Anti Bilali: Huu Ushoga wangu nilirogwa, mwenye dawa anisaidie

Anti Bilali: Huu Ushoga wangu nilirogwa, mwenye dawa anisaidie

Na james delicious nae karogwa? Bora mashoga wa zamani walikuwa wanavaa kama wanawake mawigi kanga n.k hawa wa siku hizi wanavaa kama wanaume kabisa kuwatambua vigumu hadi ajitangaze mwenyewe
 
Huyu kama kurogwa alirogwa toka tumboni kwa mama yake, maana since day one tunaanza primary pale Mbuyuni alikuwa hivyo hivyo. Nakumbuka hata wanaume wenzake walikuwa wanampiga na kumlazimisha kucheza mpira lkn yeye kutwa tunacheza naye rede.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona watu wanabisha wakielezwa kuwa mashoga wanazaliwa na ushoga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli kwa wengine naweza sema sina uzoefu.
Ila kwa Bilali namjua very well....nimekua nae
Nimecheza nae, nimekaa nae.
Bilali tangu mtoto hajaanza shule alikuwa anapenda makundi ya wasichana.
Watu wakisema kajifunza ushoga ukubwani, nawakatalia kwa herufi kubwa.
Kazaliwa na chembechembe za kike tangu kinda
 
Back
Top Bottom