
 
Inawezekana kama kuna sababu za kiusalama kama ushushushu, ugaid,lakin hizo ni kwa nchi zilizoendelea kama USA na RUSSIA, hawa akina ngurumo akili hazimo vema, hakuna sababu yeyote ya nchi kumkataa Makonda, pili hii siyo nguo kusema unajaribu isipokutosha unajaribu nyingine, yaan waulize kwamba jamani tuna Mtu huyo tumlete awe balozi,?? Alafu Tanzania isubiri majibu hahaha nimeamini Tanzania ni nchi ya watu wenye umaskini wa mawazo na ndo mtaji wa wajanja kupiga hela
Hivi unajua taarifa za siri za jamaa kuhusu ile biashara alikuwa anawasakizia wengine zinasemaje? Basi hapo ndio kachafuka.
Fuatilia kwa undani utajua ukweli
 
Nchi Tano zisizo na majina ....acha majuha kalulu yadanganyane
Ndio zenu hizo, kubisha kila kitu hadi ushahidi uwekwe mbele yenu.
Kuna mtu mliambiwa ana kasoro upstairs mkabisha sana na kusema anavunjiwa heshima, baada ya yeye mwenyewe kukiri hadharani kuwa nati zangu zimedondoka mkabaki mmeinamisha vichwa. Mbona ma Tomaso nyie?
 
Kweli dada tusamehe saba mara sabini!?
Joka la makengeza asamehewe.
Ruge asamehewe.
Singh Seith asamehewe.
Mramba asamehewe.
Mgonja G. asamehewe.
Yona D. asamehewe.
Masamaki asamehewe .
Acacia/Barrick wasamehewe noah zetu.
Tusamehe 7x70 kwa wote waliofanya makosa kwani kama Mungu angetuhukumu kwa kila kosa,nani angepona!!?
Ongeza hapo na ile trillion 1.5 nayo isamehewe, hii ndiyo bongo ya kusameheana
 
Ngurumo ni mfanya biashara Wa maneno ni kuwa extra careful nae.
 
Ndio zenu hizo, kubisha kila kitu hadi ushahidi uwekwe mbele yenu.
Kuna mtu mliambiwa ana kasoro upstairs mkabisha sana na kusema anavunjiwa heshima, baada ya yeye mwenyewe kukiri hadharani kuwa nati zangu zimedondoka mkabaki mmeinamisha vichwa. Mbona ma Tomaso nyie?
Waambie hao , pamoja na nati mbovu mwezie anaitwa NIJAGE vile sio.
 
Back
Top Bottom