Anti Bilali: Huu Ushoga wangu nilirogwa, mwenye dawa anisaidie

Hahahahaha jamii forum the home of stress reliever
 
Midhambi niliyokuwa nayo tu nafungua kitabu kipya cha katiba, uniongezee na ya ant Bilal si unanitafutwia dhahma we sexologist!

Si unajua nina hamu ya kusutwa na mahasimu wangu akina C.T.U!
Mie Bilali namjua ukucha to unywele,
ukwapa to upapa.
Lolz.

Haha haha nimecheka mpaka nimelia
 
Last edited by a moderator:
mungu niellpushe na aina hii ya uchawi mimi kizazi changu nawote dyniani
 
nilishasema tu kwamba wanawake nyie ndo mnasapot mashoga
ova
 
Mmmh mtu kurogwa kuwa shoga makubwa , kikubwa amrudie mungu wake
 
Hivi kwanini hakuna mashoga wenye umri wa miaka 40 hivi kuendelea
 
Hivi kwanini hakuna mashoga wenye umri wa miaka 40 hivi kuendelea
Elton John ana miaka mingapi?

Kuna mzee mmoja namfahamu anapumuliwa wapo ila wanatumia hela kuwapata vijana wa kuwakamua na inakuwa kimya kimya
 
Akachome sindano ya kuongezaTestosterone au anywe dawa za wanamichezo wa kiume za kuongeza nguvu.Ikitokea nakuwa rahisi wa nchi hii ni lazima Mashoga wote wachomwe hii sindano na wasagaji wachomwe na ile ya oestrogen
rahisi= raisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…