So far sijasoma popote palipoprove kukamatwa kwa huyu mwanamapinduzi mpya..... Jamani kama kuna mwenye Jibu plz atuwekee hapa jamvini ili kama ni kukoment basi mtu uwe na uhakika na uandikacho........Ila lisemwalo lipo kama halipo....................
Breking nyuzzzz: mr II akamatwa leo
Habari iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde,inaripoti kuwa msanii mkongwe wa muziki wa hip hop nchini,Joseph Mbilinyi a.k.a mr II amekamatwa leo mapema asubuhi na watu wanaodaiwa kuwa ni wanausalama wakati anakwenda kwenye kikao cha press talk kinachofanyika kila siku ya jumatatu katika ukumbi wa mikutano wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA),sababu ya kukamatwa kwake bado haijajulikana na haijulikani wamekwenda nae wapi.
Globu ya Jamii inafuatilia kutaka kujua mustakabali mzima wa kukamatwa kwake na italeta taarifa kamili hapo baadae.hivyo tuvute subira.
Anything bad with this 'I wanna kill you"?
Kama polisi wanapolisi ushairi basi Amiri Akida Andanenga na wenzake waliokuwa wakijibizana katika malumbano wangefungwa siku nyingi.
Mimi nilifikiri wamemkamata kwa mambo ambayo yanaweza kusimama mahakamani katika mashtaka solid, kumbe mambo ya pure censorship.
Alichosema ni "I wanna kill right now" kitu ambacho kinaweza kutafsiriwa a thousand and one ways, I wanna kill this track, I wanna kill mediocrity, I wanna kill my opponents lyrically etc etc.
Hawa polisi akili mgando sana.