Anthony Diallo aomba radhi kwa waliomuelewa vibaya kauli yake ya 'Viongozi waliopita walikuwa na Matatizo ya Akili'

Cdm mmebaki kuwa wacheza Ngoma za ccm tu kwa sasa, hakuna operation haki, maandamano Wala wabunge wa covid 19, kila sehemu mnaangukia pua.
Mchukueni sasa huyo Dialo wenu
Hujui kuwa kamanda kafiwa,jiwe alikuwa kichaa
 
Haiwezi kusaidia, arudi tu upinzani bado nafasi hazijajaa.
 
Kimtokacho mtu ndicho kilichoujaza moyo wake. Anayoyaombea msamaha now aliyatamka kwa hisia kali sana then - ambayo ndiyo yaliyoujaza moyo wake.
Isitoshe, hajasema aliyoyasema si sahihi ila amesema hakuyasema kwa usahihi - there's a difference there!

Hii la kuomba msamaha ni kufunika kombe wanaharamu (UVCCM & co) wapite.

Ukweli wenyewe ni huu hapa chini.......

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…