Tetesi: Ansbert Ngurumo: Makonda anatafutiwa ubalozi

Tetesi: Ansbert Ngurumo: Makonda anatafutiwa ubalozi

===
Mmm! unachosema ni moja ya njia lakini si hiyo pekee.
Wewe ulipoteuliwa, haikutangazwa kwanza. Jina lako likapelekwa katika nchi ulikokuwa unapangwa kupelekwa. Nchi hiyo baada ya kufanya vetting ikatoa green light. Ukatangazwa na kuapishwa. Ukaenda na sasa uko huko.

Kuna wanaotangazwa kuwa wameteuliwa lakini wanakaa muda mrefu mpaka nchi husika ziridhie ndipo mabalozi waende. Hata waambata wanakataliwa kama rekodi zao zina matege.


Huo ndio utaratibu na ndivyo inavyofanyika mkuu. Sijaona haja ya kubishana sana. Nchi husika lazima iridhie kumpokea balozi au muwakilishi wa mashirika kama UN na mengine.
 
Kweli dada tusamehe saba mara sabini!?
Joka la makengeza asamehewe.
Ruge asamehewe.
Singh Seith asamehewe.
Mramba asamehewe.
Mgonja G. asamehewe.
Yona D. asamehewe.
Masamaki asamehewe .
Acacia/Barrick wasamehewe noah zetu.
Tusamehe 7x70 kwa wote waliofanya makosa kwani kama Mungu angetuhukumu kwa kila kosa,nani angepona!!?
Weeee usilete ushoshezi(sijakosea) anayetakiwa kukosea kwa jaribio la kuidanganya serikali kwa lengo la kukwepa kodi ni Makondakta tu alaaa
 
UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Ansbert nlishamuona miyeyusho baada ya kutulisha matango yake kuhusu tanzanite na ukuta wa mireran

N mbea mbea fulan hivi kama sio mshakunaku yan
 
Ansbert nlishamuona miyeyusho baada ya kutulisha matango yake kuhusu tanzanite na ukuta wa mireran

N mbea mbea fulan hivi kama sio mshakunaku yan
Wee piga porojo hapa kisha utupiwe kipande cha Fulana yakijani ukaringishie kwenu Huku dab na wahuni wenzie wakigawana rasilimali za Nch
 
UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Wamkubali jamani hata kwa kutumia wakalimani
 
Hata wakati wa mjadala wa gesi ya Mtwara mlikuwa mnasema hivo kwamba wapinzani siyo wazalendo na wazushi. Leo jiwe analialia tu kwamba gesi imechukuliwa na wakubwa.
Wameanza kukimbia kivuli chao wenyewe
 
Back
Top Bottom