Anti Bilali: Huu Ushoga wangu nilirogwa, mwenye dawa anisaidie

Ona sasa!... Watu wake wakamtenga, jamii ikamtukana.. mwishowe na yeye kajikataa kaishia kuwa shangingi na malaya mpaka kapatwa na kifo. Angepata msaada wa kisaikolojia huenda angeimudu hali yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona sasa!... Watu wake wakamtenga, jamii ikamtukana.. mwishowe na yeye kajikataa kaishia kuwa shangingi na malaya mpaka kapatwa na kifo. Angepata msaada wa kisaikolojia huenda angeimudu hali yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly
Jamii nyingi zinachochea vitendo kama hivi mpaka kufikia hatua ya watu kujidhuru au kudhurika.
Laiti angepata msaada wa kisaikolojia mapema kama unavyosema, huenda tatizo lake lingetibika likiwa bado la moto kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…