Anthony Diallo aomba radhi kwa waliomuelewa vibaya kauli yake ya 'Viongozi waliopita walikuwa na Matatizo ya Akili'

Nyinyi wananchi mlikubali vipi muongozwe na kichaa, au na nyinyi ni vichaa?
Magufuli alikataliwa. Na yeye alijua hilo. Ndio maana pamoja na kufanya mengi, bado alihitaji kupora uchaguzi. Ndio maana hakutaka uhuru wa habari, ndio maana alipiga vita Demokrasia
 
Magufuli alikataliwa. Na yeye alijua hilo. Ndio maana pamoja na kufanya mengi, bado alihitaji kupora uchaguzi. Ndio maana hakutaka uhuru wa habari, ndio maana alipiga vita Demokrasia
Hicho mnachokiita demokrasia , matokeo yake ndio zile fujo za South Africa, nyie demokrasi ya makelele haiwafai
 
Nafurahia kuona CHADEMA wanavyowashabikia wana CCM.
 
Hicho mnachokiita demokrasia , matokeo yake ndio zile fujo za South Africa, nyie demokrasi ya makelele haiwafai
Tatizo Afrika Kusini siyo Demokrasia. Kwa wenzetu, rais mstaafu ana HAKI ya kufungwa jela. Kwetu rais mstaafu hana HAKI hiyo.
 
Wewe jiuzulu tu, mchumia tumbo mkubwa. Mbona hayo maoni yako hukusema akipokuwepo?. Na kwenye mikutano yake yote hapo mwanza ulikuwa ukipata nafasi unamsifia leo hayupo unaponda. Mnafiki mkubwa.
 
Ukitaka kujua kuwa CCM Ni manafiki sikiliza mazungumzo yake yote halafu ujiulize huyu ndiye kichaa au wale aliowasema!
 
CHADEMA mmebaki kuwa wacheza Ngoma za CCM tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Hatuwashangai maana mliongozwa na kichaa nyie
 
Kufungwa sio HAKI


Rekebisha maelezo yako
Kwa kweli tunawakosea HAKI marais wetu, kwa kuwanyima HAKI ya kushitakiwa na hata kufungwa jela. Nchi nyingine wana haki hizo. Hata Israel mkuu wa serikali alifunguliwa mashitaka akiwa madarakani
 
Magufuli alikataliwa. Na yeye alijua hilo. Ndio maana pamoja na kufanya mengi, bado alihitaji kupora uchaguzi. Ndio maana hakutaka uhuru wa habari, ndio maana alipiga vita Demokrasia
Nitajie nchi moja tu iliyopiga hatua katika maendeleo kwa kutumia demokrasia
 
Alichoongea Diali ni ukweli mtupu, hii kuomba radhi ni kufunika kombe wanaharamu wapite
 
Mshenzi sana huyu Dialo na anajipendekeza apate uenyekiti tena. Haupati kamwe umbwa huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…