Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap. Balozi anaweza kukataliwa na nchi mwenyeji. Sababu mbali mbali hutolewa. Kuna kipindi mkwere alimteua balozi wetu kwenda Rwanda lakini Rwanda wakamkataa. Nasikia mr slim alihisi yule balozi wetu mteule alikuwa ntu wa system!Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Au yule wa drc matombo katoke zamboko!Hukumbuki yule wa Zambia mwenye jina la Matusi alikataliwa Tanzania
hahaaa unataka awe kiziwi ". maana masikio lazima yataathirika tu " kutokana na kusikiliza milipuko ya mabomu daily "C ampeleke Iraq, Syria au Afghanistan???.. Akikosa huko ampeleke hapo kwa ndugu zetu Somalia... Very simple
Yeye ni mungu wa dar... Nafikiri mungu wa mbinguni atamnusuru
UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
We wasema mkuu, time will tellMmmh apo Ngurumo kafeli,bashite na ubalozi wapi na wapi.
Huyu tutabananae apa apa mpaka jiwe aondoke
Narudia tena, kuna Sheria na taratibu za Kidiplomasia. Diplomasia sio Siasa.===
Mmm! unachosema ni moja ya njia lakini si hiyo pekee.
Wewe ulipoteuliwa, haikutangazwa kwanza. Jina lako likapelekwa katika nchi ulikokuwa unapangwa kupelekwa. Nchi hiyo baada ya kufanya vetting ikatoa green light. Ukatangazwa na kuapishwa. Ukaenda na sasa uko huko.
Kuna wanaotangazwa kuwa wameteuliwa lakini wanakaa muda mrefu mpaka nchi husika ziridhie ndipo mabalozi waende. Hata waambata wanakataliwa kama rekodi zao zina matege.
Ulisema hili tukio lilitokea enzi za utawala wa Mzee Mwinyi, ndio Maana nikahoji mwaka wa tukio na jina sahihi la huyo Balozi(Usalama wa Taifa mtesa watu) aliyekataliwa kwa shutuma za Utesaji.Huyo jamaa alionyeshwa kwenye news ya TV ya Sweden anaitwa Hashil Seif anafanya kazi kwenye human rights, Aliyeteuliwa nimemsahau jina lakini alikuwa katika Usalama wa Taifa na akitesa watu. Waswedish walimkataa baada ya huyu Hashil kuprotest na kutoa ushahidi wà aliyoyafanya huyo jamaa
Hahahaha na Saudi Arabia walimrudisha balozi wa Pakistan kwa jina tuHukumbuki yule wa Zambia mwenye jina la Matusi alikataliwa Tanzania
Inaweza kulingana na recorde za huyo balozi hata rwanda iliwahi kumkataa balozi wakati wa Jk sababu alikuwa ni mpelelezi nguli na wakati ule hatukuwa poa kimahusianoHivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Hawezi kuachwa uraiani apuyange kama sie huyo mkuu,amevuruga watu wengi sana hivyo ni lazima apelekwe sehemu ya mbali ambako bado atakuwa na ulinzi akiwa kama balozi.Mmmh apo Ngurumo kafeli,bashite na ubalozi wapi na wapi.
Huyu tutabananae apa apa mpaka jiwe aondoke
Wewe kama ng'ombe anaweza kuishi nawe pia unaweza, maana huna cha kuhoji. Inaitwa bora liende tuu
Huyo bado anajenga rekodi yake , ili akubaliwe kama mkimbizi wa kisiasa, asililijua ni kuwa anafuatiliwa, kwani hairuhusiwi mkimbizi wa kisiasa kufanya siasa.Rudi nyumbani ujenge nchi.....acha umbea na uzushi.....
Zitaje hizo nchi,lugha sio kikwazo acha uongo,kwani kuna lugha ya mabalozi,kuna mabalozi kibao wanaongea lugha za kwao tuUBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
hivi akiwa huko ataendelea kutumia ving'ora kurudi hom?Apelekwe Malawi
Apelekwe Korea Kaskazini kwa mzee Mapanki.UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa