Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Wa Kaskazini,furahi sasaNgurumo bwana!
Ni kabila gani huyu mkimbizi!? imhotep
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Kaskazini,furahi sasaNgurumo bwana!
Ni kabila gani huyu mkimbizi!? imhotep
Nchi kubwa zinazojitambua na zinazoheshimu haki za Binadamu huwa wabafuatilia record za Balozi husika,wakiona ana record chafu hawampokei.Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Wewe bado unakumbuka barua kwa posta?Kwa hiyo ndani ya wiki baada ya hili sakata la makontena jina lake limeshapelekwa nchi zaidi ya moja wakalitafakari jina lale kisha wakalikataa NDANI ya wiki wakarudisha jibu kisha likatumwa tena nchi nyingine wakalikataa nao NDANI ya wiki. Ni kutumia akili ya kuzaliwq tu kutambua uongo na ujinga huu.
Hivi kufikia 2020 bado miaka saba?Yani nadhani DAB sasa ana hali mbaya, akitumbuliwa hana pa kuishi maana maadui wake ni wengi na wenye uwezo kumfanya watakavyo, sasa jiwe anajua hilo na laxma atumie busara nyingi, ila atambeba hadi lini maana bado miaka saba tu jiwe ataondoka!?
Huyo jamaa aloueteuliwa ni nani na ilikuwa mwaka gani?
Tuache kuongelea haya mambo kama hatuna uelewa nayo kishabiki mkuu. Hii ni tabia hatari sana katika jamii.
Kuna sheria na taratibu za Kidiplomasia. Diplomasia sio Siasa kamanda!
Hata sisi tunashangaa hii ni zaidi ya mbelekoHiv bashite na magu wana ajenda gani
Rudi nyumbani ujenge nchi.....acha umbea na uzushi.....
Persona non granta.Hivi balozi atakataliwaje?
Mhh mkuu 2025, jiwe 2020 hata kwa kumwaga damu yupo tu.Hivi kufikia 2020 bado miaka saba?
Isije kuwa kajamaa nako kanaandaliwa et kuwa karaisi ketu baadae...!!!Hata sisi tunashangaa hii ni zaidi ya mbeleko
Wewe ni mpumbav dab kaanza kupingwa leo?Kwa hiyo ndani ya wiki baada ya hili sakata la makontena jina lake limeshapelekwa nchi zaidi ya moja wakalitafakari jina lale kisha wakalikataa NDANI ya wiki wakarudisha jibu kisha likatumwa tena nchi nyingine wakalikataa nao NDANI ya wiki. Ni kutumia akili ya kuzaliwq tu kutambua uongo na ujinga huu.
Kwa akili yako nakuona hapa kila siku nadhani zimo unadhani Magufuli anatoka 2020?? Usishangae hata 2025 anakataa Pascal MayallaHivi kufikia 2020 bado miaka saba?
Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Inaweza ila wanatoa sababu zao na kuomba wapelekewe mwingine.Hivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
mkurugenzi wa vodacom alikataliwajeHivi balozi atakataliwaje?
Anaweza yeye asitake kutoka, but who is he kama wananchi kwa nia moja wanataka atoke?Kwa akili yako nakuona hapa kila siku nadhani zimo unadhani Magufuli anatoka 2020?? Usishangae hata 2025 anakataa Pascal Mayalla
Mnakosea sana, yapo mababe na yalikuwa na misingi mikubwa ndani ya jeshi na yalitoka!Mhh mkuu 2025, jiwe 2020 hata kwa kumwaga damu yupo tu.