Anthony Mtaka na Kheri James waipinga style anayotumia Makonda ya kusikiliza kero kwa kuzungukwa na media

Anthony Mtaka na Kheri James waipinga style anayotumia Makonda ya kusikiliza kero kwa kuzungukwa na media

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Anthony Mtaka: "Hawa Ma-DC wanafanya kazi kubwa kutatua kero, ni vile hawana ma TV tu."

Kheri James: "Tutenge muda wa kutatua kero na si kusikiliza kero"




 
Kwani wao wamekatazwa kuzungukwa na media???
 
NI wivu Tu.

Mtaka ajue tu kwamba hakuna ulazima wa kufanana
 
hapa ndo naamini kuwa bashite ana nyota kali sana yeye ni kama diamond platnumz😂😂
 
Wanajenga nyumba Moja hakuna haja ya kugombea fito
 
Kero za kijinga ni nyingi mno. Za kijinga ambazo viingozi wangekuwa na haki zingeishia kwa kutatulika chini.
 
Mtaka yupo sahihi.
Millard Ayo amekuwa very biased. Kama angekuwa anatoa equal treatment kwa wakuu wa mikoa wote na wakuu wa wilaya basi kila mkuu wa wilaya angekuwa anaonekana anafanya kazi. Kuweka mzani sawa Bashite aache kutumia media kwenye ziara zake halagfu tuone.
Kheri James sijawahi kumkubali lakini kwa hili yupo sahihi.
 
Nyinyi ndo mnafanya mama anakopa hela, tunapandishiwa kodi hadi kwenye umeme lakini hela zinapotea kusikojilikana. Ila kwa Makonda zinaanza kuonekana zinakopelekwa
 
Yaan huu utawala kila kiongoz anataka aonekane yeye ndiyo yeye, utazan Hamna top leader
 
Kwenye hiyo mikitano yao kama hakunapo jipya media zitaenda kutafta nn?
Paul makonda ana ubunifu hata media zinamfuata maana wanajua watauza
 
Uongozi wa Makonda ni wa kiki kiki, kwa Taifa kama letu ambalo 70% hadi 80% ya wananchi hatujui tunachokitaka - anaweza kutoboa.
 
Back
Top Bottom