Tetesi: Ansbert Ngurumo: Makonda anatafutiwa ubalozi

Tetesi: Ansbert Ngurumo: Makonda anatafutiwa ubalozi

C ampeleke Iraq, Syria au Afghanistan???.. Akikosa huko ampeleke hapo kwa ndugu zetu Somalia... Very simple
Uvamizi au kwajina ulilopewa muungano uishe , baadaye mnaweza kumweka balozi wa Tanganyika nchini Zanzibar
 
Msituaminishe kwa ma
UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Msituaminishe kwa matango pori
 
Inawezekana kama kuna sababu za kiusalama kama ushushushu, ugaid,lakin hizo ni kwa nchi zilizoendelea kama USA na RUSSIA, hawa akina ngurumo akili hazimo vema, hakuna sababu yeyote ya nchi kumkataa Makonda, pili hii siyo nguo kusema unajaribu isipokutosha unajaribu nyingine, yaan waulize kwamba jamani tuna Mtu huyo tumlete awe balozi,?? Alafu Tanzania isubiri majibu hahaha nimeamini Tanzania ni nchi ya watu wenye umaskini wa mawazo na ndo mtaji wa wajanja kupiga hela
Wajanja wa ccm
 
Hivi mfano raisi akitemteua balozi,nchi husika inaweza kumkataa?
Ndio
Nchi husika huwa zinafanya vetting kwa mhusika
Then matokeo ya upekuz huo ndio huamua wamchukue au la..

Ni kitu cha kawaida ktk Diplomasia
 
Sawa mkuu. Watu hawaelewi hayo mambo kwa sababu yanatokea hatua za mwanzo kabla ya kutangazwa. Nchi husika ikishakubali ndio inatangazwa ujio wa balozi mpya.

Balozi gay amewahi kukataliwa hapa kwetu. Utaratibu uko hivyo ndio maana ukiwakorofisha wanakutimua masaa 24. Nchi haikubali kumpokea mtu wasiomridhia.
Ni hivii, kuna sheria na taratibu za Kidiplomasia. Ikichangiwa na mahusiano ya Nchi mbili husika.
Anapoteuliwa Balozi kuiwakilisha Tanzania Nchi nyingine, hiyo Nchi haina mamlaka ya kumkataa mpaka atakapokanyaga Nchini humo na kuvunja sheria za Nchi husika. Diplomasia sio masuala ya kisiasa kamanda...unapoizungumzia jaribu kuwa na upeo au uelewa mpana katika suala husika.
Asante.
 
Acha UONGO Kamanda! Mungu anakuona.
Si uongo , ilitokea wakati wa mwinyi, jamaa kachaguliwa kuwa balozi kule Sweden, Alitokea mkimbizi kutoka Zanzibar anaishi Denmark akapinga Kwa sababu huyo jamaa aliteswa kule Dar na huyo aliyechaguliwa Balozi .Aliyeteuliwa Balozi alikuwa ni mmoja wa watu wasiojulikana.
 
UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Jamani tufanyie kazi fursa zilizopo Tanzania tupunguze tabia ya kujadili watu. Hivi mabalozi wote waliopo Tanzania wanajua Kiingereza au Kiswahili mpaka lugha iwe ni issue kwenye mtu kuwa balozi nje? Kama mimi sijui Kingereza si nitakuwa na mkalimani na nitakuwa nazungumza tuu Kiswahili kama wafanyavyo mabalozi wa mataifa yasiyozungumza kingereza
 
Si uongo , ilitokea wakati wa mwinyi, jamaa kachaguliwa kuwa balozi kule Sweden, Alitokea mkimbizi kutoka Zanzibar anaishi Denmark akapinga Kwa sababu huyo jamaa aliteswa kule Dar na huyo aliyechaguliwa Balozi .Aliyeteuliwa Balozi alikuwa ni mmoja wa watu wasiojulikana.
Huyo jamaa aloueteuliwa ni nani na ilikuwa mwaka gani?
Tuache kuongelea haya mambo kama hatuna uelewa nayo kishabiki mkuu. Hii ni tabia hatari sana katika jamii.
Kuna sheria na taratibu za Kidiplomasia. Diplomasia sio Siasa kamanda!
 
Huyu Ngurumo ajengr nchi ipi. Lengo lake kubomoa sio kujenga. Ameshawishiwa aonekane mkimbizi na wengine wangefuata nyayo ila hawajajitokeza. Lissu nadhani anatafuta sababu naye awe mkimbizi pamoja na dereva wake. Mange naye yuko kwenye mpango. Watakuwa wanne je wataweza kushawishi ulimwengu kuwa TZ si salama eti inakimbiwa na wananchi wake kuhofia maisha yao? Leo anaongelea ya kufikirika kuhusu Making ujue nia yake nini ili kutimiza lengo kuifanya TZ iwe na watu wanaoitwa wakimhizi nchi geni?
Tuachane na walioolewa tujadili ya kwetu wanaume wa kazi. Mwanaume anayekimbilia chumbani kwa mwanaume mwenzake lazima awe shoga. Kwa kweli tuache ushabiki Paul Makonda huwezi kumfananisha na Mtolewa mfano huyo anayeitwa Ngurumo cause ameenda kwa mwanaume kupata huduma ya kutunzwa.
 
Ni hivii, kuna sheria na taratibu za Kidiplomasia. Ikichangiwa na mahusiano ya Nchi mbili husika.
Anapoteuliwa Balozi kuiwakilisha Tanzania Nchi nyingine, hiyo Nchi haina mamlaka ya kumkataa mpaka atakapokanyaga Nchini humo na kuvunja sheria za Nchi husika. Diplomasia sio masuala ya kisiasa kamanda...unapoizungumzia jaribu kuwa na upeo au uelewa mpana katika suala husika.
Asante.

Siandiki na wala sina utaratibu wa kuandika kitu nisichokijua. Kwakua hatubishani. Naomba niishie hapo mkuu.
 
Ni hivii, kuna sheria na taratibu za Kidiplomasia. Ikichangiwa na mahusiano ya Nchi mbili husika.
Anapoteuliwa Balozi kuiwakilisha Tanzania Nchi nyingine, hiyo Nchi haina mamlaka ya kumkataa mpaka atakapokanyaga Nchini humo na kuvunja sheria za Nchi husika. Diplomasia sio masuala ya kisiasa kamanda...unapoizungumzia jaribu kuwa na upeo au uelewa mpana katika suala husika.
Asante.
===
Mmm! unachosema ni moja ya njia lakini si hiyo pekee.
Wewe ulipoteuliwa, haikutangazwa kwanza. Jina lako likapelekwa katika nchi ulikokuwa unapangwa kupelekwa. Nchi hiyo baada ya kufanya vetting ikatoa green light. Ukatangazwa na kuapishwa. Ukaenda na sasa uko huko.

Kuna wanaotangazwa kuwa wameteuliwa lakini wanakaa muda mrefu mpaka nchi husika ziridhie ndipo mabalozi waende. Hata waambata wanakataliwa kama rekodi zao zina matege.
 
Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Du kama hujui protocal za mabalozi usiongee

Tanzania tulishawi kataa balozi wengi kwa sababu mbali mbali. Mfano tuliwahi kukataa balozi wa Japan sababu jina lake ni tusi kwa jamii ya kiswahili.

Ndio maana hawataji nchi mpaka pale inapppatikana approval. Soma Viena Convention kuhusu masuala ya kibalozi.

Lakini pia haijasemwa anapelekwa kama balozi.
 
Back
Top Bottom