Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha nimecheka sana aiseeHapo mkoa wake ataondoka nao au?
Mbea namba moja JF!
Of course mengine ni kupakazana tuu mshikadau si unajua polojo zetuKwa hiyo ndani ya wiki baada ya hili sakata la makontena jina lake limeshapelekwa nchi zaidi ya moja wakalitafakari jina lale kisha wakalikataa NDANI ya wiki wakarudisha jibu kisha likatumwa tena nchi nyingine wakalikataa nao NDANI ya wiki. Ni kutumia akili ya kuzaliwq tu kutambua uongo na ujinga huu.
Huyu Ngurumo ajengr nchi ipi. Lengo lake kubomoa sio kujenga. Ameshawishiwa aonekane mkimbizi na wengine wangefuata nyayo ila hawajajitokeza. Lissu nadhani anatafuta sababu naye awe mkimbizi pamoja na dereva wake. Mange naye yuko kwenye mpango. Watakuwa wanne je wataweza kushawishi ulimwengu kuwa TZ si salama eti inakimbiwa na wananchi wake kuhofia maisha yao? Leo anaongelea ya kufikirika kuhusu Making ujue nia yake nini ili kutimiza lengo kuifanya TZ iwe na watu wanaoitwa wakimhizi nchi geni?
Swali halikuwa linakuhusu kamanda. Hakuna Mtanzania mkimbizi. Wanaume aina ya Ngurumo ni hatari sana katika jamii, Maana ndio hao kila kukicha wanakimbia na kutelekeza familia zao zikipata tabu na kwenda kuanza maisha mengine na vichenchede.Mtanzania.
Uongo eti nchi 5 zimemkataa kwani hizo nchi ndiyo zinamteua mtu au mtu anateuliwa na mamlaka ya uteuzi ya Tanzania?UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Huko waarabu watamla' 0712 ' hawapendi mambo ya kipunga kule. Tena na hivi alivyo na Hips kama Wema Sepenga watamfanya mbayaC ampeleke Iraq, Syria au Afghanistan???.. Akikosa huko ampeleke hapo kwa ndugu zetu Somalia... Very simple
HahahahahaHata wakati wa mjadala wa gesi ya Mtwara mlikuwa mnasema hivo kwamba wapinzani siyo wazalendo na wazushi. Leo jiwe analialia tu kwamba gesi imechukuliwa na wakubwa.
Katika Itifaki za Kidiplomasia haijawahi kutokea kitu kama hicho mkuu.Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Akipelekwa Finland itapendeza zaidi mkuu.Nipo Malawi tutampokea kwa furaha huku
Uliyajuaje mazito haya ya Waarabu kamanda!?Huko waarabu watamla' 0712 ' hawapendi mambo ya kipunga kule. Tena na hivi alivyo na Hips kama Wema Sepenga watamfanya mbaya
Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Joke!UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
HAWA NI UMBWAA,mlichoshindwa ni kutambua iwaje swala la haki la kinchi liamuliwe kijeshi kama la gesi.huu ni umavi hii nchi inanuka sana ooh kkiwete mzuri mzuri,kama mzuri mkamuoe sasa.Hata wakati wa mjadala wa gesi ya Mtwara mlikuwa mnasema hivo kwamba wapinzani siyo wazalendo na wazushi. Leo jiwe analialia tu kwamba gesi imechukuliwa na wakubwa.
Acha UONGO Kamanda! Mungu anakuona.Inamkataa, wanapelekewa faili lake, wanalipitia, wanafanya uchunguzi wao na kujiridhisha ndio wanamkubali.
Acha UONGO Kamanda! Mungu anakuona.