Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa Koko waKijijini wewe!Lowassa na Sumaye wakikosa humo mniite mbwa
Kwa hiyo unataka kutuambia Nini"Kuna watu 34 wameweka maombi ambayo hayajalipiwa na hayana sifa ambapo kwa jumla wanashikilia eneo la ukubwa wa ekari 4,316,955 sawa na kuwa na mikoa ya Dar es Salaam 12, eneo lote hili limekaa bila kufanyiwa chochote.” Anthony Mavunde
Nikuwa morogoro vijijini tukaendesha gari kwa kama nusu saa hivi kwenye pori lilipo sehemu nzuri tu kwa kilimo/ufugaji; nikaambiwa ni shamba la muheshimiwa mmoja wa Arusha aliyekuwa na Wasifa mkubwa ....watu wana uchu sana wa kujilimbikizia jamani. sijui wanakumbuka siku ya mwisho....
Wanampima kimo jerry!"Kuna watu 34 wameweka maombi ambayo hayajalipiwa na hayana sifa ambapo kwa jumla wanashikilia eneo la ukubwa wa ekari 4,316,955 sawa na kuwa na mikoa ya Dar es Salaam 12, eneo lote hili limekaa bila kufanyiwa chochote.” Anthony Mavunde
Kama punda wanakula mpaka miziziIla ccm kushiba kwao ni kitendawili
nadhani huwa wanakula na kun*ya
kama viwavi jeshi.
Hahahahah, sasa eneo ni kubwa kuliko Dar, labda Dar iko ndani ya Eneo hilo. May be tunaishi kwenye ardhi ya watuNa hilo eneo lipo Dar 😝
Wenye maeneo hayo ni wabunge na watumishi wa tume ya madini."Kuna watu 34 wameweka maombi ambayo hayajalipiwa na hayana sifa ambapo kwa jumla wanashikilia eneo la ukubwa wa ekari 4,316,955 sawa na kuwa na mikoa ya Dar es Salaam 12, eneo lote hili limekaa bila kufanyiwa chochote.” Anthony Mavunde